Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
Hawa ni baadhi ya wabunge wetu wa ccm wanaotuwakilisha katika bunge la bajeti linaloendelea.
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Huo ndio udhaifu wenyewe akiamka hapo ni kugonga meza na kuunga mkono 300%
amerudia tena basi anahitaji tiba huyo
usiku kucha lilikuwa busy linamb*k* lul*
Every nation in every region now has a decision to make: Either you are with us, or you are with the terrorists.George W. Bush
Hii picha ni Mhe. Captain John Komba ambaye kwenye Mchango wake wa BAJETI 2012/13 alikurupuka na kusema ati Wabunge wa UPINZANI WAKAPIMWE AKILI HOSPITAL YA MIREMBE NDIPO WAREJEE BUNGENI KWA VILE WALIKUWA WANAPINGA BAJETI NZURI YA SERIKALI YA CCM!!!
Hapa huyu jamaa amelala fofofo sasa ni saa ngapi alisikia michango ya Wabunge wa upinzani na akawahukumu kuwa ni vichaa. Huyu Komba nafikiri anaumwa,huku kulalalala Bungeni si bure. Tunasikia sifa za Komba hata akapewa Ubunge ni KUKATA MAUNO KWENYE ILE BENDI YA JESHI-TAARABU. Huku ndo kwenye maeneo yake,huku Bungeni hakumfai!!!!
"Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."
Wananchi wa jimbo lake wanatakiwa wamwone mheshimiwa mbunge wao mchumba wa Lulu jinsi anavyowawakilisha ipasavyo.
Akiamka hapo anaunga mkono hoja kwa asilimia mia moja
Life without problems never make a strong and good person!
Mwacheni alale kesi ile inampa mawazo sana.
Hebu rushieni na ile picha ya Mzee wa pori
Follow Us Here