Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

    Report Post
    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 121
    1. #1
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 407
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Mnakumbuka kauli ya Pinda kwa waliokuwa CPL -MNH siku hiyo.? . . .nanukuu. .

      Ulimboka
      : Tunaomba kusiwe na victimization ya aina yoyote. .

      Pinda: Hakutakuwa na victimization lakini mkikuta kapigwa na majambazi au kagongwa na gari msiseme ni serikali' mwisho wa nukuu
      Kikwete ni Jasiri Sana


    2. MTK is offline
      MTK
      #41
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 1,001
      Rep Power : 4513
      Likes Received
      317
      Likes Given
      365

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Quote By Determine View Post
      Mnakumbuka kauli ya Pinda kwa waliokuwa CPL -MNH siku hiyo.? . . .nanukuu. .

      Ulimboka
      : Tunaomba kusiwe na victimization ya aina yoyote. .

      Pinda: Hakutakuwa na victimization lakini mkikuta kapigwa na majambazi au kagongwa na gari msiseme ni serikali' mwisho wa nukuu

      here you go Pinda, taifa linasubiri maelezo ya kina kuhusu mkasa huu wa dr. Ulimboka?!

    3. #42
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,602
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      316
      Likes Given
      921

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By pgasper View Post
      Hakuna mtu wa kuweza kutimiza ahadi kwa serikali ya Kikwete.
      Ahadi ya Pinda ilikuwa kumuua.
      Still kashindwa.

      Jamaa ana guts kweli kweli ametuma mtu kwenda kumalizia kazi lakini madaktari wamemgutukia na kumpa kipigo cha mbwa mwizi. Alaaniwe rais dhaifu, alaaniwe waziri mkuu dhaifu ilaaniwe serikali dhaifu, ilaaniwe ccm, walaaniwe wote wanaowaunga mkono mafisadi na wauaji.
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    4. #43
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 776
      Rep Power : 560
      Likes Received
      239
      Likes Given
      3

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Hatutakiwi kufika hapa. Serikali katika situation kama hii ya mgomo ni fika kuwa Dr. alikuwa anakuwa monitored in each and every of his move. Hiki hakikuwa kipindi kwa bwana Ulimboka kuingiliwa hata na kibaka achana na majambazi. Kama vyombo vyetu vya dola viliacha hili litokee basi itaonyesha ni kiasi gani tuna matatizo makubwa kuliko hata hili la mgomo. Ee Mungu tuepushie mbali

    5. #44
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 747
      Rep Power : 513
      Likes Received
      288
      Likes Given
      428

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      Hivi madaktari walio katika mgomo watamtibia mwenzao ili hali walishasema hawafanyi kazi? Najaribu kufikiri tu.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      Hivi mama ako amezaa na nani vile emu nikumbushe?
      Fblukuwi and pgasper like this.

    6. #45
      MartinDavid's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 690
      Rep Power : 651
      Likes Received
      37
      Likes Given
      16

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      What a shame to this Government..
      "Nothing in all the world is more dangerous than sincere ignorance and conscientious stupidity."


    7. #46
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Dumela Mbegu View Post
      Na wanasema wako kwenye mgomo na hawawatibu wananchi,ila wao wenyewe wanatibiana. Shame kwa madaktari wote wa Tanzania
      Hapo ndio utajua usanii wanaoufanya hao jamaa.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    8. #47
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By MKALIKENYA View Post
      Hivi mama ako amezaa na nani vile emu nikumbushe?
      Nahisi wewe huna akili, au kama unazo basi kwa sasa akili zako zimepungukiwa na akili mbili. Unauliza swali ambalo hata mtoto anayejifunza kusoma asingeuliza, hivi huoni jina la pili katika hii username? Au umefiwa katika huu mgomo wa kijinga wa madaktari?
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    9. #48
      maswitule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 445
      Rep Power : 526
      Likes Received
      123
      Likes Given
      48

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Quote By Mkirindi View Post
      Hiyo aliisema ku wa fahamisha y akuwa anybody can take advantage of the situation. hebu tujiulize nani atakaye faidika na hili jambo. SEREKALI AU UPINZANI NA HASWA CHADEMA. Tuaona watakavyo ichochea hata kufikisha maandamano, au watawachoea madaktari wagome.

      Hao waliomteka Dr Hawakuwa professionals, Serkali ingetaka kummaliza mbona hiyo ni kazi ndogo kwao, asinge amka usingizini. lakini mteke nyara kampige alafu mtupe njiani, aah hiyo ni siasa mbovu ya kina CHADEMA
      Inachekesha saana ina maana hata baba yake Mp akifa leo mtasema ni CDM? Tulidanganywa tukiwa zama za giza sasa ni Nuru.

    10. #49
      4change's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 196
      Rep Power : 407
      Likes Received
      45
      Likes Given
      18

      Default

      Quote By Mkirindi View Post
      Hiyo aliisema ku wa fahamisha y akuwa anybody can take advantage of the situation. hebu tujiulize nani atakaye faidika na hili jambo. SEREKALI AU UPINZANI NA HASWA CHADEMA. Tuaona watakavyo ichochea hata kufikisha maandamano, au watawachoea madaktari wagome.

      Hao waliomteka Dr Hawakuwa professionals, Serkali ingetaka kummaliza mbona hiyo ni kazi ndogo kwao, asinge amka usingizini. lakini mteke nyara kampige alafu mtupe njiani, aah hiyo ni siasa mbovu ya kina CHADEMA
      plan 'yenu' ni ya kitoto.so watu wenu wanojiita usalama wa taifa uwezo wao wa kufikiri na serikali yenu dhaifu mliona mkifanya hivyo
      na mkaja na maelezo hayo ndo mtakuwa mmejivua responsibility?jamii ya watu wenye akili wanaona mbele zaidi ya hapo mlipofikia!

    11. AZI is offline
      AZI
      #50
      AZI's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 15th July 2011
      Posts : 3
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      2

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      tutafika tu

    12. #51
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Quote By Dumela Mbegu View Post
      Na wanasema wako kwenye mgomo na hawawatibu wananchi,ila wao wenyewe wanatibiana. Shame kwa madaktari wote wa Tanzania
      Mulitegemea kuua sasa hajafa ,atatibiwa na kupona na ataendelea kutibu wanyonge

    13. #52
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,738
      Rep Power : 758
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      "Liwalo na liwe" na hii ilikuwa ni moja ya irani ya ccm
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    14. #53
      taffu69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2007
      Posts : 1,325
      Rep Power : 895
      Likes Received
      262
      Likes Given
      196

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Quote By Mkirindi View Post
      Hiyo aliisema ku wa fahamisha y akuwa anybody can take advantage of the situation. hebu tujiulize nani atakaye faidika na hili jambo. SEREKALI AU UPINZANI NA HASWA CHADEMA. Tuaona watakavyo ichochea hata kufikisha maandamano, au watawachoea madaktari wagome.

      Hao waliomteka Dr Hawakuwa professionals, Serkali ingetaka kummaliza mbona hiyo ni kazi ndogo kwao, asinge amka usingizini. lakini mteke nyara kampige alafu mtupe njiani, aah hiyo ni siasa mbovu ya kina CHADEMA
      Hivi mgomo wa madaktari unahusishwaje na CHADEMA.

      Na kwa uelewa wako na uzoefu ulionao ni mambo mangapi Serikali ya CCM hususan Serikali ya awamu ya nne imewahi kupanga na kuyatekeleza kwa ufanisi. Hata mikakati inayoandaliwa ndani ya CCM yenyewe haijawahi kufanikiwa hata mmoja!

    15. #54
      Jodoki Kalimilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Location : Ihayabuyaga
      Posts : 2,450
      Rep Power : 932
      Likes Received
      847
      Likes Given
      1603

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimbuka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Hapa watu watashindwa hata kuhoji mambo ya msingi wawapo katika maeneo yao

    16. #55
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 459
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Cku zote katika mapinduzi ili yatokee mabdiliko mambo kama haya hutegemewa. Pinda is behind this

    17. #56
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,602
      Rep Power : 1290
      Likes Received
      316
      Likes Given
      921

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Quote By Barnabas Shadrack View Post
      Hapo ndio utajua usanii wanaoufanya hao jamaa.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

      Kwani na wewe mkuu unatafunwa?
      NI UTAAHIRA MKUBWA SANA KUIUNGA MKONO CCM

    18. #57
      bushman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,502
      Rep Power : 738
      Likes Received
      336
      Likes Given
      84

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Kazi ndio kwanza imeaanza,madaktari wasikubali mpaka ulimboka apone,ndio atakayeongoza majadiliano,serikali dhaifu hii how many will you kill???
      TUSIRUHUSU AKILI NDOGO IONGOZE AKILI KUBWA BY MCH.PETER MSIGWA

    19. #58
      Gwankaja Gwakilingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Location : Masoko Busisya
      Posts : 1,230
      Rep Power : 619
      Likes Received
      338
      Likes Given
      34

      Default Re: Pinda alishamuahidi dr.ulimbuka alipokuja cpl kuwa atapata matatizo

      Quote By POMPO View Post
      Pinda is behind the sceen, shame on you Pinda
      hilooooo lipinda hiloooo shem on you pinda x1000000000
      kwa pamoja ni lazima twende mbali zaidi ya maneno yetu...........039.mac

    20. #59
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By FREDOMFIGHTER View Post
      Kwani na wewe mkuu unatafunwa?
      Kutafunwa nini wewe, hawawezi kunitafuna maana atakayethubutu....
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    21. #60
      Eeka Mangi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th July 2008
      Posts : 2,733
      Rep Power : 1107
      Likes Received
      292
      Likes Given
      180

      Default Re: Pinda alishamuahidi Dr. Ulimboka alipokuja CPL kuwa atapata matatizo

      Natamani kuona jua la kesho!
      kesho tu itafika! Ni lini lakini siku hii tuiitayo kesho itafika?
      Hapana kesho huwa haifiki! Ni bora nianze sasa!
      Naam mimi naanza safari ya ukombozi sasa! Saa ya ukombozi ni sasa!
      Hebu shime tuianze safari hii!
      Tutafika soon kama sio kesho basi hata mtondogoo

      Get well soon Dr Ulimboka!

    Page 3 of 7 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...