Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 3 of 85 FirstFirst 1234513 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. Miaka 50

    3. #41
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,913
      Rep Power : 2297
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      1498

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      WaTanzania kote nchini sasa tunasema tena kwa sauti kwamba waliomteka Dr Ulimboka WAMWACHIE MARA MOJA na akiwa hana jeraha lolote lile!

      Hili lisipotekelezwa kwa haraka basi huenda kukafuatia mgomo mkubwa zaidi wa sehemu kubwa zaidi ya wananchi kila kona ya nchi wakati wowote tangu sasa!

    4. #42
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,015
      Rep Power : 901
      Likes Received
      81
      Likes Given
      39

      Default Dr. Stephen ulimboka amekamatwa usiku?

      WANAJF,
      Kwanza natanguliza samahani kwa kuleta taarifa ambayo haijathibitishwa bado na familia ya muhusika Dr. Ulimboka, lkn kuna taarifa zinasema kwamba amekamatwa usiku wa leo kwasababu ya mgomo wa madaktari. Je, kuna mwana-JF yeyote mwenye taarifa hizi kama ni kweli au?
      TELO.

    5. #43
      stroke's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 17th February 2012
      Posts : 1,427
      Rep Power : 0
      Likes Received
      153
      Likes Given
      4

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kwani chanzo cha mgomo ni mtu au ubovu wa system?? does having him arrested nullifying the existing facts???

    6. #44
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,584
      Rep Power : 2553
      Likes Received
      2143
      Likes Given
      1862

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Tutawashtaki kwa MUNGU na 2015 ndio itakua mwisho wao
      Popompo likes this.
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    7. #45
      The Eagle2012's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd April 2012
      Posts : 119
      Rep Power : 383
      Likes Received
      24
      Likes Given
      4

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Nimecheki na Rafiki yangu mmoja ni daktari wa Amana kuhusu Kazia hii,wao nao wanaamini kwamba Daktari Ulimboka ametekwa na watu ambao wametumwa na Serikali!!

      Hii inazidi kuamsha hasira zao na Wamesema wanajipanga Kogoma zaidi,sio baridi tena,itakuwa Mgomo Moto!!

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      BornTown's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2008
      Location : ???
      Posts : 1,482
      Rep Power : 864
      Likes Received
      283
      Likes Given
      104

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa hii serikali dhaifu hapo ndipo inapokosea kumkamata ama kumteka huyu Ulimboka ndio kuchochea mgomo ni sawa na kuweka petroli kwenye moto unafifia kuzimika.

      Hii sio kutatua tatizo bali ni kuongeza taizo kwani madaktari wanaweza kugoma kudai mwenzao arudishwe na hii itatuletea maafa zaidi ukiangalia wanajeshi wamegoma kutoa madaktari wao wakitaka serikali dhaifu imalizane na madaktari wake kuepusha maafa zaidi
      "DONT BE A WOMAN THAT NEEDS A MAN BE A WOMAN A MAN NEEDS!!!!"

    10. #47
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      593
      Likes Given
      413

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kipindi hiki ni cha mvutano wa madaktari na serikali pengine jamaa ameamua kuzima simu na kubadilisha makazi kwa hofu yake tu kisha tunasema katekwa ......

      sioni sababu ya kusema sana kama hatuna uhakika na jambo hili

    11. #48
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 876
      Rep Power : 806
      Likes Received
      138
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Pombekali
      Angekamatwa ingejulikana ni kwa sababu zipi na amepelekwa wapi, unasema amekamatwa kwa mahojiano zaidi,unajua amekamatwa na nani na anahojiwa kuhusiana na nini?
      Unajuwa ndani ya nchi kuna vyombo vingi vya usalama.vingine vinafanya kazi waziwazi na vinajulikana kwa watu.vingine vinafanya kazi kwa kificho na havitakiwi kujulikana na ofisi zao unaweza ukakuta ni mahandaki na vyote hivyo vinamiliki silaha kihalali na lengo lao ni moja.

      Kwa hoja ya mleta taarifa kutekwa nineno zito sana halilingani na nguvu iliotumika kumchukuwa huyu dr.kutekwa lazima itumika nguvu kubwa.nguvu iliotumika hapa ni ya kawaida hivyo atakuwa amekamatwa na baadhi vyombo vya usalama ambavyo unaweza ukakuta hata vyenyewe havijuwani.

      Kwa ajili ya kuhojiwa kuhusu mgomo wa madaktari unaoendelea.

    12. #49
      Duble Chris's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2011
      Posts : 2,341
      Rep Power : 873
      Likes Received
      382
      Likes Given
      309

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      wanako elekea siko kabisaaaaaa
      frustration is given by expectationdivide by
      outcome
      ie
      frustration = expectation/outcome


    13. #50
      Kipepeo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2008
      Posts : 188
      Rep Power : 614
      Likes Received
      11
      Likes Given
      36

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Hakuna kitu hapo uongo uliosukwa

    14. #51
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,069
      Rep Power : 923
      Likes Received
      837
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By King'asti
      Sina hakika na ukweli wa habari hii!
      Kwa uhusiano alionao na serikali hii, saa sita ya usiku anaenda kufanya 'reconciliation' na 'mtu' wa serikali? Tena peke yake bila viongozi wenzie? Atakuwa wa ajabu basi!
      King'asti

      Hii taarifa inaacha maswali mengi kuliko majibu!

      Hivi nani anakumbuka ile story ya mbunge wa CUF Msabaha kutekwa na Serikali?! Nasikia siku hizi huyo Msabaha ni CCM damu damu!

    15. #52
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,800
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      796
      Likes Given
      451

      Default Re: Dr. Stephen ulimboka amekamatwa usiku?

      Kuna thread ipo yenye hii habari, ila nayo bado ni unconfirmed.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    16. #53
      Elli's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 8,584
      Rep Power : 2553
      Likes Received
      2143
      Likes Given
      1862

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kwanini tunamuita KIONGOZI wa MGOMO badala ya Kumuita MTETEZI wa WANYONGE????????? Huyu ndie mtetezi wetu na sio vinginevyo hayo ya Viongozi wa mgomo yanaleta maana hasi kwa jamiii
      ...but what MAN is entirely without Evil intent in the Silence of his Soul???

    17. #54
      Kipepeo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th February 2008
      Posts : 188
      Rep Power : 614
      Likes Received
      11
      Likes Given
      36

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kama yuko tayari kufa kwa ajili ya taifa kutekwa ni moja ya silaha zinazoweza kutumiwa katika uwanja wa vita

    18. #55
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1810
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      katekwa kwenda wapi? nimezungumza na daktari rafiki wa karibu sana na Ulimboka anasema yuko salama tu
      MTAZAMO likes this.

    19. #56
      Amoni's Avatar
      Member Array
      Join Date : 15th April 2012
      Posts : 16
      Rep Power : 361
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By Mpungati
      Risasi na kuteka watu ni mbinu za serikali iliyofilisika mawazo.
      nadhani hata naibu mwanasheria wa serikali anahusika kwa sababu jana alinukuliwa na VOA akisema madaktari wasiporudi kazini kwa kutii amri ya mahakama. Watasikia kesho nadhani hii ni mojawapo ya uthibitisho wa kauli yake. sasa watatujua sisi ni kinanani na sasa ndiyo wamechokoza moto hata na kwenye mahalmashauri madaktari watagoma, solidarity forever bravo madaktari

    20. #57
      Mwanajamii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2008
      Posts : 7,085
      Rep Power : 1810
      Likes Received
      24
      Likes Given
      13

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Kaonekana muhimbili hivi punde na madaktari wenzake..... tuache kutunga uongo jamani
      MTAZAMO likes this.

    21. #58
      MVUMBUZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 2,586
      Rep Power : 1090
      Likes Received
      685
      Likes Given
      374

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Habari hizi zikithibitishwa ni za kweli na Ulimboka akipigiwa simu akawa hapatikani inabidi wananchi tuunge mkono madaktari na bila shaka hali itakuwa mbaya zaidi

    22. #59
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,257
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      hivi hapa Kariakoo wapi wanauza bastola?

    23. #60
      POMPO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2011
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1192
      Likes Received
      1122
      Likes Given
      649

      Default Re: Dr. Stephen ulimboka amekamatwa usiku?

      Mtetezi wetu wanamkamata patachimbika
      "Tumefika hapa kutokana na UDHAIFU wa Rais Jakaya Kikwete.." J.J. Mnyika, Bungeni,June,2012.

    Page 3 of 85 FirstFirst 1234513 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...