Sehemu yake ya pili siwezi kuweka kwa sasa ili kuwaacha polisi wafanye kazi yao na tusije kuinfluence maelezo ya serikali.... Samahani kwa usumbufu wa nakala ya kwanzo ambayo ilikuwa haijahusisha sauti ya Ulimboka...
SIKILIA UPYA:
Sehemu yake ya pili siwezi kuweka kwa sasa ili kuwaacha polisi wafanye kazi yao na tusije kuinfluence maelezo ya serikali.... Samahani kwa usumbufu wa nakala ya kwanzo ambayo ilikuwa haijahusisha sauti ya Ulimboka...
SIKILIA UPYA:
Last edited by Mzee Mwanakijiji; 27th June 2012 at 20:34.
Kwa maelezo ya Dr. Ulimboka serikali hapa haichomoki MATESLAA
Life without problems never make a strong and good person!
Kwa maelezo ya Dr. Ulimboka serikali hapa haichomoki MATESLAA
Life without problems never make a strong and good person!
Mzee Mwanakijiji mbona sioni kitu hapa!!! Au jina lako limeanza kuendana na mwenendo wako kwa ujumla!?
Kwa watumiaji wa simu ambao hamuwezi kuona link hapo juu bofyeni HAPA Ili nanyi mpate fulsa ya kusikia kile tulicho sikia.
Nope! He is alive,seen him five minutes ago!
Never Get Angry; Never Make Threat; Reason With People;
"Napenda the logic of the words because in some ways it says about individual-not to use emotions-when scrutinizing something, whether it involves you or not" ...-by AshaDiii @ Jamiiforums 26th July 2011.
In the end we will reap what we have sown...tumezoea kuvuna pale tusipopanda na kufanya ni mazoea sasa
We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
Ralph Waldo Emerson
Neno la mungu linasema ukipiga mchungaji utatawanya kondoo je kwa hili inawezekana kondoo hawa kutawanyika?
Tunamwombea apone upesi......serikali ya JK haimtaki ila familia yake pamoja na wapenda mabadiliko bado tuna/wana muhitaji sana!
Life without problems never make a strong and good person!
Wabongo bwana,
Kila kitu siasa! huyu jamaa kachukuwa kipigo pointers zote zinaenda kwenye siasa. Je kama anadaiwa, kachukuwa mke au girlfriend wa mtu? Je haiwezekani wale ambao ndugu zao walikufa kwenye mgomo aliouchochea kwanza wakaamua kuchukuwa sheria mikononi na kulipiza kisasa! Je kwanini tunakimbilia kutoa hukumu kabla polisi na sheria kufanya kazi yake. hii nchi ina kazi kweli kweli. Hivi ni watu wangapi walikufa wakati wa migomi ya madaktari? Nauliza tu!
Last edited by Sun Tzu; 28th June 2012 at 09:55.
"In time of war, when truth is so precious, it must be protected by a bodyguard of lies." Winston Churchill
Yaani mimi nimekosa raha kabisa, hili linaweza kumtokea yeyote yule kisa kudai haki ambayo anaona anastahili au kukosoa utendaji wa hii Serikali ya wauaji.. Wanataka kuua mtu kwa kudai haki za madaktari tu!!! Hii Serikali haistahili kuendelea kuwepo madarakani.
Waungwana huyu mwenzetu na familia yake wanahitaji msaada wa kuweza kumuuguza. Naomba kutoa wazo ili uanzishwe mchango wa kumsaidia Dr Ulimboka.
Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action
Hiko wapi intelijensia ya Saidi Mwema??
Au ilibaki Arusha??
Bora daraja kuliko kivuko.
Kwa nini hii intelijensia ya jeshi la polisi
huwa inafanyakazi kunapoitishwa maandamano tu??
Nakumbuka zamani hapo jijini Dar, ilikuwa ni desturi kwa askari polisi kufika eneo la tukio punde
majambazi yanapokuwa yameiba na kupotea. Hata utoe taarifa mapema vipi, daima wao walichelewa
lakini baadae mchezo ulibumbuluka kuwa kulikuwa nakaushirikiano fulani baina ya pande hizi mbili
na kunakipindi silaha moja iliotumika katika tukio ilikuwa ni ya kutoka kwenye majeshi yetu
Bora daraja kuliko kivuko.
Follow Us Here