Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 61 of 85 FirstFirst ... 51596061626371 ... LastLast
    Results 1,201 to 1,220 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 547
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. FemaTV & Radio

    3. #1201
      Makame's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2008
      Posts : 513
      Rep Power : 680
      Likes Received
      57
      Likes Given
      23

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Mimibaba
      Kama unafanyia assignment yako hapa acha, tafuta njia mbadala
      Wewe unajiita Wewe BABA? Siwezi kukujibu kwa lugha ya Jazba wala hasira; assignment gani hiyo?

      Mimi nimeuliza hapa; Polisi ikipata mtu kajeruhiwa au kufariki wanatakiwa wachukue hatua gani? Wanatakiwa Kupiga SIMU LHRC?

      Let us be realistic.

      Na pia kama huna mchango, tafadhali usiweke matapishi Jukwaani.

      Assignment inafanywa JF?

      You need mental treatment
      God made Man, Man made Money, Money made man mad!

    4. #1202
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,034
      Rep Power : 1317
      Likes Received
      218
      Likes Given
      677

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      HYDROBENGA. ...upo upande wa waliopatwa na machungu ya kufiwa na ndugu/rafiki/jamaa kwa sakata la madaktari.....!
      wasiopatwa na kadhia hiyo hawakuelewi.........!
      MKUKI KWA NGURUWE.....KWA BINADAMU MCHUNGU..!

    5. #1203
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 582
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Barnabas Shadrack
      Kwa nini hiyo siku isiwe leo au kesho? Au watanzania tunasubiri waje wazungu kutusaidia kuondoa viongozi dhaifu serikalini. Inauma sana kuona Tanzania ikibakizwa mifupa tu wakati huo nyama yote inamalizwa. Sijui wajukuu zetu watakuja wapate hata hiyo mifupa kweli.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      watanzania tumelelewa kwenye misingi ya uonga,hii imesababishwa na umasikini tulionao,na ndiyo maana watawala wetu wanahakikisha tunabaki masikini ilitushindwe kufanya maamuzi.ukilinganisha hali ya 2005 mpaka sasa,utaona watu wameanza kuhoji mambo,lakuini sasa,katika mabili0ni ya watanzania,watu wa kuhoji niwachache sana,lakini watanza watake wasitake lazima wafanye maamuzi maana mabo ni mabaya kwa kila mtu.hiyo siku inakuja.just wait u wil witness the day.

    6. #1204
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 751
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Life at stake
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    7. #1205
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,575
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      425
      Likes Given
      621

      Default

      Quote By Determine
      kwa hiyo serikali nao hawaziamini mahakama zetu!? si tulisikia wamefungua kesi sasa wanawateka wanini?
      hapa serikali imevunja amri ya mahakam, umehukumu juu ya hukumu ya mahakama kuu. Aibu

    8. Miaka 50

    9. #1206
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,435
      Rep Power : 974
      Likes Received
      366
      Likes Given
      1804

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By Hydrobenga
      Mbona na wewe unatutisha .... sisi tukiumwa tutakuja muhimbili...mkigoma kutuhudumia tunateka mwengine ....tuna msulubisha...halafu tunaenda kutupa Mabwepande.....Hali itaendelea hivi mpaka muishe wote...kisha tunahamia katika tiba za jadi
      Ni heri muanze sasa kwenda katika hizo Tiba za Jadi; nyie mnaua madakitari kisgha mnataka Dakitari aje akutibie uliona wapi uendawazimu kama huo.

      Si utachomwa sindano yenye HIV ++, na watu kama nyie mnaochonga wakati watu wanatetea haki mnasitahili kuwekewa damu yenye HIV ++.

      Hamuna faida duniani.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    10. #1207
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Haiingii akilini kwa binadaam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.

      Kama sinema basi director ni mbovu.

      Hii ni foul play na culprits watajulikana.

      Serikali wanavyo operate ni tofauti na hivyo. Kila nnavyoifatilia hii habari nazidi kujikinahisha kuwa wasiyoitakia mema Serikali iliyopo madarakani ndio waliofanya haya.

      Mtu ufanye dhambi halafu ukaitangazie dunia kuwa mimi ndio niliofanya. Mmekosea hesabu mliofanya hayo. Na nnakuhakikishieni mtajulikana leo hii, ikizidi kesho.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    11. #1208
      Fblukuwi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Posts : 117
      Rep Power : 451
      Likes Received
      11
      Likes Given
      71

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By NasDaz
      Ina maana wewe ungekuwa ni miongoni mwa wafanya maamuzi ungefanya maamuzi ya kijinga kama hayo?!

      Kuwatisha madaktari mbona jambo dogo sana mkuu wangu!! Hivi unataka kuniambia hufahamu ni kwanini madaktari walikuwa wanaenda kusaini lakini hawafanyi kazi?!

      Ina maana hapo inahitaji mtu awe na digrii kufahamu kwamba pamoja na kugoma kwao lakini wanaogopa kupoteza ajira na ndio maana walikuwa wanasaini ili waonekane wamekuja kazini?!

      Kuwaatisha ni rahisi tu.....ukiwatimua wale, baada ya mda wote wangerudi kufanya kazi na wala hawakuwa na sababu ya kumteka Ulimboka na kujenga picha ya kijinga kama hiyo!
      Mkuu si kweli MaDr ni waoga ila wanataka kujipatia FIDIA ya bure toka kwa Pinda hapo kesho atakapojaribu kuwafukuza!
      Hiyo ya kusaini ni kumpoteza maboya Pinda kesho kuwa akiwafukuza atakuwa hana Uthibitisho wowote wa kugoma kwa maDr hivyo wote watakaofukuzwa wanaenda mahakamani kutengua uamuzi huo na kudai fidia kwa usumbufu!!
      Acha kuchezea Madr wana akili ajabu washaona mbele!

    12. #1209
      kimbangu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 24th March 2012
      Posts : 25
      Rep Power : 366
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      More thn a tragedy,inasikitisha sana

    13. #1210
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,291
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1178
      Likes Given
      1551

      Default Utekaji wa ulimboka ccm inaingia ingiaje?

      Naona kuna watu wanahusisha utekaji na utesaji aliofanyiwa DR Ulimboka na chama cha Mapinduzi, nashindwa kuelewa kinahusika vipi.hili ni swala la kisiasa kweli?
      Rogie likes this.

    14. #1211
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 982
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default Kova azungumzia utekaji wa dk. Steven ulimboka



      Kamanda wa polisi Kanda Maalum ya Dar es salaam Kamanda Suleiman Kova akizungumza na waandishi wa habari kuhusu tukio la utekaji nyara na kujeruhi lililompata kiongozi mgomo wa Madaktari Steven Ulimboka anayedaiwa kutekwa na watu watano wakati akipata kinwaji katika klabu ya Leaders Kiondoni jijini Dar es salaam.



      Kamanda Kova amesema Ulimboka aliokotwa na msamaria mwema ambaye hakutaka kumtaja jina lake kiusalama na kutoharibu upelelezi kuwa msamaria mwema huyo alimuokota Ulimboka katika msitu wa Mabwepande na kutoa taarifa kituo cha polisi cha Bunju, ambapo polisi aliyekuwa zamu alichukua maelezo yake na baadae Steven Ulimboka kuletwa katika hospitali ya taifa ya Muhimbili kwa matibabu zaidi.



      Kamanda Kova amesema jeshi la Polisi Kanda Maalum limeunda jopo maalum kwa ajili ya uchunguzi na upelelezi wa tukio hilo la utekaji nyara, kwani ni tukio la kwanza kutoke nchini, ameongeza kwamba wahusika wote watakaobainika kuhusika na tukio hilo wachukuliwa hatua za kisheria na sheria itafuata mkondo wake ili kukomesha matukio mengine kama hayo



      Waandishi wa habari waimsikiliza kamanda Suleiman Kova katika kituo kikuu cha polisi Kati jijini Dar es salaam leo mchana.



      Dk Steven Ulimboka akiwa amejeruhiwa vibaya na watu wasiojulikana baada ya kutekwa na kupigwa vibaya usiku wa kuamkia leo na kuokotwa huko Mabwepande.

      Kiganyi, JF.
      Health - Wotepamoja

      Mungi likes this.

    15. #1212
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By mizambwa
      Ni heri muanze sasa kwenda katika hizo Tiba za Jadi; nyie mnaua madakitari kisgha mnataka Dakitari aje akutibie uliona wapi uendawazimu kama huo.

      Si utachomwa sindano yenye HIV ++, na watu kama nyie mnaochonga wakati watu wanatetea haki mnasitahili kuwekewa damu yenye HIV ++.

      Hamuna faida duniani.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      Usiwe punguani wewe, kaa ufikiri japo kidogo:

      Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    16. #1213
      Baniani Mzuri's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 112
      Rep Power : 454
      Likes Received
      29
      Likes Given
      4

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By mzurimie
      Kweli inasikitisha hiki kitendo walichomfanyia.

      Kwa kusema kutotumia majina ndio mtu huwezi julikana hiyo sio kweli, admin wa JF au niseme forum yoyote wana access ya juu kwa mtu anaye jiregister katika forums.

      wanaweza mengi, kujua IP address uliyojiungia, wapi unalog in toka, kulink username yako na e-mail (wengi hutumia majina), ni kuwa ukijiunga u basi umewapa ruhusu ya kukujua weye. wengi ukigoogle e-mail zao utakuta majina etc, au hata kwenye facebook kama wapo public utapata kuona profile zao etc. hii kitu inatumika na wengi hata kwenye maofisi kumjua mtu etc

      hata mtu uwe Musoma utume ujumbe unajifanya upo Mbeya wakitaka angalia wanajua ukweli.

      Cha umuhimu ni kuamini kuwa hawa admin na owners wa forum hawata angukia kupokea pesa za kuongwa ili kutoa data za watu. wanaweza block ip address ya mtu, kwa hiyo mtu inajulikana ni hadi wapi wanaweza fika.

      Ndio maana ni muhimu sana owners wa forums kutoa access kwenye sensitive data kwa watu wanaowaamini, humu kuna mods I guess sidhani kama wanawajua wote kiundani as na ma spy wanaweza kuwa wamo. kitu cha michango ya pesa nyingi isifanye wakadhani kuwa hao ndio watakatifu.

      mtu anaweza kutumia pesa kupata anachotaka hata kama itawachukua miezi, miaka bali wajilinde na mambo or maisha yao.

      ukitaka leta nyaraka na unajua utakuwa huru bila kufatwa au kuwa na wasi basi ni...
      kutumia connection ya internet isilink na home kwako, kazini au unapokuwepo mara nyingi, zile za kununua kwa mwezi, fungua e-mail account tofauti, ingia kwenye forum ujisajili thne rusha mambo.

      tabu humu wengi wana fikira ndogo wakiona mtu kajiunga siku hiyo au siku chache zimepita wanadhani mambo yanayoletwa ni mchezo hawajui ujanja wa kutumia mitandao.

      haya I hope wenye mambo watarusha wakitaka kusaidia nchi yetu.
      Hapo kwenye red sio lazima wajue coz wengi humu tunatumia Fake IPs ndugu yangu.

    17. #1214
      KISUKALI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th February 2010
      Posts : 72
      Rep Power : 482
      Likes Received
      8
      Likes Given
      50

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Wapendwa:
      Mbona yaelekea tayari Tunaitia Serekali Hatiani kwa Maafa yaliyompata huyu DAKTARI??Inawezekana pia Madaktari wakapanga huo Mchezo kutafuta Huruma za Wananchi. Hao ni wasomi na kwa bahati mbaya wamekata Tamaa ya maisha. (Aibu Madaktari wetu wako Desperate wanaweza kufanya chochote/kwa maslahi yao)

    18. #1215
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,435
      Rep Power : 974
      Likes Received
      366
      Likes Given
      1804

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By majata
      wazo lako kama lakwangu, nahisi kama idd amin amerudi tanzania kwani mauaji yanayohusiana na siasa yanaongezeka huku sirikali ikichukua hatua za taratibu na ambazo moja kwa moja zinaonyesha kuwa inahusika na mauji haya. Watu wote ambao wamekuwa msitari wa mbele kupinga namna serikali ya ccm inavyoendeshwa moja kwa moja au kuipinga ccm wamekuwa hatarini.

      huu utawala wetu hauna tofauti na IDD AMIN, au tunaweza kusema ni heri ya IDD AMIN; au Wakoloni walitesa wazazi wetu lakini tumepata uhuru kumbe mambo ni yaleyale.

      NI HERI KUTAWALIWA na MKOLONI KULIKO MWAFRIKA MWEUSI.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    19. #1216
      Hydrobenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 620
      Rep Power : 429
      Likes Received
      55
      Likes Given
      44

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By mizambwa
      Ni heri muanze sasa kwenda katika hizo Tiba za Jadi; nyie mnaua madakitari kisgha mnataka Dakitari aje akutibie uliona wapi uendawazimu kama huo.

      Si utachomwa sindano yenye HIV ++, na watu kama nyie mnaochonga wakati watu wanatetea haki mnasitahili kuwekewa damu yenye HIV ++.

      Hamuna faida duniani.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      Bado zamu yako kwenda kutupwa Mabwepande

    20. #1217
      Black Devil's Avatar
      Member Array
      Join Date : 16th March 2011
      Posts : 56
      Rep Power : 425
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Makame
      Wewe unajiita Wewe BABA? Siwezi kukujibu kwa lugha ya Jazba wala hasira; assignment gani hiyo?

      Mimi nimeuliza hapa; Polisi ikipata mtu kajeruhiwa au kufariki wanatakiwa wachukue hatua gani? Wanatakiwa Kupiga SIMU LHRC?

      Let us be realistic.

      Na pia kama huna mchango, tafadhali usiweke matapishi Jukwaani.

      Assignment inafanywa JF?

      You need mental treatment




      Andrew Kapaya@facebook

      "Daa! jamaa kachakazwa ile mbaya! Ila kilichonichanganya ni tukio la AFISA USALAMA aliyefika,baadae akaingia msalani akapiga simu kuwa jamaa hajafa,.Da ma dr wakamshtukia,duuuh,pale MOI pamechimbika kachezea na bastola yake ilikuwa haijajulikana ilipo.Ila ma dr wamefula kwa hasira sijui itakuwaje? 2MUOMBEE Dr.S.O"

    21. #1218
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,435
      Rep Power : 974
      Likes Received
      366
      Likes Given
      1804

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By KISUKALI
      Wapendwa:
      Mbona yaelekea tayari Tunaitia Serekali Hatiani kwa Maafa yaliyompata huyu DAKTARI??Inawezekana pia Madaktari wakapanga huo Mchezo kutafuta Huruma za Wananchi. Hao ni wasomi na kwa bahati mbaya wamekata Tamaa ya maisha. (Aibu Madaktari wetu wako Desperate wanaweza kufanya chochote/kwa maslahi yao)
      Hakuna DR. mwenye akili ya kipumbavu ya kufanya hivi. Hilo ondoa katika mawazo yako na usiwapumbaze na wengine kwa hizo Siasa zisizokuwa na msingi.


      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    22. #1219
      ITEGAMATWI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,651
      Rep Power : 773
      Likes Received
      416
      Likes Given
      822

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Mr. Zero
      Kuwa daktari inabidi uwe kipanga vilevile .................. siyo swala la number vyuo!!! Usha on mtandaoni wanatoa degree za medicine kama BBA, MBA n.k. I am not a medical doctor but why is going on here is seriously disturbing!!
      Kaka hiyo ilikuwa zamani enzi zile Muhimbili ndiyo chuo pekee cha udaktari!!Siku hizi three ya mwisho unapiga MEDICINE vyuo vya private safi kabisa!Very soon tutaungana mtaani na bahasha za kaki!!

    23. #1220
      DOMA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 623
      Rep Power : 0
      Likes Received
      182
      Likes Given
      1

      Default ULIMBOKA alitekwa akiwa Leaders Club-KOVA

      Kamanda wa polisi suleman Kova anekaririwa akisema kwamba Dr ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Rogie likes this.

    24. Study Abroad
    Page 61 of 85 FirstFirst ... 51596061626371 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...