Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

    Report Post
    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast
    Results 41 to 60 of 90
    1. #1
      Suzie's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Posts : 1,085
      Rep Power : 0
      Likes Received
      339
      Likes Given
      309

      Default Bernard Membe asema Godbless Lema na wenzie walikuwa na njaa akawapa msosi

      Akiongea na clouds FM Membe anawapaka CDM akianzia na Slaa hatimae G. Lema

    2. Miaka 50

    3. 911
      #41
      911's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd August 2008
      Posts : 495
      Rep Power : 647
      Likes Received
      51
      Likes Given
      304

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      There are three sides to every story; their side, his side, and the truth


    4. #42
      Khakha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2009
      Posts : 961
      Rep Power : 694
      Likes Received
      209
      Likes Given
      81

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      jamani tuwe wakweli. ukiandaliwa chakula chako cha mchana nyumbani na mkeo huwa ni shea ya familia inayowekwa mezani kufuatana na kipimo. sasa kundi la g lema na wenzie wanagonga mlango wakati membe ana kihot pot cha nusu kilo kipo mezani angewezaje kuwakaribisha kina lema waliokuwa na njaa na kiu kali na wakashiba? tuanzie hapo kudiscuss.

    5. #43
      ndomyana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2012
      Posts : 1,830
      Rep Power : 736
      Likes Received
      180
      Likes Given
      0

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Membe kanisikitisha sana, hata kama propaganda membe umetia aibu, hadi najiskia kinyaa na kutapika kuongozwa na kiongozi mpumbavu na anae ongea maneno ya ovyo kama membe. Anatuambia ye akila itv wanakaa pembeni yake, ye akila huwaga sebleni kwake panapambwa maua kama ya harusi. Membe jipange upya acha uzalilishaji

    6. RR
      #44
      RR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2007
      Location : Close
      Posts : 5,605
      Rep Power : 1744
      Likes Received
      1020
      Likes Given
      481

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Membe bana....
      Akili zake kaziacha kachukua za mbayuwayu!
      NnyaMbwate likes this.
      Bunge: Upuuzi unaolindwa na sheria...kwa kutumia hela za Watz!

    7. #45
      Zak Malang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th December 2008
      Posts : 4,835
      Rep Power : 1922
      Likes Received
      187
      Likes Given
      2

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Wakati wa mchakato wa uteuzi wa wagombea Ubunge mwaka juzi (2010) Membe alikuwa 'amepita bila kupingwa' katika Jimbo lake lakini NEC baada ya rufaa iliwarudisha wapinzani wake, na hivyo kulazimika kufanya kampeni.

      Inasemekana alimaliza waganga wote wa kulke kusini pamoja na wa Mlingotini kule kwa binamu wake.
      Being prolific doesnt mean you are an accomplished person

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Ulimakafu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Itabanya Balasi
      Posts : 10,968
      Rep Power : 2608
      Likes Received
      690
      Likes Given
      1615

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Hana mpya huyo magamba.

    10. #47
      mchaichai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2011
      Posts : 381
      Rep Power : 457
      Likes Received
      33
      Likes Given
      25

      Default Re: Bernard Membe asema Godbless Lema na wenzie walikuwa na njaa akawapa msosi

      anataka kupoteza maboya wenzake wa ccm...cc tuna mwangalia tu..kuna siku atakanusha huyu cc tunamjua..mtu mfupi hakosi lakusema daima...wangekuwa na njaa wangekuwa wanatembea na mashangingi kama yeye?..analinda nafasi yake maana kuna wana ccm hawajui maana ya vyama vya ushindani na hawataki kusikia ukweli aliousema membe akiwa jimboni kwake huko Mtama

    11. #48
      enky's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 392
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa


    12. #49
      Nduka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2008
      Posts : 5,592
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      382
      Likes Given
      553

      Default

      Quote By Tume ya katiba
      Wema aliouonyesha Membe kwa wana CDM ni wa kufaa kuigwa na mtu yoyote.

      Honngera sana Mh. Membe, mungu atakulipa.
      Sasa naanza kuamini kuna vijana walioenda kufuata M4C kusini ilibidi kulawitiwa kwanza ndio wakapewa posho zao.

    13. #50
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Bernard Membe asema Godbless Lema na wenzie walikuwa na njaa akawapa msosi

      sasa kama walikua na njaa si angewakaribisha wale na waongee kuhusu mambo ya familia na watoto kama wameenda shule au wanaumwa..sasa mbona akaanza kuwaambia wajitayarishe kuchukua nchi? huyu anajikanyaga ndio wale wale
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    14. #51
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1232
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By plawala
      Alisema hivi

      Wakati wanajiandaa kula mlinzi wake alikuja kumwambia kuna vijana wa CHADEMA walikuwa wanagonga mlangoni, yeye akamwambia awakaribishe

      akasema pia na "walikuwa na njaa"

      mwisho wa kunukuu
      Swala la kusema walikuwa na njaa sana,kwani njaa ni

    15. #52
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,830
      Rep Power : 17962
      Likes Received
      1617
      Likes Given
      1559

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Quote By Ecoli
      Sasa naanza kuamini kuna vijana walioenda kufuata M4C kusini ilibidi kulawitiwa kwanza ndio wakapewa posho zao.
      Kauli za kilusinde aka kibajaj hizi..

    16. #53
      EMMANUEL NSAMBI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2011
      Posts : 357
      Rep Power : 454
      Likes Received
      78
      Likes Given
      17

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Naomba niulize maswali machache tu.
      1.Anasema alikuwa anakula akamwambia mlinzi awakaribishe alipoambiwa vijana wa Chadema,
      je,alijua hao vijana ni kina nani?

      2.Hicho chakula alikuwa amekiandaa akijua kuwa wanakuja?

      3.Mbona kwenye taarifa ya siku ile ITV alionekana akiwapokea nje
      akawakaribisha ndani,au analiaga nje?

      4.Hao waandishi wa habari walitoka wapi?

      5.Hata mimi nikijitambulisha kama kijana wa chadema atanikaribisha chakula cha mchana?

    17. #54
      Kipara kikubwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th January 2011
      Posts : 94
      Rep Power : 442
      Likes Received
      15
      Likes Given
      1

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Ukweli na mi nilibahatika kusikiliza hadi nilichelewa kufika ofisini maana nilidhani ana jipya. Nitaomba mniiwie radhi kwa hii kauli nitakayosema hv hapa Pwani chakula kina thamani kubwa hivo hadi mtu uthubutu kusema publically kusimanga uliwakaribisha chakula? Kauli yake imeonyesha kuwa ameumia sana na kauli ya kuwa ameifagilia cdm. Kwetu sisi wabara chakula ni mavi tu na mwanaume huwa hazungumzii masuala ya chakula eti fulani amekula kwetu hayo ya kitoto kabisa ya kusemeleana eti mwenzako alikula ubwabwa kwetu. Du chakula tu nongwa aisee hafu unataka uraisi siutauwa watoto a senior minister amabaye chakula ni bure tu hapana mheshimiwa ujitahidi kujiepusha na hoja legelege mwe!?

    18. #55
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,874
      Rep Power : 5953
      Likes Received
      803
      Likes Given
      229

      Default Re: Bernard Membe asema Godbless Lema na wenzie walikuwa na njaa akawapa msosi

      Maneno ya kwenye vijiwe vya Ghahawa yeye ndiyo anawalisha?inaingia hakilini?Inabidi kupima maneno mengine wakati wanaongea.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    19. #56
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,752
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      726
      Likes Given
      147

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Niliambiwa na mlinzi kuna vijana wa chadema wapo nje ya geti wanagonga
      Nikawaambia waache waingie
      wakaingia ndani wakala chakula kweli kweli manake walikuwa njaa sana na wakanywa kweli kweli

      Nyumbani kwa Mbunge na Waziri unaandaa chakula cha watu zaidi ya ishirini
      maneno ya mpuuuzi waziri wetu hajaongelea kitu chochote kuhusu wananchi wanaokufa mahospitalini kwa mgomo wa madaktari na vipi nchi yetu inaonekana mbele ya uso wa dunia kwa serikali yake kushindwa kuwathamini madaktari

      Akaongeza kama nilisema na nilirecodiwa si wangeweka kwenye u-tube si unawajuwa hao mbona ya Lusinde iliwekwa katika kila mtandao
      Akaongeza mimi nilirudi kwenye maeneo waliyopita ni kunipaka matope nikawaambia wananchi na wamenielewa kwamba hawa watu wa Kasikazini watakujaje kuwakombowa nyie wakati walipopangiwa kufanya kazi Lindi walikataa ndio waliodumaza maendeleo ya Lindi
      Nimedharau Membe kuliko kawaida kati ya watu nilikuwa nadhani zinawatosha kidogo ni huyu Muheshimiwa lakini leo amethibitisha kuwa ni mjinga haijatokea
      Anasema kuna wanajimu wanatabiri nani anaweza kuwa raisi lakini mimi sijaoteshwa sasa huo si unajimu pia mtu unafanya kampeni unamanupulate minds za watu eti mpaka uje uoteshwe ndio uutake wakati unautaka kwa njia mbalimbali eeh bwana usituchezee sisi watanzania CCM nzima hakuna jipya

    20. #57
      NnyaMbwate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 447
      Rep Power : 523
      Likes Received
      96
      Likes Given
      377

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Quote By Ritz
      Wewe endelea kumdharau lakini viongozi wako wanamuheshimu sana kwa kuwapa chakula usicheze na njaa malazi yote uguwa lakini njaa usiombee mkuu.
      Hii ya kwako ni kali Mkuu wewe!!

    21. #58
      NnyaMbwate's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 447
      Rep Power : 523
      Likes Received
      96
      Likes Given
      377

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Quote By RR
      Membe bana....
      Akili zake kaziacha kachukua za mbayuwayu!
      Ha ha ha ha ha haaaaa!! Mkuu umenichekesha sana leo!

    22. #59
      Endeleaaa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th October 2007
      Posts : 556
      Rep Power : 705
      Likes Received
      125
      Likes Given
      43

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      Yote kwa yote mimi aliniacha hoi pale aliposema anasubiri KUOTESHWA kama agombee au asigombee Urais. Hana tofauti na Babu wa Loliondo

      Hando akamtia Moyo kwamba kuanzia sasa atakuwa anamuombea sana ili AOTESHWE ha hah a ahaaa fan politician.
      1. HARNESS THE POWER OF CHANGE, 2. FACE REALITY!, 3. MANAGING LESS IS MANAGING BETTER
      4. CREATE A VISION AND THEN GET OUT OF THE WAY

    23. #60
      KELVIN GASPER's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 435
      Rep Power : 521
      Likes Received
      113
      Likes Given
      11

      Default Re: Membe - Chadema walikuja kwangu wakiwa na njaa

      ameahidi na kuapa kuwataja wahusika wa radar.

    Page 3 of 5 FirstFirst 12345 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...