Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

    Report Post
    Page 14 of 40 FirstFirst ... 4121314151624 ... LastLast
    Results 261 to 280 of 791
    1. #1
      Fred Katulanda's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Location : Mwanza, Tanzania
      Posts : 196
      Rep Power : 455
      Likes Received
      200
      Likes Given
      67

      Default Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      "Ndugu zangu,

      Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".

      Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.

      Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...

      Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.

      Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na Redio Call, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.


      Nashindwa kuendelea....."
      NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy wa LHRC
      Quote By Mupirocin
      Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from somewhere
      Quote By Azimio Jipya
      Mbona hili wala sio siri tena ... Jamaa alimpigia simu wakamalize maongezi LEADERS CLUB!!! Ulimboka akaondoka na Rafiki yake mmoja! Wakati wanongea na huyo Jamaa hakueelwana ...

      Jamaa akapiga simu kwa hao wanjeshi walikuja kumburuza na kumchukua ... wakamuacha Rafiki wa ulimboka na huyo jamaa mwingine kwa kusema hatuwahitaji nyie tunamuhitaji Dr Ulimboka ....!

      Rafiki wa Ulimboka ... Akapiga simu kwa waaharakati wa Haki za Binadamu ..Hellen Kijo Bisimba at al .. na usiku huo wakaanza kumtafuta na kuripoti vituoa mbalimbali vya Polisi ...lakini Kila kituo wakidai ... hamjui huyo mtu .... labda waje asubuni .... na subuhi? Wapata habari toka kituo cha polisi tegata .... kaokotwa mtu ....blabalahhhh!!

      Source. Hellen Kijo Bisimba!!
      Lyimo, BAK, Ibambasi and 63 others like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #261
      mvunjamiwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 182
      Rep Power : 395
      Likes Received
      21
      Likes Given
      0

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Kichefuchefu!!!

    4. #262
      Kobello's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 2,941
      Rep Power : 1657
      Likes Received
      1104
      Likes Given
      190

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Asingekubali kwenda leaders kuzungumzia mgomo. Halafu hawakuelewana maneno gani?
      Kuna kitu hapo!
      Keeping quiet is a war crime.

    5. #263
      Inanambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 609
      Rep Power : 520
      Likes Received
      97
      Likes Given
      20

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Hakika Roho yangu inaniuma sana kwa kitendo alichotendewa Dr Ulimboka. Mungu akuponye . Ila nimesikia ITV wakisema amepata Brain concursion kama ile ya Marehemu Kanumba. Ehe Mungu mjalie mja wako apone. Hivi kumpiga huyu Dokta ndio Madaktari wataacha kudai haki yao? Naona tunatafuta mgogoro usio na tija kwa wananchi wanyonge.

    6. #264
      webondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Location : Chini ya mwembe
      Posts : 1,167
      Rep Power : 588
      Likes Received
      178
      Likes Given
      381

      Default Re: je ikulu imehusika na kipigo/mateso ya Dr ulimboka?

      Ukweli utapatikana, kwa sasa majibu hayatakuwa na uhakika. Can be YES or NO.

    7. #265
      Nsabhi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2011
      Posts : 624
      Rep Power : 541
      Likes Received
      68
      Likes Given
      119

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Tuungane Watanzania wote kuupinga udhalimu huu ikiwezekana tufanye maandamno ya kuilaani serikali kwa unyama huu.
      Quote By Fred Katulanda
      "Ndugu zangu,

      Najaribu kutuliza mawazo ili angalau niweze kuwapa kidogo tulipofikia na tunakoelekea juu ya suala hili. Kwa kweli haivumiliki ukimwona ulimboka kwa jinsi alivyotendewa na hali aliyonayo; kwa wale wanaojua hali za kitabibu, "this is a very unstable condition that demands permanent watch 24/7".

      Kwa taarifa tulizokusanya, ulimboka na mwenzake waliitwa na Afisa mmoja (Jina linahifadhiwa) ili kuzungumza mambo (fulani) na wakiwa wanaendelea na mazungumzo bila kuwa na mwelekeo wa muafaka, jamaa akawasiliana na watu (fulani) kwa simu. Ghafla wakajitokeza "ASKARI" wakawataka yule (Afisa) na Dr (aliyeongozana na Ulimboka) waendelee na shughuli zao na kuwambia "Tunamtaka huyu". Wakatumia nguvu, wakamburuta na kumtia kwenye gari jeusi na kuondoka naye wakidai wanampeleka Polisi.

      Huku wakiwa wanamtesa, walimlazimisha mambo kadhaa (kwa sasa tusiyataje) wakaenda naye asikokujua, wakampiga sana kwa ngumi, mateke na magongo na wakati mwengine wakitumia Bunduki zao. Wakiwa wanampiga pia walikuwa wakisema kuwa amewatesa/wasumbua sana na kuwa anajifanya mjanja mbele ya (Srk) na hivyo wanamalizana naye; akapoteza fahamu...

      Wakamtupa eneo la mapori huko Tegeta hadi alipookotwa na wananchi asubuhi na kukabidhiwa mikononi mwa Wanaharakati waliompeleka Hospitali Muhimbili.

      Wakati akipokelewa MOI tayari baadhi ya wanaharakati walishafika eneo lile, kumbe kati ya walimpokea alikuwamo kijana anayesadikiwa kuwa ni "Askari". Huyu aligundulika baada ya mda mfupi akiwa amejificha chooni akiwasiliana kwa simu na watu aliokuwa akiwaambia " Hajafa. Bado anahema.... na maneno mengine yaliyoashiria kuwa waliofanya 'kazi' ile hawakukamilisha 'maagizo'. Vijana wakamfundisha adabu kwa hasira na kumkuta akiwa na Redio Call, ambayo baada ya muda mfupi Polisi FFU walifika na gari na vifaa vya vurugu wakiisaka ile Radio.


      Nashindwa kuendelea....."
      NB: Haya ni maelezo ya mwanaharakati Albanie Marcossy aliyehusika kumsaka kama nilivyoyanukuu Mabadiliko Group.

    8. Miaka 50

    9. #266
      mr.dominick's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st June 2012
      Posts : 245
      Rep Power : 397
      Likes Received
      28
      Likes Given
      29

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Quote By Mupirocin
      Katika taarifa ya habari mtu aliyekuwa akimtafuta mfululizo kwa siku tatu ni mtu wa Ikulu aitwaye kwa jina moja David na baadaye aliondoka kumfuata huyu David na baadaye akatekwa infront of him. Kwa mwenye akili anajua tu hii ni plan from some where

      wacha kuleta chokochoko hao vitarishi vya waarabu wasio na uchungu wa nchi yao unafikiri wanastahili kupata nini ???

      Wanataka kurudisha masulatani huku wakitumiwa na uamsho kuleta vurugu , kamwe hatutowawacha waarabu hao

    10. #267
      nyandaojiloleli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 196
      Rep Power : 424
      Likes Received
      13
      Likes Given
      35

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      inasikitisha sana yaani serikali wameshindwa kutatua mgogoro wa madakiri

    11. #268
      Leornado's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2010
      Location : Papua New Guinea
      Posts : 1,381
      Rep Power : 716
      Likes Received
      106
      Likes Given
      131

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      This should be th eturning point of removing CCM and its weak governement. Kila mtu ana haki ya kudai haki yake, why killing innocent people? I cant believe this.

    12. #269
      Ndinani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Posts : 2,947
      Rep Power : 1530
      Likes Received
      745
      Likes Given
      237

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Quote By Jasusi
      Yale yale ya Kariuki wa Kenya.
      Kweli Jasusi hawa jamaa wanaiga mambo ya nyang'au wa Kenya walipomuua J.M. Kariuki na kumtupa kwenye msitu wa Ngong!!Hii hatari sana kwa Tanzania inaelekea amani ndio inatoweka sasa!They are turning the country into killing fields.!!
      Jasusi likes this.

    13. #270
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Quote By ruttashobolwa
      Jk ni dhaifu sana.
      Ni dhaifu kweli manake amewakataza hata tbc1 kutangaza habari ya Dr. Ulimboka......nimeshangaa eti kwa tbc hii wala sio habari (shame on them)......star tv wameitangaza vizuri sana!
      Life without problems never make a strong and good person!

    14. #271
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,307
      Rep Power : 36527
      Likes Received
      7468
      Likes Given
      4604

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Channel ten live madaktari
      Life without problems never make a strong and good person!

    15. #272
      HeartBreak's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Posts : 245
      Rep Power : 614
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Nchi inatia kinyaa...bora syria...inajulikana kuna machafuko kuliko tanzania

    16. #273
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,912
      Rep Power : 3205
      Likes Received
      1010
      Likes Given
      149

      Default Re: je ikulu imehusika na kipigo/mateso ya Dr ulimboka?

      ulimboka alishapredict yote haya!

    17. #274
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 360
      Rep Power : 666
      Likes Received
      70
      Likes Given
      28

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Alishindwa Kaburu De klerk na Botha itakuwa nyie?
      Connect the dots...

    18. #275
      zubedayo_mchuzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2011
      Posts : 3,343
      Rep Power : 1058
      Likes Received
      588
      Likes Given
      43

      Default FB>Julius Mtatiro> MICHEZO YA USALAMA WA TAIFA ITALIINGIZA TAIFA HILI KWENYE MACHAFUKO.

      Julius Mtatiro
      MICHEZO YA USALAMA WA
      TAIFA ITALIINGIZA TAIFA HILI
      KWENYE MACHAFUKO. NASEMA
      WAZIWAZI KUWA
      WALIOMCHUKUA DR. ULIMBOKA
      NYUMBANI KWAKE NI USALAMA WA TAIFA NA IGP ANAWAJUA,
      NA RAIS ANAJUA MCHEZO WOTE.
      HII MIJIZI NA MIUAJI ISIDHANI
      HATUNA AKILI TIMAMU.
      IKUMBUKWE KUWA VYOMBO
      VYOTE VYA ULINZI NA USALAMA VIKO CHINI YA RAIS
      ALIYECHAGULIWA KWA TIKETI
      YA CCM. KATIKA HILI CCM
      HAWAKWEPI LAWAMA. NA
      KAMA ILIVYOKUWA KWA
      WAKOLONI "CREATING THEIR OWN DESTRUCTION" NA CCM
      INAPITIA NJIA HIYOHIYO.
      INAJICHIMBIA KABURI
      WAZIWAZI.. ONYO TUNALOTAKA
      WATAWALA WALIJUE NI KUWA
      WANAHARAKATI
      HATUTAKUBALI CCM IFE KWA
      NJIA YA KUDHURU, KUTISHA NA
      HATA KUUA WATU. MTINDO HUU UTATUFANYA TUCHUKUE
      MAAMUZI MAGUMU MNO,
      VYOMBO VYA DOLA VISIONE
      TUMEKAA KIMYA, AMANI HII
      NDANI YA TANZANIA
      HAILINDWI NA USALAMA WA TAIFA UCHWARA WASIOJUA
      NANI KALA HELA ZA EPA ILA
      WANAJUA NANI ANAONGOZA
      MADAI YA HAKI YA
      WAFANYAKAZI WA SEKTA
      FULANI. DR ULIMBOKA NA WADAU WOTE
      TUSIKATE TAMAA, MAPAMBANO
      YA KUITENGEZA TANZANIA YA
      WANANCHI NA SIYO YA
      VIONGOZI NA WAHUNI
      WACHACHE NDIO UNASHIKA KASI. TUNAFUATILIA UVUNJAJI HUU
      WA HAKI KWA UKARIBU SANA. JULIUS MTATIRO,
      0717 536 759.

      Updates
      Julius mtatiro akijibu topic kwenye fb anasema...
      Joseph, hujui jambo lolote
      kuhusu mambo hata
      na;michezo hii, nasisitiza hujui
      A, B wala C, mie nazijua,
      nimeishi maisha hayo na
      mimepambana na usalama wa taifa mars nyingi, I know it and
      they know that I
      know.....nimewahi hata
      kupewa kadi ya CCM kwa
      nguvu.....hawa ni wanyama,
      nitakupa uzoefu hapa. Kama hujawahi kutiwa misukosuko
      na hawa wanyama huwezi
      kujua nachoongea. Hata CUF
      ikiongoza dola kesho ,
      madaktari hawapaswi
      kunyimwa haki za msingi. Mie nachojua, anayeua kuna mama
      na watoto na wagonjwa ni
      fisadi na mwizi fulani ambaye
      anadiriki kuficha bilioni 500 nje
      ya nchi, fedha alizowabia
      masikini, fedha ambazo zingewalipa madaktari
      mishahara mizuri....wewe
      unadhani madaktari ndo
      wanaua wagonjwa?..

      2.....usalama
      wanajua....jukumu la kumlinda
      ULIMBOKA lilikuwa mikononi
      mea vyombo vya dola, chochote
      kilichomkuta wanakijua wao.
      Michezo hii ya kitoto una mwisho wake.....jambo lingine
      ni kuwa Mimi ni kiongozi wa
      kawaida wa wanadamu,
      kiongozi mkubwa ni mungu
      peke yake. Na hawa
      wanaojidai kutishia maisha ya ya wenzao ni waoga,
      hawajiamini na wana hofu.
      Wanajua siku moja
      watakufa....tusitishiwe wala
      kutishika, kila mtu atakufa.
      Nasisitiza kuwa waliomteka ULIMBOKA ni usalama wa taifa
      na serikali ya kikwete inajua
      kila kitu. Kama kuna mtu
      anaona nakosea sana kusema
      hata akawaambie usalama
      wake kunifuata pia mie.

      3.Joseph, wakati naongoza vyuo
      vikuu vyote kupitia TAHLISO
      kama katibu mkuu nimekutana
      na mikasa hiyo mara kadhaa,
      serikali hii isiyojiweza inakosa
      NEGOTIATION POWERS na inakimbilia njia nyepesi za
      kuwanyamazisha wanaotetea
      haki ambazo zinatishia uwepo
      wa mashangingi ya wakubwa.
      Sema kwa bahati mbaya
      ULIMBOKA aliji-underestimate sana, aliona ataishi kwa
      usalama tu huku akipigania
      haki za watanzania masikini.
      Kumbe hakuwa na uzoefu
      michezo hii. Wakati fulani
      nikiongoza move ya kutetea wanafunzi masikini wapate
      mikopo kuna vyuo vilikuwa
      vikifungwa kwa migomo kila
      kona, serikali nyepesi ya CCM
      ikaacha kushughulikia utatuzi
      wa mambo ya wanafunzi wakajibidiisha kuuaminisha
      umma kuwa tatizo la vyuo
      vikuu siyo mikopo ila ni mtu
      mmoja au wawili
      wakiongozwa na mtatiro.
      Wakaanza kunisaka kila kona, kila nilipoona usalama wangu u
      hatarini nilijisalimisha kwao
      nikiwa na ndugu au rafiki
      zangu, walishindwa wanifanye
      mini. Ukiwa unaongoza
      harakati kama hizi za ULIMBOKA utapata marafiki
      wengi usalama w taifa,utapata
      wasichana wengi wazuri kama
      malaika ili mradi uwekwe
      kwenye target. Utapigiwa simu
      nyingi na watu uwajuao na usiwajua ilimradi wakuombe
      muonane mahali fulani,
      utabembelezwa na viongozi
      wengi wakuhonge milioni
      kadhaa usaliti mapambano ya
      kudai haki, utaahidiwa kusomeshwa nje, kupewa
      kiwanja au nyumba karibu na
      bahari na hata kuahidiwa vyeo,
      lengo ni uache kuongoza
      mapambano. Sitarajii tena
      kusikia kiongozi yeyote wa mapambano ya kudai haki
      anaitwa mahali na watu
      asiowajua halafu anakwenda
      kirahisi tu. Sitarajii mtu
      anayeongoza mapambano ya
      kudai halo aingie na kula chakula kila mahali bila
      utaratibu. Sitarajii viongozi w
      mapambano wauawe kwenye
      wasichana warembo kama
      malaika wanaotegeshwa ili
      kuzima nuru ya mabadiliko. Ukijua unapambana na serikali
      dhalimu isiyo na "POWER OF
      NEGOTIATION" kwa sababu
      serikali yenyewe ni nyepesi
      lazima utambue maisha yako
      yamo hatarini. Ni lazima hawa wanaotaka kuwaua viongozi
      wa harakati wapate tabu,
      wafunge safari waje
      majumbani, watuulie
      majumbani, au watuteke kwa
      nguvu mbele ya ndugu na kwa nguvu, isiwe kirahisi namna hii.
      Na jambo la mwisho la
      kukumbuka ni kuwa
      WATAWALA
      WANAJIDANGANYA mno, siyo
      rahisi kuikoa serikali nyepesi. Haiwezekani hospitali
      inayotibu wagonjwa elfu
      hamsini haina AMBULANCE
      inayogharimu tzs 20 milioni,
      wakati waziri mmoja ana
      shangingi la milioni 200. Hata ndiyo wanayopigania
      madaktari na tutawaunga
      mkono hadi mwisho.
      Last edited by zubedayo_mchuzi; 27th June 2012 at 22:30.

    19. #276
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 360
      Rep Power : 666
      Likes Received
      70
      Likes Given
      28

      Default Re: Kilichomtokea Dk. Ulimboka ni hiki hapa...

      Quote By mr.dominick
      hizi chochoko za mabwana zako wa kiarabu na kisultani ziwacheni ,hii ni serikali ya kiafrika ya watu weusi na kamwe hatuwezi kuchezewa na vitimbakwiri vya kiarabu na kisultani.

      Tutawashughulikia vizuri hao wenye chapa ya uamsho
      Alishindwa Kaburu Botha na De clerk itakuwa nyie?
      Connect the dots...

    20. #277
      Inanambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 609
      Rep Power : 520
      Likes Received
      97
      Likes Given
      20

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Yale ya OUKO wa Kenya hadi akateketezwa kwa Tindikali. SIAMINI kama nchi hii kuna unyama kama huu. Wahenga walisema ukitaka UBAYA DAI CHAKO: hivyo ndivyo tunavyotattua migogoro kazini? Sasa hizi sheria za KAZI ameandikiwa nani ikiwa tutakimbilia kuangamizana kwa njia kama hii. Pole Dr Ulimboka. Get well Soon.

    21. #278
      SALOK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th September 2011
      Location : Some where!!
      Posts : 1,168
      Rep Power : 620
      Likes Received
      222
      Likes Given
      207

      Default

      Quote By ndibalema
      nadhani wewe tu ndo hujamwelewa mkuu, hebu soma tena hiyo. Anazungumzia ishu ya dr. Ulimboka.
      sote tumeguswa na hili tukio ila heading haijakaa sawa ukilinganisha na content mkuu!

    22. #279
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,120
      Rep Power : 11996
      Likes Received
      2617
      Likes Given
      1583

      Default Olimboka ndani ya channel 10 akielezea alivyo pigwa sasa hivi

      angalia kwani kipindi kinaendelea. Mia
      If you obey all the rules, you miss all the fun.

    23. #280
      Dingswayo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th May 2009
      Location : Tanzania/Europe
      Posts : 2,613
      Rep Power : 5714
      Likes Received
      1038
      Likes Given
      2438

      Default re: A failed assassination plot against Dr. Ulimboka...

      Quote By mopaozi
      Daah yaani ikulu ihusike na upuuzi huu huyu dr ni kainzi tu na hii cyo move ya serikali jamani mko dunia gani nyie cku hz kuna teknolojia km serekale ingetaka kumuondoa kiulaiiiniii angeondoka na ingekuwa poa tu mnaleta za abunuasi hapa
      Wewe unauita upuuzi kwa sababu unataka tuamini kuwa hivyo, lakini unajua fika kuwa si upuuzi. Unamwita Dr. Ulimboka kuwa ni ka nzi, je unajua kuwa mtikisiko tu wa mbawa za kipepeo unaleta matetemeko...tena makubwa? Tafakari!!
      Semper fi!

    24. Study Abroad
    Page 14 of 40 FirstFirst ... 4121314151624 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...