Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 65
    1. #1
      greenstar's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2010
      Posts : 342
      Rep Power : 503
      Likes Received
      35
      Likes Given
      104

      Default CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      Sangarara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th September 2011
      Posts : 3,314
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      1183
      Likes Given
      1560

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By greenstar
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Pamoja na haya yote, Effective January 2016 watoto wa dada zako wataanza kupata huduma za chakula shuleni, na shemeji yako ataanza kufikiria kujenga nyumba yake mwenyewe ya kisasa kwa ajili ya familia yake na wewe utaweza kupata mkopo benki kwa riba isiyodhidi 10% na mama yako ataanza kununua sukari kwa bei isiyodhidi shilingi mia tano kwa kilo.

    4. #22
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,480
      Rep Power : 19785
      Likes Received
      4300
      Likes Given
      1248

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Yan mtoa mada anaonesha jinsi alivyo dhaifu- ukweli ni uhuru.

      Yan pamoja na hali ngumu ya maisha bado unaona nyiemu ni chama imara,kweli wewe ni kipofu- ukweli ni uhuru.

      Je mwigulu,lusinde walikuwa wana toa hoja?
      Nafikiri una matatizo ya kuona- ukweli ni uhuru.

      Ni wasiwasi na huwezo wa kichwa chako- ukweli ni uhuru

      wewe ni dhaifu zaidi ya jk- ukweli ni uhuru.
      Last edited by Ruttashobolwa; 26th June 2012 at 17:05.

    5. #23
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 958
      Rep Power : 693
      Likes Received
      209
      Likes Given
      81

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      walahi sitaki ban ktk kipindi hichi.

    6. #24
      Mkandara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd March 2006
      Location : T dot
      Posts : 13,770
      Rep Power : 7662
      Likes Received
      4929
      Likes Given
      4509

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Ahahaha! ama kweli ban inatafutiwa mtu.
      Kwanza kasema wanaJF 100% ni wanaChadema ina maana ni pamoja na yeye mwenyewe na bado anasambaza uongo huo huo.
      Nani alisema Mchungaji hatakiwi kufuata ya Kaizali? Je, vipi kuhusu Madaktari, MaProfessor ambao ni wabunge nao waache ya Kaizali? au Mtoto wa Mkulima!..
      Kazi ya mbunge ipi kama sii pamoja na kutunga sheria. Na mwisho Sidhani kama unaijua kazi ya Upinzani bungeni, tofauti ya sera ndio kiini cha ushauri unaozungumzia. Na mwisho jaribu sana kutofautisha yale ulosema ya Kaizali mwachie Kaizali maana unachanganya sana kati ya mwanachama na chama, halafu pia hii mihimili mitatu yaani Bunge, Mahakama na Serikali hujui mipaka yake.
      Exploration of reality

    7. #25
      santesandy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 369
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      nafikiri unatamani CDM wapoteze mvuto, afu ccm nyota ing'ae! You wish....hukatazwi kuota! Keep dreaming, labda kuna siku utaamka uikute dunia yote ya kijani!

    8. Miaka 50

    9. #26
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1846
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Hizi ni akili za kitoto sana, na sitegemei binadamu mwenye akili timamu kuchangia hoja kizembe kama hivi.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    10. #27
      TECHMAN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th May 2011
      Location : TRIPOL
      Posts : 815
      Rep Power : 568
      Likes Received
      192
      Likes Given
      430

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By greenstar
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Kwa taarifa yako hata kama chadema ikifa ccm haishindi 2015, tuko tayari kupigia kura hata mbuzi kuliko ccm. PAMBAFU

    11. #28
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,809
      Rep Power : 731
      Likes Received
      179
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Sangarara
      Pamoja na haya yote, Effective January 2016 watoto wa dada zako wataanza kupata huduma za chakula shuleni, na shemeji yako ataanza kufikiria kujenga nyumba yake mwenyewe ya kisasa kwa ajili ya familia yake na wewe utaweza kupata mkopo benki kwa riba isiyodhidi 10% na mama yako ataanza kununua sukari kwa bei isiyodhidi shilingi mia tano kwa kilo.
      ebu lipe kubwa jinga ilo, kazi umbea ili lipate walau posho ya bukumbili

    12. #29
      tanira1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 501
      Likes Received
      111
      Likes Given
      91

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By ndinga
      huku ndo kutafutiana Ban unaleta propaganda za kichokozi.
      bora umesema wewe maana bila ya kuona post yako nilishaanza kumnaniii nashukuru mkuu kwa kuniokoa

      ''MIAKA HAMSINI(51) YA UVUMILIVU''​

    13. #30
      tanira1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 501
      Likes Received
      111
      Likes Given
      91

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By Mkandara
      Ahahaha! ama kweli ban inatafutiwa mtu.
      Kwanza kasema wanaJF 100% ni wanaChadema ina maana ni pamoja na yeye mwenyewe na bado anasambaza uongo huo huo.
      Nani alisema Mchungaji hatakiwi kufuata ya Kaizali? Je, vipi kuhusu Madaktari, MaProfessor ambao ni wabunge nao waache ya Kaizali? au Mtoto wa Mkulima!..
      Kazi ya mbunge ipi kama sii pamoja na kutunga sheria. Na mwisho Sidhani kama unaijua kazi ya Upinzani bungeni, tofauti ya sera ndio kiini cha ushauri unaozungumzia. Na mwisho jaribu sana kutofautisha yale ulosema ya Kaizali mwachie Kaizali maana unachanganya sana kati ya mwanachama na chama, halafu pia hii mihimili mitatu yaani Bunge, Mahakama na Serikali hujui mipaka yake.
      mweleze pia hata yesu alipofika ekaluni kukuta watu wanafanya biashara kwenye nyumba ya baba yake kama alivyodai alipatwa na ghadhabu na kuanza kutimua vitu na watu sembuse msigwa

      ''MIAKA HAMSINI(51) YA UVUMILIVU''​

    14. #31
      tanira1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2011
      Posts : 613
      Rep Power : 501
      Likes Received
      111
      Likes Given
      91

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By greenstar
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      hivyoo yale mabilioni mia tatu ya uswiss nayo chdema imezusha?
      BJEVI likes this.

      ''MIAKA HAMSINI(51) YA UVUMILIVU''​

    15. #32
      Tendulkar222's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Posts : 9
      Rep Power : 352
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By greenstar
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      GREEN, mie CCM mwenzako. I can prove it kuwa jamaa kakamatwa na mke wa mtu. Marafiki zangu police Singida wamethibitisha. Na tena alihojiwa mpaka mchana police station. Jamani, kujiosha huku hakutusaidii chama chetu, lets try kuwa wakweli, tumfukuze huyu, pamoja na Malima na wote wenye kashfa za mangono, wananchi watatupenda tena. CCM forever

    16. #33
      Lawrence Luanda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2011
      Posts : 604
      Rep Power : 499
      Likes Received
      51
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Sawa ila mtuokoe na kikombe cha mgomo wa madaktari

    17. #34
      Filipo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : Kiding'a
      Posts : 6,349
      Rep Power : 18614
      Likes Received
      3508
      Likes Given
      1663

      Default

      Quote By greenstar
      Kutokana na unafiki,uongo,kejeli na jaziba za wanaCHADEMA ,wabunge na wafuasi wao katika wiki iliyopita imedhihirisha hawana uwezo wa kuongoza nchi hii yenye kila aina ya changamoto.Nitafafanua baadhi ya uongo wa WANACHADEMA;
      Mosi,Walimshambulia sana Mh.Simbachawene(NW-Nishati) kwa uzushi ati amefumaniwa na kukatwa mkono huko SINGIDA.Wameumbuka kwa uongo uliokubuhi,nikajiridhisha kuwa hiki chama ni cha Waongo,kwani 100% ya wanaJF ambao ni CHADEMA walitumia simu na mitandao ya kijamii kusambaza uongo huu.
      Pili,Jazba ya muhuni mmoja anajiita Mchungaji,ndg.Msigwa,hafanani hatakujiita mchungaji kwa hasira alizonazo.Mahakama inafuata sheria na ushahidi zaidi kuliko hisia zako
      nakushauri ukasome biblia vizuri;YA KAISARI mpe KAISARI na YA MUNGU mpe MUNGU,siasa ni busara zinatawala na uwezo wa kujenga hoja.
      Tatu,Viongozi wenu wanafiki,hawajui kujenga hoja katika bajeti kwa kisingizio ati lazima wapinge kila kitu ndiyo maana ya upinzani....Jamani bungeni si sehemu ya kuigiza mambo ya DEBATE MOTION ni sehemu yakuishauri serikali nini kifanyike ili kuwaletea wananchi maendeleo.
      Nadhani wabunge wengi waCHADEMA wamepata ubunge kwa bahati mbaya....bado wanaweweseka pia elimu ndogo.

      Rai yangu kwa wana CCM wote,mapinduzi ya kweli yapo ndani ya CCM na sikukimbilia upinzani,tuache uoga kuchambua mapungufu ya serikali ili tuimarishe chama chetu.
      Hongera sana Mh.Mpina,Filikunjombe,Lugola,M kono ,Mwakyembe,Zambi kwa kuonyesha njia,nawengine wafuate mfano huo.Serikali imewapa uhuru wa kujadili kila kitu kwa uwazi zaidi.
      Wakati unawapa hongera, wao wanatafutwa na chama wakapewe discipline. Sidhan kama kuna atakayethubutu kuiga!

    18. #35
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,757
      Rep Power : 987
      Likes Received
      951
      Likes Given
      1460

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By kanyi
      Umenena mkuu huwa Ban zangu nyingi nazipata kupitia thread kama hizi
      Kiongozi mbona inaonesha una siku nne umejiunga? au umekula ban hili ni jina jipya?

      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 319
      Likes Received17
      Likes Given8

      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    19. #36
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,513
      Rep Power : 2082
      Likes Received
      1070
      Likes Given
      1570

      Default Re: Chadema wamepoteza mvuto,ccm wajiimarisha zaidi kwa hoja

      The following user groaned greenstar for this useless post:
      Genecius Kaiza (26/06/2012)
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    20. #37
      proisra's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2012
      Posts : 116
      Rep Power : 372
      Likes Received
      35
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Najilaumu kwa nini nimesoma huu *****!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!
      Kuanzia mwanzo hadi mwisho, hamna la maana.. eti CCM ina wasomi, na CHADEMA haina. Heee, Kumbe Prof. Maji Marefu kwenu CCM ni msomi maalumu eeeeeeeeeh!!!! CCM ni kweli haina mvuto.

      CCM NI SAWA NA TIKITI MAJI, NJE NI RANGI YA KIJANI, LKN NDANI NI NYEKUNDU.

    21. #38
      Kimox Kimokole's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th June 2010
      Posts : 833
      Rep Power : 621
      Likes Received
      400
      Likes Given
      1963

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Akili NDOGO inapoongoza akili kubwa
      " A politician thinks of the next "Election" while a LEADER thinks of the next "Generation" - Nelson 'Madiba' Mandela 1999


    22. #39
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,685
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By Ta Muganyizi
      Kiongozi mbona inaonesha una siku nne umejiunga? au umekula ban hili ni jina jipya?

      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 90
      Rep Power : 319
      Likes Received17
      Likes Given8

      Mkuu chuna kwanza
      Ta Muganyizi likes this.

    23. #40
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,757
      Rep Power : 987
      Likes Received
      951
      Likes Given
      1460

      Default Re: CHADEMA wamepoteza mvuto, CCM wajiimarisha zaidi kwa hoja

      Quote By kanyi
      Mkuu chuna kwanza
      Kanyi nahitaji maelezo aiseeeeee
      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...