Hana jipya,
Mh. Zambi anahoji kuwa japokuwa kesi mahakamani madaktari wameendelea kugoma serikali inasemaje?
Pinda kasema kesho watalitolea maamuzi na kasema LITAKALO KUWA NA LIWE. Hivi kwa kauli hii tuna waziri mkuu kweli??
Hana jipya,
Mh. Zambi anahoji kuwa japokuwa kesi mahakamani madaktari wameendelea kugoma serikali inasemaje?
Pinda kasema kesho watalitolea maamuzi na kasema LITAKALO KUWA NA LIWE. Hivi kwa kauli hii tuna waziri mkuu kweli??
Last edited by dosama; 27th June 2012 at 10:57.
Huku nako huyu mtumwa wa kisiasa anakuja na kauli hii?
Ama kweli nimekubaliana na kauli ya Mh.Manyika ya kwa serikali tawala na watumishi wake ni DHAIFU fluuuuuuu!!
Maisha bora kwa kila mtanzania!
Liwalo na liwe hata kwa kumuua Dr wetu Ulimboka.
Ni upepo tu utapita by JK
Shamba la bibi hili, kipimo cha kiongozi ni kipi kwani..... Watanzania tunakasumba mbaya sana ya kuchagua viongozi matahira na kuachana na wenye akili timamu. Haya ndo matokeo yake, mwisho wetu ni mbaya sana katika hii...
11.Kwa atakeeshindwa kulipa 200Tsh. basi apige mbizi. Stated by Magufuli to Kigamboni residents.
'' The socialism I believe in is everyone working for each other, everyone having a share of the rewards. It's the way I see football, the way I see life.'' By Bill Shankly
liwalo na liwe maana yake ni; WAtoto wangu wakiugua au mimi nitakwenda India so wagome wasigome mimi siadhiliki.
'They can go to Hell' (watanzania)
Cjui kwa nn wananchi Tanzania ni maskini.
Hakika huu ndo mwisho wa mateso kwa watanzania. Ukombozi unakuja tena kwa kasi kubwa ajabu hamuwezi amini.
YETU MACHO KUONA YATAKAYOTOKEA HAPO BAADAYE.
Tumefika hapa tulipo kwa sababu viongozi wetu wanasema "LIWALO na LIWE"
halamu mtu akisema rais ni dhaifu.....serikali daifu.... ccm dhaifu Ntolwa bungeni ndo wataanza kuelewa nini maana ya kauli ya mnyika sasa
Mie nadhani wote hawatutendei haki walipa kodi na wapiga kura wa nchi hii,kumbuka madktari wengi wamesomeshwa kwa kodi zetu cc wanaotusaliti leo hii na pia serikali kutolitazama tatizo hili kwa jicho la 3 na kutoa majibu dhahifu.je kunatofauti gani Kati ya boko haramu na madoktari wakibongo??
Liwalo na liwe" viongozi dhaifu, serikali dhaifu
"Look Deep into Nature and then you will Understand Everything Better" - ALBERT Einstein
Liwalo na liwe! Waziri mkuu dhaifu.
Amani uanyo wewe ambaye una uhukika wa kutibiwa na nduguzo zako wote! Ningekuwa mimi pinda ningejiuzulu na kukaa pembeni ni waachie watu wenye upeo na uwezo wa kauwatuliza madaktari. MIMI NAONA AIBU KWA KIONGOZI KAMA PINDA KUTAMKA BUNGENI KWAMBA WANAENDA MAHAKAMANI kukatataza madaktari wasogome. Watanzania tutibiwe kwa amri ya MAHAKAMA na si MOTISHA, UELEDI na UKALIMU wa MADAKTARI.
Yesu wangu siamini macho yangu wala ninachokisikia dw hivi kweli serikali imefika hapa imefika hapa eh Mungu imetosha sasa duuh, Mungu akuponye.
''Those who make peaceful revolution impossible will make violent revolution inevitable''John F. Kennedy
Naamini madaktari watagoma kumtibu huyu pia! Wasionee makabwela tu! Anyway Ulimboka mikono yake imejaa damu ya watu waliokufa kwa migomo inayoongozwa na huyu! Taste your own medicine dude!
Follow Us Here