Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

    Report Post
    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345
    Results 81 to 95 of 95
    1. #1
      Mussa Loth's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Posts : 10
      Rep Power : 364
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

      Kutokana na mfumo wa nchi hii, wa kuwa ni nchi isiyo na dini lakini watu wake wanadini, na kwamba nikiamini kuwa madaktari karibu wote watakuwa waumini wa dini na madhehebu mbalimbali. Hii inanipa fursa ya kutaka kufahamu kama ni waumini wazuri katika dini zao, kwani hofu yangu ipo katika maeneo yafuatayo;
      1.kama watakuwa ni waumini wazuri, kushiriki kuwatesa na kuwasababishia vifo watu wasio na hatia, huku wakifahamu wazi kwamba ni dhambi kutenda matendo kama hayo.
      2.Kama kweli ni waumini na wanamwamini mwenyezi Mungu, wao huenda kutubia madhambi gani?
      3.Kama wanaishi kwenye jamii ya watanzania na endapo patatokea kifo au msiba unaotokana na mgomo wao, je watashiriki mazishi?
      4.Je madaktari hawa tunawahitaji katika dini zetu na madhehebu yatu? akiwa jirani yako ungependa ahame?
      5. Je,Tatizo ni kwamba kipato wanachopata kwasasa kinaweza kuwasababishia kifo madaktari ndio maana wanajihami kabla hawajafa na kwamba hakuna njia nyingine wanayoweza kuitumia zaidi ya kuwatesa wananchi na kuwaua ili nawao waweze kuishi.
      6.Inavyoonekana wadaktari hawa hawajasoma au kusomeshwa na kodi za wananchi wanaowatesa sasa na kuwauwa, hivyo wanataka kurejeshewa gharaza zao walizotumia wakati wanasoma vyuo.
      7.Kwamba kutokana na mateso na vifo vitakavyo tokana na mgomo wao, manufaa na maisha bora yatapatikana na hivyo kuifunza serikali sikunyingine wasiwachezee tena kwani wananchi watakuwa wamekiona chamoto.
      8.Kwamba wao hakuzaliwa katika hospitali za watanzania na hawakuhudumiwa na madaktari na wahudumu wengine wa afya, hivyo haiwahusu kuhusiana na maisha ya wananchi wengine.
      9.Walimu na watumishi wengine si wamuhimu sana kwani wao wamejifundisha taaluma hizo kwa juhudi zao binafsi, hivyo hakuna haja ya kuangalia uwianao wa kimaslahi,na pia si msingi mkubwa wala sababu ya wao kutopata maisha mazuri.
      10.Kuwafunza na kuwapa uzoefu wale wote wanaotaka kusoma basi wachague kuwa madaktari kwani wanaogopwa sana, na wakati unasoma unapewa fedha kama grant 100% na sio mkopo kama wanafunzi wengine

      Kutokana na sababu nilizoainisha hapo juu,madaktari kufanya mgomo inapaswa waungwe mkono?njia wanayotumia ni sahii?
      MUSSA -0763623082
      Nyetk likes this.


    2. #81
      brazilian's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th February 2012
      Posts : 609
      Rep Power : 1362
      Likes Received
      101
      Likes Given
      5

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

      "Insanity is keep doing the same thing in the same and expectingdifferent results" - Rev Msigwa

    3. #82
      Freema Agyeman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 1,706
      Rep Power : 4182
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      892

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By zomba View Post
      Hakiza wagonjwa ziko wapi? umsikitike binaadam mmoja aliyevuna alichokipanda badala ya kuwalilia wanawake wanaopoteza maisha yao na watoto zao kwa kutokuwepo daktari wa kuwahudumia? wazee kwa vijana kwa watoto waliowagonjwa wanapoteza maisha kwa upumbavu wa madaktari ambao madai yao mengi yameshatimizwa tena kwa muda mfupi sana.

      Kuweni wa kweli. Muogopeni Mungu. Wagonjwa ni mtihani mkubwa sana, na hawa madaktari kama ilikuwa haja yao ni kipato basi wasingeingia kwenye fani hiyo.
      Je baada ya Ulimboka kuwa majeruhi, madaktari wote wamerejesha huduma zao kama kawaida?

      Kama sivyo, madaktari wangapi zaidi kujeruhiwa?
      "The louder the protester, the more there is in their closet"

    4. #83
      Mzalendo JR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 911
      Rep Power : 537
      Likes Received
      277
      Likes Given
      213

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By zomba View Post
      Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.
      Empty you head 1st, rethink of that again.....

    5. #84
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By Mzalendo JR View Post
      Empty you head 1st, rethink of that again.....
      You have to re think your assumptions.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    6. #85
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 16,045
      Rep Power : 14670
      Likes Received
      2954
      Likes Given
      2093

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By Freema Agyeman View Post
      Je baada ya Ulimboka kuwa majeruhi, madaktari wote wamerejesha huduma zao kama kawaida?

      Kama sivyo, madaktari wangapi zaidi kujeruhiwa?
      Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.

      Kesho, Pinda kishasema itatoa msimamo wa Serikali kuhusu haya masuala ya madaktari. Subiri.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe


    7. #86
      Freema Agyeman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 1,706
      Rep Power : 4182
      Likes Received
      1077
      Likes Given
      892

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By zomba View Post
      Haiingii akilini kwa binaadam yeyote mwenye fikra japo kidogo, eti Serikali wakuchukuwe, wakupige, wakutupe Mabwepande halafu waje haki za binaadam kukuota.

      Kesho, Pinda kishasema itatoa msimamo wa Serikali kuhusu haya masuala ya madaktari. Subiri.
      nini hakiingii akilini wakati ni jana tu uliandika:

      Quote By zomba View Post
      Hao madaktari waliofanya mgomo ilipaswa wananchi tuchukuwe sheria mkononi tukawape kichapo kama tunavyowapa vibaka. Tukiwatandika wawili watatu wengine watarudi kazini au wataacha kabisa udaktari.

      Serikali hawa ndio wakuwashughulikia ipasavyo. Sasa fungeni madai yao yote, wakatafute pa kufanya kazi. Na wote wanaogoma wasiruhusiwe kufanya kazi za udaktari hata private hospitals.

      ulikuwa unamaanisha nini kinachoingia akilini?
      "The louder the protester, the more there is in their closet"

    8. #87
      regam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 223
      Rep Power : 477
      Likes Received
      36
      Likes Given
      3

      Default

      Hayo maswali uliyoyauliza, jaribu kuyauliza kwa hao mafisadi wanaohujumu mali an kodi za watanzania kujinufaisha wao na familia zao na kuacha mamilioni ya watanzania wakitaabika na kufa kwa kukosa huduma ambazo wanashindwa kuzipata baada ya kukwapuliwa na hao wachache!

    9. #88
      NdasheneMbandu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 941
      Rep Power : 0
      Likes Received
      294
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By Mussa Loth View Post
      Kutokana na mfumo wa nchi hii, wa kuwa ni nchi isiyo na dini lakini watu wake wanadini, na kwamba nikiamini kuwa madaktari karibu wote watakuwa waumini wa dini na madhehebu mbalimbali. Hii inanipa fursa ya kutaka kufahamu kama ni waumini wazuri katika dini zao, kwani hofu yangu ipo katika maeneo yafuatayo;
      1.kama watakuwa ni waumini wazuri, kushiriki kuwatesa na kuwasababishia vifo watu wasio na hatia, huku wakifahamu wazi kwamba ni dhambi kutenda matendo kama hayo.
      2.Kama kweli ni waumini na wanamwamini mwenyezi Mungu, wao huenda kutubia madhambi gani?
      3.Kama wanaishi kwenye jamii ya watanzania na endapo patatokea kifo au msiba unaotokana na mgomo wao, je watashiriki mazishi?
      4.Je madaktari hawa tunawahitaji katika dini zetu na madhehebu yatu? akiwa jirani yako ungependa ahame?
      5. Je,Tatizo ni kwamba kipato wanachopata kwasasa kinaweza kuwasababishia kifo madaktari ndio maana wanajihami kabla hawajafa na kwamba hakuna njia nyingine wanayoweza kuitumia zaidi ya kuwatesa wananchi na kuwaua ili nawao waweze kuishi.
      6.Inavyoonekana wadaktari hawa hawajasoma au kusomeshwa na kodi za wananchi wanaowatesa sasa na kuwauwa, hivyo wanataka kurejeshewa gharaza zao walizotumia wakati wanasoma vyuo.
      7.Kwamba kutokana na mateso na vifo vitakavyo tokana na mgomo wao, manufaa na maisha bora yatapatikana na hivyo kuifunza serikali sikunyingine wasiwachezee tena kwani wananchi watakuwa wamekiona chamoto.
      8.Kwamba wao hakuzaliwa katika hospitali za watanzania na hawakuhudumiwa na madaktari na wahudumu wengine wa afya, hivyo haiwahusu kuhusiana na maisha ya wananchi wengine.
      9.Walimu na watumishi wengine si wamuhimu sana kwani wao wamejifundisha taaluma hizo kwa juhudi zao binafsi, hivyo hakuna haja ya kuangalia uwianao wa kimaslahi,na pia si msingi mkubwa wala sababu ya wao kutopata maisha mazuri.
      10.Kuwafunza na kuwapa uzoefu wale wote wanaotaka kusoma basi wachague kuwa madaktari kwani wanaogopwa sana, na wakati unasoma unapewa fedha kama grant 100% na sio mkopo kama wanafunzi wengine

      Kutokana na sababu nilizoainisha hapo juu,madaktari kufanya mgomo inapaswa waungwe mkono?njia wanayotumia ni sahii?
      MUSSA -0763623082
      Ptuuuuu, too much bias.

    10. #89
      Bwanamdogo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th August 2011
      Posts : 63
      Rep Power : 410
      Likes Received
      15
      Likes Given
      11

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By HIPSON View Post
      Zomba kwa kweli nakuunga mkono asilimia zote. Tusiunge mkono wauaji hawa. Hawa ni kuwapa kichapo moja hadi mwingine mpaka waikimbie nchi. Kwanza mbona Watanzania wengine tunaishi kwa mishahara hii ya kawaida. Wanataka kujilinganisha na nchi nyingine ambako wenzao walipata bahati kufanyia kazi. Sasa wasilalie mlango wazi bahati ya watu wengine. Hapa kwetu huo ndio mshahara tunaopewa na turidhike na Umaskini tulionao.

      Na huyu aliye commend hapo chini ya message hajui alichoandika msamehe BURE
      Acha ukilaza mimi zamani nilikuwa na fikra km za kwako sasa nimeamka ndo maana nawaomba walimu nao walianzishe tu. Tumechoka kuona nchi inatafunwa na wachache mara huyu kaficha bilioni kadhaa nje na mwingine trioni kadhaa halafu sisi tukiaminishwa kuwa nchi ni maskini.

    11. #90
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,026
      Rep Power : 803
      Likes Received
      274
      Likes Given
      75

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

      Quote By Lawrence luanda View Post
      Kutibia wagonjwa bila mask jamani hata ili nalo......yani mask nayo hadi mtu agome????
      Kwani mask ni urembo? Lawrence luanda
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    12. #91
      Ozzie's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 9th October 2007
      Location : Jo'burg
      Posts : 1,026
      Rep Power : 803
      Likes Received
      274
      Likes Given
      75

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

      Quote By Mussa Loth View Post
      Kuwafunza na kuwapa uzoefu wale wote wanaotaka kusoma basi wachague kuwa madaktari kwani wanaogopwa sana, na wakati unasoma unapewa fedha kama grant 100% na sio mkopo kama wanafunzi wengine
      Una uhakika na unayoandika? Unaonekana uko weak sana kiakili. Mussa Loth
      "It's not the votes that count. It's who counts the votes" - Josef Stalin

    13. #92
      SAMRICH1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2011
      Posts : 1,282
      Rep Power : 656
      Likes Received
      213
      Likes Given
      133

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

      sasa no zako hapa za nin wewe! Au unataka nape akupigie?

    14. #93
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,110
      Rep Power : 636
      Likes Received
      261
      Likes Given
      279

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By kanyi View Post
      Sikujua una akili za kitoto namna hii sikutegemea comment za kipumbavu namna hii kutoka kwako
      Ndiyo zake huyo

    15. #94
      Moony's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2011
      Location : Oshakati, Namibia
      Posts : 1,110
      Rep Power : 636
      Likes Received
      261
      Likes Given
      279

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali(abudu)

      Quote By Ndakilawe View Post
      nadhani jombaa kwa vile haupo kwenye iyo field. ndio maana unaonge jambo usilolijua...
      kumjibu Zomba ni kumpa umaarufu bureee

    16. 654 is online now
      654
      #95
      654's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st February 2012
      Posts : 143
      Rep Power : 400
      Likes Received
      35
      Likes Given
      17

      Default Re: Orodha ya madaktari na maeneo wanayosali/abudu

      Quote By Mussa Loth View Post
      Kutokana na mfumo wa nchi hii, wa kuwa ni nchi isiyo na dini lakini watu wake wanadini, na kwamba nikiamini kuwa madaktari karibu wote watakuwa waumini wa dini na madhehebu mbalimbali. Hii inanipa fursa ya kutaka kufahamu kama ni waumini wazuri katika dini zao, kwani hofu yangu ipo katika maeneo yafuatayo;
      1.kama watakuwa ni waumini wazuri, kushiriki kuwatesa na kuwasababishia vifo watu wasio na hatia, huku wakifahamu wazi kwamba ni dhambi kutenda matendo kama hayo.
      2.Kama kweli ni waumini na wanamwamini mwenyezi Mungu, wao huenda kutubia madhambi gani?
      3.Kama wanaishi kwenye jamii ya watanzania na endapo patatokea kifo au msiba unaotokana na mgomo wao, je watashiriki mazishi?
      4.Je madaktari hawa tunawahitaji katika dini zetu na madhehebu yatu? akiwa jirani yako ungependa ahame?
      5. Je,Tatizo ni kwamba kipato wanachopata kwasasa kinaweza kuwasababishia kifo madaktari ndio maana wanajihami kabla hawajafa na kwamba hakuna njia nyingine wanayoweza kuitumia zaidi ya kuwatesa wananchi na kuwaua ili nawao waweze kuishi.
      6.Inavyoonekana wadaktari hawa hawajasoma au kusomeshwa na kodi za wananchi wanaowatesa sasa na kuwauwa, hivyo wanataka kurejeshewa gharaza zao walizotumia wakati wanasoma vyuo.
      7.Kwamba kutokana na mateso na vifo vitakavyo tokana na mgomo wao, manufaa na maisha bora yatapatikana na hivyo kuifunza serikali sikunyingine wasiwachezee tena kwani wananchi watakuwa wamekiona chamoto.
      8.Kwamba wao hakuzaliwa katika hospitali za watanzania na hawakuhudumiwa na madaktari na wahudumu wengine wa afya, hivyo haiwahusu kuhusiana na maisha ya wananchi wengine.
      9.Walimu na watumishi wengine si wamuhimu sana kwani wao wamejifundisha taaluma hizo kwa juhudi zao binafsi, hivyo hakuna haja ya kuangalia uwianao wa kimaslahi,na pia si msingi mkubwa wala sababu ya wao kutopata maisha mazuri.
      10.Kuwafunza na kuwapa uzoefu wale wote wanaotaka kusoma basi wachague kuwa madaktari kwani wanaogopwa sana, na wakati unasoma unapewa fedha kama grant 100% na sio mkopo kama wanafunzi wengine

      Kutokana na sababu nilizoainisha hapo juu,madaktari kufanya mgomo inapaswa waungwe mkono?njia wanayotumia ni sahii?
      MUSSA -0763623082
      You are as sick as those who a leading this country
      you need more than just prayers, pole is the only word fit for your circumstances

    Page 5 of 5 FirstFirst ... 345

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...