Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 58 of 85 FirstFirst ... 48565758596068 ... LastLast
    Results 1,141 to 1,160 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. Miaka 50

    3. #1141
      Msongoru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2008
      Location : Japan
      Posts : 305
      Rep Power : 628
      Likes Received
      14
      Likes Given
      37

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Waungwana tunatoa pole na kumwombea uponaji wa haraka. Hayo mengine ni ya NGOSWE..
      A blind person asked me one day: "Can there be anything worse than losing eye sight?" I replied: "Yes, losing your vision."

    4. #1142
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default serikali inawauwa watanzani wenzetu bila hatia

      Dr. Ulimboka na yule MCanada aliyeuwawa kule Serengeti yupi bora, iko wapi serikali? Liko wapi jeshi la polisi?

    5. #1143
      ellyjr8's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 430
      Likes Received
      47
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By kanyi
      Zomba sijui upoje ndugu yangu sasa umezidi
      mwache mkuu, nadhani alikiwa na Apgar score ya 3 na 5..he had CP.

    6. #1144
      Expedito Mduda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2009
      Posts : 254
      Rep Power : 542
      Likes Received
      31
      Likes Given
      33

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Jamani kama ni kweli, basi tumefika pabaya Watanzania!

    7. #1145
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Quote By mizambwa

      Kwa hiyo ndiop kufikia hatua ya kuua, ina maana ni ruksa kuchukua sheria mkononi.

      Usalama wa Taifa ambao tunawategemea wakifanya hivi je, wananchi nao wanaruhusiwa kufanya hivi.

      Hii Serikali ya kigaidi mtu akitetea haki basi vitisho vyao ni kumuua.



      MIZAMBWA
      INANIUMA SANA!!!
      Sasa wanaouwa madaktari au serikali? sisi tunaona wagonjwa wasiokuwa na hatia ndio wanakufa mahospitalini kwa kukosa tiba.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    8. RukaaJuu Final

    9. #1146
      akelu kungisi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 111
      Rep Power : 382
      Likes Received
      19
      Likes Given
      3

      Default Re: serikali inawauwa watanzani wenzetu bila hatia

      Walimuua Kolimba, Malima, n.k sasa walitaka kumuua Ulimboka, inaikitishaaa sanaa! tuichukie serikali hii! Pinda kwa kauli yake aliahidi na vijana wake wametekelza unyama huu!

    10. #1147
      Mihayo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th April 2010
      Posts : 207
      Rep Power : 504
      Likes Received
      37
      Likes Given
      9

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      This is unacceptable, we cannot wait any more. Kutofautiana ki mtizamo sioni kama ni busara kuua kisa mtu kagoma. Ajili wengine kama unao vinginevyo keti chini mshauriane.
      eliakeem likes this.

    11. #1148
      eliakeem's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Location : Katesh
      Posts : 939
      Rep Power : 696
      Likes Received
      198
      Likes Given
      434

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      siku zote njia ya kupigania haki haiko tambarare... ina vikwazo vingi sana....... hata dr ulimboka akiondoka mawazo na hisia za kamwe hazitokufa.... zitabaki kizazi baada ya kizazi...
      ''Hatujaenda Shule Lakini Tumeelimika'' Abed Aman Karume.

    12. #1149
      Fisadi Mtoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 607
      Rep Power : 702
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa kwa nini ulimboka akaenda hospital na anajua madaktari wamegoma.....si angeenda home mpaka mgomo uishe ndio akatibiwe.
      Hydrobenga likes this.

    13. #1150
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 3122
      Likes Received
      1375
      Likes Given
      5834

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Huyu mheshimiwa itakuwa alikamatwa ugoni!!

    14. #1151
      Gambas's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2011
      Location : Malimbe, Nyegezi Mwanza
      Posts : 955
      Rep Power : 2450
      Likes Received
      191
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By akelu kungisi
      Walimuua Kolimba, Malima, n.k sasa walitaka kumuua Ulimboka, inaikitishaaa sanaa! tuichukie serikali hii! Pinda kwa kauli yake aliahidi na vijana wake wametekelza unyama huu!
      Kauli yake itamgharimu.

    15. #1152
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 3122
      Likes Received
      1375
      Likes Given
      5834

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Fisadi Mtoto
      Sasa kwa nini ulimboka akaenda hospital na anajua madaktari wamegoma.....si angeenda home mpaka mgomo uishe ndio akatibiwe.
      Na mimi najiuliza hilo swali

    16. #1153
      Yo Yo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st May 2008
      Posts : 10,792
      Rep Power : 22906
      Likes Received
      1335
      Likes Given
      2579

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Kakalende
      Swali langu hapa; wanaharakati wa LHRC mmefikaje huko Mabwepande? imekuwaje asiokotwe na wasamaria wema na ikiwezekana madaktari wenzie ndio wawe wa kwanza kumsaidia?

      wewe zumbukuku wanaharakatio wamefika kule kwa gari.....alafu wewe bwegge tumia akili.... na usrukie rukie na kuandika kwa hisia za kibwegge bwegge....hakuokotwa na wasamaria bwegge wewe.....tumia akili sio matakle kuandika
      ...kuwa na baba maskini ni mipango ya Mungu ila kuwa na baba mkwe maskini ni ujinga wako mwenyewe.....

    17. Aza
      #1154
      Aza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2010
      Location : popote
      Posts : 1,421
      Rep Power : 718
      Likes Received
      119
      Likes Given
      263

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      aiseee hapana this is too much...anyways me nasubiri tamko la serikali kesho na hatma yake
      A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
      The greedy people are the victims to the evil people.

    18. #1155
      Mwanyasi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Karibu na wewe
      Posts : 1,054
      Rep Power : 840
      Likes Received
      504
      Likes Given
      986

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By SAMRICH1
      The man who smiles when things go wrong has thought on some one to blame on it
      acknowledge basi
      "Hata siku moja mkaa hauuzwi supermarket" - Mpoki

    19. #1156
      Maundumula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 5,050
      Rep Power : 3122
      Likes Received
      1375
      Likes Given
      5834

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Walimkataa katibu mkuu wizara ya afya akaondolewa, wakamkataa waziri akaondolewa sasa mambo yao yanashughulikiwa wanagoma tena dah! aisee hii nchi inabidi iongeze vyuo vya sayansi ya tiba ili nao wawe wanazunguka na CV kuomba kazi mitaani kama sisi wengine!
      KISUKALI likes this.

    20. #1157
      Mr. Zero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2007
      Posts : 4,076
      Rep Power : 1436
      Likes Received
      481
      Likes Given
      72

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By hotstoryg
      hii ni habari ya kweli na imetoka kutangazwa sasa hivi na radio Clouds Fm.... Serikali dhaifu, madakitari kuweni kitu kimoja mgomo kama kawa hadi kieleweke.
      Usiwasingizie Radio Clouds!! Tangu lini wamekuwa majasiri wa kuwasaliti mabwana zao CCM?? Unless kama ndiyo mwanzo wa ku-twist things around........... Maana hiki kimya cha serikali wanajaribu kupika mambo iliwajichomoe!! Lazima nusu ya wanaosoma hii thred ni UWT!!
      "The Only Necessary for the Triumph of Evil is for Good Men to do Nothing" Edmund Burke (1729 - 97)

    21. #1158
      Fisadi Mtoto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 607
      Rep Power : 702
      Likes Received
      60
      Likes Given
      0

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa kwa nini alienda hospital badala ya kungoja mgomo uishe kwanza yani simwelewi Uli kabisa

    22. #1159
      kibakwe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2011
      Location : KIKURUNGE
      Posts : 160
      Rep Power : 439
      Likes Received
      21
      Likes Given
      61

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Aliyesema LIWALO NA LIWE,alikuwa anaamanisha mambo hayo yanayotokea
      '"PROBLEMS CAN BE SOLVED AT THE SAME LEVEL OF AWARENESS THAT CREATED THEM'"

    23. Aza
      #1160
      Aza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2010
      Location : popote
      Posts : 1,421
      Rep Power : 718
      Likes Received
      119
      Likes Given
      263

      Default Re: Hospitali zote Dar zimefungwa madaktari wote wahamia kwa Olimboka ICU

      Quote By KAPONGO
      Ukishindwa kuelewa kauli rahisi na ya wazi km hiyo uanweza kuelewa kauli tata? Alichomaanisha ni kuwa Wamejitahidi .
      halafu usidandie treni kwa mbele alooo....hauko ndani ya kichwa changu alaaa
      A 'parliament' is not only made up of our dear politicians,but is also a group of owls.
      The greedy people are the victims to the evil people.

    Page 58 of 85 FirstFirst ... 48565758596068 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...