Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 28
    1. #1
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,058
      Rep Power : 24550
      Likes Received
      3137
      Likes Given
      354

      Default Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Maneno haya yamesemwa na mbunge wa Sikonge Mh Saidi Mkumba wakati akianza kuchangia. Na katika hali ya kushangaza Mh Mbatia alipo omba muongozo Mh Ndugai alisema kuwa mh mkumba yuko sahihi kwa kauli yake na haina tatizo.

      My take. Naona hili ni tusi kwa tunao amini tunahitaji ukombozi mpya.

    2. Miaka 50

    3. #2
      matumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th July 2011
      Posts : 2,337
      Rep Power : 1445
      Likes Received
      648
      Likes Given
      498

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae.

      Wabunge wetu waache kutafuta umaarufu wa kishamba..
      Mohamedi Mtoi likes this.

    4. #3
      Click_and_go's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st November 2010
      Posts : 450
      Rep Power : 521
      Likes Received
      5
      Likes Given
      7

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      wapuuzi hawa, bungeni wanaenda kuongelea maswala ya namna hii??

    5. #4
      Mamzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : KASKAZINI
      Posts : 1,445
      Rep Power : 721
      Likes Received
      438
      Likes Given
      166

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      jamani jamani jamani kwa kweli sijui ni nini wanatafuta wanafikiri watu kujitoa muhanga ni huko nje tu hata hapa inawezekana kwa mwendo huu wa matusi kwa wananchi waliochoka
      ''Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable''John F. Kennedy

    6. #5
      Synthesizer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th February 2010
      Posts : 808
      Rep Power : 714
      Likes Received
      368
      Likes Given
      32

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Nimesema katika thread nyingine kwamba nina mashaka sana na uwezo wa kufikiri wa baadhi ya wabunge wetu na viongozi wengine. Kila nikifikiria kwamba hawa ndio watu wenye dhamana ya kuiendeleza nchi yetu na watu wake najihisi kama mie ni abiria katika gari inayoendeshwa na mtu mlevi katika barabara yenye kupita kwenye kona na mabonde marefu mengi.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MwanaCBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd September 2009
      Posts : 491
      Rep Power : 589
      Likes Received
      34
      Likes Given
      241

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Mohamedi haya siyo matusi kwa nionavyo. Wanachofanya CCM ni kujitabiria kifo huku wakishangilia. Ni kweli CHADEMA tuna 'mimba' na muda si mrefu tutazaa ukombozi wa taifa hili. Kuwa na mimba ya aina hii sioni kama ni tusi ila inaonesha hata wao CCM wanatambua wazi kuwa chadema tunayo na tunaionesha dhamira ya kweli ya kulikomboa taifa letu toka kwa wauwaji hawa CCM.

    9. #7
      mpenda pombe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 368
      Rep Power : 504
      Likes Received
      30
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Mohamedi Mtoi
      Maneno haya yamesemwa na mbunge wa Sikonge Mh Saidi Mkumba wakati akianza kuchangia. Na katika hali ya kushangaza Mh Mbatia alipo omba muongozo Mh Ndugai alisema kuwa mh mkumba yuko sahihi kwa kauli yake na haina tatizo.

      My take. Naona hili ni tusi kwa tunao amini tunahitaji ukombozi mpya.
      Huyu Mkumba hafai,
      sasa hivi anamtesa mpinzani wake aliegombea nae 2010, amebabuka mwili mzima.. So sad..

    10. EJL
      #8
      EJL's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 379
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Mwenye CV ya Mkumba aiweke hapa ndipo watu watajua kwa nini katukana. Na huyu Ndungai hana lolote ndivyo alivyo; Bunge limemshinda kuendesha thats why hawezi kufahamu nini anafanya. Last week niliandika humu kuwa mapungufu ya Bunge yanachangiwa sana na upumbavu wa Ndungai (anadhani anaweza kubeba wabunge wa chama chake kila siku). Leo hii asubuhi anajifanya kumhimiza Mh. Lukuvi kujibu swali juu ya pension ya wabunge kana kwa kusema ..."Mh. Waziri majibu, ukizingatia suala hili ni nyeti".
      Kwa hakika miaka hii 5 tusitarajie la maana katika bunge letu (kwa mfumo huu wa uendeshaji wa akina Ndungai); labda tu waTz tumlilie Mungu alingilie kati a kufanya mabadiliko ya kiti kwa lazima!


      EJL

    11. #9
      Bangoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2011
      Posts : 2,269
      Rep Power : 834
      Likes Received
      370
      Likes Given
      0

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Ni mmoja wa wabunge vilanzi wa ccm.
      Ana akili ya kiwendawazimu.

    12. #10
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Hawa mapumbu tunawachagua halafu wanaishia kujiona wajanja sana sio?? kwa taarifa yao..hiii nchi sio yao peke yao..ni ya kila mtu...mda si mrefu..tunawapangisha foleni pale kisutu na HC na kesi zao za wizi...

    13. #11
      Bantugbro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2009
      Posts : 2,410
      Rep Power : 1004
      Likes Received
      487
      Likes Given
      1492

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Kazi ipo mwaka huu...
      Just because presidents screws around, it doesn't make a president for screwing around..

    14. #12
      Msengapavi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2008
      Posts : 555
      Rep Power : 650
      Likes Received
      50
      Likes Given
      2

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Quote By MwanaCBE
      Mohamedi haya siyo matusi kwa nionavyo. Wanachofanya CCM ni kujitabiria kifo huku wakishangilia. Ni kweli CHADEMA tuna 'mimba' na muda si mrefu tutazaa ukombozi wa taifa hili. Kuwa na mimba ya aina hii sioni kama ni tusi ila inaonesha hata wao CCM wanatambua wazi kuwa chadema tunayo na tunaionesha dhamira ya kweli ya kulikomboa taifa letu toka kwa wauwaji hawa CCM.
      Mwana CBE, Hiyo ni namna chanya ya kupokea tusi, lakini ni lugha ya kuudhi na kwa kweli ni matusi. tuna uchungu na jinsi mabilioni yanavyoliwa na mafisadi halafu mtu mmoja anasema tukazae! hilo ni tusi na nashangaa kwa nini spika anaona si tusi. Lakini asante kwa mtazamo wako chnya kwa sababu kwa hakika ukombozi u-karibu kuzaliwa. Tujipe shime ukombozi u-karibu!

    15. #13
      Oshany's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th February 2008
      Posts : 30
      Rep Power : 582
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Said Nkumba alipata division four Moshi Technical School miaka ya themanini kipindi ambacho elimu ya ufundi ilikuwa inapewa uzito wa kutosha na taifa. Nadhani mnaweza kujua ni mtu wa aina gani huyu na kuachana naye.

    16. #14
      MartinDavid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 690
      Rep Power : 647
      Likes Received
      37
      Likes Given
      16

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Mwache aongee now kwani tutakapokuwa na katiba mpya hawa lazima watafune matusi yao mahakamani......

      hii ni aibu sana watu wamepoteza utu na heshima katika jamii imepotea kabisa..
      "Nothing in all the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity."

    17. PPM
      #15
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 474
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Quote By Mohamedi Mtoi
      Maneno haya yamesemwa na mbunge wa Sikonge Mh Saidi Mkumba wakati akianza kuchangia. Na katika hali ya kushangaza Mh Mbatia alipo omba muongozo Mh Ndugai alisema kuwa mh mkumba yuko sahihi kwa kauli yake na haina tatizo.

      My take. Naona hili ni tusi kwa tunao amini tunahitaji ukombozi mpya.
      Sijaelewa alikuwa ana maanisha nini hapo?

    18. #16
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By mpenda pombe
      Huyu Mkumba hafai,
      sasa hivi anamtesa mpinzani wake aliegombea nae 2010, amebabuka mwili mzima.. So sad..
      Anamtesa na nini?hebu weka wazi mkuu ili tupate kujua.

    19. #17
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      watu kama hao wanatakiwa wasionekane mitaani,akionekana twanga mawe,hawezi kututukana hivi
      au anafikiri atakuwa mbunge miaka yote?
      Chama DHAIFU wanachama DHAIFU na mawazo yao ni DHAIFU.

    20. #18
      mwana wa mtu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 218
      Rep Power : 615
      Likes Received
      51
      Likes Given
      97

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Nimemsikia huyu Nkumba,nikashangaa sana..lakini kilichostaajabisha zaidi ni kauli ya Ndugai kuwa 'hajakosea'...Livingstone, Nchemba, na wengineo..magonjwa yaleyale

    21. #19
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Quote By Mohamedi Mtoi
      Maneno haya yamesemwa na mbunge wa Sikonge Mh Saidi Mkumba wakati akianza kuchangia. Na katika hali ya kushangaza Mh Mbatia alipo omba muongozo Mh Ndugai alisema kuwa mh mkumba yuko sahihi kwa kauli yake na haina tatizo.

      My take. Naona hili ni tusi kwa tunao amini tunahitaji ukombozi mpya.
      hayo matusi yako wapi?

    22. #20
      Mnama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2010
      Posts : 737
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      174
      Likes Given
      108

      Default Re: Mkumba: Wenye uchungu wa kuikomboa nchi waende wakazae!

      Huyu si ndio alikuwa TTCL ?

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...