Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!
Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.
Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).
UPDATE:
Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!
By Riwa
Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.
Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!
Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.
Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
By DOMA
Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.
PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!
Wewe ni wazi unapakuliwa na magamba ndo maana unaandika udivi kama huu !! Ungekuwa mtoto wa/au mke wa Daktari ukawa unasota wakati kuna watu wanakwiba mamimilioni kila siku au kuwaongezea posho madiwani na hao wabunge usingeandika kabisa uharo kama huu !! Siku zenu zinahesabika, zikifika basi itakuwa mara alfu ya Gadafi- tutachemsha mafuta ktk gudulia la kupikia vitumbua na kuwakandamiza mchuchumae ili minywele yote huko chini iiungue na kuyeyusha mafuta ktk masaburi huku tukiwasomea haya maandiko yenu yote.... !! Unastahili kujiita homosxl na sio homosapiens maana hao wana akili timamu !!!
By HOMOSAPIEN
Hana maana huyu hata akifa hakuna wa kumjutia,wangapi wanakufa huko hospitali tena nchi nzima kisa yeye anapingana na serikali tena kwa maslahi binafsi,anapinga mpaka amri ya mahakama hana adabu kabisa,wangemalizia kabisa tujue moja.sina roho ya huruma kwa mnyama/chizi/!!!!!?????? shenz..... kama huyu asiyethamini maisha ya wenzake bora angetangulie yeye akadai hayo maslahi huko kuzimu.
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
By Janjaweed
hujui usemalo.... hii ni step ya kuweka tanzania kuwa serious na profeshens
eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
yaani kweli we king'asti ****** kweli, badala ya kuangalia the whole issue been involved na wakina nani wanafanya unaanza kuongelea maswala ya kuisi isi tuu...****** sana wewe..bila shaka utakua kama ccm wenzako,ambao ni ******* tuu..........
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
Mimi nilichosema nasikitika kwa kutandikwa huyu Daktari. Lakini nilisikitika zaidi kwa mgomo wa Madaktari na kukaidiwa Mahakama. KAMA KUPIGWA ASHAPIGWA, hakuna kushabikia binadamu mwenzako akikutwa na mabaya.
Ila pia, tusishabikie kuvunjwa kwa amri halali ya mahakama na uamuzi wa kuwaacha watanzania wanyonge bila ya huduma; kisa kutunishia misuli Serikali. Hao wanaogoma kumkomoa JK na Pinda; wanafikiri JK au Pinda wakiugua huenda Muhimbili???
TUSISHABIKIE UPUUZI.
Kuna jamaa anauliza wakimpiga ndio mwisho wa Tatizo?
Na mimi nauliza; Kugoma ndio mwisho wa Tatizo?
Tuwe makini katika sentiments
MAHAKAMA NI ZETU
TUZIHESHIMU.
Nashangaa; Mahakama ikimvua Ubunge Lema; inatukanwa, ikisema MNYIKA aendelee na UBUNGE inasifiwa. Ikisema Mgomo wa Madaktari Sio halali inapingwa, ikimtoa Mbunge wa CCM Sumbawanga kule, inaonekana imefanya kazi sawa.
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
By Makame
Mimi nilichosema nasikitika kwa kutandikwa huyu Daktari. Lakini nilisikitika zaidi kwa mgomo wa Madaktari na kukaidiwa Mahakama. KAMA KUPIGWA ASHAPIGWA, hakuna kushabikia binadamu mwenzako akikutwa na mabaya.
Ila pia, tusishabikie kuvunjwa kwa amri halali ya mahakama na uamuzi wa kuwaacha watanzania wanyonge bila ya huduma; kisa kutunishia misuli Serikali. Hao wanaogoma kumkomoa JK na Pinda; wanafikiri JK au Pinda wakiugua huenda Muhimbili???
TUSISHABIKIE UPUUZI.
Kuna jamaa anauliza wakimpiga ndio mwisho wa Tatizo?
Na mimi nauliza; Kugoma ndio mwisho wa Tatizo?
Tuwe makini katika sentiments
MAHAKAMA NI ZETU
TUZIHESHIMU.
Nashangaa; Mahakama ikimvua Ubunge Lema; inatukanwa, ikisema MNYIKA aendelee na UBUNGE inasifiwa. Ikisema Mgomo wa Madaktari Sio halali inapingwa, ikimtoa Mbunge wa CCM Sumbawanga kule, inaonekana imefanya kazi sawa.
Nani wanaoenda kwe Biasness?????
THINK TWICE
Watu wanapelekwa kwa hisia hisia tu
Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
By Zungu Pule
Tusisahau Dr. Ulimboka ana maadui wengi. Ukiacha Serikali (well, watu wachache serikalini), kuna aliyekuwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Afya aliyefutwa kazi hivi majuzi. That woman is capable of organizing this. Greedy.
Ni Mh Jakaya Kikwete,Mizengo Kayanda Pinda, othman usalama wa taifa shame upon them
eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?
niliwaunga mkono mwanzoni but this time big NO.
Wakati mwingine sio lazima kuchangia kitu, just kaa kimya. Tunasoma ili tuishi vizuri, hatusomi tuje kuteseka, madaktari wanajua mazingira ya kazi yao sioni sababu ya wewe kutokwa na mapovu namna hii
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
Swali langu hapa; wanaharakati wa LHRC mmefikaje huko Mabwepande? imekuwaje asiokotwe na wasamaria wema na ikiwezekana madaktari wenzie ndio wawe wa kwanza kumsaidia?
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
By Kakalende
Swali langu hapa; wanaharakati wa LHRC mmefikaje huko Mabwepande? imekuwaje asiokotwe na wasamaria wema na ikiwezekana madaktari wenzie ndio wawe wa kwanza kumsaidia?
iwe serikali au mtu binafsi ubabe ni lazima kurudisha hali ya kawaida mahospitalini!madaktari wemesomeshwa na hela za wananchi afu wanagoma kuwatibu!madaktari wote waliogoma washughulikiwe kwa kufutwa kazi mara moja, wakajibu kesi mahakamani!wao waigomee serikali na si kugoma kutibu wagonjwa!ukishakubali kusomeshwa na ukawa 'dokita'kutibu ni lazima
mkweche ningekuwa president mkweche,kiongozi wa mgomo ningemchapa viboko mwenyewe!chezea kila kitu ila si uhai wa wananchi!wagoma wakati hata deni la kuwasomesha hawajalilipa!
Mkweche nimewachoka wagomaji!hata kama dawa hakuna mahospitali ila asikosekane mtu wa kutuelekeza tukanunue dawa madukani!nala buk!
Wewe sidhani hata elimu ulionayo inakusaidia kitu, kaa kimya.
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
Ndugu wananchi, IKULU si mahali pa pango la walanguzi ikulu si mchoze Ikulu ni mzigooo!! JK amekaa 25 yrs IKULU anashanga leo hii watu wanatamani IKULU kama nini vile sijui, sasa hawa walio enda IKULU kwa kweli hawajui walitendalo kabisa.
Watu mwakimbilia ikulu kwenda kutoa order ya kuuwa watutu raia kweliiiiiii hii ni aibu gani? wamuuua mtanznia mwenzeka kwa sababu ya tu kudai haki na amekushinda mbinu za kukudai na huwezi hata kujibu hoja na unaona ni bora umtoe roho aibu kani hiiii IKULU
Mahakama imesema mgomo usitishwe na viongozi wa mgomo watangaze kwenye vyombo vya habari watangaze kuwa hakuna mgomo mpaka jambo hili litapomalizwa kusikilizwa na mahakama.
Mwacheni akafundwe adabu huyo mzandik na muuaji wa wagonjwa wetu na watoto zetu wanaoumwa mahospitalini. Na sasa itabidi apewe adabu aseme ni nani wako nyuma yake wakimshindilia kuwa mkaidi.
Tutawajuwa na kila mmoja atachukuliwa hatua na kupewa adhabu kali sana na kama sheria hazina adhabu kali, basi tutatunga sheria ya "dharura" yenye adhabu kali sana iwe fundisho kwake na kwa wengine.
hakuna post wala comment yeyote yenye umaana katika historia toka uje JF, tunajua ulikuwa product ya school dropout, so si matatizo yako.. ukikua utaacha.
Pamoja na masikitiko yangu makubwa kwa lilchotokea kwa Dr Ulimboka ningepanda kabla sijachangia vema nijue chanzo gani kilichowafikisha hawa ndg zangu LHRC mabwepande. Kwa sasa niseme tuu -- kama serikali kwa kutumia usalama wa taifa au wengineo ndiyo inayohusika basi conclusively haistahili hat kidogo kuendelea kuwepo madarakani.
Hali kama haina tofauti na iliyowahi kutokea kwa akina Thom Mboya na Ouko huku kenya miaka kadhaa iliyopita. Hawa kama watu wengi mnavyoweza kukukmbua ni watu walioweza kusimamia haki hadharani bila kuogoap lolote na wakiwa wakamata madaraka makubwa ndani ya serikali ya Kenya. Hali kama hii ikachwa ikakomaa katika nchi yetu hata ufisadi ambao umekuwa ukuitisa nchi hii utokomaa kwa kiwango ambacho hatutaweza kuhimili amani tena.
Yaliyowahi kutokea kwa Kubeneye, Mwakyembe na Njama za kumtegeshea madawa Abdiel Mengi na sasa Daktari wetu kiongozi Ulimboka tukikaa kimya yataendela bila kukoma na wale ambao walitarajiwa wawe mfano wa kulinda amani ndio wanaotumika kuangamiza amani kwa maslahi yao.
Nitakoposikia kutoka kwa LHRC nitachangia yaliyoko moyoni.
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
By Jakubumba
Wakati mwingine sio lazima kuchangia kitu, just kaa kimya. Tunasoma ili tuishi vizuri, hatusomi tuje kuteseka, madaktari wanajua mazingira ya kazi yao sioni sababu ya wewe kutokwa na mapovu namna hii
Subiri siku mamako akufie mikononi mwako pale mpokezi muhimbili huku Ulimboka na wenzake wako pembeni wanakuchekea chekea etu wamegoma ndio utajua watu wanazungumza nini pia utasema kile kipigo hakikumtosha..
re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...
By Kaka Sam
eti profeshens..? bora uandike lugha yetu adhimu ya kiswahili kuliko kuharibu lugha za watu... listen, there are so many ways to skin a cat.. so kama wao walichagua njia ya kutuulia ndugu zetu kuwa ndo sahihi mimi siafiki kabisaaaaaaaa... hata maandamano hawajafanya wamerukia kwenye mgomo baada ya kuona mazungumzo yamegonga mwamba,.. is this fare?
niliwaunga mkono mwanzoni but this time big NO.
No. This is not FARE. This is FAIR.
"Every decent man is ashamed of the government he lives under" H.L. Mencken [1880 - 1956]
Follow Us Here