Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 62
    1. #1
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1926
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Kufuatia mwendelezo wa mgomo wa Madaktari unaoendelea nchini, serikali imeamua kutumia mhimili wake wa Mahakama kushurutisha madaktari kusitisha mgomo na kurudi kazini.

      Wakuu naweka taarifa kama zilivyo hapa.


      Mahakama Kuu ya Tanzania imetoa amri ya kusitisha mgomo wa Madaktari

      Kufuatia Tangazo la Chama cha Madaktari nchini (MAT) la kuanza mgomo siku ya Jumamosi tarehe 23 Juni, 2012, Mahakama Kuu ya Tanzania,Kitengo cha kazi, Dar es Salaam imetoa amri ya kusitisha mgomo huo mpaka hapo pande zote mbili yaani Serikali na Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) yatakaposikilizwa na kutolewa uamuzi.

      Amri hiyo ya Mahakama imetolewa kufuatia maombi namba 73 ya 2012 yaliyowasilishwa chini ya hati ya dharura na Mwanasheria Mkuu wa Serikali dhidi ya Chama cha Madaktari Tanzania (MAT).Sababu za msingi amabazo zimepelekea Mahakama kuu kutoa amri hiyo upande mmoja ni pamoja na;

      Iwapo mgomo huo utatokea utakuwa na kuwa amri hii isipotolewa madhara yake ni makubwa isiyoweza kufidiwa kwa namna yoyote ile kama vile kupoteza maisha n.k

      Wajibu maombi, ambao ni MAT, inaundwa na Madaktari ambao wapo katika Sekta ambayo inatoa huduma mahsusi (essential service sector), Aidha Chama cha Madaktari Tanzania kimetangaza mgomo bila kufuatia taratibu zilizoanishwa katika Kifungu cha 76(1 na 2) cha Sheria ya Kazi (Employment and Labour Relations Act No 6 ya 2004.

      Masharti hayo ni


      • Kuzuia wafanyakazi walio katika Sekta Muhimu kugoma na kama wakigoma,
      • Kuwepona makubalianao ya pamoja ya kutoa huduma za msingi wakati mgomo ukiendelea.

      Kwa misingi hii,Mahakama Kuu ya Tanzania, kwa Chama cha Madktari Nchini na wanachama wake kusitisha na kutoshiriki katika mgonmo huo.

      My Take:

      Serikali naweza kuwashurutisha madaktari kurejea kazini lakini je inaweza kuwalazimisha kufanya kazi??
      Attached Files
      Maxence Melo and sesy nzenga like this.
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    2. Miaka 50

    3. #2
      WA-UKENYENGE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2011
      Location : Inside a Smart Grid
      Posts : 2,409
      Rep Power : 5036
      Likes Received
      780
      Likes Given
      1778

      Default Re: NEWS ALERT: Mahakama kuu kitengo cha kazi yakionya Chama cha Madaktari.

      Hivi ni nani anayezisimamia hizi mahakama zetu kiutendaji au ndiyo zimeaminiwa kuwa zinauzalendo wa kutosha? Tunafahamu wote kuwa serikali inasimamiwa na bunge katika kutekeleza shughuli zake na katika muundo wa uongozi nchini kwetu tunazo Mahakama, Serikali kuu na Bunge! Sasa nauliza wanajamvi, ni nani au ni chombo gani kinachosimamia utendaji wa hizi mamlaka 2 yaani bunge ( who is the watch dog of our parliament)? na Mahamaka ni nani au ni chombo kipi kinasimamia hizi mahakama?

      Tukiacha ushabiki ya kisiasa, these organs have to be watched independently! wanapovurunda wakemewe kwa maslahi ya taifa letu. Tumezoea tu kuona serikali ikiwajibishwa na bunge, lakini bunge linafanya linavyotaka pengine kwa maslahi ya wanasiasa, hivyo hivyo na kwenye hili la mahakama tunaona jinsi wanavyojiamulia pengine wanaweza kupindisha sheria kwa ujanja ujanja wao na kuathiri mamilioni ya watu kisa wahusika wameteuliwa na wenye serikali.

      I think its time to give our opinions in the coming constitutions reforms to have independent institutions which will be responsible for watching closely the decisions/functions made by these organs.
      "The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".

    4. #3
      Goheki's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 23rd August 2011
      Posts : 175
      Rep Power : 426
      Likes Received
      41
      Likes Given
      1

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Kama ni hivi,tutapewa dawa za moyo(bp)kama dawa za kutibu malaria.

    5. #4
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,904
      Rep Power : 950
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Ni rahisi kumpeleka punda mtoni lakini ni kazi kubwa kumlazimisha kunywa maji !
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    6. #5
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 656
      Rep Power : 578
      Likes Received
      238
      Likes Given
      73

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      sASA WAKITANGAZA KUWA MGOMO UMEISHA. NA WAKAWA OFISINI BILA KUTOA HUDUMU ITAWASAIDIA NINI?

      SERIKALI ITATUE TATIZO LA MSINGI.

    7. Study Abroad

    8. #6
      MKALIKENYA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 703
      Rep Power : 499
      Likes Received
      281
      Likes Given
      403

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      MAHAKAMA DHAIFU kwani wasipotii hiyo amri watafanywaje na hiyo mahakama?mahakama ina madaktari wakuwareplace hao wanaogoma au inadhani udaktari ni sawa na wale makarani wao au mahakimu ambao unaweza wafukuza wote kesho ukapata wengine wengi zaidi ya hao.

    9. #7
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,210
      Rep Power : 1288
      Likes Received
      1347
      Likes Given
      2627

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      hakuna mahakama ninazozidharau kama hizi za bongo..
      Masakata and sam2000 like this.
      Every nation in every region now has a decision to make: Either you are with us, or you are with the terrorists.George W. Bush


    10. #8
      kitero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Location : Kaskazini
      Posts : 516
      Rep Power : 468
      Likes Received
      97
      Likes Given
      48

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Hivi siku mahakama/wafanyakazi wa mahakama na polisi wakigoma itakuwa vipi ?maaana wengine wakigoma kudai hakizao hivi vyombo huwashughulikia siku wakigoma wao itakuwaje?

    11. #9
      Pulpitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 370
      Likes Received
      25
      Likes Given
      1

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Waanzishe madaktari wa vodafasta basi, si wamezoea kwa walimu, walimu waligoma wakaanzisha walimu was vodasta, matokeo yake leo tunaona kiwango cha elimu jinsi kilivyo poromoka.

    12. #10
      Kakati's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2009
      Posts : 119
      Rep Power : 538
      Likes Received
      11
      Likes Given
      13

      Default Re: NEWS ALERT: Mahakama kuu kitengo cha kazi yakionya Chama cha Madaktari.

      Quote By WA-UKENYENGE
      Hivi ni nani anayezisimamia hizi mahakama zetu kiutendaji au ndiyo zimeaminiwa kuwa zinauzalendo wa kutosha? Tunafahamu wote kuwa serikali inasimamiwa na bunge katika kutekeleza shughuli zake na katika muundo wa uongozi nchini kwetu tunazo Mahakama, Serikali kuu na Bunge! Sasa nauliza wanajamvi, ni nani au ni chombo gani kinachosimamia utendaji wa hizi mamlaka 2 yaani bunge ( who is the watch dog of our parliament)? na Mahamaka ni nani au ni chombo kipi kinasimamia hizi mahakama?

      Tukiacha ushabiki ya kisiasa, these organs have to be watched independently! wanapovurunda wakemewe kwa maslahi ya taifa letu. Tumezoea tu kuona serikali ikiwajibishwa na bunge, lakini bunge linafanya linavyotaka pengine kwa maslahi ya wanasiasa, hivyo hivyo na kwenye hili la mahakama tunaona jinsi wanavyojiamulia pengine wanaweza kupindisha sheria kwa ujanja ujanja wao na kuathiri mamilioni ya watu kisa wahusika wameteuliwa na wenye serikali.

      I think its time to give our opinions in the coming constitutions reforms to have independent institutions which will be responsible for watching closely the decisions/functions made by these organs.
      Wabunge wanawajibishwa na wananchi moja kwa moja. Ukiweka chombo cha kuwajibisha mahakama itabidi pia uweke chombo cha kukiwajibisha na hicho chombo kinacho iwajibisha mahakama. Utaendelea mpaka wapi? Aaa, ndiyo!
      Development is unfortunately not about obeying law but refusing any traces of the unjust part of it.

    13. #11
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,867
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Matatizo ya madaktari wetu ni ya halali na ni ya msingi hivyo njia pekee ya kuyatafutia ufumbuzi ni kwa KUJADILIANA KAMA EQUAL PARTNERS katika masuala ya tiba nchini na wala si kurusha vitisho hewani kupitia mahakama.

      Tuwasikilize Madktari wetu tuwape hicho kidogo wanachodai kwa mujibu wa ujira wao, unyeti wa kazi zao, na jinsi gani nguvu za soko zinavyosema kwenye sekta yao hiyo kote duniani.

      Madaktari wetu wasiposikilizwa kilio chao basi tujue safari hii kuna tatizo kubwa zaidi inatusubiri.

      Hakika Madaktari wa kuazima kwa siku mbili tatu toka mataifa mengine, kama ambavyo wengine wameshaanza kuwasili nchini hadi hivi sasa tayari kwa kuagizwa 'kazi za dharura', wala si dawa hapa.

      mwarain likes this.

    14. #12
      kijereshi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Location : bubinza
      Posts : 198
      Rep Power : 398
      Likes Received
      48
      Likes Given
      5

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Nadhani tunatakiwa tujifunze kutoka kwa jirani zetu hasa Wakenya na tume yao ya judges and magistrates vetting kama alivurunda katika kesi yoyote(kwa maana ya judge au hakimu) lazima uwajibishwe sio tunakuwa na chombo ambacho badala ya kutenda haki kinatumika kwa matakwa ya watu binafsi.

      Hii itasaidia kutunza "integrity" ya "judicial system" yetu ambayo iko hoi bin taaban ikilinda maslahi ya wachache wakati wanyonge wanakandamizwa katika hili la serikali kukimbilia mahakamani na zuio kutolewa mara moja ni ushahidi tosha kuwa mahakama zetu zinatumika ndivyo sivyo.

    15. #13
      kookolikoo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2012
      Posts : 1,931
      Rep Power : 749
      Likes Received
      280
      Likes Given
      144

      Default

      bunge na mahakama vina mechanism ya kuji-regulate kupitia mahakama za rufaa na kwa bunge kamati ya kanuni na haki za bunge.
      Quote By WA-UKENYENGE
      Hivi ni nani anayezisimamia hizi mahakama zetu kiutendaji au ndiyo zimeaminiwa kuwa zinauzalendo wa kutosha? Tunafahamu wote kuwa serikali inasimamiwa na bunge katika kutekeleza shughuli zake na katika muundo wa uongozi nchini kwetu tunazo Mahakama, Serikali kuu na Bunge! Sasa nauliza wanajamvi, ni nani au ni chombo gani kinachosimamia utendaji wa hizi mamlaka 2 yaani bunge ( who is the watch dog of our parliament)? na Mahamaka ni nani au ni chombo kipi kinasimamia hizi mahakama?

      Tukiacha ushabiki ya kisiasa, these organs have to be watched independently! wanapovurunda wakemewe kwa maslahi ya taifa letu. Tumezoea tu kuona serikali ikiwajibishwa na bunge, lakini bunge linafanya linavyotaka pengine kwa maslahi ya wanasiasa, hivyo hivyo na kwenye hili la mahakama tunaona jinsi wanavyojiamulia pengine wanaweza kupindisha sheria kwa ujanja ujanja wao na kuathiri mamilioni ya watu kisa wahusika wameteuliwa na wenye serikali.

      I think its time to give our opinions in the coming constitutions reforms to have independent institutions which will be responsible for watching closely the decisions/functions made by these organs.

    16. #14
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Angekuwa Jaji Gabriel Rwakabarila ndiyo aliyetoa hiyo rulling, tungemuelewa vizuri.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    17. #15
      nsangaman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2011
      Location : Arusha
      Posts : 265
      Rep Power : 452
      Likes Received
      38
      Likes Given
      6

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Kinachofuata hapo ni "GO SLOW"

    18. #16
      Determine's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2012
      Posts : 238
      Rep Power : 403
      Likes Received
      76
      Likes Given
      96

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Mbona hii noma

    19. #17
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1921
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Mhimili wa Mhakama kuweni makini - Serikali yataka kuwabebesha zigo la mgomo wa madaktari

      Ni dhahiri sasa kwa kuwa serikali haina la kufanya kuhusu mgomo wa madaktari, imeamua kuwabebesha zigo hilo katika mabega ya Mhimili wake wa Mahakama, mhimili ambao daima umekuwa unanyanyaswa na serikali, kupuuzwa, kuburuzwa na kuminywa bajet stahili ya kujiendesha.

      kama wanavyosema wahenga mzigo mzito mpe mnyamwezi! Hatua ya serikali ya CCM kupeleka suala la mgomo Mahakamani ni njia ya kujiondoa moja kwa moja katika kuwajibika katika sakata hilo la mgomo ambalo hakika limewakalia vibaya sana.

      Lengo kubwa ni serikali kujionyesha kuwa yatakoyotokea tangu sasa si yenyewe, bali ni mahakama. haieleweki Mahakama itafanya nini na mwisho wake itakuwa nini maana imekubali kujiingiza kichwa kichwa. Serikali inajua fika kwamba Mahakama ikiamuru madaktari wakamatwe kwa kugoma, basi serikali itasema 'unaona, sisyo sisi, ni mahakama hiyo!
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    20. #18
      Hero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Posts : 377
      Rep Power : 519
      Likes Received
      17
      Likes Given
      6

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Quote By kookolikoo
      bunge na mahakama vina mechanism ya kuji-regulate kupitia mahakama za rufaa na kwa bunge kamati ya kanuni na haki za bunge.
      Salaaleeh! kwa kweli kutapatapa kubaya!
      "Kutokujibu nalo ni jibu pia" by me!

    21. #19
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,867
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Mhimili wa Mhakama kuweni makini - Serikali yataka kuwabebesha zigo la mgomo wa madaktari

      ... and that's the naked fact that Mzee Othman has NOT foreseen coming his way in not a distant future.

    22. #20
      Hero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th August 2010
      Posts : 377
      Rep Power : 519
      Likes Received
      17
      Likes Given
      6

      Default re: Mahakama yatoa ONYO kali kwa Madaktari

      Kama madhara yake ni makubwa si wapewe wanachodai basi kuondoa mzizi wa fitini, hii mbona ni commom sense tu au ndo hawa 'viwongozi' wameshaipoteza?!!!
      "Kutokujibu nalo ni jibu pia" by me!

    23. FemaTV & Radio
    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...