Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 59 of 85 FirstFirst ... 49575859606169 ... LastLast
    Results 1,161 to 1,180 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. Miaka 50

    3. #1161
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 4,969
      Rep Power : 3105
      Likes Received
      1354
      Likes Given
      5709

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Yo Yo
      wewe zumbukuku wanaharakatio wamefika kule kwa gari.....alafu wewe bwegge tumia akili.... na usrukie rukie na kuandika kwa hisia za kibwegge bwegge....hakuokotwa na wasamaria bwegge wewe.....tumia akili sio matakle kuandika
      Polisi ndio waliwapigia wanaharakati? au wananchi?

      Wanaharakati walisema huyo jamaa asipelekwe hospitali hadi wao wafike? wananchi hawakuweza hata kumpatia lifti ya Bajaj? hebu naomba mniweke sawa

    4. #1162
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By ellyjr8
      hakuna post wala comment yeyote yenye umaana katika historia toka uje JF, tunajua ulikuwa product ya school dropout, so si matatizo yako.. ukikua utaacha.
      Mkikosa hoja mnaanza viroja.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    5. #1163
      Mkaguzi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th September 2007
      Posts : 218
      Rep Power : 639
      Likes Received
      22
      Likes Given
      71

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kuna watu wanatia hasira humu..... Aaagrrrr.

    6. #1164
      RUV ACTVIST.'s Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th January 2012
      Posts : 177
      Rep Power : 406
      Likes Received
      28
      Likes Given
      10

      Default Re: Mateso ya dr ulimboka yanatofauti gani na mateso wanayopata wagonjwa mahospitalini?

      Quote By gimmy's
      Napata shida kidogo kwamba nikupe pole wewe au wale wagonjwa ambao kwa lengo lenu la kugoma na kuiwajibisha serikali wengi wanateseka,wengine wanakufa,mama zetu wanajifungua kwa uchungu bila ya kua na msaada wowote,haya ni mateso makubwa, Hemu tujiulize vipi kama ulimboka na yeye kama akitelekezwa aachwe bila ya huduma yoyote? ni vyema madaktari watafute njia tofauti yakuibana serikali kwani watanzania wasio na hatia wanakufa kwa kosa la serikali
      Hujui utendalo, Ulimboka hana kosa katika sakata lote hili, anakutetea na wewe usiyejijua, usiyejua nchi inakoelekea, wewe uliye mbinafsi. Kama ungefuatilia sakata hili kwa uamakini ungejua serikali haijawajibika katika hili. Iweje kumbebesha mzigo wote Ulimboka badala ya serikali? Jifunze kufikiri.

    7. #1165
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,585
      Rep Power : 1089
      Likes Received
      684
      Likes Given
      374

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Kakalende
      Swali langu hapa; wanaharakati wa LHRC mmefikaje huko Mabwepande? imekuwaje asiokotwe na wasamaria wema na ikiwezekana madaktari wenzie ndio wawe wa kwanza kumsaidia?

      Brutal and Cowardly attack. Hatuna serikali hapa tuna Wehu na Wendawazimu. Kaka Mungu atakuponya!!!

    8. RukaaJuu Final

    9. #1166
      Hydrobenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 620
      Rep Power : 430
      Likes Received
      55
      Likes Given
      44

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Mr. Zero
      Usiwasingizie Radio Clouds!! Tangu lini wamekuwa majasiri wa kuwasaliti mabwana zao CCM?? Unless kama ndiyo mwanzo wa ku-twist things around........... Maana hiki kimya cha serikali wanajaribu kupika mambo iliwajichomoe!! Lazima nusu ya wanaosoma hii thred ni UWT!!
      Mkuu hiyo habari imerushwa Clouds TV zaidi ya mara tatu...usilete Ishu za CCM na chadema katika jambo tete kama hili

    10. #1167
      mizambwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 1,439
      Rep Power : 975
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1811

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By zomba
      Sasa wanaouwa madaktari au serikali? sisi tunaona wagonjwa wasiokuwa na hatia ndio wanakufa mahospitalini kwa kukosa tiba.
      Kinachotakiwa ni kutafuta suluhisho la Tatizo na siyo kutumia vitisho ili wengine waogope.

      Sasa subirini moto utakaowashwa na Madakitari kutokana na tukio hili, msifikiri wote ni Limbukeni au wameokotwa tu.

      Vitisho vyenu havisaidii zaidi ya kuleta maafa kwa Wananchi wasio na hatia, hao Usalama wa Taifa na Viongozi wakiugua wanapelekwa India, Je, wewe si tutakutana katika Corridors za Hospitali zetu hapa tu.

      Labda kama na wewe upo kwenyue system ya wanaopelekwa India.


      MIZAMBWA
      INANIUMA SNA!!!
      SASA NIMEAMINI KUWA TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA!!!!, TUANDAE KABURI LA KUIZIKA MWAKA 2015

    11. #1168
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,073
      Rep Power : 1435
      Likes Received
      479
      Likes Given
      72

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Maundumula
      Walimkataa katibu mkuu wizara ya afya akaondolewa, wakamkataa waziri akaondolewa sasa mambo yao yanashughulikiwa wanagoma tena dah! aisee hii nchi inabidi iongeze vyuo vya sayansi ya tiba ili nao wawe wanazunguka na CV kuomba kazi mitaani kama sisi wengine!
      Kuwa daktari inabidi uwe kipanga vilevile .................. siyo swala la number vyuo!!! Usha on mtandaoni wanatoa degree za medicine kama BBA, MBA n.k. I am not a medical doctor but why is going on here is seriously disturbing!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    12. #1169
      Tuko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th July 2010
      Posts : 4,645
      Rep Power : 13841
      Likes Received
      2285
      Likes Given
      2213

      Default Re: serikali inawauwa watanzani wenzetu bila hatia

      Quote By Mwea
      Dr. Ulimboka na yule MCanada aliyeuwawa kule Serengeti yupi bora, iko wapi serikali? Liko wapi jeshi la polisi?
      Hivi alikuwa mcanada, mholanzi?

    13. #1170
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,766
      Rep Power : 989
      Likes Received
      954
      Likes Given
      1463

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Yo Yo
      wewe zumbukuku wanaharakatio wamefika kule kwa gari.....alafu wewe bwegge tumia akili.... na usrukie rukie na kuandika kwa hisia za kibwegge bwegge....hakuokotwa na wasamaria bwegge wewe.....tumia akili sio matakle kuandika
      Nimeipenda hiiiiiiiiiiii
      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    14. #1171
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By zomba
      Mkikosa hoja mnaanza viroja.
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 9,000
      Rep Power : 6890
      Likes Received:627
      Likes Given:452
      Una miaka kibao JF lakini hujachangia hata senti tano pambaf zako

    15. #1172
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Mihayo
      This is unacceptable, we cannot wait any more. Kutofautiana ki mtizamo sioni kama ni busara kuua kisa mtu kagoma. Ajili wengine kama unao vinginevyo keti chini mshauriane.
      Nani aliyeuliwa zaidi ya wagonjwa waliogomewa kutibiwa?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    16. #1173
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By kanyi
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 9,000
      Rep Power : 6890
      Likes Received:627
      Likes Given:452
      Una miaka kibao JF lakini hujachangia hata senti tano pambaf zako
      Michango yangu ya maandishi ni zaidi ya hivyo vijisenti.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    17. #1174
      KISUKALI's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th February 2010
      Posts : 72
      Rep Power : 483
      Likes Received
      8
      Likes Given
      50

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Technician
      Wenye silaha ni maaskari na usalama, Dr Ulimboka hana biashara yoyote anayofanya imfanye atekwe, hana pesa hana kitu ni maskini tuu, sasa swali kuu ni nani aliyemteka? Ni government agent na ni specific na issue ya madokta full stop.

      Aand then what next.....the doktas are still ndani ya mgomo baridi
      Tukio hili na kilichomkuta DAKTARI huyu ni cha kusikitisha. Uchunguzi wa kina ufanyike ili Ijulikane hasa nini na vipi Ilifikia hapo. (huo ni upande A) Upande B pamoja na kudai HAKI zao pia wajue Wanacheza na MAISHA ya Watu na Watu huwa na maamuzi tofauti kuna watakaodhani na kukubali kuwa yaliyomkuta Daktari huyo ni stahili yake.
      Busara ijitokeze haraka kutatua Mgogoro huu.

    18. #1175
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,539
      Rep Power : 2087
      Likes Received
      1083
      Likes Given
      1575

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Serikali haiwezi kukwepa lawama hii. Pole Dr!
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    19. #1176
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,055
      Rep Power : 810
      Likes Received
      182
      Likes Given
      11

      Default

      Quote By mamajack
      hahahahahahaha, ni kweli serikali yangu ni dhaifu.ila nadhan wewe hujafikia huko sababu umeweza gundua kuwa serikali ni dhaifu ila sijui kwanini ujilinganishe nayo.
      Unataka kunipaka mtoke kwa mgongo wa chupa mkuu, ila ukweli unabaki kuwa, njihisi ni dhaifu kama serikali yetu, maana mimi ni miongoni mwa wananchi dhaifu ambao bado tunaichekea tu hii sirikali dhaifu bila kuchukua majukumu madhubuti ya kuiwajibisha, unadhani sisi wananchi tusingekuwa dhaifu, leo hii hao viongozi dhaifu wangetoa kauli kama hii LIWALO NA LIWE, hapana wasingethubutu kutoa upuuzi kama huo. Lakini sasa wanafahamu sisi wananchi ni dhaifu, basi wanaendesha nchi kama familia zao vile, hahahahahahah
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    20. #1177
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Mr. Zero
      Kuwa daktari inabidi uwe kipanga vilevile .................. siyo swala la number vyuo!!! Usha on mtandaoni wanatoa degree za medicine kama BBA, MBA n.k. I am not a medical doctor but why is going on here is seriously disturbing!!
      "Money never made a man happy yet, nor will it. There is nothing in its nature to produce happiness. The more a man has, the more he wants. Instead of filling a vacuum, it makes one" by --Benjamin Franklin-- scientist, inventor, statesman, printer, philosopher, musician and economist
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    21. #1178
      mzurimie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th October 2011
      Location : Mtaa Mmoja
      Posts : 812
      Rep Power : 546
      Likes Received
      360
      Likes Given
      87

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By BAK
      Duh! Maskini ya Mungu!!! Hii Serikali ya wauaji...Inatisha sana. Halafu watu wanasema tutumie majina yetu ya kweli hapa JF!!! Mnaona jinsi Serikali hii inavyoweza kabisa kumaliza uhai wako kwa kuandika ukweli jinsi ambavyo imeshindwa kukidhi matumaini mbali mbali ya Watanzania...Sasa kila atakayeipinga ajue maisha yake yako hatarini anaweza kabisa kukolimbwa!!! Pole sana Ulimboka na madaktari wengine wote kwa tukio hili la kusikitisha na kutisha.
      Kweli inasikitisha hiki kitendo walichomfanyia.

      Kwa kusema kutotumia majina ndio mtu huwezi julikana hiyo sio kweli, admin wa JF au niseme forum yoyote wana access ya juu kwa mtu anaye jiregister katika forums.

      wanaweza mengi, kujua IP address uliyojiungia, wapi unalog in toka, kulink username yako na e-mail (wengi hutumia majina), ni kuwa ukijiunga u basi umewapa ruhusu ya kukujua weye. wengi ukigoogle e-mail zao utakuta majina etc, au hata kwenye facebook kama wapo public utapata kuona profile zao etc. hii kitu inatumika na wengi hata kwenye maofisi kumjua mtu etc

      hata mtu uwe Musoma utume ujumbe unajifanya upo Mbeya wakitaka angalia wanajua ukweli.

      Cha umuhimu ni kuamini kuwa hawa admin na owners wa forum hawata angukia kupokea pesa za kuongwa ili kutoa data za watu. wanaweza block ip address ya mtu, kwa hiyo mtu inajulikana ni hadi wapi wanaweza fika.

      Ndio maana ni muhimu sana owners wa forums kutoa access kwenye sensitive data kwa watu wanaowaamini, humu kuna mods I guess sidhani kama wanawajua wote kiundani as na ma spy wanaweza kuwa wamo. kitu cha michango ya pesa nyingi isifanye wakadhani kuwa hao ndio watakatifu.

      mtu anaweza kutumia pesa kupata anachotaka hata kama itawachukua miezi, miaka bali wajilinde na mambo or maisha yao.

      ukitaka leta nyaraka na unajua utakuwa huru bila kufatwa au kuwa na wasi basi ni...
      kutumia connection ya internet isilink na home kwako, kazini au unapokuwepo mara nyingi, zile za kununua kwa mwezi, fungua e-mail account tofauti, ingia kwenye forum ujisajili thne rusha mambo.

      tabu humu wengi wana fikira ndogo wakiona mtu kajiunga siku hiyo au siku chache zimepita wanadhani mambo yanayoletwa ni mchezo hawajui ujanja wa kutumia mitandao.

      haya I hope wenye mambo watarusha wakitaka kusaidia nchi yetu.
      MWEEN likes this.
      jisome tabia, jibadili ikiwa duh na raha utapata sana tu.

    22. #1179
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,689
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1591
      Likes Given
      676

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By zomba
      Michango yangu ya maandishi ni zaidi ya hivyo vijisenti.
      Changia wewe acha ubaili wewe unajaza server na utumbo wako

    23. #1180
      Magezi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2008
      Posts : 2,654
      Rep Power : 1073
      Likes Received
      33
      Likes Given
      50

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Hii inadhihirisha wana usalama wetu wasivyojua wajibu wao. Wametumia mbinu kama waingereza walivyofanya kwa yule boss wa BBC na issue ya vita ya iraq.

    Page 59 of 85 FirstFirst ... 49575859606169 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...