Tanil Somaiya anatarajia kukutana na waandishi wa habari hapo kesho.
Tutajitahidi kupata kinachoendelea katika mkutano huo.
Mh, tunakoelekea...!
Tanil Somaiya anatarajia kukutana na waandishi wa habari hapo kesho.
Tutajitahidi kupata kinachoendelea katika mkutano huo.
Mh, tunakoelekea...!
Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
Ab actu ad posse valet illatio (from what has happened we may infer what will happen)
CCM inawasukuma watu wake akina RA na hao wahindi wengine kusema lolote maana uchaguzi unakaribia na kila kigogo wa CCM anautaka ushindi mwaka 2010.The State and CCM has come between .Wacha tuangalie sasa .
Haponi mtu hapa..na hamna mtu wa serikali atakaye ingilia...sophia simba ameshajichoma kwa kudandia bila kufikiria!!
"When the Authorities ask for your shirt, you give them your jacket aswell" Pattni Goldenberg Scandal Architect
Kazi ipo wakuu sasa sisi wenye nchi wazalendoo.....tumebakia hatuna chetu wanatamba wao tu kazi kweli kweli....
"No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"
Tuandamane kumuunga mkono mzee Mengi ili mambo yanoge zaidi. Hapo vipi??
nakuunga mkono kufanya maandamano ya kumuunga mkono mengi.
tunahitaji kufanya maandamano.
Mkuu hapo umekosea;
Hakuhitaji kuuzima... alitaka uwake haswa na kila kitu kiwe wazi!!!
He did what he did intentionally and just to let you know that this chaos was necessary if we are to transform; kinachotokea sasa ni bora kuliko industrial revolution waliyofanya wenzetu zamani....
Yeye ni kama suicide bomber anayetumika kudeliver messages - HE IS A CHANGE AGENT MAZEE
.....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!
"Power never takes a back step only in the face of more power. Nobody can give you freedom, equality or justice or anything. If you're a man, you take it."
sasa basi Mengi inabidi aahirishe mkutano wake leo ili afanye baada ya kumsikia huyu fisadi papa mwengine. vita hii lazima wananchi tushinde.
Sophia Simba na mwenzie Mkuchika mbona sijawasikia wakimjibu RA?....Double standards au ndo mambo ya ukipofu.....?
“When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
- Rev.Bishop Desmond Tutu.
Nani kasema Mengi hawezi kuuzima? Kuwataja watu hao wa 5 alijua kabisa kwamba anaubavu nao ndio maana akafanya alivyofanya. Alikuwa na uwezo wa kuwataja wengine wengi tuu.
Kuhusu JK, sidhani kama atahusika sana na issue ambazo zinaonekana zipo kibinafsi hasa na hili lilithibitika jana baada ya RA kutoa shutuma ambazo zipo kibinafsi zaidi badala ya kutetea kwamba yeye sio FISADI
Follow Us Here