Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Serikali Kutoa kauli Kuhusu Mgomo wa Madaktari kesho

    Report Post
    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast
    Results 61 to 80 of 185
    1. #1
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 573
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Bungeni live: Pinda ajibu hoja za mgomo wa madaktari Asema LIWALO NA LIWE......

      Hana jipya,

      Mh. Zambi anahoji kuwa japokuwa kesi mahakamani madaktari wameendelea kugoma serikali inasemaje?

      Pinda kasema kesho watalitolea maamuzi na kasema LITAKALO KUWA NA LIWE. Hivi kwa kauli hii tuna waziri mkuu kweli??
      Last edited by dosama; 27th June 2012 at 10:57.

    2. RukaaJuu Final

    3. #61
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 581
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      ndugu zanguni

      hakuna aneunga mkono kupigwa na kuteswa kwa Dr ulimboka! lkn aliefanya hivyo hajulikani. suala la madaktari limekua la kisiasa. siasa ni mchezo mchafu


      NIMEJIFUNZA JAMBO MOJA

      Nimejifunza kuwa DAKTARI HARUHUSIWI KUGOMA KUTOKANA NA KAZI YAKE INAYOHUSU UHAI. mbona huyu dr ulimboka amekimbizwa mhimbili!!! kwa nini? jibu ni rahisi, KUOKOA MAISHA YAKE. sasa kwa nini wanagoma!? ina maana wantaka watanzania wafe? mboa serikali imetatua maombi yao kwa 70% bado TC SCan pekee na mambo madogo madogo. WANATAKA NIN HAWA MADAKTARI? WANATUMWA NA IFRITI (JINI) YUPI? waziri mkuu amesema bungeni kuwa serikali kesho itatoa msimamo wake.


      USHAURI WANGU
      Nashauri waziri wa utumishi awafukuze wote ambao HAWATARIPOTI KESHO ASUBUHI KAZINI. tuache kuvuruga nchi yetu yenye amani kwa MAMBO YA UCHU WA MADARAKA

    4. #62
      Kitungamirwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 31
      Rep Power : 367
      Likes Received
      5
      Likes Given
      1

      Default Re: Liwalo na Liwe!!!!!

      Usiseme watanzania tuko nyuma yake. Sema wewe Arnold uko nyuma yake. hatuwezi kuendelea kuiunga mkono serikali hata kama inafanya ushenzi. Ingeboresha mahitaji yao wangegoma? Au unasema hivyo kwa kuwa wewe si daktari ungejua ugumu wa kazi hiyo nawe ungegoma. mimi niko nyuma ya madaktari
      Quote By Anold
      Ukishapeleka mgojwa wako Kwa daktari halafu akakuambia kagoma halafu ukarudi nyumbani unamfagilia daktari kwa sababu yeyote ile huo utakuwa uendawazimu! Pinda kesho toa tamko ambalo serikali imechelea siku nyingi watz tupo nyuma yako

    5. #63
      Anold's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 727
      Rep Power : 608
      Likes Received
      74
      Likes Given
      26

      Default Mtoto wa Mkulima Kesho Mwaga Mboga.Kauli ya chondechonde sasa basi!!!

      Ni kweli madaktari wanahaki ya kudai maslahi yao!!! hiyo ni haki yao kwani siku hizi hata kazi za kanisa watu hulipwa. ila inapofika hatua ya kuibana serikali kwa staili ya kumdhuru mwananchi wa kawaida tena ambaye hata hiyo PANADOL kuipata kwake ni ishu nadhani hiyo si sawa!

      Serikali yetu nafikiri kuna maeneo inabidi ilaumiwe ila kwa hili tuitetee, sioni sababu ya msingi ya maana ambayo inaweza kunifanya nishawishike kuwa serikali haijafanya kitu kabisa kwenye hili la madaktari. Nafikiri imejitahidi, kuwasomesha bure tu madaktari tena kwa kodi za wananchi hilo si dogo, nafikiri sasa serikali itathmini sheria zake, hii dekezadekeza hii ndiyo inaleta matatizo haya mambo ya upole huu itaifikisha nchi pabaya sasa nidhamu irudi.

      Kesho nitashangaa kama nitasikia kauli za chondechonde! Liwalo na liwe. CHONDECHONDE basi, hii chekecheka hii kwa nchi maskini kama hii haitatufikisha popote. Upole na Hekima za Rais wetu kunawatu wanataka waipandie kichwani.! wakati shuleni watoto wa wakulima wanakalia mawe kunamtu anataka atimiziwe na serkali haki zake kwa asilimia 100%

      Ninaandika maneno haya maana ninamgonjwa (nadiklea intrest)

      I say No! liwalo na liwe! uwepo wa mabingwa hauzuii kifo!!!
      zomba likes this.

    6. #64
      Janjaweed's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2010
      Posts : 3,620
      Rep Power : 1129
      Likes Received
      1391
      Likes Given
      1541

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      nimesikitika sana

    7. awp
      #65
      awp's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Location : Around the Corner
      Posts : 923
      Rep Power : 535
      Likes Received
      273
      Likes Given
      1006

      Default Re: Mtoto wa Mkulima Kesho Mwaga Mboga.Kauli ya chondechonde sasa basi!!!

      tuingie msituni
      "Look Deep into Nature and then you will Understand Everything Better" - ALBERT Einstein

    8. Miaka 50

    9. #66
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 581
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      nchi nyingine zimeweka sheria inayozuia madaktari kugoma. wamesomeshwa na serikali. dktr bingwa mshahara wake na marupurup kwa ss unafikia milioni 8. WANATAKA NINI HAWA WATU!? WALIMU WASEMEJE NA MSHAHARI WA LAKI 3?

      huyu bwana amekaidi amri ya mahakama. wanatufundisha kuwa kuanzia leo watanzania tuanze kudharau mahakama zetue?

      acheni kauli ya kuwa kikwete ni dhaifu. atakuonesheni kuwa siyo dhaifu. chezea serikali wewe? (huu ni utani)

    10. #67
      Mess's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2009
      Location : Ukonga
      Posts : 625
      Rep Power : 650
      Likes Received
      123
      Likes Given
      36

      Default Re: Mtoto wa Mkulima Kesho Mwaga Mboga.Kauli ya chondechonde sasa basi!!!

      umetumwa na pinda nashangaa raia wengine hapo wa kumbana ni serikali na sio madaktari maana wakienda kazini kwa shingo upande na hizo panadol ndo mtakufa kama mbu wakipuliziwa dawa.

    11. #68
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 581
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      nchi nyingine zimeweka sheria inayozuia madaktari kugoma. wamesomeshwa na serikali. dktr bingwa mshahara wake na marupurup kwa ss unafikia milioni 8. WANATAKA NINI HAWA WATU!? WALIMU WASEMEJE NA MSHAHARI WA LAKI 3?

      huyu bwana amekaidi amri ya mahakama. wanatufundisha kuwa kuanzia leo watanzania tuanze kudharau mahakama zetue?

      acheni kauli ya kuwa kikwete ni dhaifu. atakuonesheni kuwa siyo dhaifu. chezea serikali wewe? (huu ni utani)

    12. #69
      makoye2009's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2009
      Posts : 1,420
      Rep Power : 798
      Likes Received
      384
      Likes Given
      266

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      Quote By Small Boy
      Kauli aliyoitoa bungeni leo asbuhi waziri mkuu pamoja naklukamatwa kupigwa kiongozi wa jumuiya ya madaktari Dr. Steven Ulimboka vinanifanya kutambua kwamba serikali yetu nzima haina mpango wowote na kujali maisha/uhai wa watanzania hata tone;
      Nawasihi madaktari wote nasi tuseme liwalo na liwe haturudi kazini

      Attachment 57574
      Dr Ulimmboka kama alivyokutwa leo asubuhi akiwa amejeruhiwa vibaya sana, please pray for our colleague to get well soon! Ni vigumu hata kumtambua.
      Siamini kama haya mambo yanatokea ndani ya Tanzania.
      This is very serious. Tunataka Wabunge wa Upinzani watoe tamko kulaani huu ushenzi. Hii ni kutaka kuunyamazisha umma kwa nguvu kwa madai ambayo ni ya msingi.

    13. #70
      Makala Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th August 2011
      Posts : 1,651
      Rep Power : 722
      Likes Received
      345
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      Sasa nimegundua,kumbe Pinda akipata kauli inayomsikitisha huwa analia (Unafiki) lakini linapotekea suala zito lenye kuwagusa wananchi masikini anasema liwalo na liwe.Ndiyo maadili ya wadhaifu!

    14. EJL
      #71
      EJL's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 379
      Likes Received
      11
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      Ndivyo alivyo huyu "mwana wa mkulima" daima huongea bila kufikiri. Bahati mbaya kashindwa hata kutumia usemi wa bosi wakealiosema, "akili ya mbayuwayu ongeza na za kwako". Sisemi hivi kwa kumdhalilisha Pinda; ila kama mtu anamfuatilia huyu jamaa utaweza kumuweka katika ngazi mbili. 1. Huambiwa/ huandikiwa cha kusema na hawezi kusoma wala kufatakari alichoandikiwa. 2. Ni mropokaji, hatafakari athari za kauli zake kwa umma ukizingatia nafasi yake ya uwaziri mkuu.
      Hii hapa mifano ya tabia na kauli za Pinda:
      1. Akiwa mkoa mmojawapo magharibi mwa nchi wakati tatizo la mauaji ya albino likiendelea aliropoka, "wauaji wakikamatwa wauwawe". Pamoja na uchungu wa mauaji hayo, Waziri mkuu ni wa kwanza kuhimiza wananchi kufuata misingi ya sheria na kutochukua sheria mkononi. Kauli hii ilimcost kulia mbele ya umma wa waTz!

      2. Alitishia kuwafukuza kazi madkari wote waligoma; lakini hata mgomo ulipoendelea hakuweza kuwafukuza kazi. Kwa nini? Pinda hakukaa chini na kutafakari kuwa uko utaratibu wa kumuondoa mtumishi katika ajira na pia mchakato wa kusomesha daktari mmoja una gharama kiasi gani. Kibaya zaidi alifikiri hawa madaktari ni kama shamba boy wake. Hakutaka kuangalia nini chanzo cha mgomo huu na kwa kiasi gani yeye na Serikali yake waliwafikisha madaktari mahali pa kugoma.

      3. Alisema Dr. Ulimboka si daktari maana hakuna taarifa/ rekodi kuwa alimaliza mafunzo yake baada ya kufukuzwa chuo. Alimuita Dr Ulimboka mhuni; ajabu mgomo ulipopamba moto Mh. Pinda alikaa meza moja na Mhuni huyu (Dr.Ulimboka); wala hakuhoji huyu katokea wapi?

      4. Alisema nitamshauri Rais kuwafuta kazi Mh.Mponda, Nkya; lakini hakufanya hivyo hadi Rais alifanya mabadiliko ya baraza kwa shinikizo la wabunge.

      Ya Mh. Pinda ni mengi mno. Nadhani hata kauli hii ya "liwalo na liwe" karopoka tu; ila ajue itamgharimu!


      EJL

    15. #72
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 715
      Rep Power : 503
      Likes Received
      282
      Likes Given
      410

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      Quote By kiddy adams
      Mie nadhani wote hawatutendei haki walipa kodi na wapiga kura wa nchi hii,kumbuka madktari wengi wamesomeshwa kwa kodi zetu cc wanaotusaliti leo hii na pia serikali kutolitazama tatizo hili kwa jicho la 3 na kutoa majibu dhahifu.je kunatofauti gani Kati ya boko haramu na madoktari wakibongo??
      Yani watu wanatetea haki zao unawafananisha na BOKO HALAM unanitafutia bani MBWA MWITU wewe...mood nimekuwa provoked na huyu FISI MAJI.

    16. #73
      gimmy's's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 312
      Rep Power : 514
      Likes Received
      39
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Small Boy
      Kauli aliyoitoa bungeni leo asbuhi waziri mkuu pamoja naklukamatwa kupigwa kiongozi wa jumuiya ya madaktari Dr. Steven Ulimboka vinanifanya kutambua kwamba serikali yetu nzima haina mpango wowote na kujali maisha/uhai wa watanzania hata tone;
      Nawasihi madaktari wote nasi tuseme liwalo na liwe haturudi kazini

      Attachment 57574
      Dr Ulimmboka kama alivyokutwa leo asubuhi akiwa amejeruhiwa vibaya sana, please pray for our colleague to get well soon! Ni vigumu hata kumtambua.
      Napata shida kidogo kwamba nikupe pole wewe au wale wagonjwa ambao kwa lengo lenu la kugoma na kuiwajibisha serikali wengi wanateseka,wengine wanakufa,mama zetu wanajifungua kwa uchungu bila ya kua na msaada wowote,haya ni mateso makubwa,
      Hemu tujiulize vipi kama ulimboka na yeye kama akitelekezwa aachwe bila ya huduma yoyote?
      ni vyema madaktari watafute njia tofauti yakuibana serikali kwani watanzania wasio na hatia wanakufa kwa kosa la serikali

    17. #74
      kuungutana's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th May 2012
      Posts : 15
      Rep Power : 358
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Mgomo wa Madaktari - Pinda asema "Liwalo na liwe"

      Ningesema Kigumu Chama cha Mafisadi! na wewe utaitikia Kidumu! Karagabaho!

    18. #75
      Anold's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2010
      Posts : 727
      Rep Power : 608
      Likes Received
      74
      Likes Given
      26

      Default Re: Mtoto wa Mkulima Kesho Mwaga Mboga.Kauli ya chondechonde sasa basi!!!

      Quote By Mess
      umetumwa na pinda nashangaa raia wengine hapo wa kumbana ni serikali na sio madaktari maana wakienda kazini kwa shingo upande na hizo panadol ndo mtakufa kama mbu wakipuliziwa dawa.
      Ukiwa na mgojwa utajua ninacho kisema! sasa subiri kesho ndiyo utajua kama serikali ni kitu gani?

    19. #76
      Asabaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2012
      Posts : 619
      Rep Power : 490
      Likes Received
      127
      Likes Given
      21

      Default Re: Mtoto wa Mkulima Kesho Mwaga Mboga.Kauli ya chondechonde sasa basi!!!

      Kitanda usicho kilalia hukijua kunguni wake....

    20. #77
      doup's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : N/A
      Posts : 697
      Rep Power : 661
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: Mtoto wa Mkulima Kesho Mwaga Mboga.Kauli ya chondechonde sasa basi!!!

      Bravo Madaktari!, Tatizo la kuchangua kiongozi Dhaifu, na kuwa naselekari dhaifu.

      Hakuna cha mtoto wa mkulima hapo tena, wamesha m-contaminate,
      Arusha ni mwanga wa TUMAINI jipya

    21. #78
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,672
      Rep Power : 977
      Likes Received
      584
      Likes Given
      10

      Default

      Ni kauli ya mtu aliyekata tamaa ambaye hana uwezo wa kupata ufumbuzi wa tatizo. Ni uthibitisho kwanini awamu hii imekwama. Ni udhaifu mkubwa. Sijui kwanini asijiuzulu akawapisha wenye uwezo.
      Quote By awp
      Liwalo na liwe" viongozi dhaifu, serikali dhaifu

    22. #79
      Mcharuko's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th September 2011
      Posts : 132
      Rep Power : 413
      Likes Received
      83
      Likes Given
      96

      Default Mh.Pinda ni Busara kama utaamua kujiuzulu.

      Kwa hili lililotokea la Dr. Ulimboka ambalo limehusishwa sana na kauli
      yako ya LIWALO NA LIWE ni busara kwako ukiamua kujiuzulu.
      Bila shaka umenielewa kwani nina wasiwasi wa kuhusishwa na mengine
      makubwa zaidi ambayo pengine utakuwa huhusiki nayo.
      Jiuzulu Mheshimiwa ili kulinda Imani ya wapiga kura wako wa Rukwa.

    23. #80
      sesy nzenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 372
      Likes Received
      11
      Likes Given
      94

      Default Re: Mh.Pinda ni Busara kama utaamua kujiuzulu.

      naunga mkono hoja ajiuzuru tu kwa hili hatakiwi kuwa hata mwenyekiti wa kijiji
      Daudi Mchambuzi likes this.

    Page 4 of 10 FirstFirst ... 23456 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...