Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

    Report Post
    Page 1 of 5 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 95
    1. #1
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4888
      Likes Given
      5710

      Default Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Tanil Somaiya anatarajia kukutana na waandishi wa habari hapo kesho.

      Tutajitahidi kupata kinachoendelea katika mkutano huo.

      Mh, tunakoelekea...!
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    2. Miaka 50

    3. #2
      Jobo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2008
      Posts : 582
      Rep Power : 678
      Likes Received
      28
      Likes Given
      3

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
      Ab actu ad posse valet illatio (from what has happened we may infer what will happen)

    4. #3
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,017
      Rep Power : 2561
      Likes Received
      785
      Likes Given
      28

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      CCM inawasukuma watu wake akina RA na hao wahindi wengine kusema lolote maana uchaguzi unakaribia na kila kigogo wa CCM anautaka ushindi mwaka 2010.The State and CCM has come between .Wacha tuangalie sasa .

    5. #4
      bm21's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Britain
      Posts : 777
      Rep Power : 718
      Likes Received
      2
      Likes Given
      15

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Invisible
      Tanil Somaiya anatarajia kukutana na waandishi wa habari hapo kesho.

      Tutajitahidi kupata kinachoendelea katika mkutano huo.

      Mh, tunakoelekea...!
      Mkuu huko tunakoenda ndio ukombozi wa mtanzania. Wacha yatokee yoyote hata kwa gharama fulani kwani mwisho wake watanzania walio wengi wataneemeka

    6. #5
      Makaayamawe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st February 2009
      Location : Global
      Posts : 340
      Rep Power : 590
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Jobo
      Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
      Huu moto hauhitajiki kuzimwa maana unaunguza magugu tu. Tumshukuru Mengi kwa kuuwasha.

      Tatizo ni kuwa unavyoendelea kuwaka ni nani kwenye uongozi wa sasa wa CCM atakayepona?

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kapinga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2007
      Posts : 742
      Rep Power : 740
      Likes Received
      4
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Haponi mtu hapa..na hamna mtu wa serikali atakaye ingilia...sophia simba ameshajichoma kwa kudandia bila kufikiria!!
      "When the Authorities ask for your shirt, you give them your jacket aswell" Pattni Goldenberg Scandal Architect

    9. #7
      Lambardi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th February 2008
      Location : KITAANI ZAIDI
      Posts : 4,523
      Rep Power : 1796
      Likes Received
      654
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Kazi ipo wakuu sasa sisi wenye nchi wazalendoo.....tumebakia hatuna chetu wanatamba wao tu kazi kweli kweli....
      "No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"

    10. #8
      Manundu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2008
      Posts : 69
      Rep Power : 581
      Likes Received
      6
      Likes Given
      18

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Skills4Ever
      Kazi ipo wakuu sasa sisi wenye nchi wazalendoo.....tumebakia hatuna chetu wanatamba wao tu kazi kweli kweli....
      Na mbaya zaidi tumekuwa vibaraka wao tunawashangilia,Wabongo ni wagumu kuelewa na wepesi sana kusahau!!!!

    11. #9
      WomanOfSubstance's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th May 2008
      Posts : 5,484
      Rep Power : 1682
      Likes Received
      707
      Likes Given
      721

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By manundu
      Wabongo ni wagumu kuelewa ........wepesi kusahau!!!!

      hii ni hatari! No wonder hakuna kinachofanikiwa kwenye vita dhidi ya uovu!
      Educating the mind without educating the heart is no education at all.... Aristotle



    12. #10
      kela72's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th May 2008
      Posts : 170
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Tuandamane kumuunga mkono mzee Mengi ili mambo yanoge zaidi. Hapo vipi??

    13. #11
      MAKALA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Posts : 28
      Rep Power : 522
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      nakuunga mkono kufanya maandamano ya kumuunga mkono mengi.
      tunahitaji kufanya maandamano.

    14. #12
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4016
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Kapinga
      Haponi mtu hapa..na hamna mtu wa serikali atakaye ingilia...sophia simba ameshajichoma kwa kudandia bila kufikiria!!
      SS alifikiria alichosema baada ya kumaliza ule mkutano

    15. #13
      kela72's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th May 2008
      Posts : 170
      Rep Power : 598
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By MAKALA
      nakuunga mkono kufanya maandamano ya kumuunga mkono mengi.
      tunahitaji kufanya maandamano.
      Yakifanyika yatazuiwa kwa nguvu kubwa na serikali huwezi amini!! Lakini yakifanyika yakumuunga mkono mheshimiwa sana mbunge wa Igunga Rostam kwa utetezi wake......yatasindikizwa na TOT huku John Komba akitumuiza!

    16. #14
      TIMING's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Roaming...
      Posts : 20,084
      Rep Power : 12251
      Likes Received
      6014
      Likes Given
      6851

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Jobo
      Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
      Mkuu hapo umekosea;

      Hakuhitaji kuuzima... alitaka uwake haswa na kila kitu kiwe wazi!!!

      He did what he did intentionally and just to let you know that this chaos was necessary if we are to transform; kinachotokea sasa ni bora kuliko industrial revolution waliyofanya wenzetu zamani....

      Yeye ni kama suicide bomber anayetumika kudeliver messages - HE IS A CHANGE AGENT MAZEE
      .....Ana sifa zote, nzuri na mbaya!!!

    17. #15
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6153
      Likes Given
      22273

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Ndahani
      SS alifikiria alichosema baada ya kumaliza ule mkutano
      sidhani kama alifikiria, maana kesho yake live on TBC, aliyatamka tena maneno yale yale kwa lugha ya 'kishankupe' huku akiyatilia msisitizo wa kidole juu, mdomo akiubinjuwa. hapo kuna kufikiria kweli?.

    18. #16
      kinepi_nepi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2007
      Posts : 878
      Rep Power : 1209
      Likes Received
      223
      Likes Given
      118

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Jobo
      Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!
      Ndipo kila mmoja anapopataka wasipoongea hatutajua kitu wacha wajichanganye tupate pa kupitia. Asante Mengi kwa kufanya mabubu kuongea.
      "Power never takes a back step only in the face of more power. Nobody can give you freedom, equality or justice or anything. If you're a man, you take it."

    19. #17
      Nemesis's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th February 2008
      Posts : 2,655
      Rep Power : 1517
      Likes Received
      31
      Likes Given
      91

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      sasa basi Mengi inabidi aahirishe mkutano wake leo ili afanye baada ya kumsikia huyu fisadi papa mwengine. vita hii lazima wananchi tushinde.

    20. #18
      Invisible's Avatar
      Robot Array
      Join Date : 11th February 2006
      Location : Here...!
      Posts : 9,326
      Rep Power : 100000
      Likes Received
      4888
      Likes Given
      5710

      Default

      Quote By Pasco
      sidhani kama alifikiria, maana kesho yake live on TBC, aliyatamka tena maneno yale yale kwa lugha ya 'kishankupe' huku akiyatilia msisitizo wa kidole juu, mdomo akiubinjuwa. hapo kuna kufikiria kweli?.
      This made me laugh!

      Na huyo ni WAZIRI... Kaazi kwelikweli
      Ficha Upumbavu wako; Usiifiche Hekima yako!
      24/7 Email SUPPORT: [email protected]


    21. #19
      Next Level's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Location : Pwani
      Posts : 3,151
      Rep Power : 1171
      Likes Received
      76
      Likes Given
      42

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Sophia Simba na mwenzie Mkuchika mbona sijawasikia wakimjibu RA?....Double standards au ndo mambo ya ukipofu.....?
      “When the missionaries came to Africa they had the Bible and we had the land. They said ''Let us pray'' we closed our eyes. When we opened them we had the Bible and they had the land.
      - Rev.Bishop Desmond Tutu.

    22. #20
      Komamanga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd May 2009
      Posts : 214
      Rep Power : 554
      Likes Received
      3
      Likes Given
      29

      Default Re: Tanil Somaiya kukutana na waandishi

      Quote By Jobo
      Mengi amewasha moto ambao hawezi kuuzima! Busara za mtu kama Nyerere zinahitajika kwani naona huu mziki ni mkubwa kwa JK! Sijui tumwite Koffi Annani maana hapa nchini sijui nani wa kumnyooshea mwenzake kidole! Wote ni wizi mtupu!

      Nani kasema Mengi hawezi kuuzima? Kuwataja watu hao wa 5 alijua kabisa kwamba anaubavu nao ndio maana akafanya alivyofanya. Alikuwa na uwezo wa kuwataja wengine wengi tuu.

      Kuhusu JK, sidhani kama atahusika sana na issue ambazo zinaonekana zipo kibinafsi hasa na hili lilithibitika jana baada ya RA kutoa shutuma ambazo zipo kibinafsi zaidi badala ya kutetea kwamba yeye sio FISADI

    Page 1 of 5 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Ccm ni swaiba wa tanil- somaiya
      By MAFILILI in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 28th June 2011, 08:38
    2. Fisadi wa rada Tanil Somaiya afanya kufuru IKULU
      By Fareed in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 149
      Last Post: 1st January 2011, 00:47
    3. Jk kukutana na waandishi live
      By Mundali in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 28th October 2010, 16:27
    4. Ufisadi wa Tanil Somaiya
      By BAK in forum Jamii Intelligence
      Replies: 42
      Last Post: 14th May 2009, 16:00

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...