Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 44
    1. #1
      Head teacher's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 485
      Likes Received
      124
      Likes Given
      6

      Default Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Nimeanza kuingiwa na hofu juu ya usalama wa wananchi wazalendo wanao pigania haki na rasilimali za watanzania dhidi ya watawala wa CCM walioinyonya nchi yetu kuliko wakoloni weupe walivyotuibia.
      Madai ya madaktari ni ya msingi kabisa, kwa mfano kwa zaidi ya miezi 7 hospitali ya muhimbili haina CT scan, gharama ya kununua CT scan ni kama shilingi milion 250 tu. Serikali, kama isingekuwa dhaifu ingeweza kuahirisha safari moja tu ya Rais, badala yake aende waziri, fedha za safari zingetumika kununua vifaa vya hospitali. Mpango wa kumuangamiza Ulimboka unatia shaka zaidi kwamba Serikali yetu si tu dhaifu bali na ni goigoi, na iliyoishiwa fikra. Mhe. Mnyika aliposema rais DHAIFU, CCM puuzi, nilikuwa napingana naye. Lakini sasa si tu kwamba nakubaliana na Mnyika bali namtahadharisha Mhe Mnyika kuishi kwa uangalifu mkubwa. Tena ikibidi atafute walinzi wasiopungua SITA wenye weledi mkubwa wa ulinzi

    2. Miaka 50

    3. #21
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Quote By zomba
      Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
      UKiwa na system yenye vilaza na darasa la saba yote yanawezekana
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    4. #22
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,906
      Rep Power : 952
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Quote By Mandingo
      Weeeeeh!thubutuuuuuu!
      Hivi SMG inauzwa wapi vile????
      Wasiliana na Adam Malima !
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    5. #23
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,474
      Rep Power : 6167
      Likes Received
      3042
      Likes Given
      1016

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Siasa za nchi chochote chaweza kufanywa na yeyote ili kujinufaisha kisiasa. Inachoweza kufanya serikali ni kufanywa uchunguzi na kuwabaini waliofanya jambo hili. Na hakika serikali ina mkono mrefu hao watu watatiwa tu nguvuni muda si mrefu na tutapata kujua ukweli na huo ukweli utatuweka huru.
      zomba likes this.

    6. #24
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,500
      Rep Power : 2079
      Likes Received
      1064
      Likes Given
      1569

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Despair and frustration will not shake our belief that the resistance is the only way of liberation.


      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    7. #25
      Mbugi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2011
      Location : BOX 2063 MBEYA
      Posts : 810
      Rep Power : 586
      Likes Received
      82
      Likes Given
      12

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      kwani myika ana mshiko gani kwa mafisadi? wakati ni mwenzao tu?

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      admiral elect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 394
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Come what may! (liwalo na liwe!), mnyika endeleza mapambano hata ukifa utaishi tena maana hawa wanaua mwili tu.aidha kiukweli mnyika mdogo wangu take care maana hawa jamaa hawana dini walimua rwegasira, kombe,kolimba n.k. Sembuse wewe?
      Ushauri kwa pinda: Mzee wa kamati kuu a.ka.mzee wa liwalo na liwe, imefika wakati muafaka wa wewe kumuandika rais kuomba kuachia ngazi,maana huko tuendako ni kubaya.usije ukasema sikukwambia!
      THE WAVES AND THE WINDS ARE ALWAYS ON THE SIDE OF THE ABLEST NAVIGATORS

    10. #27
      KISWAHILI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th April 2012
      Posts : 83
      Rep Power : 372
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Liwalo na liwe

    11. #28
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,654
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Kila kilicho na Pumzi kitaonja Mauti hata hao maharamia waliotumwa kufanya unyama huo kwa Malafyale Dr Steven Ulimboka nao watakufa 2, Then kuwa mtanzania kwa hali ilivyo mbaya na ya hovyo hakuna aliesalama. Ni Mungu 2 anaetulinda na si ccm na Serikali Dhaifu, Kila eneo watu wanalalamika ccm imekufa.
      Quote By Head teacher
      Nimeanza kuingiwa na hofu juu ya usalama wa wananchi wazalendo wanao pigania haki na rasilimali za watanzania dhidi ya watawala wa CCM walioinyonya nchi yetu kuliko wakoloni weupe walivyotuibia.
      Madai ya madaktari ni ya msingi kabisa, kwa mfano kwa zaidi ya miezi 7 hospitali ya muhimbili haina CT scan, gharama ya kununua CT scan ni kama shilingi milion 250 tu. Serikali, kama isingekuwa dhaifu ingeweza kuahirisha safari moja tu ya Rais, badala yake aende waziri, fedha za safari zingetumika kununua vifaa vya hospitali. Mpango wa kumuangamiza Ulimboka unatia shaka zaidi kwamba Serikali yetu si tu dhaifu bali na ni goigoi, na iliyoishiwa fikra. Mhe. Mnyika aliposema rais DHAIFU, CCM puuzi, nilikuwa napingana naye. Lakini sasa si tu kwamba nakubaliana na Mnyika bali namtahadharisha Mhe Mnyika kuishi kwa uangalifu mkubwa. Tena ikibidi atafute walinzi wasiopungua SITA wenye weledi mkubwa wa ulinzi

    12. #29
      admiral elect's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th November 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 394
      Likes Received
      26
      Likes Given
      2

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Quote By Kimbunga
      Siasa za nchi chochote chaweza kufanywa na yeyote ili kujinufaisha kisiasa. Inachoweza kufanya serikali ni kufanywa uchunguzi na kuwabaini waliofanya jambo hili. Na hakika serikali ina mkono mrefu hao watu watatiwa tu nguvuni muda si mrefu na tutapata kujua ukweli na huo ukweli utatuweka huru.
      Mkuu nilikuwa naamini kwa kupiga gwanda la kikamanda,unajua angalau kidogo mambo ya ulinzi na kuimarisha usalama.
      kwenye ulinzi kuna kitu kinaitwa defending by attacking and attacking by defending! jifunze hiyo utaelewa watu wanachosema.NB hii si ile ya kwenye football,usichanganye
      THE WAVES AND THE WINDS ARE ALWAYS ON THE SIDE OF THE ABLEST NAVIGATORS

    13. #30
      Emilia's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 245
      Rep Power : 432
      Likes Received
      74
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Communist
      Wako wengi hao, ukitoa mmoja, wanakuja kumi, ukitoa kumi wanakuja mia NK. Muulize gadafi huko alikokimbilia.
      Yes kweli kabisa.

    14. #31
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,474
      Rep Power : 6167
      Likes Received
      3042
      Likes Given
      1016

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Quote By admiral elect
      Mkuu nilikuwa naamini kwa kupiga gwanda la kikamanda,unajua angalau kidogo mambo ya ulinzi na kuimarisha usalama.
      kwenye ulinzi kuna kitu kinaitwa defending by attacking and attacking by defending! jifunze hiyo utaelewa watu wanachosema.NB hii si ile ya kwenye football,usichanganye
      Mkuu admiral elect gwanda hilo lina maana kubwa. Katika medani za kivita adui yako anaweza kufanya chochote ili uonekane wewe ndiye uliyefanya na ushutumiwe. Kama unayajua haya mambo basi umenielewa na kama huyajui basi soma mbinu za medani.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    15. #32
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 953
      Rep Power : 691
      Likes Received
      206
      Likes Given
      78

      Default

      Quote By Kimbunga
      Siasa za nchi chochote chaweza kufanywa na yeyote ili kujinufaisha kisiasa. Inachoweza kufanya serikali ni kufanywa uchunguzi na kuwabaini waliofanya jambo hili. Na hakika serikali ina mkono mrefu hao watu watatiwa tu nguvuni muda si mrefu na tutapata kujua ukweli na huo ukweli utatuweka huru.
      kimbunga
      hao maofsa waliomfanyia unyama ulimboka unadhani wapo nchini muda huu? thubutu!

    16. #33
      Asha Abdala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2007
      Location : Zanzibar, Sometimes DSM
      Posts : 1,195
      Rep Power : 861
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Utabiri wako unakaribia kutimia
      “ Huu ni mwanzo wa mwisho wa Chama Cha Mafisadi(CCM), hakuna dola idumuyo isipokuwa ya Mungu tu" -Unga mkono M4C, Vua Gamba Vaa Gwanda. CHADEMA-Nguvu ya umma (People's Power)

    17. #34
      tpmazembe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2012
      Posts : 351
      Rep Power : 442
      Likes Received
      44
      Likes Given
      57

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      haliwezi hilo jembe, watakaa sana lakini hawataweza.

    18. #35
      FrankMakange's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 7th July 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 347
      Likes Received
      2
      Likes Given
      3

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      C'mon! It's a huge risk CCM can't afford to take!
      Start Questioning Yourself & Move From Curiosity To Discovery
      https://www.facebook.com/FrankMakange

    19. #36
      Lenja's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 61
      Rep Power : 372
      Likes Received
      5
      Likes Given
      50

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Quote By MLO
      Mkwawa walimua wakaamua kubeba na kichwa chake.Lakini walibuka akina Nyerere,Kwame Nkuruma,salmola machela
      Some history kama hamjalewa madaraka na utajiri wa kifisadi.
      Nasema mnaamini ngiza
      Huo mfano unajitosheleza kimsingi.
      Narrow minded people discuss people, Common minded people discuss events& Great minded people discuss ideas!!!

    20. #37
      mujuningaiza's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 14th March 2012
      Posts : 7
      Rep Power : 363
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      hawamuwez kakomaa kisiasa

    21. #38
      Zion Daughter's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th July 2009
      Location : Mlimani
      Posts : 7,593
      Rep Power : 13884
      Likes Received
      3252
      Likes Given
      1768

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Jamani mtawafanya watu wakose AMANI na nchi yao sasa..Ataogopa hata kula

      The POWER of LOVE !!!!

      Its true that we don't know what we have got until we lose it and we don't know what we have been missing until it arrive.

    22. #39
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,973
      Rep Power : 1217
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      Mnyika lazima afee tu kwani yeye mungu bwana.Siku zake zikifika lazima aende tu na huwezi kufa kama siku zako hazijafika

    23. #40
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Baada ya Ulimboka, Je Mnyika atasalimika?

      kikwete ni mnafiki no 1

      Tangu tupate maraisi hatujawahi kuwa na rais mnafiki, mzembe,dhaifu na ndumila kuwili kama kikwete uendeshaji serikali yake umejaa fitina dhihaka na upuuzi mwingi anyemshabikia huyu naomba aweke haya maelezo kwa kuprint au kucopy na baa ya 2015 mtaona kwa nini tz imefika hapa ilipo ni sababu ya huyu mr dhaifu hakuna alichowahi kuongoza kikafanikiwa zaidi ya kutengeneza makundi ndani ya chama na nchini ili awe madarakani kirahisi mungu ibariki tanzania kwa haraka sana tuondokane na huyu mnafiki

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...