Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

    Report Post
    Page 2 of 85 FirstFirst 123412 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 1699
    1. #1
      langei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2009
      Location : endim
      Posts : 325
      Rep Power : 548
      Likes Received
      162
      Likes Given
      64

      Default Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Sasa uchokozi umefikia pabaya na hii sasa ni vita!!

      Taarifa iliyonifikia hivi punde ni kuwa jemedari Dr. Ulimboka ametekwa majira ya saa sita usiku na watu watatu waliokuwa na silaha za moto na kumpeleka kusikojulikana! Inasemekana alipigiwa simu na jamaa mmoja aliyejitambulisha kwa jina moja la 'Abeid' ambaye tangu mwanzo amekuwa akiwasiliana naye na kujiita afisa wa serikali na kudai kuwa alitaka aonane naye face to face kwa ajili ya reconciliation.

      Taarifa zimekwisha fikishwa polisi na sehemu zingine kwa ajili ya ufuatiliaji. (source chanzo cha kuaminika).

      UPDATE:
      Inaelekea waliomteka si watu wema kabisa, Dr. Ulimboka kaokotwa sehemu akiwa katika hali mbaya sana!

      Quote By Riwa
      Jamani this is is serious; Nimepigiwa simu sasa hivi na watu wa Legal and Human Rights Center wameniambia wametoka kumchukua Dr. Ulimboka kule Mabwepande amepigwa vibaya sana na ni emergency wanampeleka MOI sasa hivi.

      Please tunaomba mtume habari hii kila mahali please!

      Ni habari ya uhakika sana nimeomngea na Patience Mlowe wa Legal and Human Rights center.

      Chanzo: Colleague ambaye yuko naye sasa!
      Quote By DOMA
      Kamanda wa polisi Suleiman Kova amekaririwa akisema kwamba Dr. Ulimboka ametekwa akiwa Club na watu wasiojulikana akiwa anakunywa kinywaji na kuahidi kwamba uchunguzi unaendelea kuhusiana na tukio hilo.
      Tutaendelea kutoa updates kadiri muda unavyoruhusu.




      PICHANI: Dkt. Ulimboka akiwa katika hali mbaya mara baada ya kuokotwa akiwa hajitambui.
      Ulimboka alitekwa jana usiku mida ya saa 6 usiku baada ya kupigiwa simu na mtu aliyejitambulisha kwa jina la Abeid na alitekwa na watu wawili waliokuwa na silaha. Kufuatia hali hii wafanyakazi wa chumba cha maiti Muhimbili nao wamegoma na mgomo huenda ukawa mkubwa zaidi!


    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      kwa hiyo serikali nao hawaziamini mahakama zetu!? si tulisikia wamefungua kesi sasa wanawateka wanini?
      Kikwete ni Jasiri Sana

    4. #22
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,389
      Rep Power : 1265
      Likes Received
      1209
      Likes Given
      1253

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      hapa madaktari inabidi waongeze kasi ya mgomo ikibidi........

    5. #23
      mbalu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th May 2012
      Location : Ntuzu
      Posts : 214
      Rep Power : 395
      Likes Received
      98
      Likes Given
      68

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Huu sasa ni udikteta.
      Ong'wizukuru Shimba nawe Shimba.

    6. #24
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,802
      Rep Power : 777
      Likes Received
      417
      Likes Given
      121

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Huyo hajatekwa bali kakamatwa kwa "mahojiano zaidi". Hata hivyo, reconciliation ndio aende pekee yake ? Naye alikosea kama kweli alienda pekee yake; maana hata watu wenye nia mbaya na Serikali wanaweza kuchukua hatua kama hiyo ili kuleta taharuki zaidi !!!!
      Last edited by sawabho; 27th June 2012 at 16:52.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    7. #25
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Kama kweli katekwa, uwezekano wa kuuliwa ni mkubwa sana,
      Maundumula likes this.

    8. Miaka 50

    9. #26
      MNYISANZU's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 6,311
      Rep Power : 0
      Likes Received
      593
      Likes Given
      76

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Risasi na kuteka watu ni mbinu za serikali iliyofilisika mawazo.

    10. #27
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,034
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      mbona tuna majembe kama kina slaa,mnyika,mbowe na makamanda wengine,hawatekwa na wamekuwa wakiikosoa serikali kweli kweli.huu ni uzushi
      KAPONGO and MAMA POROJO like this.

    11. #28
      Tukundane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2012
      Posts : 872
      Rep Power : 805
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Hajatekwa kakamatwa kwa ajili ya kuhojiwa kwa vyovyote vile atakuwa ni kikwazo kwa serikali.

    12. #29
      meningitis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2010
      Location : sewahaji
      Posts : 2,918
      Rep Power : 3207
      Likes Received
      1014
      Likes Given
      149

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      mbona wanaongeza idadi ya madai!

    13. #30
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,882
      Rep Power : 30218
      Likes Received
      4708
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By sawabho
      Huyo hajatekwa bali kakamatwa kwa mahojiano zaidi. Hata hivyo, reconciliation ndio aende pekee yake ? Naye alikosea kama kweli alienda pekee yake; maana hata watu wenye nia mbaya na Serikali wanaweza kuchukua hatua kama hiyo ili kuleta taharuki zaidi !!!!
      Angekamatwa ingejulikana ni kwa sababu zipi na amepelekwa wapi, unasema amekamatwa kwa mahojiano zaidi,unajua amekamatwa na nani na anahojiwa kuhusiana na nini?

    14. #31
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,034
      Rep Power : 0
      Likes Received
      227
      Likes Given
      1

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By sawabho
      Huyo hajatekwa bali kakamatwa kwa mahojiano zaidi. Hata hivyo, reconciliation ndio aende pekee yake ? Naye alikosea kama kweli alienda pekee yake; maana hata watu wenye nia mbaya na Serikali wanaweza kuchukua hatua kama hiyo ili kuleta taharuki zaidi !!!!
      inawezekana wameenda kujadiliana,sidhani kama atafanyiwa kitu kibaya mana utandawazi umeanika kila kitu,lazima waogope hilo

    15. #32
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 459
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Kiongozi wa Mgomo wa Madaktari: Dr.ulimboka yadaiwa atekwa na watu wasiojulikana

      Hapo ndipo tunapokosea, kutumia mbavu katika kusuluhisha migogoro ya aina hii ni kuendeleza migogoro na jamii husika bila ulazima wowote, sitaki kuamini kuwa kwa kumteka/kumkamata Dkt. Ulimboka ndio migomo itakwisha huu ni ubabe ambao hauna nafsi katika nchi zenye demokrasia na utawala wa sheria. Ikitokea Dkt. huyo amedhurika katika kipindi hiki litokuwa doa kwa chama tawala na serikali yake.

      Huu ndio ufisadi wa fikra. Pamoja na kuwa migomo hii ya madaktari inaendeshwa bila kuwa na mikakati madhubuti ya kuona kama inafanikiwa au la, bado pia serikali inashindwa kujipanga kuwashawishi kwa hicho wanachoamini na matokeo yake ni kuendeleza ubabe wa wenye dola ambao hawataki kufikiria na wasio na nguvu ya dola wanaodai haki yao ambao pia hawajui hatma ya hilo wanalolifanya.

      Kukosekana kwa dhamira inayoeleweka zaidi ya kuamini tu kuwa watu wengi wakifa serikali itatusikiliza kwa sababu madaktari ni muhimu, bado ni tatizo katika migomo mingi ya tanzania na ndiyo maana hakuna mafanikio au yanakuwepo kidogo sana kwa kuwa kila upande unachotaka ni ubabe na siyo kuwa na dhamira madhubuti inayoeleweka na hata inayoainisha njia mbadala endapo iliyopo itashindwa katika kipindi fulani.
      KISUKALI likes this.

    16. #33
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,882
      Rep Power : 30218
      Likes Received
      4708
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Tukundane
      Hajatekwa kakamatwa kwa ajili ya kuhojiwa kwa vyovyote vile atakuwa ni kikwazo kwa serikali.
      Kakamatwa na nani,amepelekwa wapi? na anahojiwa kuhusiana na nini?

    17. #34
      MTAZAMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th February 2011
      Posts : 4,235
      Rep Power : 2204
      Likes Received
      1818
      Likes Given
      2476

      Default Re: Kiongozi wa Mgomo wa Madaktari: Dr.ulimboka yadaiwa atekwa na watu wasiojulikana

      Wanabodi,

      Tuache kuandika lawama tu hapa,tumelalamika sana inatosha inabidi twende hatua moja zaidi.Hili ni tatizo na lazima tudai taarifa rasmi aliko Dr Ulimboka.

      Haiwezekani tuambiwe mtu muhimu kama Dr Ulimboka atekwe kihuni alafu tuishie kulalama bila kutafuta suluhisho hasa jukwaa hili likiwa limesheheni wanasiasa,watawala,wanausalama na sisi wananchi. Naomba comments hapa zisiwe za kulaumu tu bali kushinikiza kwa kila njia wapi alipo Dr huyu.

      Kama kuna namna ya kudhibitisha hili itakuwa vyema ili nguvu ya umma ifanye kazi.

    18. #35
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,501
      Rep Power : 11226
      Likes Received
      608
      Likes Given
      446

      Default Re: Kiongozi wa Mgomo wa Madaktari: Dr.ulimboka yadaiwa atekwa na watu wasiojulikana

      Mchwa akikaribia kufa huota mabawa na kupaa!
      Naona serikali ya CCM imeota mabawa tayari!

    19. #36
      sawabho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Location : Miyakojima
      Posts : 1,802
      Rep Power : 777
      Likes Received
      417
      Likes Given
      121

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Quote By Pombekali
      Angekamatwa ingejulikana ni kwa sababu zipi na amepelekwa wapi, unasema amekamatwa kwa mahojiano zaidi,unajua amekamatwa na nani na anahojiwa kuhusiana na nini?
      Mkuu, ndio maana nimesema hata watu wenye nia mbaya na Serikali au Drs. wanaweza fanya jambo kama hilo au hata maadui zake wanaweza on hii ndiyo loophole ya kukoroga mambo zadi. Wewe hujui Propaganda ziko kila mahali ?
      MAMA POROJO likes this.
      INAWEZEKANA, TIMIZA WAJIBU WAKO

    20. #37
      mwenyenchi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th November 2011
      Posts : 179
      Rep Power : 416
      Likes Received
      22
      Likes Given
      58

      Default re: Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana...

      Tunaomba uthibitisho wa hili maana hawa watu wanaweka mafuta ya taa kwenye moto

    21. #38
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,632
      Rep Power : 1110
      Likes Received
      1001
      Likes Given
      756

      Default Re: Dr.ulimboka atekwa na watu wasiojulikana

      Quote By christine ibrahim
      yaan serikali hapo ndo inapochemka!what do u think ikitangazwa kuwa amekamatwa au kitekwa,nchi haitatawalika jamani,mark my word!
      hata akiuawa shuguli zitaenda tu Watanzania walishazoeleka kelele mdomoni vitendo zero! tukaeni kimya tufanye kazi watunyonye watufisadi hadi basi tutakuwa tunatumikia adhabu ya sisi kuwa wazembe na wajinga!adaktari wenyewe na usomi na weledi wao wamegawanyika wengine wamegoma wengine wanafanya kazi wengine hawaeleweki lakini wangeamua wakagoma kwa 100% serikali ilishawasikiliza siku nyingi!!
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    22. #39
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,065
      Rep Power : 922
      Likes Received
      835
      Likes Given
      0

      Default

      Kwanza kabisa ili angalau hii habari iwe credible tunaomba RB No. ya kutekwa kwa Dr. Ulimboka. Unadai tukio lime-ripotiwa polisi

      Lakini pia sitashangaa sana kwa serikali kufanya mambo iliyofanya miaka zaidi 20 nyuma. Katika ule mgomo mkubwa ya UDSM wa mwaka 1989, serikali pia ilitumia mbinu hiyo hiyo ya kuwateka viongozi wa DARUSO marehemu Bazigiza na Matiko. Lakini wanafunzi tulisimama kidete hadi wakaachiwa!

    23. #40
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,800
      Rep Power : 1527
      Likes Received
      796
      Likes Given
      451

      Default Re: Kiongozi wa Mgomo wa Madaktari: Dr.ulimboka yadaiwa atekwa na watu wasiojulikana

      Inabidi tupate uhakika kwanza na kuona ni mazingira gani huyu jamaa ametekwa/amekamatwa. Hapo yatapatikama mapendekezo mengi ya uhakika.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    Page 2 of 85 FirstFirst 123412 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...