Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 71 of 85 FirstFirst ... 61697071727381 ... LastLast
    Results 1,401 to 1,420 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. FemaTV & Radio

    3. #1401
      RockSpider's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2010
      Posts : 807
      Rep Power : 617
      Likes Received
      281
      Likes Given
      110

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Hydrobenga
      Pole Pole Mama....Unayosema hayahalalishi vifo vya wananchi wasio na hatia..unataka tusiwahusishe madaktari kivipi ? Na wewe pia semea Nafsi yako na waliokutuma....Povu linakutoka hadi unaomba msaada kwa Mods ?Jikaze mtoto wa kike !!! Mngekuja kuwaka Kama siku ile wananchi walivyokufa kwa mgomo tungewaelewa...Huyu ulimboka ni bora kuliko wale waliopoteza roho zao katika mgomo ?..watolee povu wananchi wa kawaida pia ! sio akinya bata unakuja kutoa povu hapa JF akinya kuku unapotezea!
      Dada Mgawatigo kweli unapenda kukilimbitwa! Yaani wewe huoni Watanzania wanavyo uawa kila kukicha migodini? Huoni mauji yanayofanywa na kuratibiwa na serikali ya CCM kwenye chaguzi ndogo za Igunga, Arumeru? Kisharuala kinakuwasha kwenye masaburi mpaka husikii wala huoni mauaji yanayoendelea kule nyamongo? Akili yako ya kubebewa na mabasha wanaokupumulia kisogoni inakufanya usione viwanda vilivyofisadiwa na CCM wananchi wakakosa ajiri hatimae wakafariki kwa ufukara.. Huoni wala haujasikia kuwa CCM walimua Baba wataifa ili waweze kutoroshea fedha zetu kwa mabasha wenu? Dada Mgawatigo Pls fungua macho na masiko yako acha kufikiri kwa kutumia masaburi, CCM wametusababishia ajali ngapi za barabarini kutokana na miundo mbinu mibovu? CCM inanuka damu!! Tanzania haipaswi kuwa maskini mafukara Da Mgawatigo! Ona Botswana wanavoajiri madaktari kutoka ktk kila kona ya dunia na wanawalipa vizuri kutokana na mapato ya madini yao!!! Umefirigiswaa na sasa huoni unatetea mabasha zako hata kwenye mauji ya Watanzania wazalendo!!!

      Anyway...Uchunguzi wa kina ukifanyika nina uhakika 100% waliotaka kumua Dr Ulimboka watakuwa kikosi kazi cha Green Guard! Usalama wa Taifa hawawezi kamwe kufanya ujinga kama huo !!!

    4. #1402
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1035
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Ni bahati mbaya nimekuwa busy sijaweza kuchangia wala kupitia maoni ya wachangiaji wengine na pia kutokana na ujinga unaoendelea kujitokeza jukwaani kuona wenye mawazo tofauti kuwa wametumwa na nape nk naomba nisichangie....ila nakumbuka jumamosi iliyopita nilimuuliza mchangiaji mmoja kuwa just imagine unasafiri then yanakukuta ya kukukuta njiani halafu mgomo unaoushabikia unaendelea...fumba macho then uone hiyo picha..

      At the end tulikubaliana kutokuelewana... Nachotaka kusema hapa ni kuwa bila kujali ulimboka kafanya/kafanywa nini pengine na nani bali yuko kama tunavyomuona kwenye picha...(mimi si mmojawapo wa wanaoshabikia mabaya) lakini bila huduma za madaktari (pamoja na ukweli kuwa yeye ni daktari) asilimia za kumkosa ni kubwa...je ni wangapi kuanzia kule Kintinku, Misenyi, Nguruka, Lituhi, Namanyere, Karumeli, Mbambabay Nyachabakeni, Muhoro, nk nk wanaopatwa na masahibu kama haya na wanaathirika na mgomo alouasisi yeye na hatimaye kufa kwa kukosa huduma?

      Hivi maisha ya mtu yana mbadala?? serekali wanayoigomea inaathirika vipi na hili? yanini tunamalizana wenyewe kwa kudhani kuna tunayemkomoa serekalini? ...acha niwe kilaza katika hili ila bado sielewi madaktari na wanaowaunga mkono... wangetenganisha madai ya mshahara na madai ya mazingira bora ya kufanyia kazi wangeeleweka vizuri sana na tungewaunga mkono saana tu...lakini madai ya mshahara wa millioni 3 kufichwa ndani ya madai ya kuboresha huduma ...nitakuwa wa mwisho kuelewa...

      Hakuna aliyelazimishwa kuwa daktari ila ukeshakuwa daktari una kiapo cha kutumikia wagonjwa...leo mzima kesho nani anajua UTAKUWA KAMA ULIMBOKA?? Alijua kuwa atakutana na alokutana nayo? Hasha...sitaki na wala sitaingika kwenye mjadala wa ama ameshughulikiwa na serekali, amefumaniwa amepata ajali...what ever the case lakini wapo watanzania wangapi ambao hawajiwezi (kama yeye) na sasa wanavuta pumzi za mwisho bila msaada kutokana na mgomo alouasisi?

      Mbona wenzie hawakugoma kwake?? wamelipwa millioni 3? Nakaribisha matusi kama ilivyo kawaida ya JF nowadays ....kwamba lazima tuwaze yanayofanana.
      KISUKALI likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    5. #1403
      Inanambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th June 2011
      Posts : 614
      Rep Power : 522
      Likes Received
      97
      Likes Given
      20

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Yaani inasikitisha nchi yetu hii tunakwenda wapi ndugu? Inatia uchungu sana. Kumbe ndio sababu hata leo hatujaambiwa kama amri ya mahakama wameitii au vipi kwa sababu kiongozi wao hakuwepo kuwapa taarifa.
      Kumbe alikuwa hoi kwa kipigo maskini; pole sana dk umboka get well soon.
      Unstoppable likes this.

    6. #1404
      fredmlay's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2008
      Posts : 1,515
      Rep Power : 868
      Likes Received
      265
      Likes Given
      931

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa tukisema serikali dhaifu wengine humu mpaka povu zinawatoka.. lakini hawajiulizi posho wanasiasa/vigogo na tume mbalimbali wanazolipana licha ya mishahara minono, linapokuja swala la utatuzi wa kero ndio maswala kama haya ya kutekwa au hata kuuwawa, kwa serikali imara hiyo haiwezekani bali kwa serikali dhaifu tu.
      Unstoppable likes this.
      A wise man will make more opportunities than he finds:

    7. #1405
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,421
      Rep Power : 1035
      Likes Received
      1173
      Likes Given
      599

      Default Re: Si tetesi: Ulimboka amepatikana akiwa ameteswa..anapelekwa MOI now!

      Quote By Riwa
      Jamani this is iserious nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa legal and human rights center wameniambia wametoka kumchukua Dr Ulimboka kule mwabepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi please tunaomba mtume habari hii kila mahali please! Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center. Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Wanampeleka MOI kufanya nini si kuna mgomo alouasisi yeye?? Hakujua na yeye ni mwili na damu?? kwani aliwahi kumuona kikwete au pinda au hessein mwinyi kwenye foleni muhimbili?? unagomea walalahoi wenzako ...hao waliorudishwa kwenye machela si ni binadamu kama yeye??
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    8. Miaka 50

    9. #1406
      MziziMkavu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2009
      Location : European Union
      Posts : 22,182
      Rep Power : 19209
      Likes Received
      8137
      Likes Given
      26611

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      ongozi wa Madaktari Atekwa, Aokotwa Akiwa Hoi

      Dokta Ulimboka baada ya kuokotwa
      MWENYEKITI WA chama cha Madaktari, Tanzania, Dkt. Steven Ulimboka ameokotwa eneo la Mabwepande akiwa hoi baada ya kutekwa na watu asiowafahamu jana.
      Kufuatia hali hiyo, Ulimboka amefikishwa katika hospitali ya Taifa Muhimbili katika Wodi ya kitengo cha mifupa, Moi kwa ajili ya matibabu baada ya kujeruhiwa kwa mapanga.

      Majira haya Ulimboka amepokelewa hospitalini hapo na umati wa watu kwa huzuni tele akiwa na majeraha kwenye baadhi ya viungo vyake.

      Kwa mujibu wa yeye mwenyewe akiongea kwa tabu Dkt. Ulimboka amesema kuwa " nilitekwa jana majira ya saa 6 usiku, na watu watano wakiwa na bunduki na kuniuliza wenzangu, nikawajibu hawapo wakaniambia tutakuchukua wewe peke yako".

      "Tulipofika eneo walilolitaka wakanivuta kwenye rami chini na kunipa kipigo kisha kuniingiza kwenye gari nyeusi ambayo haikuwa na namba" amesema Ulimboka kwa shida kwa jinsi alivyoweza kukumbuka tukio hilo.

      Wakati Ulimboka anafikishwa hospitalini asubuhi hii, kuna askari alijitokeza akiwa na redio call alivamiwa na watu na kuanza kupigwa na alikuja kuokolewa na badhi ya askari waliokuwa maeneo hayo.

      Kufuatia hali hiyo hadi habari hii inandikwa leo majira haya ya saa 6 mchana askari wa kutuliza fujo FFU wametanda hospitalini hapo

      Kiongozi wa Madaktari Atekwa, Aokotwa Akiwa Hoi
      Only Do What Your Heart Tells You




      Allah
      Has Not Revealed A Disease without Treatment....
      (Prevention is Better Than Cure) Email Address yangu hii [email protected]

    10. FJM
      #1407
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,174
      Rep Power : 2568
      Likes Received
      5323
      Likes Given
      4587

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Nasubiri kauli ya serikali kesho. Wakubwa wanaweza kutoa kauli za ajabu kesho na kama kawaida wabunge wa CCM watapiga makofi na hata kushangilia. Natabiri kikao kitaongozwa na Spika mwenyewe ili amuokoe swaiba wake Pinda.

      Ila niseme hivi, serikali na CCM kwa jumla wako nyuma sana and out of touch. Labda kwa sababu wamekaa madarakani kwa muda mrefu hivyo wamesahau maisha ya uraini yakoje na watu wanafiria nini. Matokeo yake wanaendesha mambo kizamani na kimabavu mno. Kesho nasubiri kauli.
      Unstoppable likes this.

    11. #1408
      Dr. Wansegamila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Location : Kwetu pazuri
      Posts : 345
      Rep Power : 2081
      Likes Received
      143
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By Mkirua
      Wanampeleka MOI kufanya nini si kuna mgomo alouasisi yeye?? Hakujua na yeye ni mwili na damu?? kwani aliwahi kumuona kikwete au pinda au hessein mwinyi kwenye foleni muhimbili?? unagomea walalahoi wenzako ...hao waliorudishwa kwenye machela si ni binadamu kama yeye??
      wamempeleka MOI kumtibu.......... Tena kwa taarifa yako matibabu anayopewa hata rais wako hajawahi kupewa; under specialists care for 24hrs tumepeana shifts.
      Papizo and Unstoppable like this.

    12. BAK
      #1409
      BAK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2007
      Location : Mfaranyaki
      Posts : 26,599
      Rep Power : 44964
      Likes Received
      8345
      Likes Given
      8335

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By MwanajamiiOne
      Dah....................... pole sana kaka. MUNGU atakuponya tambua tu kuwa watanzania wengi tuko pamoja nawe.

      Hivi watanzania tumerogwa na nani?
      We acha tu MJ1...Yaani hii kitu imenikosesha raha sana. Kutaka kumuua mtu kwa kudai haki ambayo Watanzania wengi tunaona wanastahili na pia kuziboresha Hospitali zetu...Wakati mafisadi wa EPA, Rada, Kiwira n.k. wanaendelea kupeta....Nchi haina muelekeo kabisa na hawa walio madarakani hawastahili kuwepo maana kazi imewashinda sasa wanaanza kujihami kwa kuwaua Watanzania.
      MwanajamiiOne and Unstoppable like this.
      Let your graceful words fly out into the World, carried on winds of courage, imagination and joy. Let them inspire others to step into action

    13. #1410
      Karata's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2011
      Posts : 279
      Rep Power : 463
      Likes Received
      53
      Likes Given
      66

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Mkirua
      Ni bahati mbaya nimekuwa busy sijaweza kuchangia wala kupitia maoni ya wachangiaji wengine na pia kutokana na ujinga unaoendelea kujitokeza jukwaani kuona wenye mawazo tofauti kuwa wametumwa na nape nk naomba nisichangie....ila nakumbuka jumamosi iliyopita nilimuuliza mchangiaji mmoja kuwa just imagine unasafiri then yanakukuta ya kukukuta njiani halafu mgomo unaoushabikia unaendelea...fumba macho then uone hiyo picha..

      At the end tulikubaliana kutokuelewana... Nachotaka kusema hapa ni kuwa bila kujali ulimboka kafanya/kafanywa nini pengine na nani bali yuko kama tunavyomuona kwenye picha...(mimi si mmojawapo wa wanaoshabikia mabaya) lakini bila huduma za madaktari (pamoja na ukweli kuwa yeye ni daktari) asilimia za kumkosa ni kubwa...je ni wangapi kuanzia kule Kintinku, Misenyi, Nguruka, Lituhi, Namanyere, Karumeli, Mbambabay Nyachabakeni, Muhoro, nk nk wanaopatwa na masahibu kama haya na wanaathirika na mgomo alouasisi yeye na hatimaye kufa kwa kukosa huduma?

      Hivi maisha ya mtu yana mbadala?? serekali wanayoigomea inaathirika vipi na hili? yanini tunamalizana wenyewe kwa kudhani kuna tunayemkomoa serekalini? ...acha niwe kilaza katika hili ila bado sielewi madaktari na wanaowaunga mkono... wangetenganisha madai ya mshahara na madai ya mazingira bora ya kufanyia kazi wangeeleweka vizuri sana na tungewaunga mkono saana tu...lakini madai ya mshahara wa millioni 3 kufichwa ndani ya madai ya kuboresha huduma ...nitakuwa wa mwisho kuelewa...

      Hakuna aliyelazimishwa kuwa daktari ila ukeshakuwa daktari una kiapo cha kutumikia wagonjwa...leo mzima kesho nani anajua UTAKUWA KAMA ULIMBOKA?? Alijua kuwa atakutana na alokutana nayo? Hasha...sitaki na wala sitaingika kwenye mjadala wa ama ameshughulikiwa na serekali, amefumaniwa amepata ajali...what ever the case lakini wapo watanzania wangapi ambao hawajiwezi (kama yeye) na sasa wanavuta pumzi za mwisho bila msaada kutokana na mgomo alouasisi?

      Mbona wenzie hawakugoma kwake?? wamelipwa millioni 3? Nakaribisha matusi kama ilivyo kawaida ya JF nowadays ....kwamba lazima tuwaze yanayofanana.

      THE PHYSICIAN'S OATH

      • I solemnly pledge myself to consecrate my life to the service of humanity;
      • I will give to my teachers the respect and gratitude which is their due;
      • I will practice my profession with conscience and dignity;
      • The health of my patient will be my first consideration;
      • I will respect the secrets which are confided in me;
      • I will maintain by all the means in my power, the honour and the noble traditions of the medical profession;
      • My colleagues will be my brothers and sisters;
      • I will not permit considerations of religion, nationality, race, gender, politics, socioeconomic standing, or sexual orientation to intervene between my duty and my patient;
      • I will maintain the utmost respect for human life; even under threat, I will not use my medical knowledge contrary to the laws of humanity;
      • I make these promises solemnly, freely and upon my honour.
      • JIBU LAKO LIPO KWENYE BULLET ILIYOBOLD KWA WEKUNDU.

    14. #1411
      Wachovu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 223
      Rep Power : 1112
      Likes Received
      44
      Likes Given
      0

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Huwezi kumlazimisha Daktari kwa buduki , Serikali acha mchemsho huu

    15. #1412
      Ng'wanambula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 403
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Mkirua
      Ni bahati mbaya nimekuwa busy sijaweza kuchangia wala kupitia maoni ya wachangiaji wengine na pia kutokana na ujinga unaoendelea kujitokeza jukwaani kuona wenye mawazo tofauti kuwa wametumwa na nape nk naomba nisichangie....ila nakumbuka jumamosi iliyopita nilimuuliza mchangiaji mmoja kuwa just imagine unasafiri then yanakukuta ya kukukuta njiani halafu mgomo unaoushabikia unaendelea...fumba macho then uone hiyo picha..

      At the end tulikubaliana kutokuelewana... Nachotaka kusema hapa ni kuwa bila kujali ulimboka kafanya/kafanywa nini pengine na nani bali yuko kama tunavyomuona kwenye picha...(mimi si mmojawapo wa wanaoshabikia mabaya) lakini bila huduma za madaktari (pamoja na ukweli kuwa yeye ni daktari) asilimia za kumkosa ni kubwa...je ni wangapi kuanzia kule Kintinku, Misenyi, Nguruka, Lituhi, Namanyere, Karumeli, Mbambabay Nyachabakeni, Muhoro, nk nk wanaopatwa na masahibu kama haya na wanaathirika na mgomo alouasisi yeye na hatimaye kufa kwa kukosa huduma?

      Hivi maisha ya mtu yana mbadala?? serekali wanayoigomea inaathirika vipi na hili? yanini tunamalizana wenyewe kwa kudhani kuna tunayemkomoa serekalini? ...acha niwe kilaza katika hili ila bado sielewi madaktari na wanaowaunga mkono... wangetenganisha madai ya mshahara na madai ya mazingira bora ya kufanyia kazi wangeeleweka vizuri sana na tungewaunga mkono saana tu...lakini madai ya mshahara wa millioni 3 kufichwa ndani ya madai ya kuboresha huduma ...nitakuwa wa mwisho kuelewa...

      Hakuna aliyelazimishwa kuwa daktari ila ukeshakuwa daktari una kiapo cha kutumikia wagonjwa...leo mzima kesho nani anajua UTAKUWA KAMA ULIMBOKA?? Alijua kuwa atakutana na alokutana nayo? Hasha...sitaki na wala sitaingika kwenye mjadala wa ama ameshughulikiwa na serekali, amefumaniwa amepata ajali...what ever the case lakini wapo watanzania wangapi ambao hawajiwezi (kama yeye) na sasa wanavuta pumzi za mwisho bila msaada kutokana na mgomo alouasisi?

      Mbona wenzie hawakugoma kwake?? wamelipwa millioni 3? Nakaribisha matusi kama ilivyo kawaida ya JF nowadays ....kwamba lazima tuwaze yanayofanana.
      Mkubwa mimi niko pampja na wewe.Tatizo la hawa madaktari wanadhani na kujiona wao ni muhimu kuliko watumishi wengine.Halafu madai sio realistic,mshahara wa 3 million??!!!Watu wanataabika na pengine kufa wao wakishuhudia lkn wakiendelea na mgomo.Halafu hiyo Dr Ulimboka anaenda na rafiki yake kwenye issue kubwa kama hiyo tena inayohusu nchi nzima!Kwani hiyo kamati ya madaktari ni ULIMBOKA NA RAFIKI YAKE TU?Huyu
      ni corrupt na hafai maana inaonekana anaweza kununuliwa na kuwasaliti wenzake.Hiyo kuitwa ili WAKAYAMALIZR yeye alijua anaitiwa dili ili akatengeneze pesa.Badala yake ndio yamempata hayo.Sishabikii itekaji na unyanyasaji aliofanyiwa Dr Ulimboka,lakini SI MTU MAKINI.
      Jwagu and zomba like this.

    16. #1413
      Mwasi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th February 2010
      Posts : 168
      Rep Power : 504
      Likes Received
      50
      Likes Given
      223

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Duh..inasikitisha eti Tanzania kisiwa cha amani. Pole sana Dr. Ulimboka. Mungu akujalie upone haraka. So sad..
      I Miss my Mum

    17. #1414
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,670
      Rep Power : 976
      Likes Received
      581
      Likes Given
      10

      Default

      Masikini wa akili wewe!
      Quote By Ng'wanambula
      Mkubwa mimi niko pampja na wewe.Tatizo la hawa madaktari wanadhani na kujiona wao ni muhimu kuliko watumishi wengine.Halafu madai sio realistic,mshahara wa 3 million??!!!Watu wanataabika na pengine kufa wao wakishuhudia lkn wakiendelea na mgomo.Halafu hiyo Dr Ulimboka anaenda na rafiki yake kwenye issue kubwa kama hiyo tena inayohusu nchi nzima!Kwani hiyo kamati ya madaktari ni ULIMBOKA NA RAFIKI YAKE TU?Huyu
      ni corrupt na hafai maana inaonekana anaweza kununuliwa na kuwasaliti wenzake.Hiyo kuitwa ili WAKAYAMALIZR yeye alijua anaitiwa dili ili akatengeneze pesa.Badala yake ndio yamempata hayo.Sishabikii itekaji na unyanyasaji aliofanyiwa Dr Ulimboka,lakini SI MTU MAKINI.

    18. #1415
      Manager's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 499
      Likes Received
      61
      Likes Given
      362

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Mungu hazihakiwi, apandacho mtu(serikali) ndio atakachovuna! Laana iko mbioni, mimi sijui. Mungu mponye mjoli wako na ujilipizie kisasi mwenyewe

    19. #1416
      Borat69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Global Citizen
      Posts : 704
      Rep Power : 489
      Likes Received
      279
      Likes Given
      77

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By rais wa tano
      inawezekana wameenda kujadiliana,sidhani kama atafanyiwa kitu kibaya mana utandawazi umeanika kila kitu,lazima waogope hilo
      Ameshafanyiwa kitu kibaya, futa kauli yako potofu.
      "Our Lives begin to End the Day We Become Silent About Things that Matter"-Dr Martin Luther King Jr.

    20. #1417
      Ng'wanambula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 403
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By timbilimu
      Masikini wa akili wewe!
      Maskini wa akili ma..... yako

    21. #1418
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Ng'wanambula
      Mkubwa mimi niko pampja na wewe.Tatizo la hawa madaktari wanadhani na kujiona wao ni muhimu kuliko watumishi wengine.Halafu madai sio realistic,mshahara wa 3 million??!!!Watu wanataabika na pengine kufa wao wakishuhudia lkn wakiendelea na mgomo.Halafu hiyo Dr Ulimboka anaenda na rafiki yake kwenye issue kubwa kama hiyo tena inayohusu nchi nzima!Kwani hiyo kamati ya madaktari ni ULIMBOKA NA RAFIKI YAKE TU?Huyu
      ni corrupt na hafai maana inaonekana anaweza kununuliwa na kuwasaliti wenzake.Hiyo kuitwa ili WAKAYAMALIZR yeye alijua anaitiwa dili ili akatengeneze pesa.Badala yake ndio yamempata hayo.Sishabikii itekaji na unyanyasaji aliofanyiwa Dr Ulimboka,lakini SI MTU MAKINI.
      Hilo nalo neno.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    22. #1419
      KISUKALI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th February 2010
      Posts : 72
      Rep Power : 483
      Likes Received
      8
      Likes Given
      50

      Default Re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Fblukuwi
      Kugoma ni akili za kipumbavu?
      Nadhani mwenye akili za upumba%u ni wewe kwani umeridhika na UDHAIFU wa Serikali yako!!
      Mkuu sasa Ujanja/Werevu wakugoma ni nini/ni upi? Naona Ugomaji ndio Udhaifu wa Kwanza na Mwisho! Hebu tuamini na tukubali japo kwa masaa tu kuwa Serekali ni DHAIFU sasa Inawashindaje/Inatushindaje kuiondoa??

    23. #1420
      Sufa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th November 2006
      Location : London, UK
      Posts : 23
      Rep Power : 643
      Likes Received
      0
      Likes Given
      3

      Default Re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kitu gani hii! Sasa wanaipeleka nchi pabaya, wameishiwa na hoja?

    Page 71 of 85 FirstFirst ... 61697071727381 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...