Wana JF
Leo Mahakama inatarajia kutoa hukumu nyingine kesi ya Rajab Maranda na Farijala Husein kuhusu wizi wa shilingi karibu bilioni 2 za EPA. Wenye uwezo wa kupata updates twaomba mtupatie hapa
Wana JF
Leo Mahakama inatarajia kutoa hukumu nyingine kesi ya Rajab Maranda na Farijala Husein kuhusu wizi wa shilingi karibu bilioni 2 za EPA. Wenye uwezo wa kupata updates twaomba mtupatie hapa
kwani hao ndo walihusika na EPA?
Hapo hukumu inajulikana kabisa.
Mahakama zao,majaji wao,
unategemea nini hapo?
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Kesi gani hiyo mshitakiwa namba moja, 50,000,000,000 hayumo.
Simple life is healthier than egoism.
acha ngonjera wewe,kwenye movie huwa wanafanya vile ili lengo litimie wewe unataka movie ikianza tu kubwa la maadui afe,halafu na movie iishe au? Hapa inapaswa mkubwa ndio ashughulikiwe kwanza ili wale wadogo waache mara moja kwani wakiona mkubwa kashughulikiwa wataogopa..Yaani litokee dubwana kubwa limmeze tembo we unafikiri swala atalisogelea?
Pesa iliyoibwa EPA ni zaidi bil 40 tunahangaika na 2bil. wako wapi walioiba bil 20?
Asalamaleku walah
Don'T ConfusE Me If You Can'T ConvicE Me!! CCM ni kichaka cha WezI Tu
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
Nobody can give you freedom. Nobody can give you equality or justice or anything. If you're a man, you take it.... Malcolm X Nasubiri 'breaking news... '
update us please!
Tatizo lako unashindwa kuelewa kuwa mabunge yetu ndio yanayoweka hizi sheria na si mimi wala wewe. Labda mwenzangu ni mbunge.
Sheria zetu na nyingine nyingi duniani, zinazotungwa na watu (wabunge) zimejaa kulindana, hapo bungeni wale unaowaona usifikiri kuwa wako pale kwa maslahi yako wewe zaidi, wako pale kwa maslahi yao na kujilinda wao kwa wao, si wa upinzani wala wa chama tawala.
Hivi, umeshajiuliza ni kwanini wanaowaua waiba simu hawachukuliwi hatua? nini kinachowalinda? utakuta ni wewe mmoja wapo unaowalinda hao wauaji wa mitaani, akitokea mwizi akauliwa na wewe upo kwenye eneo, unajuwa kabisa ni fulani na fulani ndio waliomuuwa, lakini unakaa kimya huendi kuwashitaki wala kupeleka ushahidi. Halafu leo uozo huohuo unautolea mfano?
Wizi upo, haukuanza leo Tanzania hii, cha kutia moyo ni kuwa angalau kwa sasa tunaona hao wizi wa "EPA" wakifikishwa mahakamani. Kumbuka kuwa hii EPA ni madudu ya awamu iliyopita na walikuwepo watunga sheria pia, walikuwa wapi? mpaka aje Kikwete ndiyo ayaibuwe na kuisuka PCCB upya?, hivi kabla ya PCCB kulikuwa hakuna hivi vyombo vya kuzuwia rushwa? vilikuwa wapi? vilifanya nini? vilimfikisha nani mahakamani? majibu ni rahisi kabisa. Hakuna.
Leo hii yule anaechapa kazi na kuyaibuwa yote haya na kuchukuwa hatua stahiki za kubadilisha sheria za kulindana na kufumuwa mitandao ya huu wizi na mwingine ndiye anaonekana hafai. Ajabu sana.
Kumbuka kuwa sheria zimebadilishwa sana kipindi cha Kikwete zimeziba mianya mingi iliyopo awali na pia ukumbuke kuwa hivyo ni vita endelevu, ni uozo ulioota mizizi na kuuvunja na kuuondoa huo uozo kwa siku moja ni ndoto. Lakini matumaini yapo na ni mema sana na tumeona nia safi ya Kikwete katika awamu yake ya uongozi.
Last edited by zomba; 26th June 2012 at 13:14.
System At Work
"nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe
Miaka inaenda wale mapapa wanadunda tu mtaani
Bajeti ya maskini tajiri haiwezi
Follow Us Here