Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ndesamburo achemka, out of touch!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 26
    1. #1
      Bu'yaka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 376
      Rep Power : 3939
      Likes Received
      110
      Likes Given
      59

      Default Ndesamburo achemka, out of touch!

      Ni pale aliposema bungeni kwamba, viongozi wakitaka kujua hali halisi ya maisha ya Watanzania basi wapite na helikopta wataona kwa karibu, kwa mfano kuna watu mpaka leo hii wanaishi maporini, hawajulikani ni kina nani, na ukipita na gari au ndege huwezi kuwaona, na si vizuri kuwaacha nyuma wengine kimaendeleo, ni lazima tuendelee kwa pamoja.

      Ulikuwa ni kama mpira wa kona alivyoshukiwa na mbunge wa CCM na washangiliaji, au niseme gombania goli , kipa mmoja washambuliaji kibaaao!


      Wabunge wa CCM wakamuuliza Mheshimiwa Ndesamburo, nyinyi CHADEMA si mnafagilia kupunguza gharama za serikali kwa viongozi kutumia vyombo vya usafiri vya nafuu, sasa gari na helikopta kipi aghali? CCM wakadai kwamba kwa kweli hakuna chama mbadala kama wabunge wenyewe wa CHADEMA ndio wana mawazo hayo.

      Lakini hata hivyo kuna hoja za maana alizotoa, kama alivyomlipua Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi kwamba ni failure lakini amongezewa muda baada ya umri wa kustaafu kufika, kinyume na sheria. Alimtaka aondolewe haraka wa sababu ni mzee na hana utaalam maalum unaohalalisha kumuongezea muda kama sheria inavyotaka.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      kichenchele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th June 2010
      Posts : 267
      Rep Power : 505
      Likes Received
      15
      Likes Given
      3

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      $%&^^&$$&%*^%$%&$^$&^&*&%$%&&* ccm%$%$&&ccm&*^*&^*%&%&^%&6-......SANA KABISA

    4. #3
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,692
      Rep Power : 1095
      Likes Received
      281
      Likes Given
      173

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Vijana mtatupa shida sana nyie! Ukiwa kwenye gari unafikiri unaweza kuona walao km 1 from main road. Yaani CCM wanaona uzuri wa uso wanafikiri hata kifuani na sehemu zilizofunikwa na nguo ni nzuri vivyo hivyo! Helicopter hukuwezesha kufika pale ambapo hayo ma kilimo kwanza hayawezi kufika. Ngoja tuone kama kuna likilimo kwanza litakalofanyiwa service ya shilingi laki tano baada ya kumilikishwa hayo magari! Nakwambia nguo za ndani zitawabana!
      Dingswayo likes this.

    5. #4
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,729
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Hao wabunge wa CCM wanaendeshwa na unafiki, kwani helkopta ngapi. kwani sasa kuna V8 ngapi, Kipi kitasaidia wananchi walio wangi. Vichwa vya nazi. Nashukuru mimi sio mbunge ningekuwa napigwa ban kila siku.
      Simple life is healthier than egoism.

    6. #5
      MNAMBOWA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2011
      Posts : 720
      Rep Power : 528
      Likes Received
      76
      Likes Given
      33

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      kwa nn na yeye asistaafu ubunge? Kwa uzee wake huo? mnafiki2.

    7. Miaka 50

    8. #6
      kupelwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Location : DAR-ES-SALAAM
      Posts : 456
      Rep Power : 483
      Likes Received
      120
      Likes Given
      31

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      wabunge wa CCM waache upotoshaji;hoja ya desamburo ni ya msingi kuna mahala tanzania ambako hakufikiki kwa barabara.kuna sehemu nyingi tu naushahidi vipo vijiji hata kilosa mkurugenzi wa halmashauri hajawahili kufika .Hivyo dhana ya sesa pesa ni serkali kungalia nmna ya kufikia vijiji ambavyo havifikiki kirahisi kwa usafiri wa kawaida.Mkumba aache upotoshwaji hao ndo wakuondolewa uchanguzi unaokuja , sababu ya kuwa na upeo mfupi wa kuelewa.
      Dingswayo and Mtumishi Wetu like this.

    9. #7
      Mkwai's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 107
      Rep Power : 386
      Likes Received
      32
      Likes Given
      10

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Quote By Bu'yaka
      Ni pale aliposema bungeni kwamba, viongozi wakitaka kujua hali halisi ya maisha ya Watanzania basi wapite na helikopta wataona kwa karibu, kwa mfano kuna watu mpaka leo hii wanaishi maporini, hawajulikani ni kina nani, na ukipita na gari au ndege huwezi kuwaona, na si vizuri kuwaacha nyuma wengine kimaendeleo, ni lazima tuendelee kwa pamoja.

      Ulikuwa ni kama mpira wa kona alivyoshukiwa na mbunge wa CCM na washangiliaji, au niseme gombania goli , kipa mmoja washambuliaji kibaaao!


      Wabunge wa CCM wakamuuliza Mheshimiwa Ndesamburo, nyinyi CHADEMA si mnafagilia kupunguza gharama za serikali kwa viongozi kutumia vyombo vya usafiri vya nafuu, sasa gari na helikopta kipi aghali? CCM wakadai kwamba kwa kweli hakuna chama mbadala kama wabunge wenyewe wa CHADEMA ndio wana mawazo hayo.

      Lakini hata hivyo kuna hoja za maana alizotoa, kama alivyomlipua Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi kwamba ni failure lakini amongezewa muda baada ya umri wa kustaafu kufika, kinyume na sheria. Alimtaka aondolewe haraka wa sababu ni mzee na hana utaalam maalum unaohalalisha kumuongezea muda kama sheria inavyotaka.
      Helicopter inatumiwa kipindi kifupi sana cha chaguzi
      katika matumizi nitapingana kama kuna waliovalia njuga hili.
      Tunaona matumizi mabovu kila siku safari za viongozi haziishi ndani na hata nje ya nchi. Hata vikao vyakawaida vya chama wanakodi ndege kwa garama kubwa. Ukifatilia sana ufujaji wa pesa za umma achilia mbali pesa tunazoibiwa kwenye mikataba unaweza kuanza kuteseka na magonjwa ya moyo sasa hivi

    10. #8
      Mjanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Location : "MWILINI MWANGU"
      Posts : 785
      Rep Power : 576
      Likes Received
      108
      Likes Given
      22

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Kama kawa wabunge wa magamba lazima wahache hoja ya msingi
      na kujikita kwenye mambo yasiyo na maana sana..yote kupotosha umma!
      Kila bidhaa ina expiry date, ccm imekwisha ku expire tunasubiria muda
      ufike tuipeleke dampo!
      Mtumishi Wetu likes this.
      "A broken heart won't heal if you keep on giving it to the same person that broke it"


    11. #9
      iishmmael's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd April 2012
      Posts : 205
      Rep Power : 398
      Likes Received
      31
      Likes Given
      19

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      kwanza helikopta ni ya ndesa sasa ushabiki wa nini?

    12. #10
      Mende0's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2012
      Location : Magogoni
      Posts : 1,397
      Rep Power : 645
      Likes Received
      399
      Likes Given
      93

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Hata ramani za mipango miji siku hizi tuwe tunapiga kwa gari?
      Bajeti ya maskini tajiri haiwezi

    13. #11
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      gari lina nafasi yk na helcopter ina nafasi yake, ni swala la uelewa tu
      Chilipamwao likes this.

    14. #12
      kelvito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 388
      Rep Power : 522
      Likes Received
      97
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By Angel Msoffe
      gari lina nafasi yk na helcopter ina nafasi yake, ni swala la uelewa tu
      Ukweli ccm wajinga tu! Kuna maeneo mengi sana nchi hïi gari haiwezi kufika kilahisi na kwa haraka, kwanini wasitumie ukizingatia mda ni gharama sana, masikini magamba hawaoni hili!

    15. #13
      Van persie's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 82
      Rep Power : 376
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Achen ushamba nyie dhaifu, hiv maufisadi mnayofanya hamuon km mna weza kununua hata elkopita 50. Mmeuza machimbo kwa wazungu, mnauza wanyama kila siku nje hizo pesa mnapeleka wapi?. Halafu leo mnamshangaa ndesambulo anapoongelea helkopita.

    16. #14
      Davie S.M's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 634
      Rep Power : 551
      Likes Received
      140
      Likes Given
      44

      Default

      Nafikir. We ndo umechemka...aliposema watumie Helicopter sio maana,Viongozi wa Serikali,Mkuu wa Wilaya,Mkuu wa Mkoa,RCO,Mkurugenzi wa. Manispaa na watendaji wengine woote wanunuliwe Helicopter.

      Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
      fige and Chilipamwao like this.

    17. #15
      Njilembera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th May 2008
      Posts : 786
      Rep Power : 724
      Likes Received
      93
      Likes Given
      159

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Quote By iishmmael
      kwanza helikopta ni ya ndesa sasa ushabiki wa nini?
      Mzee Ndesa ni mkweli kwa nafsi yake! Honest to his own self! Yeye husafiri kwa helikopta kwenda mjengoni, anaona mengi na amesema. Sasa badala ya kumsikiliza wanaanza kumwangalia amevaa nguo gani. Udhaifu mkubwa huu.

      Ujumbe ni dhahiri kabisa, kuna umasikini wa kutisha! Ameona na ametuambia tusiangalie tu barabarani kuna watu wetu wako maporini. Lkini angalia mitizamo ya kisiasa.

      Hivi bei ya Helikopta na Shangingi- ni nani atatusaidia kulinganisha? Maana serikali ingekuwa na Helikopta kila Mkoa, hata majanga mengi tungeweza kusaidia. Lakini leo hii kuna ajali highway, mpaka ipatikane njia mbadala ya kumkimbiza majeruhi ni shughuli! (NAJUA NIMECHANGANYA MBOGA HAPA, LAKINI USHABIKI WA KISIASA UNAFILISI HOJA HARAKA MNO, NA NAONA KARIBU NAAMBUKIZWA HUU UGONJWA)

    18. #16
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,256
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      haya majamaa ya magamba ni majinga kweli!

    19. #17
      dguyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th January 2011
      Posts : 426
      Rep Power : 508
      Likes Received
      109
      Likes Given
      66

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Ni rahisi kumiliki kila mkoa helkopta moja kuliko kila wilaya VX 3.
      Changudoa mwenye wivu a.k.a Jambazi lenye huruma

    20. #18
      robert josephat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2012
      Posts : 604
      Rep Power : 472
      Likes Received
      74
      Likes Given
      278

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Hakuchemka ni sawa kwani alikwisha fanya utafifi wa kutosha katika hili,nafikili tumfuate hatutanabaishe vema hoja yake.

    21. #19
      kamikaze's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th January 2011
      Posts : 76
      Rep Power : 437
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Quote By Bu'yaka
      Ni pale aliposema bungeni kwamba, viongozi wakitaka kujua hali halisi ya maisha ya Watanzania basi wapite na helikopta wataona kwa karibu, kwa mfano kuna watu mpaka leo hii wanaishi maporini, hawajulikani ni kina nani, na ukipita na gari au ndege huwezi kuwaona, na si vizuri kuwaacha nyuma wengine kimaendeleo, ni lazima tuendelee kwa pamoja.

      Ulikuwa ni kama mpira wa kona alivyoshukiwa na mbunge wa CCM na washangiliaji, au niseme gombania goli , kipa mmoja washambuliaji kibaaao!


      Wabunge wa CCM wakamuuliza Mheshimiwa Ndesamburo, nyinyi CHADEMA si mnafagilia kupunguza gharama za serikali kwa viongozi kutumia vyombo vya usafiri vya nafuu, sasa gari na helikopta kipi aghali? CCM wakadai kwamba kwa kweli hakuna chama mbadala kama wabunge wenyewe wa CHADEMA ndio wana mawazo hayo.
      Lakini hata hivyo kuna hoja za maana alizotoa, kama alivyomlipua Mkurugenzi wa Manispaa ya Moshi kwamba ni failure lakini amongezewa muda baada ya umri wa kustaafu kufika, kinyume na sheria. Alimtaka aondolewe haraka wa sababu ni mzee na hana utaalam maalum unaohalalisha kumuongezea muda kama sheria inavyotaka.
      Wewe mlete thread ndio umechemka, hujajishughulisha kufikilia hata sekunde moja, umebeba zima zima kuja kulibwaga hapa, next time usirudie, alaaaa

    22. #20
      mopaozi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 2,446
      Rep Power : 758
      Likes Received
      258
      Likes Given
      49

      Default Re: Ndesamburo achemka, out of touch!

      Ndo muone matamanio ya CDM ni kila kiongozi kuwa na helcopta yake zinazotumia umeme

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...