Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 65
    1. #1
      shykwanza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th November 2011
      Posts : 157
      Rep Power : 409
      Likes Received
      30
      Likes Given
      4

      Default Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Uongozi wa kamati maalum ya kudai haki na maslahi ya walimu kupitia CWT- Chipolopolo; kwa huzuni kabisa tunapenda kuutanfazia Umma kuwa tarehe 01/07/2012 siku ya Jumatatu Walimu wote wa shule za sekondari na shule za Msingi wanakwenda kuanza mgomo wa siku tano kuishinikiza Serikali kuongeza mishahara ya Walimu kuendena na gharama za maisha na inflation. ( Katika mgomo huu walimu wote mnapaswa kushiriki pasipo uoga wowote kwani kwa pamoja tunaweza)

      Maombi maalum
      1. Tunawaomba wanafunzi wote wa sekondari na msingi wa tuunge mkono kwa siku tano hizo
      2. Wazazi wote na wadau wa elimu tunaomba mtuunge mkono katika mgomo wetu ili kuboresha elimu ya watoto wetu
      3. Likizo za wanafunzi zitanza kati ya tarehe 7 au 9 Julai hivyo huataathiri mgomo huu
      4. Mgomo usio na kikomo kama serikali dhaifu itaendelea kuwa jeuri utafanyika tarehe 16/08/2012 kama ulivyopangwa lakini huu wa tarehe 1/7/2012 ni Pre mgomo kabla shule hazijafungwa na wanafunzi hawajamaliza mitihani na kupata matokeo yao


      Walimu tunawajibu wakuitoa ujinga serikali kwa kushiriki mgomo huu pamoja twaweza

      Upadate
      1.kama Mgomo hautafanikiwa Walimu wote hawatashiriki kutoa na kusahisha mitihani ya nusu muhula ya kwanza
      2.Walimu wote kutoshiriki zoezi la sensa ya Watu na Makazi kama wakusanya takwimu
      Last edited by shykwanza; 27th June 2012 at 17:53.
      Walimu tunawajibu wa kuitoa ujinga Serikali dhaifu

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,636
      Rep Power : 961
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Mbona taarifa yenyewe ina makosa ya kiuhariri?

      Plz be serious.

    4. #3
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4303
      Likes Given
      1248

      Default re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Sasa mbona ni siku tano tu! Acheni uoga bhana!

      Semeni mtaanza mgomo usio na kikomo.

      Siku tano mambo yenu yasipo sikilizwa mtarudi darasani?

    5. #4
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,484
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4303
      Likes Given
      1248

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Sasa mbona ni siku tano tu! Acheni uoga bhana!

      Semeni mtaanza mgomo usio na kikomo.

      Kumbe mnagoma kwa siku tano tu:

      Siku tano mambo yenu yasipo sikilizwa mtarudi darasani?

    6. #5
      sesy nzenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 372
      Likes Received
      11
      Likes Given
      94

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      source please

    7. Miaka 50

    8. #6
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 455
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Ya kweli haya

    9. #7
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Mgomo wa siku tano ni mgomo w a aina gani?upumbavu wa cwt toeni hapa

    10. #8
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By ruttashobolwa
      Sasa mbona ni siku tano tu! Acheni uoga bhana!

      Semeni mtaanza mgomo usio na kikomo.

      Siku tano mambo yenu yasipo sikilizwa mtarudi darasani?
      Waigizaji hawa kaka

    11. #9
      MotoYaMbongo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,290
      Rep Power : 0
      Likes Received
      146
      Likes Given
      0

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Tarehe 1/07 shule nyingine zitakuwa bado zimefungwa likizo fupi, sasa ndo inakuwaje?

    12. #10
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By MANGUNGO
      Mgomo wa siku tano ni mgomo w a aina gani?upumbavu wa cwt toeni hapa
      Pamoja

    13. #11
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By MotoYaMbongo
      Tarehe 1/07 shule nyingine zitakuwa bado zimefungwa likizo fupi, sasa ndo inakuwaje?
      Jamani shule zinafunguliwa tarehe 9

    14. #12
      MATESLAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : KINONDONI STUDIO
      Posts : 1,252
      Rep Power : 644
      Likes Received
      62
      Likes Given
      32

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      huna lolote **** wewe sema mgomo hauna kikomo mpaka kieleweke
      NAZI AIMENYWI ....INAKUNWA

    15. #13
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,989
      Rep Power : 1646
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      414

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Quote By shykwanza
      Uongozi wa kamati maalum ya kudai haki na maslahi ya walimu kupitia CWT- Chipolopolo; kwa huzuni kabisa tunapenda kuutanfazia Umma kuwa tarehe 01/07/2012 siku ya Jumatatu Walimu wote wa shule za sekondari na shule za Msingi wanakwenda kuanza mgomo wa siku tano kuishinikiza Serikali kuongeza mishahara ya Walimu kuendena na gharama za maisha na inflation. ( Katika mgomo huu walimu wote mnapaswa kushiriki pasipo uoga wowote kwani kwa pamoja tunaweza)

      Maombi maalum
      1. Tunawaomba wanafunzi wote wa sekondari na msingi wa tuunge mkono kwa siku tano hizo
      2. Wazazi wote na wadau wa elimu tunaomba mtuunge mkono katika mgomo wetu ili kuboresha elimu ya watoto wetu


      Walimu tunawajibu wakuitoa ujinga serikali kwa kushiriki mgomo huu pamoja twaweza
      walimu wa ccm wakigoma nitakuwa "Verified User"
      Last edited by Ng'wanangwa; 28th June 2012 at 14:53.
      Madela Wa- Madilu likes this.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    16. #14
      Mjanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Location : "MWILINI MWANGU"
      Posts : 784
      Rep Power : 575
      Likes Received
      108
      Likes Given
      22

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      CWT hacheni kuchezea akili za watanzania! Mgomo siyo ngoma ya kitoto!
      hizo tarehee zenu shule nyingi za secondary zitakuwa likizo!
      CWT inawahadaa waalimu! hamna kitu hapo..teeeeeeeeeeeeeeh!

      Quote By shykwanza
      Uongozi wa kamati maalum ya kudai haki na maslahi ya walimu kupitia CWT- Chipolopolo; kwa huzuni kabisa tunapenda kuutanfazia Umma kuwa tarehe 01/07/2012 siku ya Jumatatu Walimu wote wa shule za sekondari na shule za Msingi wanakwenda kuanza mgomo wa siku tano kuishinikiza Serikali kuongeza mishahara ya Walimu kuendena na gharama za maisha na inflation. ( Katika mgomo huu walimu wote mnapaswa kushiriki pasipo uoga wowote kwani kwa pamoja tunaweza)

      Maombi maalum
      1. Tunawaomba wanafunzi wote wa sekondari na msingi wa tuunge mkono kwa siku tano hizo
      2. Wazazi wote na wadau wa elimu tunaomba mtuunge mkono katika mgomo wetu ili kuboresha elimu ya watoto wetu


      Walimu tunawajibu wakuitoa ujinga serikali kwa kushiriki mgomo huu pamoja twaweza
      "A broken heart won't heal if you keep on giving it to the same person that broke it"


    17. #15
      Likwanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th June 2011
      Location : Dar Es Salaam
      Posts : 2,519
      Rep Power : 905
      Likes Received
      517
      Likes Given
      74

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Halafu muda huu wanafunzi hawapo rikizo kweli?

    18. #16
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 15,232
      Rep Power : 31319
      Likes Received
      7541
      Likes Given
      7605

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Bahati mbaya sana bajeti mama imepitishwa

    19. #17
      Baba Collin's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2011
      Posts : 441
      Rep Power : 483
      Likes Received
      58
      Likes Given
      18

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      shule zimefungwa

    20. #18
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 484
      Rep Power : 464
      Likes Received
      77
      Likes Given
      0

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Mbona hizo tarehe za mgomo ni za likizo mpaka tarehe 10.7

    21. #19
      shykwanza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th November 2011
      Posts : 157
      Rep Power : 409
      Likes Received
      30
      Likes Given
      4

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      Mgomo utahusisha pia kutokusahisha mitihani ya wanafunzi na kutoa matokeo ya muhula wa kwanza
      Walimu tunawajibu wa kuitoa ujinga Serikali dhaifu

    22. #20
      Mpatanishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2011
      Location : Sinza Dar es salaam
      Posts : 1,426
      Rep Power : 9195
      Likes Received
      253
      Likes Given
      52

      Default Re: Walimu wote kuanza Mgomo Jumatatu Tarehe 01/07/2012

      acha upuuzi shule zimefungwa. Kufunguliwa ni tar 9/7.

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...