Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

    Report Post
    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast
    Results 81 to 100 of 135
    1. #1
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,499
      Rep Power : 46709
      Likes Received
      16347
      Likes Given
      8417

      Default JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Sehemu yake ya pili siwezi kuweka kwa sasa ili kuwaacha polisi wafanye kazi yao na tusije kuinfluence maelezo ya serikali.... Samahani kwa usumbufu wa nakala ya kwanzo ambayo ilikuwa haijahusisha sauti ya Ulimboka...

      SIKILIA UPYA:







      Last edited by Mzee Mwanakijiji; 27th June 2012 at 20:34.
      [email protected]
      Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji

    2. FemaTV & Radio

    3. #81
      Liganga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 106
      Rep Power : 628
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Tukio lililomsibu dokta linasikitisha na ni vigumu kushawishi watu kuwa pale katika viwanja vya leaders,

      ambavyo ni hatua chache toka makao makuu ya usalama, kituo cha polisi Oysterbay, kituo cha salendar na

      makao makuu ya Ultimate security, kuwa mtu anaweza kutekwa kirahisi vile bila kuwa na mpango kabambe

      unoshirikisha wadau wa usalama. Maeneo ya kupumzika pale Leaders yako mita 70 toka geti kuu la

      kuingilia. Pia pale getini pana mlinzi, Je ilikuwa ni ngumu kwa wasamalia wema kuweza kuwadhibiti

      watekaji hao
      TITAN likes this.
      Bora daraja kuliko kivuko.

    4. #82
      TITAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th December 2010
      Posts : 253
      Rep Power : 478
      Likes Received
      29
      Likes Given
      41

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Kwakweli awa jamaa kwa mwendo mzima walikuwa wanategemea angefariki Alafu angekuja kupatika badae kabisa, but Mungu mkubwa watu waliyo muokoa wamesaidia kutupatia ushaidi wa kutisha kuwamaliza Serekali, chamsingi ni sisi watanzania tuseme TUMECHOSWA NA UNYANYASAJI. Atuna la zaidi ya Kufanya Maamuzi magumu kwa sasa.
      Sn2139 and Gwaje like this.
      A house divided against itself cannot stand.

    5. #83
      PMNBuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th December 2010
      Posts : 907
      Rep Power : 607
      Likes Received
      120
      Likes Given
      28

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Baniani Mzuri
      Cjackia maneno toka kwa dokta mkuu matokeo yake nimesikia simulizi toka kwako.
      Hujasikiliza hadi mwisho. Huu ni mwanzo wa ukombozi Tanzania. Dr Ulimboka hata akifa leo, ujasiri wake na taaluma yake vitaenziwa vizazi na vizazi.
      ".....development is the growth of thoughts....." Yes. We can!!

    6. #84
      Bakari Maligwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th August 2010
      Location : Morogoro
      Posts : 59
      Rep Power : 455
      Likes Received
      17
      Likes Given
      1

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mwanzoni nilidhani kwamba kazi ya "AKILI" inahitaji watu wenye akili nyingi sana; kinyume chake, ni waoga kama MBWA KOKO na vilaza wasiyojua wafanyalo! Ebo, sipati picha...ati kwa kumtesa na kutaka kumuua Dkt. Ulimboka walidhani watawatisha MADAKTARI waache mgomo na warejee kazini, siyo?!

      Angalia sasa...kitendo cha kijinga na cha kiwendawazimu kimesababisha madaktari na wauguzi kutumia SIKU NZIMA ya JUMATANO kumhudumia DKT. ULIMBOKA na hata kumpa HESHIMA ya mpiganaji (anayefia kazi yake) huu ni ujinga nambari wahedi kwa kada ya AKILI na KANZU-KOFIA wanaoacha kufanyakazi ya kutumia akili (nyingi kama lilivyo jina la AKILI) badala yake wanafanyakazi kwa kutumia "MITULINGA" kama enzi zile za watu wa darasa la pili na wale wachakachuaji wenye vyeti vya "wizi" na majambazi wa elimu...!

      Sikutegemea kama Tanzania tunakwenda kama enzi za kupotea kwa akina Kassim Hanga (aliyepotea enzi za Karume Baba)...au kama alivyouwawa Robert Ouko; au mauwaji ya Dkt Nicas Mahinda (aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda)...hivi, kwa mwendo huu AKILI mbona wanakuwa kama....!

      Kwa bahati mbaya sana; DKT. ULIMBOKA ni mzima, na angalau ameweza kuzungumza na baadhi ya vyombo vya habari (pamoja na TBC) jinsi alivyochukuliwa na hata alivyofanywa! Nadhani hapa ndipo tunapoweza kupata "picha" ya nini ni wazimu na kipi ni wendawazimu! Kama ikiwa bahati nzuri...basi waliyefanya unyama ule watajulikana (walidhani DKT. ULIMBOKA) amekufa...!

      Masikini; ati wanawatisha madaktari kwa kumtesa na kutaka kumuua KIONGOZI wao...!? Sidhani, kama mwanzo basi NGOMA bado mbichi...muda utazungumza.

    7. #85
      Liganga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 106
      Rep Power : 628
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mora ampe nguvu na namwombea dokta apone mapema.

      Kama waasisi wa hili tukio ni sehemu ya utawala

      basi leo hii 27/06/2012 unabii wa J. Mnyika umedhiirika

      kweli UDHAIFU ni mkubwa. Sirikali yenye baraza la mawaziri

      na vyombo mbalimbali vya kushughulika na kero za raia wake leo

      inatetemeshwa na raia mmoja, tena asiyekuwa hata na bisibisi

      bali hekima na kipawa cha kutetea haki.

      UDHAIFU umedhiirika
      Bora daraja kuliko kivuko.

    8. Miaka 50

    9. #86
      Chintu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2011
      Posts : 701
      Rep Power : 560
      Likes Received
      268
      Likes Given
      307

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Sun Tzu
      Wabongo bwana kila kitu siasa! huyu jamaa kachukuwa kipigo pointers zote zinaenda kwenye siasa. je kama anadaiwa au kachukuwa mke au girlfriend wa mtu au wale ambao ndugu zao walikufa kwenye mgomo wa kwanza wakaamua kuchukuwa sheria mikononi kwani tunakimbilia kutoa hukumu kabla polisi na sheria kufanya kazi yake. hii nchi ina kazi kweli kweli. Hivi ni watu wangapi walikufa wakati wa migomi ya madaktari? Nauliza tu!
      sheria mkononi wanatakiwa kuchukua dhidi ya serikali na sio madaktari. maana si wangeleta madaktari wa kichina kama walivyoahidi? Ni wajibu wa serikali kutoa huduma ya afya na si wa madaktari. ndio maana serikali ilsema italeta madaktari wa kichina.

    10. #87
      chama's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th August 2010
      Posts : 4,889
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1160
      Likes Given
      910

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Mwanakijiji
      Tupe update kila inapobidi inasikitisha sana

      Chama
      Gongo la Mboto DSM

    11. #88
      REMSA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th January 2012
      Posts : 1,479
      Rep Power : 858
      Likes Received
      458
      Likes Given
      755

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Jamani mimi mbona nimefungua na kusikia sauti ya ulimboka,nafikiri tatizo ni Michina mnayotumia.

    12. #89
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,401
      Rep Power : 7349
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1092

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Aisee....ni hatari.mmm vp hawa jamaa watakimbilia kutrace simu ya dr SM ili kukubaini kumbe umetumia chip unregistered....chenga ya mwili
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    13. #90
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By FJM
      Steve Biko! Shocking!
      Steve Biko anayechochea umauti wa watz wenzake tena mafukara ..shocking!
      inapotokea fisi kula swala ni sawa, ila akitokea mbabe kuliko fisi akataka kufanya vilevile inakua kosa. senti.
      Sun Tzu likes this.
      Moola's the motive

    14. #91
      Kuntakint's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th September 2011
      Posts : 303
      Rep Power : 447
      Likes Received
      78
      Likes Given
      1

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Asante mkijiji inatia uchungu sana. Hivi nyie mnaosema hakuna kitu sikiliza toka mwanzo hadi mwisho sio mnasikiliza mwanzoni halafu mnaanza kulaumu. Dr Ulimboka sauti yake inasikika anasema alivyopigwa nakupelekwa kwenye nyumba nzuri ila haitambui ni sehemu gani kwa vile alifungwa kitambaa cheusi usoni. Jamani tumshukuru mkjj kwa video yake hii.

      Ila serikali imechoka na leo wametoa tamko Bungeni kuwa kesho litakalokuwa na liwe. Hili neno lina maana nyingi na wanaposema hivyo ujue kwamba 2015 kuachia ngazi kwa ccmafisi itakuwa ngoma yaani tutmwaga damu kama yaliyotokea kenya. Kama mgomo tu wa Madakatari ndio hivi. Itkuwaje kwa chama cha ccmafisi kuondolewa madarakani.

      Hivyo Watanganyika wote tujiandae kwa kuwaondoa kwa kura na wakikataa kwa njia ya kura basi tutamwaga damu. Ila hatutakubali tena kutawaliwa na ccmafisi. Akina sijui nchemba wanasema wao na wanauchumi makini wa BOT ilikuwaje pesa zikaibiwa BOT.

      Hivi hizi pesa za EPA, MEREMETA,TANGOLD, RADA, Ritchmond zingedhibitiwa na kulipwa madaktari, walimu hivi leo hii madakatari wangegoma. Matokeo yake wezi walimbiwa rudisheni. Akina Mramba, Yona, Mngoja, Chenge, Rostam, Lowassa wanadunda mitaani na tunawaabudu halafu useme kuwa serikali ya ccmafisi ni wasikivu. Yana mwisho na mwisho wao 2015.
      Jakubumba likes this.

    15. FJM
      #92
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,170
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5318
      Likes Given
      4585

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Abdulhalim
      Steve Biko anayechochea umauti wa watz wenzake tena mafukara ..shocking!
      inapotokea fisi kula swala ni sawa, ila akitokea mbabe kuliko fisi akataka kufanya vilevile inakua kosa. senti.
      Ni vigumu kuamini Tanzania tuna watu wanye ujasiri wa kutetea kilichotokea!

    16. #93
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By FJM
      Ni vigumu kuamini Tanzania tuna watu wanye ujasiri wa kutetea kilichotokea!
      ikibidi mtu mmoja hata asiye na hatia aonje mauti ili kulinusuru taifa, we call it JUSTIFIED. kila serikali duniani inafanyaga kaa hujui.
      Moola's the motive

    17. GP
      #94
      GP's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2009
      Location : every where
      Posts : 1,951
      Rep Power : 918
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Kaka Sam
      hakuna sauti ya dr ulimboka hata kidogo, sasa MK tusubirie hicho kipande cha pili mpaka lini? okey ngoja tuwe na subira
      mbona jamani sauti ya dr imesikika mwishoni kabisa? mimi nimeisikia na inasikika sauti ya kike mwishoni kabisa nadhani ni yule mama kijo bisimba

    18. #95
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Hamna lolote zaidi ya majungu, Ulimboka kaoneshwa live anaongea kweny TBC na kakaa ingawa kavimba sana uso kwa kichapo lakini alikuwa anaongea mwenyewe, sasa leo tena hili ya kuletewa sauti za watu wengine kusema Ulimboka kama si unafik ni nini.
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #96
      Mlyafinono's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 131
      Rep Power : 385
      Likes Received
      42
      Likes Given
      1

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Hii haikubaliki,damu ya mwanafyale haiwezi kumwagika bure

    20. #97
      Chamoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 1,381
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      478
      Likes Given
      355

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Da hii inatisha aise
      If numbers are not beautiful, I don't know what is. - Paul Erdős

    21. #98
      Unstoppable's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Posts : 940
      Rep Power : 612
      Likes Received
      330
      Likes Given
      2041

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Abdulhalim
      Steve Biko anayechochea umauti wa watz wenzake tena mafukara ..shocking!
      inapotokea fisi kula swala ni sawa, ila akitokea mbabe kuliko fisi akataka kufanya vilevile inakua kosa. senti.
      Kwahiyo ni sawa JK na serikali yake kuendelea kula bata (e.g. kutibiwa nje, kuchota fedha za walala hoi) wakati watanzania waliowengi wanaendelea kuteseka including madaktari?

    22. #99
      Abdulhalim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2007
      Location : Taipei 101
      Posts : 15,740
      Rep Power : 3770
      Likes Received
      1200
      Likes Given
      559

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      Quote By Unstoppable
      Kwahiyo ni sawa JK na serikali yake kuendelea kula bata (e.g. kutibiwa nje, kuchota fedha za walala hoi) wakati watanzania waliowengi wanaendelea kuteseka including madaktari?
      kwa hiyo ni sawa madaktari kuwakomoa mafukara wanaotegemea solely hospitali za serikali kisa JK na serikali yake wanakula bata pamoja na uchafu wake?
      Ogah likes this.
      Moola's the motive

    23. #100
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Re: JF Exclusive: Dr. Ulimboka kwa maneno yake mwenyewe * Dakika chache baada ya mateso *

      TBC sikusikia wakigusia taarifa hii, kuna yeyote aliyewasikia.

      JF Mbele zaidi.

      Kiganyi.
      WoTePaMoJa - ---------------

    Page 5 of 7 FirstFirst ... 34567 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...