Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 60 of 85 FirstFirst ... 50585960616270 ... LastLast
    Results 1,181 to 1,200 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. FemaTV & Radio

    3. #1181
      MwanaFalsafa1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Posts : 5,450
      Rep Power : 9880
      Likes Received
      610
      Likes Given
      448

      Default

      Aisee hapa serikali inabidi tu ifanye juu chini watoe maelekezo ya kujitosheleza laa sivyo wananchi watafikiria vingine.

    4. #1182
      Hydrobenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 620
      Rep Power : 430
      Likes Received
      55
      Likes Given
      44

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By mizambwa
      Kinachotakiwa ni kutafuta suluhisho la Tatizo na siyo kutumia vitisho ili wengine waogope.

      Sasa subirini moto utakaowashwa na Madakitari kutokana na tukio hili, msifikiri wote ni Limbukeni au wameokotwa tu.

      Vitisho vyenu havisaidii zaidi ya kuleta maafa kwa Wananchi wasio na hatia, hao Usalama wa Taifa na Viongozi wakiugua wanapelekwa India, Je, wewe si tutakutana katika Corridors za Hospitali zetu hapa tu.

      Labda kama na wewe upo kwenyue system ya wanaopelekwa India.


      MIZAMBWA
      INANIUMA SNA!!!
      Mbona na wewe unatutisha .... sisi tukiumwa tutakuja muhimbili...mkigoma kutuhudumia tunateka mwengine ....tuna msulubisha...halafu tunaenda kutupa Mabwepande.....Hali itaendelea hivi mpaka muishe wote...kisha tunahamia katika tiba za jadi

    5. #1183
      Jakubumba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Location : United states
      Posts : 1,152
      Rep Power : 714
      Likes Received
      300
      Likes Given
      123

      Default

      Quote By Hydrobenga
      Subiri siku mamako akufie mikononi mwako pale mpokezi muhimbili huku Ulimboka na wenzake wako pembeni wanakuchekea chekea etu wamegoma ndio utajua watu wanazungumza nini pia utasema kile kipigo hakikumtosha..
      Kama hujui kwa nini wanagoma kaa kimya usikurupuke kuchangia,na sina haja ya kukuambia kwanini maana naamini hutaelewa, ila ukae ukijua kila kazi ya mtu sharti iheshimiwe

    6. #1184
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 583
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Barnabas Shadrack
      Unataka kunipaka mtoke kwa mgongo wa chupa mkuu, ila ukweli unabaki kuwa, njihisi ni dhaifu kama serikali yetu, maana mimi ni miongoni mwa wananchi dhaifu ambao bado tunaichekea tu hii sirikali dhaifu bila kuchukua majukumu madhubuti ya kuiwajibisha, unadhani sisi wananchi tusingekuwa dhaifu, leo hii hao viongozi dhaifu wangetoa kauli kama hii LIWALO NA LIWE, hapana wasingethubutu kutoa upuuzi kama huo. Lakini sasa wanafahamu sisi wananchi ni dhaifu, basi wanaendesha nchi kama familia zao vile, hahahahahahah
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      ni kweli kabisa,lakini naamini siku moja inaweza ni zaidi ya mia moja.ipo siku,yaani inauma sana,natamani ningekuwa nipo tanzania kwa mda,then after ntarudi nyumbani bt,nyumbani ni hapa.

    7. #1185
      KISUKALI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th February 2010
      Posts : 72
      Rep Power : 483
      Likes Received
      8
      Likes Given
      50

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Mr. Zero
      Usiwasingizie Radio Clouds!! Tangu lini wamekuwa majasiri wa kuwasaliti mabwana zao CCM?? Unless kama ndiyo mwanzo wa ku-twist things around........... Maana hiki kimya cha serikali wanajaribu kupika mambo iliwajichomoe!! Lazima nusu ya wanaosoma hii thred ni UWT!!
      Usiwe na hofu tukijipanga tunawazidi hao UWT

    8. Miaka 50

    9. #1186
      RUV ACTVIST.'s Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 177
      Rep Power : 406
      Likes Received
      28
      Likes Given
      10

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Maundumula
      Walimkataa katibu mkuu wizara ya afya akaondolewa, wakamkataa waziri akaondolewa sasa mambo yao yanashughulikiwa wanagoma tena dah! aisee hii nchi inabidi iongeze vyuo vya sayansi ya tiba ili nao wawe wanazunguka na CV kuomba kazi mitaani kama sisi wengine!
      Kusanya data ndipo uje kuchangia, Jibiidishe kupata habari then uje kuchangia. Serikali haikuwa na dhamila ya dhati kutatua mgogolo huu. Serikali haina cha kujitetea katia hili. Ukombozi unakaribia, CCM na serijkali yake ni wauwaji, wameshauwa wengi.

    10. #1187
      sempeho's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 1
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Exclamation Pole Ulimboka

      Naona Kikwete ameshindwa na kazi tuliyompa. Kwa nini tusitumie mtandao kuita maandamo ya nchi nzima?

      Hawa watu wanaotetea serikali kwenye hii blog ni vizuri tuwajue. Tutakapomaliza kuchukua nchi baada ya maandamano makubwa lazima nao wakamatwe maana hawana adabu kabisa, wangekuwa karibu hapa ningeweza kurusha ngumi mafisadi makubwa na wala jasho la watu nyie. Ni vizuri maandamano yaanze wakati huu ambao rais anaondoka maana hii nchi si yake kabisa.

      Mungu ibariki Tanzania. Naomba kutoa hoja wakubwa.
      MD25 likes this.

    11. #1188
      Mimibaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Posts : 3,171
      Rep Power : 1533
      Likes Received
      759
      Likes Given
      592

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Makame
      Polisi wameshindwa kumpeleka majeruhi hospitali mpaka wapigie simu LHRC??????

      To this we have to get a statement from LHRC; watuambie ilikuwaje, sio reported speeches zinazoletwa hapa.

      LHRC MPO???
      Kama unafanyia assignment yako hapa acha, tafuta njia mbadala
      Ukweli utakuweka huru daima

    12. #1189
      kahungu's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 18th February 2011
      Posts : 6
      Rep Power : 419
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Vitisho vina ukomo, hata vya Ghadafi vilifika mwisho. Ni kweli Dr. Ulimboka katekwa na kaumizwa vibaya sana. Madaktari tusiogope vitisho, haki haipatikani kwenye sahani

    13. #1190
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By mamajack
      ni kweli kabisa,lakini naamini siku moja inaweza ni zaidi ya mia moja.ipo siku,yaani inauma sana,natamani ningekuwa nipo tanzania kwa mda,then after ntarudi nyumbani bt,nyumbani ni hapa.
      Kwa nini hiyo siku isiwe leo au kesho? Au watanzania tunasubiri waje wazungu kutusaidia kuondoa viongozi dhaifu serikalini. Inauma sana kuona Tanzania ikibakizwa mifupa tu wakati huo nyama yote inamalizwa. Sijui wajukuu zetu watakuja wapate hata hiyo mifupa kweli.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    14. #1191
      John locke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th May 2012
      Posts : 181
      Rep Power : 391
      Likes Received
      29
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By tuko
      hivi alikuwa mcanada, mholanzi?
      mholanzi.

    15. #1192
      Mjanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Location : "MWILINI MWANGU"
      Posts : 776
      Rep Power : 574
      Likes Received
      107
      Likes Given
      22

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      haya ni madhara ya kuweka watu wadhaifu wa kufikiri katika DOLA,
      ni matokeo ya kuwa na watoa maamuzi wanaotumia mak***o!
      very sad kwa nchi inayojifanya inahubiri demokrasia!
      mbona wanaochochea vurugu huko Z'bar hawajatekwa
      wala mapapa wa rushwa wanaodaiwa na HOSEA kuwa wakodip sea wamewashindwa!
      KWA HAKIKA MADAKTARI SASA KAZENI KAMBA..ILA TUTAUMIA JAMANI!!!
      "A broken heart won't heal if you keep on giving it to the same person that broke it"


    16. UKI
      #1193
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 682
      Rep Power : 486
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      mbona watu wanaclick like ina maana wamefurahia ama?
      Kongosho likes this.

    17. #1194
      I have a dream's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 68
      Rep Power : 373
      Likes Received
      53
      Likes Given
      36

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By Matola
      Hivi Imrani Kombe, aliyekuwa Mkurugenzi wa Idara ya Usalama wa Taifa aliuwawa vipi na nani?
      ni viruzi ungewauliza polisi Moshi mjini wanaweza kukujibu
      "Don't ask what your country can do for you, but what you can do for your country" John Kennedy


    18. #1195
      ITEGAMATWI's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,672
      Rep Power : 0
      Likes Received
      423
      Likes Given
      828

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By WATANABE
      Acha kutupotosha. Dr Ulimboka sio Kiongozi wa MAT, na wala hausiki kabisa na kutoa taarifa kwa vyombo vya habari kabisa, kiongozi wa MAT anaitwa Dr Namala Mkopi na ndiyealiyekuwa na wajibu wa kuzungumza na vyombo vua habari. Aidha unajaribu kujenga hoja kuwa upo uwezekano kuwa Dr Ulimboka kadhuruwa na wananchi waliojichukulia sheria mkononi baada ya kujkos ahuduma za matibabu; huku ni kujaribu kuisafisha serikali ya kidhalimu iliyomtendea Dr ulimboka mateso hkama hayo. Wanancho wote wanatambua kua miongoni mwamadaia ya madakatari ni kuboreshwa kwa mazingira ya utolewaji wa tiba na kuongezwa kwa mafungu ya ununuzi wa vifaa na madawa baada ya vyombo vyote vyenye wajibu wa kuishauri serikali hii dhalimu kama vile bunge n.k kushindwa kuishawishi serikali dhalimu ya CCM kuboresha hudum,a za afya hapa nchini kwa kuongeza bajeti ya afy ilihali fedha na raslimali zetu vikifujwa kwa kuwekwa katika mabemnki ya nje.

      Inavyoelekea wewe ni mmoja wa watu mlioratibu zoezi la kumdhuru Dr Ulimboka ili kuleta picha kuwa ni baadhi ya wahafidhina ndani ya MAT. Nafikiri ilikuwa ni jambo la buasara wale wenye fedha huko Uswisi pia mkawafanya hivi hivi
      Mkuu unaushahidi wa serikali kuhusika kwenye hii ishu?Ni jukwaa la Great thinkers hili habari za porojo za vijiweni hazina nafasi hapa.Kama una ushahidi tuwekee hapa then tuendelee kuchangia.Otherwise piga kimya tusubirie taarifa zaidi kutoka vyanzo mbalimbali vya uhakika.
      webondo likes this.

    19. #1196
      majata's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 191
      Rep Power : 475
      Likes Received
      35
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Communist
      Idi amini amefufukia Tanzania? Duhhhhhh
      wazo lako kama lakwangu, nahisi kama idd amin amerudi tanzania kwani mauaji yanayohusiana na siasa yanaongezeka huku sirikali ikichukua hatua za taratibu na ambazo moja kwa moja zinaonyesha kuwa inahusika na mauji haya. Watu wote ambao wamekuwa msitari wa mbele kupinga namna serikali ya ccm inavyoendeshwa moja kwa moja au kuipinga ccm wamekuwa hatarini.

    20. #1197
      Target's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 31st December 2011
      Posts : 9
      Rep Power : 374
      Likes Received
      1
      Likes Given
      3

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Bado myk!!1

    21. #1198
      Kiganyi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2012
      Posts : 1,162
      Rep Power : 983
      Likes Received
      708
      Likes Given
      400

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Aisee kama Serikali haioni kama hii sio sawa basi tumekwisha!

      Yaani inafikia hatua ya kupiga mwananchi wake na mtaalamu anayehangaikia kuboresha huduma za Afya na Maslahi yake kiasi hiki! Madaktari kazeni kamba!

      Kiganyi, JF.
      Health - Wotepamoja
      mizambwa likes this.

    22. #1199
      bona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2009
      Location : tanzania
      Posts : 982
      Rep Power : 681
      Likes Received
      85
      Likes Given
      235

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      serikali hii always employ wrong tactic, sasa wanadhan madaktari ni watoto wadogo wataogopa na kurudi kazini bila kinyongo kwa kigezo cha kuogopa? what a mistake! i think hii ni motivation kwa madaktari kuendelea na mgomo tena in a more intense way!
      Tangawizi likes this.
      ... if it is a Miracle, any sort of evidence will answer, but if it is a Fact, proof is necessary.

    23. #1200
      Hydrobenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 620
      Rep Power : 430
      Likes Received
      55
      Likes Given
      44

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Barnabas Shadrack
      Kwa nini hiyo siku isiwe leo au kesho? Au watanzania tunasubiri waje wazungu kutusaidia kuondoa viongozi dhaifu serikalini. Inauma sana kuona Tanzania ikibakizwa mifupa tu wakati huo nyama yote inamalizwa. Sijui wajukuu zetu watakuja wapate hata hiyo mifupa kweli.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.
      Wazungu watakujaje kutusaidia wakati ndo waiba madini na kutia sumu kwenya maji huko vijijini ?....Watanzania huwezi kuwafananisha na walibya au wamisri wengi wao wanaogopa kwenda kutupwa Mabwepande

    Page 60 of 85 FirstFirst ... 50585960616270 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...