Sehemu yake ya pili siwezi kuweka kwa sasa ili kuwaacha polisi wafanye kazi yao na tusije kuinfluence maelezo ya serikali.... Samahani kwa usumbufu wa nakala ya kwanzo ambayo ilikuwa haijahusisha sauti ya Ulimboka...
SIKILIA UPYA:
Sehemu yake ya pili siwezi kuweka kwa sasa ili kuwaacha polisi wafanye kazi yao na tusije kuinfluence maelezo ya serikali.... Samahani kwa usumbufu wa nakala ya kwanzo ambayo ilikuwa haijahusisha sauti ya Ulimboka...
SIKILIA UPYA:
Last edited by Mzee Mwanakijiji; 27th June 2012 at 20:34.
[email protected]
Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji
Tukio lililomsibu dokta linasikitisha na ni vigumu kushawishi watu kuwa pale katika viwanja vya leaders,
ambavyo ni hatua chache toka makao makuu ya usalama, kituo cha polisi Oysterbay, kituo cha salendar na
makao makuu ya Ultimate security, kuwa mtu anaweza kutekwa kirahisi vile bila kuwa na mpango kabambe
unoshirikisha wadau wa usalama. Maeneo ya kupumzika pale Leaders yako mita 70 toka geti kuu la
kuingilia. Pia pale getini pana mlinzi, Je ilikuwa ni ngumu kwa wasamalia wema kuweza kuwadhibiti
watekaji hao
Bora daraja kuliko kivuko.
Kwakweli awa jamaa kwa mwendo mzima walikuwa wanategemea angefariki Alafu angekuja kupatika badae kabisa, but Mungu mkubwa watu waliyo muokoa wamesaidia kutupatia ushaidi wa kutisha kuwamaliza Serekali, chamsingi ni sisi watanzania tuseme TUMECHOSWA NA UNYANYASAJI. Atuna la zaidi ya Kufanya Maamuzi magumu kwa sasa.
A house divided against itself cannot stand.
".....development is the growth of thoughts....." Yes. We can!!
Mwanzoni nilidhani kwamba kazi ya "AKILI" inahitaji watu wenye akili nyingi sana; kinyume chake, ni waoga kama MBWA KOKO na vilaza wasiyojua wafanyalo! Ebo, sipati picha...ati kwa kumtesa na kutaka kumuua Dkt. Ulimboka walidhani watawatisha MADAKTARI waache mgomo na warejee kazini, siyo?!
Angalia sasa...kitendo cha kijinga na cha kiwendawazimu kimesababisha madaktari na wauguzi kutumia SIKU NZIMA ya JUMATANO kumhudumia DKT. ULIMBOKA na hata kumpa HESHIMA ya mpiganaji (anayefia kazi yake) huu ni ujinga nambari wahedi kwa kada ya AKILI na KANZU-KOFIA wanaoacha kufanyakazi ya kutumia akili (nyingi kama lilivyo jina la AKILI) badala yake wanafanyakazi kwa kutumia "MITULINGA" kama enzi zile za watu wa darasa la pili na wale wachakachuaji wenye vyeti vya "wizi" na majambazi wa elimu...!
Sikutegemea kama Tanzania tunakwenda kama enzi za kupotea kwa akina Kassim Hanga (aliyepotea enzi za Karume Baba)...au kama alivyouwawa Robert Ouko; au mauwaji ya Dkt Nicas Mahinda (aliyewahi kuwa Waziri wa Viwanda)...hivi, kwa mwendo huu AKILI mbona wanakuwa kama....!
Kwa bahati mbaya sana; DKT. ULIMBOKA ni mzima, na angalau ameweza kuzungumza na baadhi ya vyombo vya habari (pamoja na TBC) jinsi alivyochukuliwa na hata alivyofanywa! Nadhani hapa ndipo tunapoweza kupata "picha" ya nini ni wazimu na kipi ni wendawazimu! Kama ikiwa bahati nzuri...basi waliyefanya unyama ule watajulikana (walidhani DKT. ULIMBOKA) amekufa...!
Masikini; ati wanawatisha madaktari kwa kumtesa na kutaka kumuua KIONGOZI wao...!? Sidhani, kama mwanzo basi NGOMA bado mbichi...muda utazungumza.
Mora ampe nguvu na namwombea dokta apone mapema.
Kama waasisi wa hili tukio ni sehemu ya utawala
basi leo hii 27/06/2012 unabii wa J. Mnyika umedhiirika
kweli UDHAIFU ni mkubwa. Sirikali yenye baraza la mawaziri
na vyombo mbalimbali vya kushughulika na kero za raia wake leo
inatetemeshwa na raia mmoja, tena asiyekuwa hata na bisibisi
bali hekima na kipawa cha kutetea haki.
UDHAIFU umedhiirika
Bora daraja kuliko kivuko.
Mwanakijiji
Tupe update kila inapobidi inasikitisha sana
Chama
Gongo la Mboto DSM
Jamani mimi mbona nimefungua na kusikia sauti ya ulimboka,nafikiri tatizo ni Michina mnayotumia.
Aisee....ni hatari.mmm vp hawa jamaa watakimbilia kutrace simu ya dr SM ili kukubaini kumbe umetumia chip unregistered....chenga ya mwili
Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!
Moola's the motive
Asante mkijiji inatia uchungu sana. Hivi nyie mnaosema hakuna kitu sikiliza toka mwanzo hadi mwisho sio mnasikiliza mwanzoni halafu mnaanza kulaumu. Dr Ulimboka sauti yake inasikika anasema alivyopigwa nakupelekwa kwenye nyumba nzuri ila haitambui ni sehemu gani kwa vile alifungwa kitambaa cheusi usoni. Jamani tumshukuru mkjj kwa video yake hii.
Ila serikali imechoka na leo wametoa tamko Bungeni kuwa kesho litakalokuwa na liwe. Hili neno lina maana nyingi na wanaposema hivyo ujue kwamba 2015 kuachia ngazi kwa ccmafisi itakuwa ngoma yaani tutmwaga damu kama yaliyotokea kenya. Kama mgomo tu wa Madakatari ndio hivi. Itkuwaje kwa chama cha ccmafisi kuondolewa madarakani.
Hivyo Watanganyika wote tujiandae kwa kuwaondoa kwa kura na wakikataa kwa njia ya kura basi tutamwaga damu. Ila hatutakubali tena kutawaliwa na ccmafisi. Akina sijui nchemba wanasema wao na wanauchumi makini wa BOT ilikuwaje pesa zikaibiwa BOT.
Hivi hizi pesa za EPA, MEREMETA,TANGOLD, RADA, Ritchmond zingedhibitiwa na kulipwa madaktari, walimu hivi leo hii madakatari wangegoma. Matokeo yake wezi walimbiwa rudisheni. Akina Mramba, Yona, Mngoja, Chenge, Rostam, Lowassa wanadunda mitaani na tunawaabudu halafu useme kuwa serikali ya ccmafisi ni wasikivu. Yana mwisho na mwisho wao 2015.
Hamna lolote zaidi ya majungu, Ulimboka kaoneshwa live anaongea kweny TBC na kakaa ingawa kavimba sana uso kwa kichapo lakini alikuwa anaongea mwenyewe, sasa leo tena hili ya kuletewa sauti za watu wengine kusema Ulimboka kama si unafik ni nini.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Hii haikubaliki,damu ya mwanafyale haiwezi kumwagika bure
Da hii inatisha aise
If numbers are not beautiful, I don't know what is. - Paul Erdős
TBC sikusikia wakigusia taarifa hii, kuna yeyote aliyewasikia.
JF Mbele zaidi.
Kiganyi.
WoTePaMoJa - ---------------
Follow Us Here