Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

    Report Post
    Page 1 of 7 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 121
    1. #1
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Mnakumbuka kauli ya Pinda kwa waliokuwa CPL -MNH siku hiyo.? . . .nanukuu. .

      Ulimboka
      : Tunaomba kusiwe na victimization ya aina yoyote. .

      Pinda: Hakutakuwa na victimization lakini mkikuta kapigwa na majambazi au kagongwa na gari msiseme ni serikali' mwisho wa nukuu
      Kikwete ni Jasiri Sana

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,820
      Rep Power : 807
      Likes Received
      518
      Likes Given
      8

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Tumeelewa sasa!!!!!!!!!!!!!!
      Rogie, trachomatis and Determine like this.

    4. #3
      Mwiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Posts : 4,593
      Rep Power : 2084
      Likes Received
      223
      Likes Given
      19

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Hapo kugongwa na gari pananikumbusha kiongozi alietokea kuwa na mvuto kwa watu alieitwa Marehemu Edward Moringe Sokoine. Akina Kolimba ,Malima ...!
      Ndahani, Rogie and Determine like this.
      Light travels faster than sound. This is why some people appear bright until you hear them speak.

    5. #4
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,942
      Rep Power : 887
      Likes Received
      382
      Likes Given
      143

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Kazi ipo inabidi kauli ya serekali itoke.

    6. #5
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      basi hao itakua ni majambazi tu

    7. Miaka 50

    8. #6
      wagaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 598
      Rep Power : 478
      Likes Received
      123
      Likes Given
      92

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Mbona na imetokea hivyo!!
      Kuna ukweli hapa ktk ahadi yake aliyompa
      "Tanzania ni ya watanzania, na watanzania wenyewe ndo sisi"

    9. #7
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Haahaaa...sawa inaeleweka. The boy will get better
      Rogie likes this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    10. #8
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Duh!!!!you can connect the dots!!!

    11. #9
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,612
      Rep Power : 13833
      Likes Received
      2252
      Likes Given
      2182

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Nasign out huku JF... Nitarudi saa tisa, pengine kutakuwa na habari za nani alimteka, alimtekaje, na kwanini... Nani alimpiga, na nini hatma ya mgomo wa madaktari...

    12. #10
      POMPO's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 2,955
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1090
      Likes Given
      625

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Pinda is behind the sceen, shame on you Pinda
      Determine likes this.

    13. #11
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,815
      Rep Power : 30204
      Likes Received
      4652
      Likes Given
      3477

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      na leo kasema LIWALO NA LIWE!
      baluhya M. and Determine like this.

    14. #12
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      895

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Mtoto wa mkulima yuko juu yaani amempiku baba Mwanaasha kwa kutimiza ahadi.
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    15. #13
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Pindi na kikweti wanafiki sana
      Unstoppable likes this.
      Kikwete ni Jasiri Sana

    16. #14
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Hivi madaktari walio katika mgomo watamtibia mwenzao ili hali walishasema hawafanyi kazi? Najaribu kufikiri tu.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      Ndumbayeye likes this.

    17. #15
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,902
      Rep Power : 5058
      Likes Received
      3198
      Likes Given
      2635

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Du serikali ya kimafia,wapi imran kombe? Wapi kolimba?

    18. #16
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By marejesho
      Duh!!!!you can connect the dots!!!
      Na leo kabla ya kupata habari kuwa ulimboka kasavaivu, amesema bungeni kuhusu mgomo wa madaktari "liwalo na liwe"

    19. #17
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By Barnabas Shadrack
      Hivi madaktari walio katika mgomo watamtibia mwenzao ili hali walishasema hawafanyi kazi? Najaribu kufikiri tu.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      Ulimboka is a hero.
      Is getting the muximum care one can get in the country, i can call it "state of the art treatment" at least mazingira ya Tanzania.
      doup and Talklicious like this.

    20. #18
      Neylu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2012
      Posts : 1,481
      Rep Power : 648
      Likes Received
      624
      Likes Given
      606

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By Barnabas Shadrack
      Hivi madaktari walio katika mgomo watamtibia mwenzao ili hali walishasema hawafanyi kazi? Najaribu kufikiri tu.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      Anapata matibabu ya hali ya juu.. Hawawezi kumgomea mpiganaji wao...

    21. #19
      Mandingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 927
      Rep Power : 572
      Likes Received
      186
      Likes Given
      52

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Aiseeeeh!

    22. #20
      pgasper's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 292
      Rep Power : 0
      Likes Received
      64
      Likes Given
      97

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By FREDOMFIGHTER
      Mtoto wa mkulima yuko juu yaani amempiku baba Mwanaasha kwa kutimiza ahadi.
      Hakuna mtu wa kuweza kutimiza ahadi kwa serikali ya Kikwete.
      Ahadi ya Pinda ilikuwa kumuua.
      Still kashindwa.
      FREDOMFIGHTER and Mdakuzi like this.

    Page 1 of 7 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...