Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 5 of 85 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 326
      Rep Power : 551
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!



    2. #81
      Mzee Busara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Posts : 113
      Rep Power : 599
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      atakuwa hajatekwa bali kaingia mitini hataki kuongoza tena mgomo

    3. #82
      wakuziba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 123
      Rep Power : 585
      Likes Received
      42
      Likes Given
      43

      Default Re: Dr. Stephen ulimboka amekamatwa usiku?

      hivi tumefikia hatua ya kuidharau mahakama! nchi tunaipeleka wapi? kama kakamatwa na vyombo vya dola kwa kuidharau mahakama, hilo ni jambo la kawaida.

    4. #83
      HOMOSAPIEN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 484
      Rep Power : 512
      Likes Received
      131
      Likes Given
      42

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Huyo hana maana kabisa serikali imemsomesha ili asaidie jamii yeye kaweka maslahi yake binafsi kwanza kuua watanzania waliomsomesha kwa kodi zao ni kosa kubwa sana,fanya kazi kwa bidii upate fedha, siyo kushawishi na wenzako wagome Hehehee! ili tufe? tena kwa maslahi binafsi!

      Haiwezekani anataka utajiri bila kufanyia kazi,mtu mbaya kabisa aliyejitokeza TZ karne hii ya 21 ni huyu,serkali ilishakubali kuwa yanazungumzika kuwa na subira wakati yakitekelezwa siyo kulazimisha tena kwa kusababisha vifo vya wagonjwa huu siyo udaktari ni uhujumu tena mbaya kuliko ukimwi,ingelikuwa China leo hii asingekuwepo duniani,nashauri hivyo mbona kina Kombe,Mahiza e.t.c hawapo na nchi inaendelea.
      THE FUTURE ALWAYS START TOMORROW AND NOT TODAY

    5. #84
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Planet Nibiru
      Posts : 11,528
      Rep Power : 42519
      Likes Received
      5070
      Likes Given
      4242

      Default

      Quote By Tukundane
      Unajuwa ndani ya nchi kuna vyombo vingi vya usalama.vingine vinafanya kazi waziwazi na vinajulikana kwa watu.vingine vinafanya kazi kwa kificho na havitakiwi kujulikana na ofisi zao unaweza ukakuta ni mahandaki na vyote hivyo vinamiliki silaha kihalali na lengo lao ni moja.

      Kwa hoja ya mleta taarifa kutekwa nineno zito sana halilingani na nguvu iliotumika kumchukuwa huyu dr.kutekwa lazima itumika nguvu kubwa.nguvu iliotumika hapa ni ya kawaida hivyo atakuwa amekamatwa na baadhi vyombo vya usalama ambavyo unaweza ukakuta hata vyenyewe havijuwani.

      Kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea.
      Huo ni mtazamo na speculation tu mkuu,hatuna uhakika kama amechukuliwa na vyombo vya usalama au la, kumbuka unaweza ukafikiria hivyo kwa sababu tukio hilo limetokea wakati huu ambao kuna mgomo wa madaktari na yeye ni kiongozi, lakini ingetokea wakati mwingine wowote usingesema hivyo.

      Suala la kuwa utekaji hutumia nguvu kubwa sio kweli mkuu, inategemeana na mtu anayetekwa na anavyofahamika kwa watekaji. We should not take this matter for granted tujiaminishe kuwa amekamatwa na vyombo vya usalama anahojiwa kama hatujui ni nani waliomkamata na wanamhoji kwa lipi!? Unless uwe mmoja wao na utuhakikishie hilo, otherwise serikali kupitia vyombo vya usalama inawajibika kujua huyu mtu yuko wapi na usalama wake ukoje!!

    6. #85
      Lukolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Location : Iringa
      Posts : 4,071
      Rep Power : 7079
      Likes Received
      2223
      Likes Given
      1693

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Ndahani
      Watakuwa wapuuzi kweli wakimteka. Labda kukamatwa kwa kuvunja sheria. But does it help?
      Akamatwe kwa kuvunja sheria ipi? Maana kugoma ni haki ya kila mtu, kama ingekuwa kudai haki yako ni kuvunja sheria basi tusingekuwa tunamsifu Nyerere, maana angekuwa ndo mhalifu kuwashinda wahalifu nchini Tanzania. Lets believe kwamba hawatamfanya kitu kibaya. Maana isije ikatokea kesho tukasikia mwili wake umekutwa kando kando ya barabara. Na kwa watz walivyo waoga, kila mtu atafyata mkia, halafu aliyekufa inakuwa ni hasara yake na familia yake.
      Mtaji mkubwa kabisa wa CCM katika chaguzi zake ni umaskini na ujinga wa watanzania. CCM haitafanya kosa la kuyamaliza matatizo hayo kwa kuwa kwa kufanya hivyo watakuwa wamehatarisha nafasi yao ya kuendelea kutawala


    7. #86
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,613
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16709
      Likes Given
      8544

      Default Free Dr. Ulimboka Now!!!

      Dr. Ulimboka inadaiwa amekamatwa na polisi usiku kwenye majira ya saa saba kasoro hivi akiwa na wenzake. Watu ambao hawakujitambulisha na wakiwa na mavazi ya kiraia lakini wakiwa na silaha walimchukua Dr. Ulimboka mkukumkuku kwenda kusikojulikana. JItihada za awali za kufuatilia zilionekana kugonga mwamba. Hata hivyo, habari ambazo tumeweza kuzipata sasa hivi ni kuwa watu waliomchukua wanadaiwa ni polisi na kuwa yuko kwenye kituo cha Bunju nje ya jiji la Dar kupita maeneo ya Mbezi. Sasa hivi wanasheria na vyombo vya haki za binadamu vinafuatilia kujua hali yake huko aliko kwani juhudi za kutaka kuzungumza naye kwa simu zimeshindikana.

      Ni matumaini yangu - na bila ya shaka ya wengine - kuwa Dr. Ulimboka ambaye ameonekana kama kiongozi wa mgomo wa madaktari unaondelea nchini hatodhurika kwa namna yoyote ile na kuwa sheria zote zinafuatwa siyo na wale wanaotaka wengine wafuate sheria bali na wale wanaopaswa kufuata sheria.

      Kwa niaba yangu na CCTI tunalaani vitendo hivi ambavyo vinaonekana kutaka kugeuza Tanzania kuwa police state hasa baada ya kushindwa kutafuta suluhisho la kawaida. Na zaidi kama kuna jambo lolote ambalo limefanywa kinyume na sheria au haki au utawala wa sheria tunataka wahusika wote wawajibishwe mara moja.

      Free Dr. Ulimboka Now!


      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    8. #87
      stroke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,541
      Rep Power : 678
      Likes Received
      169
      Likes Given
      5

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      i have confirmation from sources kua ni kweli amekamatwa!!!!

    9. #88
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,310
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      433

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Dr. Ulimboka inadaiwa amekamatwa na polisi usiku kwenye majira ya saa saba kasoro hivi akiwa na wenzake. Watu ambao hawakujitambulisha na wakiwa na mavazi ya kiraia lakini wakiwa na silaha walimchukua Dr. Ulimboka mkukumkuku kwenda kusikojulikana. JItihada za awali za kufuatilia zilionekana kugonga mwamba. Hata hivyo, habari ambazo tumeweza kuzipata sasa hivi ni kuwa watu waliomchukua wanadaiwa ni polisi na kuwa yuko kwenye kituo cha Bunju nje ya jiji la Dar kupita maeneo ya Mbezi. Sasa hivi wanasheria na vyombo vya haki za binadamu vinafuatilia kujua hali yake huko aliko kwani juhudi za kutaka kuzungumza naye kwa simu zimeshindikana.

      Ni matumaini yangu - na bila ya shaka ya wengine - kuwa Dr. Ulimboka ambaye ameonekana kama kiongozi wa mgomo wa madaktari unaondelea nchini hatodhurika kwa namna yoyote ile na kuwa sheria zote zinafuatwa siyo na wale wanaotaka wengine wafuate sheria bali na wale wanaopaswa kufuata sheria.

      Kwa niaba yangu na CCTI tunalaani vitendo hivi ambavyo vinaonekana kutaka kugeuza Tanzania kuwa police state hasa baada ya kushindwa kutafuta suluhisho la kawaida. Na zaidi kama kuna jambo lolote ambalo limefanywa kinyume na sheria au haki au utawala wa sheria tunataka wahusika wote wawajibishwe mara moja.
      I'm Naturaly Evasive..

    10. #89
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 577
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Ni kweli katemwana askari mbaya zaidi kapigwa vibaya na kapewa vitiaho

    11. #90
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,495
      Rep Power : 24413
      Likes Received
      4874
      Likes Given
      2337

      Default Re: Free Dr. Ulimboka Now!!!

      Asante kwa taarifa Mkuu.
      Tumefikia hapa tulipo, ambapo mpaka madaktari wamekuwa tishio kwa serikali kutokana na udhaifu wa Rais wa nchi hii.
      Sioni sababu za msingi kwanini serikali inashindwa kushughulikia madai ya madaktari kwa njia sahihi. Serikali inashindwa vipi kujifunza kutoka kwa madaktari wa nchi zinazoendelea wanatatuaje matatizo ya madaktari.
      And for sure, baada ya madaktari itakuwa zamu ya wengine. Kikwete ategemee kumaliza hiki kipindi vibaya sana!

      Free Dr. Ulimboka now!!!!!!!!

      I support the doctors!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    12. #91
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,310
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1806
      Likes Given
      433

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      taarifa hiyo hapo juu
      I'm Naturaly Evasive..

    13. #92
      mamajack's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2012
      Posts : 1,153
      Rep Power : 587
      Likes Received
      275
      Likes Given
      71

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      kweli serikali imepoteza mwelekeo.yaani aibu ,udhaifu uliosemwa,ndo viashilia vyake hivi.

    14. #93
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,624
      Rep Power : 11254
      Likes Received
      644
      Likes Given
      544

      Default Re: Free Dr. Ulimboka Now!!!

      Ni upungufu wa akili na busara kudhani kuwa kumkamata Dr Ulimboka ndio kutaleta uvumbuzi wa mgomo wa madaktari!!!
      Simple answers for tough questions
      Mzee Mwanakijiji likes this.
      Some people are alive only because it is illegal to kill them

    15. #94
      dosama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th December 2010
      Posts : 736
      Rep Power : 577
      Likes Received
      296
      Likes Given
      1

      Default Confirmed: Dr. Olimboka katekwa na Polisi kapigwa na vitisho juu

      Ni kweli Dr. Olimboka katekwa na askari polisi na kapigwa na kwa sasa yupo kituo cha polisi cha uchochoroni tunakifuatilia kujua kama ndipo walipo mficha. Sasa hii imetuamsha hasira na mgomo kamili ndo utafuata.

      Nimepata nafasi ya kufuatilia suala la Dr. Ulimboka. Naweza kuthibitisha kuwa amepatikana baadaya kuwa kupigwa kwa takribani masaa matatu, kujeruhiwa na kupoteza damu nyingi. Sasa hivi anakimbizwa hospitali kuokoa maisha yake bila ya shaka katika kumtumia ujumbe wa aina yake kama kiongozi wa mgomo wa madaktari.

      Hii ni aibu ya taifa!

      Tumwombee anusurike lakini vile vile wengine watiwe moyo kuwa wapo mashujaa katika Tanzania!!

      Viva Dr. Ulimboka!! - M. M. Mwanakijiji
      Tshala likes this.

    16. #95
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1813
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Mjenda Chilo
      mh! sidhani kama that can be the case, labda useme amekamatwa. kutekwa?

      uko sahihi kutekwa ni neno la maharamia wa kisomali..... kakamatwa linaonyesha kuwa yuko mikononi mwa dola kutekwa ina maana kwa lengo baya hata kuuawa pia

    17. #96
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 29,613
      Rep Power : 46736
      Likes Received
      16709
      Likes Given
      8544

      Default Re: Free Dr. Ulimboka Now!!!

      Tuweke shinikizo aachiliwe mara moja na bila madhara yoyote; utawala wetu umewekwa kwenye kona na sasa unatafuta namna ya kutokea...
      [email protected]
      The Best of Tanzanian Socio-Political Blogging - http://www.mwanakijiji.com

    18. #97
      Imany John's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,997
      Rep Power : 2986
      Likes Received
      484
      Likes Given
      4

      Default Re: Free Dr. Ulimboka Now!!!

      It takes two to make a quarrel,but it might take the whole public to settle the damage of the quarrel.

      Free dr.Ulimboka.
      Njilembera likes this.

    19. #98
      mpenda pombe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Posts : 373
      Rep Power : 509
      Likes Received
      31
      Likes Given
      1

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Yule kiongozi wa migomo TRL late Rwegasira yupo wapi?
      Huu udikteta sasa.. Utamaliza wangapi?

    20. #99
      majorbanks's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 150
      Rep Power : 402
      Likes Received
      37
      Likes Given
      3

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Hata hivyo, habari ambazo tumeweza kuzipata sasa hivi ni kuwa watu waliomchukua wanadaiwa ni polisi na kuwa yuko kwenye kituo cha Bunju nje ya jiji la Dar kupita maeneo ya Mbezi. Sasa hivi wanasheria na vyombo vya haki za binadamu vinafuatilia kujua hali yake huko aliko kwani juhudi za kutaka kuzungumza naye kwa simu zimeshindikana.

      Ni matumaini yangu - na bila ya shaka ya wengine - kuwa Dr. Ulimboka ambaye ameonekana kama kiongozi wa mgomo wa madaktari unaondelea nchini hatodhurika kwa namna yoyote ile na kuwa sheria zote zinafuatwa siyo na wale wanaotaka wengine wafuate sheria bali na wale wanaopaswa kufuata sheria.

      Kwa niaba yangu na CCTI tunalaani vitendo hivi ambavyo vinaonekana kutaka kugeuza Tanzania kuwa police state hasa baada ya kushindwa kutafuta suluhisho la kawaida. Na zaidi kama kuna jambo lolote ambalo limefanywa kinyume na sheria au haki au utawala wa sheria tunataka wahusika wote wawajibishwe mara moja.

      Free Dr. Ulimboka Now!



    21. #100
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,785
      Rep Power : 5477
      Likes Received
      1984
      Likes Given
      2655

      Default Re: Free Dr. Ulimboka Now!!!

      Imefikia huko tena, wameshindwa kutatua tatizo na wanakimbilia kutumia mabavu..........wanafanya hali iwe mbaya zaidi, vitisho na mabavu si suluhisho hata mara moja!
      BE RESPECTED............DEMAND RESPECT

    Page 5 of 85 FirstFirst ... 3456715 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...