Re: Kufatia mateso kwa Dr Ulimboka, vyumba vya maiti nao wagoma!

By
Froida
JK ni Laana ya nchi hii kama EMMA
Tume ya Taifa ya Uchaguzi ijifunze kutokana na yanayotokea Tanzania kwa sasa, watu wenye akili zao wamempima mtu wamegundua hana uwezo wa kuwa kiongozi wa nchi wamemkataa lakini wao wanaamua tu kumtangaza tu, haya Jk anawaonyesha uwezo wake kwa matokeo tuu. Maisha yanazidi kuwa magumu kwa watumishi wa umma na sector binafsi. Ilihali amewahi kudanganya kwamba atafanya maisha bora kwa kila Mtanzania
Haiwezekani Kabisa Twiga kupakiwa ndani ya ndege tayari kupelekwa nje ya nchi bila Polisi na Usalama wa Taifa kujua....
Follow Us Here