Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

    Report Post
    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 41 to 60 of 65
    1. #1
      greenstar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 345
      Rep Power : 508
      Likes Received
      36
      Likes Given
      104

      Default CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.


    2. #41
      sweetlady's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 15,371
      Rep Power : 36544
      Likes Received
      7503
      Likes Given
      4604

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By Tendulkar222 View Post
      GREEN, mie CCM mwenzako. I can prove it kuwa jamaa kakamatwa na mke wa mtu. Marafiki zangu police Singida wamethibitisha. Na tena alihojiwa mpaka mchana police station. Jamani, kujiosha huku hakutusaidii chama chetu, lets try kuwa wakweli, tumfukuze huyu, pamoja na Malima na wote wenye kashfa za mangono, wananchi watatupenda tena. CCM forever
      Wenzio wangekuwa na akili kama yako ingekuwa poa sana!
      Life without problems never make a strong and good person!

    3. #42
      greenstar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 345
      Rep Power : 508
      Likes Received
      36
      Likes Given
      104

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By sweetlady View Post
      Wenzio wangekuwa na akili kama yako ingekuwa poa sana!
      hakuna kitu kama hicho....

    4. #43
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      143
      Likes Given
      76

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      NI MNAFIKI SANA ANAHANGAHIKA SABABU ANAJUA SIKU ZAKE ZINAHESABIKA
      HAJUI MAFISADI ANAOWASEMA WANAMILIKI40% YA VODACOM NA HAO MABWANA NI WAFADHILI WAKUU WA CCM SASA LOWASA KAENDA ZIARANI FOR 14 DAYS,CHENGE NI MWENYEKITI WA KAMATI YA FEDHA,LOWASA NI MWENYEKITI KAMATI YA MAMBO YA NJE ROSTAM ANAZIDI KUCHIMBA MADINI KULE KAHAMA MITAMBO YAKE IN TENDER YA MAISHA SASA NAPE UTAPONEA WAPI SIKU 90 ZIMEKUSHINDA NA HAO MAFISADI WANAJIPANGA KUCHUKUA CHAMA NA CCM HAINA UBAVU WA KUWATEMA HAWA SABABU WANAWAJUA SANA MKIHONGWA KIDOGO MNAGEUKANA SASA USICHEZE NA HAO WATU UTAANGAMIA NA KUPOTEA KWENYE ANGA ZA SIASA NENDA KULE CCJ MLIPOANZISHA CHAMA CHENU POLE SANA NA WACHA KULALAMIKA HUKUPANGA MAMBO YAKO VIZURI POLE KWA MAUMIVU YA KUAMBIWA UKWELI

    5. #44
      Masabaja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th March 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 395
      Likes Received
      18
      Likes Given
      13

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Mleta hoja anasukumwa na njaa

    6. #45
      WEMBE WENGE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 444
      Likes Received
      28
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By greenstar View Post
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Tukutane pale pschatry muhimbili tukakupime akili kama madaktari wa upande ule hawajagoma


    7. #46
      Optimisticforchange's Avatar
      Member Array
      Join Date : 29th April 2012
      Posts : 40
      Rep Power : 368
      Likes Received
      2
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By greenstar View Post
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Since your name is green then you are ccm naturally and your brain must be green in colour, then that's why you are thinking green and talk and talk the greenish. Thdnk u mr. Green. Sasa ujumbe umefika now go to the green chama for ur commission

    8. #47
      Kahise's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th July 2008
      Location : Kasulu, Kigoma
      Posts : 48
      Rep Power : 565
      Likes Received
      3
      Likes Given
      6

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Nadhani mwenzetu kweli kapagawa.Wana JF tumpeleke kwenye maombi akaombewe!!!!!!!!!! Mwe! huyu kweli mwendawazimu

    9. #48
      Kailanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2012
      Posts : 147
      Rep Power : 381
      Likes Received
      32
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By greenstar View Post
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      unamwandiko mzuri! Kaombe Uhuru/Mzalendo wakupe chance ya artical!

    10. #49
      Ciril's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 2,015
      Rep Power : 893
      Likes Received
      252
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By greenstar View Post
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Inawezekana waliokutuma huwa wanapita huku kukagua kazi walizokutuma,wakija huku watakupongeza japo kwa wenye kufikiri zaidi watakupuuzia na kukucheka.

    11. #50
      Anko Sam's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th June 2010
      Posts : 1,996
      Rep Power : 855
      Likes Received
      314
      Likes Given
      15

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By greenstar View Post
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Wewe mwenyewe umekaribia kufa, umepigwa chini uwaziri kwa mgogoro wa afya yako.

      hapo kwenye red, Bw. Yesu alizungumzia umuhimu wa kulipa kodi na si vinginevyo, hakusema mambo ya siasa hapo kwani kodi ilikuwa ni jambo la lazima kulipa-hata kama hazitumiki ipasavyo.

      Kwenye blue, kinachotakiwa ni utendaji wa mtu siyo Elimu. Mrema alipokuwa Waziri wa Mambo ya Ndani na Naibu waziri Mkuu alifanya mambo makubwa ya kukukmbukwa daima, hakuwa na Phd. Niambie hao MPs wa Magamba wenye Elimu kubwa wamelisaidia vipi taifa mpaka limefika hapa lilipo? Nchi kama Korea Kusini, Indonesia, Rwanda hata Botwana mbona zimepiga hatua za kimaendeleo? Nyambafu sana!
      TUNAITUMIKIA SERIKALIbadala yaSERIKALI KUTUTUMIKIA!
      Kila huduma mpaka utoe hela!

    12. #51
      haf2006's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 356
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      We greenstar nadhani utakuwa ulikua unatafuna pilipili na jojo wakati unaandika na kutafakari uliyoyaandika.kwanza utambue kwamba kama binadamu tunaishi kwa kaisari na kwa mungu. unapokuwa kwa mungu zungumza kimungu mungu na ukiwa kwa kaisari zungumza kikaisari kaisari. kwa ujumla wabunge wa chadema wanafanya kazi kubwa kuliko wa CCM pamoja na wingi wake. Na hapo ndo unaweza kuona ukweli wa ule msemo Ukubwa wa pua si wingi wa makamasi. uchache wa chadema na mchango wao ktk bunge na jamii unaonekana na hasa wanapojikita kusema ukweli juu ya yale yanayowasibu wananchi.CCM imejikita ktk propaganda za matusi na hadaa kwa raia. huwezi kumwambia mwananchi juu ya ugumu wa maisha halafu wakati huohuo unasema chadema wanatafuta umaarufu? kwa lipi? mbona mnaweka mikakati na bajeti ya kuwala tena kwa chenga ile ile ya dobo ya kupunguza ukali wa maisha huku bei za bidhaa ziksonga mbele kama kawaida. Tunajua CCM haitafuti umaarufu bali inatafuta kuua tena ikiwezekana watz wote na ndo maana Madaktari mazingira yetu ya kazi mabaya wanatafuta umaarufu, DrS hawana vitendea kazi eti wanatafuta umaarufu, Mwl. akisema hakuna vitabu naye anatafuta umaarufu, mshahara kidogo, anatafuta umaarufu. Mbona ninyi mnajilimbikizia mipesa kila kukicha sasa aliyemfundisha huyu mwalimu, daktari na nesi kudai kuongezewa posho na mshahara ni nani kama si ninyi mnaoiba alhali mnaonwa mchana kweupeee halafu mnasema serikali haina pesa. huu ni ujinga mtupu.M4C endelezeni juhudi zenu hadi watz wote waamke. wabunge wa chadema kuweni makini make mjadala wa sas hivi wa bunge naona magamba wajanja wakiona issue ilyopo mbele ni hot wanawatoa kwenye concentration ili muombe miongozo ama muanze kufanya usahihi, make naona Nchemba yeye sasa hivi anatafuta spelling kwenye hotuba zenu nakuomba mrekebishe (kitu ambacho ni makosa ya uchapaji), hii ni ishara ya kuishiwa. Anasema mmeiba hoja ya Mhagama ya pensheni kwa wazee na kuongeza kwenye bajeti yenu, hapa anaonyesha ni jinsi gani mlivyo makini kama serikali mbadala ktk kuchukua maoni ya wabunge bila kujali vyama vyao na wala si kama wao ambao kazi yao ni makofi na shukrani mpaka kengele inagongwa na mwisho bajeti kandamizi kwa wananchi inapita kama ilivyo bila kuwajali wazee wetu. hongereni sana kwa kuonyesha njia kwa magamba kwamba hoja yenye tija kwa watz itachukuliwa kwa uzito bila kujali itikadi za chama.

    13. why is offline
      why
      #52
      why's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 104
      Rep Power : 0
      Likes Received
      29
      Likes Given
      7

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      hoja dhaifuuuuuuuuuuuuuuuu,wewewe nawe hujui simbachawene sasa anaugulia kidonda alichoumizwa maeneo ya beganii na ndio maana taarifa zinasema haonekani bungeni.wewe wwawapi unakuja huku na hoja zisizo na mashikooooooooooooooooooooo

    14. #53
      tubadilike-sasa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st January 2012
      Posts : 496
      Rep Power : 472
      Likes Received
      99
      Likes Given
      284

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By greenstar View Post
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Kama huna mawazo ya kurutubisha akili za wanaJF sio lazima uandike. Mfano unaongea swala la Chadema kupoteza mvuto lakini ukashindwa kujenga hoja yako kuwa imepoteza mvuto namna gani na kwa nani. Umeishia kuandika ngonjera tu. Madarasa ya kisomo cha ngumbaru bado yapo, jieleimishe,fanya utafiti,jenga hoja na urutubishe akili za wanaJF

    15. #54
      BJEVI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 820
      Rep Power : 591
      Likes Received
      167
      Likes Given
      145

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      unajua kuwa kichaa siyo lazima uokote makopo,hata kutoa thread za aina hii ni dalili za kichaa..funguka na pepo mchafu akutoke.....

    16. #55
      Wachovu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th June 2012
      Posts : 245
      Rep Power : 1121
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      wendawazimu ni wengi kama hujui kuwa wapo angalia magamba

    17. #56
      greenstar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 345
      Rep Power : 508
      Likes Received
      36
      Likes Given
      104

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By tubadilike-sasa View Post
      Kama huna mawazo ya kurutubisha akili za wanaJF sio lazima uandike. Mfano unaongea swala la Chadema kupoteza mvuto lakini ukashindwa kujenga hoja yako kuwa imepoteza mvuto namna gani na kwa nani. Umeishia kuandika ngonjera tu. Madarasa ya kisomo cha ngumbaru bado yapo, jieleimishe,fanya utafiti,jenga hoja na urutubishe akili za wanaJF
      great thinkers mpo??????????????????????????? ?????????????????????????????? ?????????????????????????????

    18. #57
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,997
      Rep Power : 5982
      Likes Received
      821
      Likes Given
      233

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      The vice versal is True
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    19. #58
      Ally Kanah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2011
      Posts : 816
      Rep Power : 570
      Likes Received
      40
      Likes Given
      37

      Default

      greenstar Ndugu katika Bwana subiri matusi ya hao vijana wao hawataki kuambiwa ukweli wanajiona wao wamekamilika wameshajivisha UUNGU

    20. #59
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4412
      Likes Given
      1744

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Kwa hiyo wewe ndio uliyefumaniwa? Mbona unaoneka kama wewe ndio ulikuwa nae siku ya fumanizi!

    21. #60
      Brightman Jr's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2009
      Posts : 747
      Rep Power : 671
      Likes Received
      96
      Likes Given
      26

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Habari zenyu jamani....! Ninapita, nalikuwa nawasabahi tu..!

    Page 3 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...