Re: Raia wanaposhinikizwa kupisha maendeleo....
Hoja zako zimeshikamana vizuri kweli kweli.
Kama viongozi wanaochaguliwa direct na wananchi ndio wangekuwa wanasimamia maamuzi ya namna hii sidhani kama haya yangekuwa yanatokea, viongozi wanaofanya maamuzi ya kizembe namna hii ni administrative ambao ni wateule wa ama viongozi tuliowachagua sisi wenyewe au wateule wa wateule wa wateule wa wateule wa viongozi tuowachagua wenyewe kwenye mabox ya kura.
napendekeza kwamba, kwenye mchakato wa uaandaji wa katiba mpya tuhakikishe kwamba ama viongozi wanaoteuliwa na viongozi waliochaguliwa kwa sanduku la kura wasiwe na mamlaka ya kuteua viongozi, na pia tuongeze idadi ya viongozi wa kuchaguliwa kwa sanduku la kura au tuamue maamzi fulani fulani yafanyike baada ya kupigiwa kura badala ya kupigia kura viongozi pekee.
Sangarara kwa kuanza serikali za mitaa ziongozwe na mameya wa kuchaguliwa.........ma madiwani wawe waajiriw awa tumishi waote wa halmashauri zao badala ya Ikulu kupitia waziri wa serikali za mitaa au Pm kuwanyang'anya majukumu yao ya kudhibiti matumizi na nidhamu ya sehemu walizochaguliwa
John 14:14 " If you ask anything in My Name, I will do it"
John 14:15 "If you love Me, keep My commandments."
Follow Us Here