Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 55 of 85 FirstFirst ... 45535455565765 ... LastLast
    Results 1,081 to 1,100 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 328
      Rep Power : 552
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa View Post
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA View Post
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!



    2. #1081
      Goheki's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd August 2011
      Posts : 184
      Rep Power : 432
      Likes Received
      41
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Bobuk View Post
      OOOh My GOD, I feel tears shed my eyes

      Sidhani kama itatokea maishani mwangu nikaipenda tena SERIKALI YA CCM!

      Kama Mungu yupo pamoja nasi atakuponya Dr. Ulimboka. Our prayers are with you
      Amevunjwa mikono yote miwili,shingo na sehemu za siri zimeasiwa.Hii taarifa kutoka chanzo cha uhakika kutoka muhimbili

    3. #1082
      KABAZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2010
      Posts : 288
      Rep Power : 523
      Likes Received
      7
      Likes Given
      7

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kampeni pole mwenzenu aliyekutwa chooni anawapa taarifa kwamba Ulimboka hajafa!!!

    4. #1083
      Barnabas Shadrack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2011
      Posts : 2,061
      Rep Power : 815
      Likes Received
      186
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By mamajack View Post
      dhaifu kweli tetetetete.
      Kama serekali yako.
      WASIOSOMA NI CHAKULA CHA WASOMI.

    5. #1084
      prutechura's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 27th June 2012
      Posts : 2
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      [QUOTE=njiwa;4130104]Mhh! hapa wamefika mbali sasa... picha ukurasa wa facebook clouds FM



      Pole Dr. Ulimboka. Mungu yu pamoja nawe na atakusimamia katika mabo yako.
      Hope utapona.

    6. #1085
      kaeso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 528
      Likes Received
      91
      Likes Given
      158

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Jamaa walidhamiria kumuua kabisa bahati nzuri Mungu yupo upande wake.


    7. #1086
      kupelwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2011
      Location : DAR-ES-SALAAM
      Posts : 477
      Rep Power : 491
      Likes Received
      129
      Likes Given
      31

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Technician View Post
      Wenye silaha ni maaskari na usalama, Dr Ulimboka hana biashara yoyote anayofanya imfanye atekwe, hana pesa hana kitu ni maskini tuu, sasa swali kuu ni nani aliyemteka? Ni government agent na ni specific na issue ya madokta full stop.

      Aand then what next.....the doktas are still ndani ya mgomo baridi
      vijana wa pinda wanahusika , hata yeye mtoto wa mkulima anhusika , si msafi tupige kura ya kutokuwa na imani naye .lsikumtgemea mtu anapendenda kusali kanisa letu la RC hannasifueo kasema naliwe na iwe maanake nini?

    8. #1087
      Amoni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 17
      Rep Power : 365
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Kwa hili serikali haiwezi kukwepa, kwani tangu jana naibu wa mwanasheria mkuu wa serikali alitoa tamko na kusema tusiporudi kazini leo tutaona na leo waziri mkuu bungen ametoa kauli na kusema liwalo na liwe na tumeon kamanda wetu alitekwa na kutendwa kama ilivyooneshwa kwenye picha ,aluta continua

    9. #1088
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By gimmy's View Post
      Najua utaniita mpumbavu ukijifanya eti ni mwanaharakati lakini kimsingi pamoja na takwimu zako uchwara bado hufikiri kwa makini,
      hivi kama mama au baba yako angekua ICU sasa,ungekua na hicho kiburi chakuwataka waendelee kugoma?
      najua kinachokusumbua ni siasa za vyama au ushabiki.
      Niwe mwanaharakati au niwe chama gani ukweli unabakia pale pale kwamba keki ya taifa inatakiwa igawanywe kwa staili inayotakiwa,tunasema sekta ya afya imedharauliwa wakiwemo wataalamu wake,hata kwenye rasimu inayozunguka ya mishahara mipya Kilimo na Mifugo ndio inaongozwa
      wewe ungekuwa na kaka yako mama yako baba yako daktari anafanya kazi kwenye mazingira hatarishi kama anayofanya daktari wa Tanzania ungesemaje
      leo hii madaktari wameonyesha ushirikiano serikali inawadharau kwa sababu inadharayu wananchi hospitali hizi za serikali bado ni kimbilio kuu la wananchi haitoshi kusema uwajali wagonjwa wakati siku nenda rudi unashuhudia vifo mbele ya uso wako bila uwezo wowote wa kusaidia kwa sababu serikali ya majambazi wanaiba fedha na kuzificha nje ya nchi ,nauunga mkono mgomo wa madaktari mwanzo mwisho na nalaani serikali ya Jakaya Kikwete kutaka kunyamazisha sauti za madaktari kwa kuuwaua

    10. #1089
      I have a dream's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 72
      Rep Power : 378
      Likes Received
      59
      Likes Given
      37

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By sweke34 View Post
      Sijachungulia kwa Issa Michuzi....nae kaweka kitu au anaogopa kuichafua serikali?
      Michuzi hajaweka na pia dar es salaam yetu hawajaweke, ITV kwenye habari za saa hathubutu kurusha ........Jiachie blog ndiyo wameweka
      "Don't ask what your country can do for you, but what you can do for your country" John Kennedy


    11. #1090
      gimmy's's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd September 2011
      Posts : 330
      Rep Power : 521
      Likes Received
      39
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By GALIMA View Post
      pumbav huna akili kutetea ujinga.lait ungemuona alivyopigwa ungelia.ujinga mtupu
      hivi hua unatembea mahospitalini wewe au Ulimboka ndio mgonjwa wako wakwanza mahututi kumuona?
      kama huyu utalia ukifika muhimbili ukawaona watanzania waliokosa matibabu ulimboka utamuona mzima kabisa,
      tuache ushabiki ulimboka hawezi kua na thamani kuliko maelfu ya wagonjwa walala hoi wanaoteseka mahospitalini.

    12. #1091
      Ng'wanambula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd October 2011
      Posts : 85
      Rep Power : 407
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By King'asti View Post
      Sina hakika na ukweli wa habari hii!
      Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!
      Huyo Dr Ulimboka atakuwa ni mla rushwa (CORRUPT) sana na inavyoonekana anaweza kuwauza wenzake.Nasema hivyo kwa sababu ukiiangalia hii incidence unaona kuwa huyu Dr Ulimboka ana tamaa ya pesa na anaendesha mgomo kwa kushawishi wenzake ili anufaike binafsi.Nasema hivyo kwa sababu hebu fikiria kwa akili ya kawaida tu,wewe una ishu kubwa kama hiyo ya mgomo,halagu unaitwa na mtu usiyemjua ili mkafanye reconcilliation.Bila shaka ni reconcilliation kuhusu mgomo.Hapo naona kuwa anaweza kuitwa na kupewa kitu kidogo na watu asiowajua na yeye akaenda tena peke yake???!!!!!!.Baada ya hapo anaweza kuwageuka wenzake.HAFAI KABISA ANASUMBULIWA NA TAMAA NA NJAA TU.

    13. #1092
      KABAZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2010
      Posts : 288
      Rep Power : 523
      Likes Received
      7
      Likes Given
      7

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      wewe mpumbavu kama una huruma na walio ICU, mbona unaunga mkono vp kwa serikali kutotekeleza matakwa waliyokubaliana kama wao ndio wanaidhinisha vibali(referals) za kwenda kutibiwa nje na Invoices zinazokuja wanaziona serikali wanalipa

    14. #1093
      boma2000's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2009
      Location : nyumbani
      Posts : 2,741
      Rep Power : 1040
      Likes Received
      91
      Likes Given
      54

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Not fair at all, why they want to kill this person? wezi wa hela zetu za umma na wala rushwa wakubwa waliorudisha maendeleo ya nchi mbona hawaguswi au sababu wengi wao ni viongozi???????????????//
      Tanzania Itajengwa na Watanzania Wazalendo wa Ukweli

    15. #1094
      doup's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2009
      Location : N/A
      Posts : 697
      Rep Power : 664
      Likes Received
      53
      Likes Given
      43

      Default Re: Picha ya Dr. Ulimboka alivyojeruhiwa

      Hii hari ndugu zangu tusiiache ipite hivi hivi, lazima tufe na mtu. Ulimboka ni kiongozi tu wa kuwakilisha mawazo ya wengi, Kwa stauli tutegemee vifoo vingi kwa wagonjwa hata kama madakari watarudi, hawatakuwa na moyo wa huruma tena kwa wagonjwa.

      Na chama hiki dhaifu ndio kitasababisha machafuko katika nchi hii. huu si wakati wa lelemama tena kila mtu ajiandae
      Arusha ni mwanga wa TUMAINI jipya

    16. #1095
      kaeso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 528
      Likes Received
      91
      Likes Given
      158

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Goheki View Post
      Amevunjwa mikono yote miwili,shingo na sehemu za siri zimeasiwa.Hii taarifa kutoka chanzo cha uhakika kutoka muhimbili
      Acha masikhara.....

    17. #1096
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1259
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Goheki View Post
      Amevunjwa mikono yote miwili,shingo na sehemu za siri zimeasiwa.Hii taarifa kutoka chanzo cha uhakika kutoka muhimbili
      Mkuu, sitaki kabisa kuamini kama haya maneno ni ya kweli...inasikitisha sana...

    18. #1097
      Hydrobenga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 703
      Rep Power : 450
      Likes Received
      62
      Likes Given
      44

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Huyu aliyemshughulikia huyu mbwiga na-mpa Bigup ... akipona atajifunza kuwa wale anawogomea kuwatibu husikia maumivu pia...akiamka atakuwa wa kwanza kwenda kutoa huduma pale muhimbili

    19. #1098
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,854
      Rep Power : 1343
      Likes Received
      758
      Likes Given
      153

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Makame View Post
      Tuelimishe Dkt Ulimboka ni Kiongozi wa nani?

      Na Je yeye anahusika vipi na Mgomo huu?

      Je Dkt Ulimboka hana ushawishi MAT?

      Kama Dkt Ulimboka hana ushawishi MAT na hana influence kwenye mgomo; kwanini TUHUMA zisizo vielelezo zinatolewa dhidi ya Serikali?

      Mimi naamini kuwa Serikali yenyewe inasikitishwa na tukio hili; ila kwa kuwa watu mumeona mambo yakitokea Syria na Misri; basi mumeanza kukomaa. EVENTUALITY YA INCITEMENT SIO SUALA UTAKALOLIPENDA. Tuendelee na salama yetu na tuitake Katiba Mpya ije mapema na haraka. vurugu hazina tija. katiba Mpya Muarobaini wa mengi.
      Katiba mpya wakati munauwa watanzania wenzenu tuu kwa sababu munataka kulinda mali mulizotuibia a very wrong calculation

    20. #1099
      kaeso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 551
      Rep Power : 528
      Likes Received
      91
      Likes Given
      158

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Fisadi Mtoto View Post
      Ulimboka hasiefunzwa na mamaye hufunzwa na dunia....umepata unachostahili na umejua ni namna gani wagonjwa tuna maumivu.....bravo kwa yeyote alimshughulikia muhaini Ulimboka.
      We vipi??

    21. #1100
      Zanta's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th April 2011
      Posts : 1,329
      Rep Power : 757
      Likes Received
      434
      Likes Given
      369

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By kaeso View Post
      Acha masikhara.....
      Mbona kwenye picha hapo anaonekana kashika maji ya kunywa? hivi mikono yote ikivunjika unaweza kubeba kitu?
      Kaka Sam likes this.
      Better to have a Good Dictatorship than Bad Democracy !!!!

    Page 55 of 85 FirstFirst ... 45535455565765 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...