Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 38
    1. #1
      combra's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 369
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

      ni mara kadhaa tumeshuhudia mgomo wa madaktari au kwa ujumla katika sekta ya afya na lengo la mgomo wao ni maslahi madogo lakini hakuna siku hata moja tumeshasikia kwa wabungu wanalalanika au kugoma kuwa maslahi ni madogo mara kadhaa wabunge wamekuwa wanalalamika wanapewa posho nyingi wanataka posho ipunguzwe.je maana hiyo mbunge ni mtu muhimu sana nchi hii kushinda daktari anayeponya maisha ya mwanadamu?tafakari
      zululima and Anord Paulo like this.


    2. #2
      Janja PORI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2011
      Posts : 670
      Rep Power : 659
      Likes Received
      91
      Likes Given
      0

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      bora daktari

    3. #3
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,733
      Rep Power : 736
      Likes Received
      301
      Likes Given
      36

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      Kwa serikali Dhaifu kama ya ccm Mbunge ni muhimu, but kwa watu makini na waliona maamuzi ya watu Ni Daktari ni muhimu zaidi Mbunge 10,000,000/ na Dr shs 950,000/ watatumaliza hawa ccm. Ukicheka na Ngedele utavuna mabua

    4. #4
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,271
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      732
      Likes Given
      1170

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      Cha muhimu kila mtu apate stahiki zake tu.. kimsingi walimu nao ni watu muhimu sana ila ndio wanapewa almost nothing
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    5. #5
      kiraia's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Location : Kowamrasa
      Posts : 647
      Rep Power : 721
      Likes Received
      83
      Likes Given
      487

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      Wanaogopa kuwalipa walimu mshahara mkubwa si unajua wako wengi eti nchi itafilisika.
      The most dangareous position in which to sleep is with your feet on your office desk.


    6. #6
      kabindi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 171
      Rep Power : 0
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      Inategemea na Nchi! kwa Tanzania Mbunge ni bora na that's why analipwa maslahi makubwa. Just imagine prof. Maji marefu mganga wa kienyeji na darasa la saba na wengineo kama hao wanawashinda Madaktari kwa maslahi yanayolipwa kutoka serikalini wakati doctor pamoja na kukaa darasani muda mrefu lakini kazi zao zina changamoto nyingi.

    7. #7
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 764
      Rep Power : 604
      Likes Received
      274
      Likes Given
      89

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      tATIZO NI KWAMBA SERIKALI HAIWATHAMINI WATAALAMU WAKE, SIO MA DAKTARI TU. NCHI HII UKIWA MTAALAM HALAFU UKAAJIRIWA JIANDAE KUADHIRIKA.NDIO MAANA UTAKUTA WATAALAMU WAKUBWA WANAACHA TAALUMA ZAO NA KWENDA KUGOMBEA UBUNGE. HAWA MA dR. WAMEJITOLEA KUDAI HAKI KWA NIABA YA WENGINE TUWAUNGE MKONO.

    8. #8
      JF-MBUNGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 366
      Rep Power : 433
      Likes Received
      125
      Likes Given
      199

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      Quote By nkyalomkonza View Post
      tatizo ni kwamba serikali haiwathamini wataalamu wake, sio ma daktari tu. Nchi hii ukiwa mtaalam halafu ukaajiriwa jiandae kuadhirika.ndio maana utakuta wataalamu wakubwa wanaacha taaluma zao na kwenda kugombea ubunge. Hawa ma dr. Wamejitolea kudai haki kwa niaba ya wengine tuwaunge mkono.
      hili ndio tatizo kubwa bro>>>>yaani inatia hasira sn wanasiasa wanalipana vizuri aslafu wanajipambanua wao ni watawala na ukiangalia hata ionput yao kwenye taifa hakuna zaidi ya kujilimbikizia mali

    9. #9
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,928
      Rep Power : 2310
      Likes Received
      641
      Likes Given
      813

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      Katika katiba mpya wabunge kupata mshahara wa katikati yaani wastani ya mishahara ya wafanyakazi wa serikali. Hii itawafanya wakumbuke watumishi wengine. Kama hutaki ubunge acha sisi tupo.
      Simple life is healthier than egoism.

    10. #10
      Tata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2009
      Posts : 2,380
      Rep Power : 962
      Likes Received
      523
      Likes Given
      333

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

      Mimi naona tupige kura ya maoni kuchagua ni kipi kifutwe kati ya kada ya madaktari na wabunge/madiwani ili pesa zitakazopatikana zitumike kuboresha kile kitakachobaki. Yaani kura ikiamua bunge lifutwe basi pesa zote za bunge zipelekwe kuboresha kipato na mazingira ya kazi ya madaktari na kama watu wataamua kada ya udaktari ifutwe basi pesa zote zinazoelekezwa kwa madaktari zipelekwe kuboresha kipato na mazingira ya kazi ya wabunge/madiwani.

    11. #11
      ndinga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By nkyalomkonza View Post
      tATIZO NI KWAMBA SERIKALI HAIWATHAMINI WATAALAMU WAKE, SIO MA DAKTARI TU. NCHI HII UKIWA MTAALAM HALAFU UKAAJIRIWA JIANDAE KUADHIRIKA.NDIO MAANA UTAKUTA WATAALAMU WAKUBWA WANAACHA TAALUMA ZAO NA KWENDA KUGOMBEA UBUNGE. HAWA MA dR. WAMEJITOLEA KUDAI HAKI KWA NIABA YA WENGINE TUWAUNGE MKONO.
      na mimi ni mmoja wao

    12. #12
      ndinga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 95
      Rep Power : 383
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

      huko Malawi mbunge ni mtu wa kawaida kabisa lakini hapa bongo mmh!!

    13. #13
      yaser's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd January 2012
      Posts : 966
      Rep Power : 642
      Likes Received
      143
      Likes Given
      2

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

      kwangu mm bora mwalimu

    14. #14
      Kiyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Location : Murutsi
      Posts : 275
      Rep Power : 419
      Likes Received
      42
      Likes Given
      28

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye uhumimu sana katika jamii

      950000 tulinge! hii ni kabla ya kodi-take home ni 695,000

    15. #15
      Murrah's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Location : Tarime
      Posts : 191
      Rep Power : 446
      Likes Received
      40
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By combra View Post
      ni mara kadhaa tumeshuhudia mgomo wa madaktari au kwa ujumla katika sekta ya afya na lengo la mgomo wao ni maslahi madogo lakini hakuna siku hata moja tumeshasikia kwa wabungu wanalalanika au kugoma kuwa maslahi ni madogo mara kadhaa wabunge wamekuwa wanalalamika wanapewa posho nyingi wanataka posho ipunguzwe.je maana hiyo mbunge ni mtu muhimu sana nchi hii kushinda daktari anayeponya maisha ya mwanadamu?tafakari
      Wabunge wote wakiondoka hatutafaham labda hazina kutakuwa na pesa kiasi. Dr aondoke siku moja malaiki Israel anakuwa busy sana. Kwa kuwa wabunge sio muhimu hawakai sehemu zao za ajira wako dom tu wanapunga upepo na kula uroda na wake au waume za watu magamba

    16. #16
      Ng'wanambula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 86
      Rep Power : 407
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

      Hilo ndio tatizo la madaktari wanadhani na kujiona kuwa wao ni muhimu kuliko watumishi wengine wote.Watumishi wote wa umma ni muhimu kila mtu kwa nafasi yake.Wote ni muhimu.Hiyo waliyonayo madaktari ni SUPERIORITY COMPLEX

    17. #17
      WEMBE WENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 444
      Likes Received
      28
      Likes Given
      27

      Default Madaktari ni wasomi -wanasiasa ni vihiyo.

      WanaJF. Nashindwa kuelewa kwa nini dunia haiko fair kiasi hiki, inakuaje majitu failures (Div IV na O) yawe ndiyo yenye maamuzi makubwa kuliko learned people?
      Hakuna mwanasiasa hata mmoja kwenye sayari hii mwenye record ya kuwa mwenye akili bora kati ya wahitimu wote unaowafahamu, isipokuwa kubebwa na kupelekwa.
      Walichonacho ma Dr. Kipo kichwani mwao siyo funguo kwamba watanyang’anywa na kupewa mtu mwingine, ni uwezo wao ambao upo ndani yao.
      Mgogoro wa maDr. Na serikali unanikumbusha jinsi ambavyo juha anavyojaribu kumpa vitisho mwerevu. Kama zile khadithi za zamani za Abunuwasi.
      Tafiti sahihi zimeonyeshwa kwamba, Wakati tukiwa shule tunasoma wanafunzi :

      1. wale wanoongoza darasani ama wenye uwezo mkubwa wa akili darasani huwa wanaelekezwa kusomea Udakatari na uinjinia,
      2. wale wa waoshika nafasi za katikati huwa wanaelekezwa kuwa wahasibu, watawala, na masoko,
      3. wale wanaofeli akina Div. IV and kushuka chini ndiyo huwa wabanagiza kwenye ualimu, siasa,na ukarani. Ambao baadae hubabaisha na kuwa watawala kama hawa tulionao waona leo.

      Muundo huu hauko fair wale failures ndiyo wanaopata nafasi ya kuwatawala wenye uwezo kiakili na na wataalamu.

      1. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee dharau?
      2. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee Udhaifu?
      3. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee ufisadi?
      4. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee madini yetu na mitaji yetu kuondoka hali tukifurahia?
      5. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee watawala badala ya viongozi?
      6. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee badget zisiyoeleweka?
      7. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee kauli za akina Pinda?
      8. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee Gilba na safari nyingi za nje ?

      Wabangaizaji (Wasanii) chaka lao ni uongo na uzushi na kukimbilia vyombo vya habari ili wasikike, wahurumiwe, wasifiwe na waonekane kama wao ni wanachapakazi (tunao mawaziri wengi tuu wa design hizi)
      Shule iliwashinda wakakwama kidato cha nne ama hata darasa la saba, lakini kwa vile sasa wamepata kujipenyeza wanajitahidi kujustfy kuwa na wao wamesoma kwa kuupenda UDr. Wa uzamili hata kama ni wa kupewa kwa heshima wasizostahili.
      hawachelewi kukimbilia digree za uzamili ili waitwe DR. kisa tuu wanapenda wawe na akili ambazo hawana.
      Jamani nyinyi wasanii, sis wananchi tunajua kwamba nyinyi mlishindwa shule na ndiyo maana mkapita mlango wa nyuma kufikia hapo mlipo. HHeshimuni taaluma kwa maana yale ambayo nyinyi mlishindwa wenzenu waliyaweza na ndiyo maana wapo hapo kwa ajili ya kuokoa maisha yetu.
      Kusoma ni kazi ngumu sana na ndiyo maana nyinyi mlichemsha, kusoma ni gharama kubwa sana ndiyo maana watoto wa wakulima mmebangaiza kufika huko mliko.
      Basi angalau jambo dogo tuu mnalotakiwa kulifanya, wasikilizeni Madr. Hawa badala ya kutumia vyombo usanii wenu kuwagombanisha na wananchi. Walichonacho nyinyi hamna na wala hamtaweza kukipata kwa vyovyote.
      Punguzeni kutegemea INDIA, SOUTH AFRICA, KENYA,UK ili muwwezeshe maDk. Wetu. Haipendezi hata kidogo na wmnatujengea hasira sana wananchi kama hamjui. Msione vinaelea jamani vimeundwa

    18. #18
      WEMBE WENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 444
      Likes Received
      28
      Likes Given
      27

      Default Madaktari ni wasomi -wanasiasa ni vihiyo.

      WanaJF. Nashindwa kuelewa kwa nini dunia haiko fair kiasi hiki, inakuaje majitu failures (Div IV na O) yawe ndiyo yenye maamuzi makubwa kuliko learned people?
      Hakuna mwanasiasa hata mmoja kwenye sayari hii mwenye record ya kuwa mwenye akili bora kati ya wahitimu wote unaowafahamu, isipokuwa kubebwa na kupelekwa.
      Walichonacho ma Dr. Kipo kichwani mwao siyo funguo kwamba watanyang’anywa na kupewa mtu mwingine, ni uwezo wao ambao upo ndani yao.
      Mgogoro wa maDr. Na serikali unanikumbusha jinsi ambavyo juha anavyojaribu kumpa vitisho mwerevu. Kama zile khadithi za zamani za Abunuwasi.
      Tafiti sahihi zimeonyeshwa kwamba, Wakati tukiwa shule tunasoma wanafunzi :

      1. wale wanoongoza darasani ama wenye uwezo mkubwa wa akili darasani huwa wanaelekezwa kusomea Udakatari na uinjinia,
      2. wale wa waoshika nafasi za katikati huwa wanaelekezwa kuwa wahasibu, watawala, na masoko,
      3. wale wanaofeli akina Div. IV and kushuka chini ndiyo huwa wabanagiza kwenye ualimu, siasa,na ukarani. Ambao baadae hubabaisha na kuwa watawala kama hawa tulionao waona leo.

      Muundo huu hauko fair wale failures ndiyo wanaopata nafasi ya kuwatawala wenye uwezo kiakili na na wataalamu.

      1. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee dharau?
      2. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee Udhaifu?
      3. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee ufisadi?
      4. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee madini yetu na mitaji yetu kuondoka hali tukifurahia?
      5. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee watawala badala ya viongozi?
      6. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee badget zisiyoeleweka?
      7. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee kauli za akina Pinda?
      8. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee Gilba na safari nyingi za nje ?

      Wabangaizaji (Wasanii) chaka lao ni uongo na uzushi na kukimbilia vyombo vya habari ili wasikike, wahurumiwe, wasifiwe na waonekane kama wao ni wanachapakazi (tunao mawaziri wengi tuu wa design hizi)
      Shule iliwashinda wakakwama kidato cha nne ama hata darasa la saba, lakini kwa vile sasa wamepata kujipenyeza wanajitahidi kujustfy kuwa na wao wamesoma kwa kuupenda UDr. Wa uzamili hata kama ni wa kupewa kwa heshima wasizostahili.
      hawachelewi kukimbilia digree za uzamili ili waitwe DR. kisa tuu wanapenda wawe na akili ambazo hawana.
      Jamani nyinyi wasanii, sis wananchi tunajua kwamba nyinyi mlishindwa shule na ndiyo maana mkapita mlango wa nyuma kufikia hapo mlipo. HHeshimuni taaluma kwa maana yale ambayo nyinyi mlishindwa wenzenu waliyaweza na ndiyo maana wapo hapo kwa ajili ya kuokoa maisha yetu.
      Kusoma ni kazi ngumu sana na ndiyo maana nyinyi mlichemsha, kusoma ni gharama kubwa sana ndiyo maana watoto wa wakulima mmebangaiza kufika huko mliko.
      Basi angalau jambo dogo tuu mnalotakiwa kulifanya, wasikilizeni Madr. Hawa badala ya kutumia vyombo usanii wenu kuwagombanisha na wananchi. Walichonacho nyinyi hamna na wala hamtaweza kukipata kwa vyovyote.
      Punguzeni kutegemea INDIA, SOUTH AFRICA, KENYA,UK ili muwwezeshe maDk. Wetu. Haipendezi hata kidogo na wmnatujengea hasira sana wananchi kama hamjui. Msione vinaelea jamani vimeundwa.

    19. #19
      combra's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 69
      Rep Power : 369
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By WEMBE WENGE View Post
      WanaJF. Nashindwa kuelewa kwa nini dunia haiko fair kiasi hiki, inakuaje majitu failures (Div IV na O) yawe ndiyo yenye maamuzi makubwa kuliko learned people?
      Hakuna mwanasiasa hata mmoja kwenye sayari hii mwenye record ya kuwa mwenye akili bora kati ya wahitimu wote unaowafahamu, isipokuwa kubebwa na kupelekwa.
      Walichonacho ma Dr. Kipo kichwani mwao siyo funguo kwamba watanyang’anywa na kupewa mtu mwingine, ni uwezo wao ambao upo ndani yao.
      Mgogoro wa maDr. Na serikali unanikumbusha jinsi ambavyo juha anavyojaribu kumpa vitisho mwerevu. Kama zile khadithi za zamani za Abunuwasi.
      Tafiti sahihi zimeonyeshwa kwamba, Wakati tukiwa shule tunasoma wanafunzi :

      1. wale wanoongoza darasani ama wenye uwezo mkubwa wa akili darasani huwa wanaelekezwa kusomea Udakatari na uinjinia,
      2. wale wa waoshika nafasi za katikati huwa wanaelekezwa kuwa wahasibu, watawala, na masoko,
      3. wale wanaofeli akina Div. IV and kushuka chini ndiyo huwa wabanagiza kwenye ualimu, siasa,na ukarani. Ambao baadae hubabaisha na kuwa watawala kama hawa tulionao waona leo.

      Muundo huu hauko fair wale failures ndiyo wanaopata nafasi ya kuwatawala wenye uwezo kiakili na na wataalamu.

      1. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee dharau?
      2. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee Udhaifu?
      3. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee ufisadi?
      4. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee madini yetu na mitaji yetu kuondoka hali tukifurahia?
      5. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee watawala badala ya viongozi?
      6. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee badget zisiyoeleweka?
      7. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee kauli za akina Pinda?
      8. Kwa ukweli huu kwa nini tusitegemee Gilba na safari nyingi za nje ?

      Wabangaizaji (Wasanii) chaka lao ni uongo na uzushi na kukimbilia vyombo vya habari ili wasikike, wahurumiwe, wasifiwe na waonekane kama wao ni wanachapakazi (tunao mawaziri wengi tuu wa design hizi)
      Shule iliwashinda wakakwama kidato cha nne ama hata darasa la saba, lakini kwa vile sasa wamepata kujipenyeza wanajitahidi kujustfy kuwa na wao wamesoma kwa kuupenda UDr. Wa uzamili hata kama ni wa kupewa kwa heshima wasizostahili.
      hawachelewi kukimbilia digree za uzamili ili waitwe DR. kisa tuu wanapenda wawe na akili ambazo hawana.
      Jamani nyinyi wasanii, sis wananchi tunajua kwamba nyinyi mlishindwa shule na ndiyo maana mkapita mlango wa nyuma kufikia hapo mlipo. HHeshimuni taaluma kwa maana yale ambayo nyinyi mlishindwa wenzenu waliyaweza na ndiyo maana wapo hapo kwa ajili ya kuokoa maisha yetu.
      Kusoma ni kazi ngumu sana na ndiyo maana nyinyi mlichemsha, kusoma ni gharama kubwa sana ndiyo maana watoto wa wakulima mmebangaiza kufika huko mliko.
      Basi angalau jambo dogo tuu mnalotakiwa kulifanya, wasikilizeni Madr. Hawa badala ya kutumia vyombo usanii wenu kuwagombanisha na wananchi. Walichonacho nyinyi hamna na wala hamtaweza kukipata kwa vyovyote.
      Punguzeni kutegemea INDIA, SOUTH AFRICA, KENYA,UK ili muwwezeshe maDk. Wetu. Haipendezi hata kidogo na wmnatujengea hasira sana wananchi kama hamjui. Msione vinaelea jamani vimeundwa.
      Lkn kumbuka wote wanaumuhimu katika jamii,ila tukumbuke nchi haitawaliki wa kuendelea bila siasa je kwanza tunakubaliana kwa hilo

    20. #20
      Mwanamutapa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th December 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 409
      Likes Received
      76
      Likes Given
      90

      Default Re: Daktari na Mbunge ni yupi mwenye umuhimu sana katika jamii?

      Kila nafasi ina umuhimu wake katika jamii ingawa tunaweza kusihi bila wabunge lakini kuishi bila madaktari haiwezekani sababu ya magonjwa kuwa mengi katika ulimwengu huu. kuhusu mshahara mbunge ni mwanasiasa haijalishi ana kiwango gani cha elimu maana yeye alichaguliwa na wanachi kwa kuwa ni mheshimiwa anastahili mshahara wa kuridhisha vivyo hivyo na daktari anastahili mshara wa kuridhisha kwa hiyo kinachotakiwa ni daktari kuongezewa mshahara na si mbunge kupunguziwa mshahara ili alingane na daktari.

      Katika nafasi za kisiasa elimu haingaliwi ili mradi umekubalika kwa wananchi ukatengeneze sera na kuongoza ndio maana tuna marais wengi wako au walikuwa na kiwango cha chini cha elimu lakini walikuwa watawala wazuri kuliko wenye elimu au pamoja na elimu zao ndogo walipewa dhamana ya kuongoza mataifa makubwa yenye wasomi wa hali ya juu mfano John Major Waziri Mkuu wa zamani wa Uingereza alikuwa na diploma ya accounting, Lula Da Silva wa Brazil darasa la tatu, Jacob Zuma darasa la nne, Milton Obote form six, ingawa baadaye alianza kuitwa dokta ya kutunukiwa, Mao Zedong form four, Fredrick Chiluba certificate ya accounting na wengine wengi.

      Kuhusu madaktari wana haki ya kudai nyongeza za mishahara kutokana na nature za kazi zao ambazo ni ngumu ila napenda kutoa wito kwa madaktari kwamba ingawa mna haki ya kudai nyongeza za mishahara inabidi kwanza muwe na
      utumishi kazini nimefika mahospitali ya serikali madaktari wengi hamfanyi kazi zenu mpo mpo mnaingia kusaini vitabu na kuondoka kwenda kwenye mahospitali binafsi au mnakuwepo tu maofisini mkisubiri rushwa. nina mfano hai wa ndugu yangu tulimpeleka hospitali ya Mwananyamara alikuwa anahara damu na kupungukiwa maji mwilini manesi na madaktari hawakutujali kabisa wala kuonyesha kuwa tuna mgonjwa mahututi anahitaji huduma za haraka matokeo yake baada ya masaa mawili mgonjwa alifariki pale mapokezi iilikuwa saa saba usiku wakati tumefika pale saa tano usiku

      Mgonjwa alifariki akiwa na umri mdogo sana miaka 19 tu baadaye nesi mmoja alituuma sikio kuwa mgonjwa wetu hakujaliwa kwa sababu hatukutoa rushwa hiyo ilikuwa mwaka 2008 sasa madaktari mnadai kuongezewa mishahara ya nini? kama huduma hamtoi kwanza? toeni huduma kwanza watu wazione ndio mdai nyongeza za mishahara kama huduma hamtoi wengi wenu nyongeza za mishahara ni za nini iwapo kipato mnaongeza kwenye hospitali binafsi na kusubiri rushwa? pamoja na hayo nawapongeza sana madaktari wengi wa hospitali za misheni wengi wao wanachapa kazi pia madaktari wachache wa hospitali za serikali, Maana serikalini madaktari wengi ni wababaishaji hawatoi huduma ni story nyingi kusubiri rushwa na kwenda nyumbani ndio maana huduma ni hafifu kule

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...