Ili kukabiliana na aibu ya rais wetu kuzunguka kwenye mataifa za watesi wetu kuomba omba na pia kuiwezesha serikali yetu kukusanya mapato ya kutosha kwa ajili ya shughuli za maendeleo ni kwanini serikali isirudishe kodi ya kichwa kwa kila mwananchi kuanzia at least miaka 25?

Reply With Quote



Follow Us Here