Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 135
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,502
      Rep Power : 46710
      Likes Received
      16358
      Likes Given
      8419

      Default JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Sehemu yake ya pili siwezi kuweka kwa sasa ili kuwaacha polisi wafanye kazi yao na tusije kuinfluence maelezo ya serikali.... Samahani kwa usumbufu wa nakala ya kwanzo ambayo ilikuwa haijahusisha sauti ya Ulimboka...

      SIKILIA UPYA:







      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 27th June 2012 at 20:34.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      inatia hasira sana comrade...njia zilizotumika ni za ajabu na kishenzi kabisa kumuumiza dr ulimboka....
      Mafuluto and sesy nzenga like this.
      I'm Naturaly Evasive..

    4. #3
      OPTIMUS TZ's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2012
      Posts : 390
      Rep Power : 447
      Likes Received
      60
      Likes Given
      1

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Dr ulimboka amekuwa alama ya uovu wa ccm sikumoja ataandikwa kuwa ndio moja ya sababu kuu za waovu hao kuondoka madarakani tunapaswa kujua when you fight an eveil system it will alaways fight back hii ni vita na haitakosa majeruhi ila mwishoni tutaushinda uovu huu

    5. #4
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,970
      Rep Power : 2977
      Likes Received
      471
      Likes Given
      4

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      mbona hamuna kitu?

    6. #5
      Shekispia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Location : Dar es salaam
      Posts : 201
      Rep Power : 405
      Likes Received
      23
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mzee unazeeka vibaya!

    7. Miaka 50

    8. #6
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,466
      Rep Power : 19781
      Likes Received
      4295
      Likes Given
      1229

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mbona sioni maneno

    9. #7
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,974
      Rep Power : 1643
      Likes Received
      1132
      Likes Given
      410

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      hayo maneno (ya dr.) mbona sijayasikia?
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    10. #8
      Elli's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,513
      Rep Power : 0
      Likes Received
      2102
      Likes Given
      1839

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Sijaona kitu mzee mwenzangu

    11. #9
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 3,850
      Rep Power : 6966
      Likes Received
      1999
      Likes Given
      1545

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Sasa wewe mwanakijiji mbona haya ni mawazo yako? Yaani wewe unaiita exclusive halafu unatoa hisia zako? Hayo maneno yako si ungeyaandika tu hapa JF, na ungeeleweka?
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala

    12. #10
      Mkwawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th June 2011
      Location : Kalenga
      Posts : 612
      Rep Power : 3564
      Likes Received
      693
      Likes Given
      386

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mzee sauti ya Dr Ulimboka haipo au ndivyo hivyo tusubiri?? Inasikitisha sana na inatleta uchungu mkubwa sana. Inabidi wananchi sasa tumjue nani adui yetu namba moja. Hatuwezi kuwalipa mishahara halafu watuteke, watupige, watutupe porini ili tufe. Madai ya madaktari kwa kiwango kikubwa ni ya msingi sana na yanajali afya zetu na za hao wanaowafanyia unyama.

      Kama nchi na wananchi tuseme basi imetosha, kama ni haki wapeni haki yao! matumizi ya nguvu za kiusalama, polisi, Jeshi, wahuni au vibaka kutishia ili Madoc warejee kazini haziwezi kututibu sie akina yakhe.
      Nilijitoa mhanga kwa watu wangu; watoeni watawala wadhalimu na mafisadi kwa ustawi wa nchi yetu.

    13. #11
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 455
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Cjackia maneno toka kwa dokta mkuu matokeo yake nimesikia simulizi toka kwako.

    14. #12
      Sizinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2007
      Location : Mars
      Posts : 3,938
      Rep Power : 1432
      Likes Received
      1509
      Likes Given
      1619

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Bado sijaona kitu hapo,,,,,,,,,
      GESI KWANZA KOROSHO BAADAE!!

    15. #13
      JF-MBUNGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 361
      Rep Power : 428
      Likes Received
      123
      Likes Given
      199

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By ruttashobolwa
      mbona sioni maneno
      wakati ana post nae wamemteka kabla dr> ulimbok hajazungumza
      dfreym and OSOKONI like this.

    16. #14
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Location : bukonda moyo
      Posts : 2,158
      Rep Power : 868
      Likes Received
      314
      Likes Given
      719

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Ninapenda ijulikane kuwa usalama wa ma dr. Ipo hatarin na usalama wa uliimboka upo hatarini zaidi kwa hao maadui watapenda kuuficha ukweli

    17. #15
      Mtu Mzima's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Loliondo
      Posts : 360
      Rep Power : 666
      Likes Received
      70
      Likes Given
      28

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Edson
      inatia hasira sana comrade...njia zilizotumika ni za ajabu na kishenzi kabisa kumuumiza dr ulimboka....
      Sirikali ikishapoteza uhalali wa kuongoza huanza mauaji na utawala wa mabavu.
      Connect the dots...

    18. #16
      Nyani Ngabu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 15th May 2006
      Location : Ikungulyabashashi
      Posts : 39,212
      Rep Power : 31383
      Likes Received
      9598
      Likes Given
      683

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Aiseee Mwanakijiji hebu rekebisha bana....halafu unasound kama una hasira....
      m_kishuri and Kimox Kimokole like this.
      Miafrika Ndivyo Tulivyo.

    19. #17
      TIQO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 4,574
      Rep Power : 6846
      Likes Received
      1036
      Likes Given
      131

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Polisi wanawajua wahusika
      Mwisho wa Ubaya Aibu.

    20. #18
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mbona sioni kitu?
      Do Something......

    21. #19
      WAHEED SUDAY's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2011
      Posts : 2,844
      Rep Power : 2970
      Likes Received
      479
      Likes Given
      318

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Nimezinguka ile mbaya baada ya kukuta empty pot

    22. #20
      wimbi la mbele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 646
      Rep Power : 2877
      Likes Received
      235
      Likes Given
      61

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      FJM likes this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...