Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 1 of 85 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!

      Attached Thumbnails  

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      hans79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2011
      Posts : 1,516
      Rep Power : 771
      Likes Received
      143
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Tupo Iraq nini!

    4. #3
      Mjenda Chilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th July 2011
      Posts : 769
      Rep Power : 554
      Likes Received
      237
      Likes Given
      3

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      mh! sidhani kama that can be the case, labda useme amekamatwa. kutekwa?
      fofofo likes this.

    5. #4
      Technician's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2010
      Posts : 796
      Rep Power : 624
      Likes Received
      191
      Likes Given
      163

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Wenye silaha ni maaskari na usalama, Dr Ulimboka hana biashara yoyote anayofanya imfanye atekwe, hana pesa hana kitu ni maskini tuu, sasa swali kuu ni nani aliyemteka? Ni government agent na ni specific na issue ya madokta full stop.

      Aand then what next.....the doktas are still ndani ya mgomo baridi
      The best lovers are those with well developed sensitivity and a wide imagination.

    6. #5
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Watakuwa wapuuzi kweli wakimteka. Labda kukamatwa kwa kuvunja sheria. But does it help?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    7. Miaka 50

    8. #6
      KABAZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2010
      Posts : 288
      Rep Power : 519
      Likes Received
      7
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Sasa mbona hao jamaa kwa kitendo hicho ndio wanaibua ajenda mpya sasa!!!!!!!!!

    9. #7
      Malolella's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 310
      Rep Power : 430
      Likes Received
      80
      Likes Given
      7

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Hapo serikali ndo inapojitia kitanzi.
      Dingswayo, bemg, QUALITY and 1 others like this.

    10. #8
      christine ibrahim's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 2,734
      Rep Power : 911
      Likes Received
      437
      Likes Given
      440

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      yaan serikali hapo ndo inapochemka!what do u think ikitangazwa kuwa amekamatwa au kitekwa,nchi haitatawalika jamani,mark my word!

    11. #9
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 455
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Duuu sasa hili balaa.

    12. #10
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 484
      Rep Power : 464
      Likes Received
      77
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Ndio maamuzi mabovu ya serikali. Bado walimu na kitawaka tu.

    13. #11
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,218
      Rep Power : 28909
      Likes Received
      11706
      Likes Given
      4819

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Sina hakika na ukweli wa habari hii!
      Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!

    14. #12
      Mikael P Aweda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 1,866
      Rep Power : 6554
      Likes Received
      2461
      Likes Given
      2266

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Kama habari hii ni ya kweli, Suluhisho la ukweli halitokani na kuteka watu, ni kwa kuwapa madaktari haki yao.

      Serikali badala ya kuteka mafisadi inateka wanaodai maslahi yao. Aibu!. Baadhi ya madai ya madaktari ni ya Msingi, wanataka huduma ziboreshwe hospitalini, wanataka wasiwaandikie watu aspirini wakati wanahitaji dawa ya malaria isiyokuwepo.

      Haya ni madai ya haki, hayatatatuliwa kwa kuteka watu.
      Mikael P Aweda 0784 583 330
      Elimu kwanza

    15. #13
      andrewk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2010
      Posts : 2,228
      Rep Power : 908
      Likes Received
      283
      Likes Given
      60

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      kiswahili kinakusumbua wewe? angekuwa amekamatwa ungejua yuko wapi na ni nani kafanya hivyo

      Quote By Mjenda Chilo
      mh! sidhani kama that can be the case, labda useme amekamatwa. kutekwa?

    16. #14
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 484
      Rep Power : 669
      Likes Received
      111
      Likes Given
      64

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      kama ni kweli,hapo ndio serekali inawasukuma madaktari kugoma kwa nguvu zote..

    17. #15
      Duduwasha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 2,620
      Rep Power : 6249
      Likes Received
      523
      Likes Given
      418

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Inanikumbusha utawala wa Moi Bwana Ouko alipopotea kwa Staili hii.... Sasa kama Mr Dhaifu naye anafuata njia hizi hizi kufunika Uozo wake hii ni hatari zaidi ya Ukoma
      Bigirita likes this.

    18. #16
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,155
      Rep Power : 715
      Likes Received
      305
      Likes Given
      125

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      sidhani kama kikwete atamaliza mda wake, inabidi apewe ulinzi mkali mana anaweza kujinyonga!
      Abraham and DALA like this.
      tanzania kwanza!

    19. #17
      Kijana leo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 420
      Rep Power : 444
      Likes Received
      61
      Likes Given
      30

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      ma Dr wapo tayari kwa mazungumzo ya dhati, hiyo njia wanayotumia serikali italeta tatizo la pili.

    20. #18
      Honolulu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 19th January 2012
      Posts : 720
      Rep Power : 0
      Likes Received
      284
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Serikali ya ccm angalieni sana! Kumwaga damu sio suluhisho la matatizo! Mkimuua huyo ndio chanzo cha migogoro zaidi!!!

    21. #19
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,253
      Rep Power : 1542
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Madaktari please! Tupe taarifa

    22. #20
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5063
      Likes Received
      3202
      Likes Given
      2661

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Du imbombo ngafu ni simple kuwatrack hao waliomkamata kupitia call records zao tu mpaka watajulikana.

    Page 1 of 85 12311 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...