Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 33
    1. #1
      ropam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Salaam JF,
      Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo haijawai kutokea) kwasababu ya udhaifu wa raisi kikwete, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm"...kwenye hili swala la uzembe wa wabunge, naona kuna hoja mbadala zaidi ya uzembe, kuna wabunge wengi tu bungeni wanafanya/support maamuzi bila kujua athari zake kesho na kesho kutwa kwao( watakapotoka hapo mjengoni) na kwa jamii nzima kutokana na ukosefu wa elimu (ukomavu wa fikra), Majirani zetu hapo kenya wameshapitisha hili...kuanzia mwaka kesho hakuna mbunge ataruhusiwa kugombea bila kuwa na at least shahada ya kwanza, tusijipe moyo kwamba...mbona TZ wasomi ndio wanongoza kwa uwizi, ni wanaiba kwasababu wanajua bunge limejaa watu ambao hawajakomaa kiakili, ambao watapitisha hoja yeyote bila kujali uhalisia wake! Elimu kwa watu wanaotuongoza ni muhimu sana....."The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education." -Martin Luther kng Jr, Naamini hata sisi hatutakuwa tumewahi sana tukilijumuisha hili katika marekebisho ya katiba yanayoendelea.
      Nawaisilisha.
      Attinda78 and Rubesha Kipesha like this.
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Gwalihenzi's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 21st October 2011
      Posts : 2,379
      Rep Power : 0
      Likes Received
      615
      Likes Given
      377

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Mkuu na kubaliana na uchambuzi wako. Rekebisha heading ya hoja yako ili isomeke "wabunge" na sio "Wanunge"

    4. SMU
      #3
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,534
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      I really doubt if that is a solution. Let's think of the number of PhDs and Professors that we have had in that house and what they have done so far.....! Mind you, we also have an economist and a PhD holder in the 'first office'!
      Last edited by SMU; 25th June 2012 at 12:34.
      Bukyanagandi likes this.
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    5. #4
      mgt software's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,750
      Rep Power : 784
      Likes Received
      141
      Likes Given
      201

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      ni kweli kabisa mbunge anatakiwa awe na shahada ya kwanza hatakama ni ya sanaa ya maigizo.
      "Mtoto wa Maskini Hachagui Malezi, Tanganyika siyo Masikini Masikini ni wewe Unayehonga Haki yako Kwa Mafisadi" Bamugileki

    6. #5
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 620
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Hiyo ni njema sana,na Tanzania ipitishwe hiyo kitu,maana wakina Prof.maji marefu hawajui hata ku-constract maswali,itapunguza waganga wa kienyeji na mambumbu wa mgamba bungeni wanaosinzia wakizinduka wanaamkia kupiga meza,hawa wagonga meza ndio wanashindwa kusoma na kuelewa miswada ya kingereza,ni janga,naunga 100% ipite na hapa Tanganyika.
      ropam likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Blayi wa Mpwapwa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th January 2012
      Posts : 106
      Rep Power : 392
      Likes Received
      41
      Likes Given
      0

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Mtu kama Aden Rage ni kwa maslahi ya nani?

    9. #7
      ropam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By Gwalihenzi
      Mkuu na kubaliana na uchambuzi wako. Rekebisha heading ya hoja yako ili isomeke "wabunge" na sio "Wanunge"
      nimeshafanya hivyo mkuu....kwenye keyboard yangu 'B' na 'N' zimepakana, am grateful though
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    10. #8
      ropam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By SMU
      I really doubt if that is a solution. Let's think of the number of PhDs and Professors that we have had in that house and what they have done so far.....! Mind you, we also have an economist and a PhD holder in the 'first office'!
      SMU thats the best way so far to restore accountability and responsibility amongst the ministers and MP's that has been lost/missing for as long as i can remember! The aim of having the house filled with intellectuals isnt to observe what they can or cant do but to serve as reliable watchdogs against those on the higher hierarchy who are making lame decisions for us poor Tanzanians believing that nobody can question them or block their decisions not even the government's main watchdog (House of parliament) because it is full of members lacking the appropriate or rather enough education
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    11. #9
      Madenge's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd December 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 551
      Likes Received
      6
      Likes Given
      7

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Naunga mkono uchambuzi wako. Pia kuna kipindi waziri mmoja aliwahi kusema kuwa wabunge wangi wanashindwa kuielewa budget kutokana na lugha na hata lugha yetu ya kiswahili pia kinawawia vigumu kuelewa. Pia nina mashaka hao wabunge kama huwa wanasoma kwa makini hiyo budget, nahisi hata wanapopiga kura hawajui kwa nini wanakubali au wanakataa kupitisha. Sidhani kama wengi wao wanaweza kutoa majibu yenye ufafanuzi makini ya kukubali au kutaa kwao. NI BORA KIWANGO CHA ELIMU KIKAFIKIRIWA UPYA ILI TUENDE NA WAKATI. Enzi za Nyerer wasomi walikuwa wachache ndiyo maana kiwango kilikuwa cha chini. Sasa hivi wasomi ni wengi. Chama tawala kina take advantage kupitisha na kufanya ubadhilifu kwa kuwa wanajua wengi wa wabunge ni watu wa kuburuzwa tu na hawana upeo wa mambo.
      ropam likes this.

    12. SMU
      #10
      SMU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th February 2008
      Location : Mavurunza
      Posts : 4,534
      Rep Power : 3811
      Likes Received
      1312
      Likes Given
      1916

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By ropam
      SMU thats the best way so far to restore accountability and responsibility amongst the ministers and MP's that has been lost/missing for as long as i can remember! The aim of having the house filled with intellectuals isnt to observe what they can or cant do but to serve as reliable watchdogs against those on the higher hierarchy who are making lame decisions for us poor Tanzanians believing that nobody can question them or block their decisions not even the government's main watchdog (House of parliament) because it is full of members lacking the appropriate or rather enough education
      If I was to mention 5 five things that an MP 'needs' to perform his job properly, a university degree would not be among them!
      "Rather than love, than money, than fame, give me truth" ----Thoreau

    13. #11
      ropam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By MANGUNGO
      Hiyo ni njema sana,na Tanzania ipitishwe hiyo kitu,maana wakina Prof.maji marefu hawajui hata ku-constract maswali,itapunguza waganga wa kienyeji na mambumbu wa mgamba bungeni wanaosinzia wakizinduka wanaamkia kupiga meza,hawa wagonga meza ndio wanashindwa kusoma na kuelewa miswada ya kingereza,ni janga,naunga 100% ipite na hapa Tanganyika.
      Ni kweli mkuu...ukizingatia pia tumeingia kwenye jumuiya ya Afrika mashariki, seriously we cant afford to have representatives who will be nodding their heads to everything the kenyans, ugandans etc say...
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    14. #12
      Bobuk's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th October 2010
      Posts : 2,066
      Rep Power : 923
      Likes Received
      835
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By SMU
      I really doubt if that is a solution. Let's think of the number of PhDs and Professors that we have had in that house and what they have done so far.....! Mind you, we also have an economist and a PhD holder in the 'first office'!
      If you think Education is expensive then try ignorance!

      Mandatory first degree to MPs aspirants is the right dicision towards to the right direction. Let's be optimistic

    15. #13
      ropam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By SMU
      If I was to mention 5 five things that an MP 'needs' to perform his job properly, a university degree would not be among them!
      what abt mentioning those things right now...and see if u will truly miss the university degree or any relevant education level in your list!
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    16. #14
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Elimu ni ya msingi sana....japo hata ambao hawajaenda shule wanajiona wanajua

    17. #15
      majorbuyoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 663
      Rep Power : 2613
      Likes Received
      183
      Likes Given
      238

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Mkuu uzi wako unakaribia ukweli katika kupata ufumbuzi wa matatizo yanayotokea bungeni, lakini kwa upande wangu ningeshauri tuipige chini CCM ndio suluhisho la msingi maana hata Maprofesa na PhD holders waliomo ndani ya CCM wanashindwa ku-reason na kutumia elimu yao ipasavyo, wanaishia kuburuzwa na kauli za kishabiki za akina Lusinde.
      SMU likes this.

    18. #16
      Attinda78's Avatar
      Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 11
      Rep Power : 448
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By ropam
      Salaam JF,
      Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo haijawai kutokea) kwasababu ya udhaifu wa raisi kikwete, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm"...kwenye hili swala la uzembe wa wabunge, naona kuna hoja mbadala zaidi ya uzembe, kuna wabunge wengi tu bungeni wanafanya/support maamuzi bila kujua athari zake kesho na kesho kutwa kwao( watakapotoka hapo mjengoni) na kwa jamii nzima kutokana na ukosefu wa elimu (ukomavu wa fikra), Majirani zetu hapo kenya wameshapitisha hili...kuanzia mwaka kesho hakuna mbunge ataruhusiwa kugombea bila kuwa na at least shahada ya kwanza, tusijipe moyo kwamba...mbona TZ wasomi ndio wanongoza kwa uwizi, ni wanaiba kwasababu wanajua bunge limejaa watu ambao hawajakomaa kiakili, ambao watapitisha hoja yeyote bila kujali uhalisia wake! Elimu kwa watu wanaotuongoza ni muhimu sana....."The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education." -Martin Luther kng Jr, Naamini hata sisi hatutakuwa tumewahi sana tukilijumuisha hili katika marekebisho ya katiba yanayoendelea.
      Nawaisilisha.
      Kweli kabisa
      Laughter is the best medicine. But laugh for no reason and you need medicine

    19. #17
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,246
      Rep Power : 3564
      Likes Received
      3069
      Likes Given
      463

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By ropam
      Salaam JF,
      Ni hili swala la wabunge wa Jamhuri kuwa na elimu ya at least shahada ya kwanza (undergraduate degree)...juzi MH. John Mnyika alipokuwa anahutubia bunge kwenya mjadala wa bajeti kuu ya serikali alisema "tumefika hapa tulipo(kwenye umaskini wa kutupwa na hali ngumu ya maisha ambayo haijawai kutokea) kwasababu ya udhaifu wa raisi kikwete, uzembe wa bunge na upuuzi wa ccm"...kwenye hili swala la uzembe wa wabunge, naona kuna hoja mbadala zaidi ya uzembe, kuna wabunge wengi tu bungeni wanafanya/support maamuzi bila kujua athari zake kesho na kesho kutwa kwao( watakapotoka hapo mjengoni) na kwa jamii nzima kutokana na ukosefu wa elimu (ukomavu wa fikra), Majirani zetu hapo kenya wameshapitisha hili...kuanzia mwaka kesho hakuna mbunge ataruhusiwa kugombea bila kuwa na at least shahada ya kwanza, tusijipe moyo kwamba...mbona TZ wasomi ndio wanongoza kwa uwizi, ni wanaiba kwasababu wanajua bunge limejaa watu ambao hawajakomaa kiakili, ambao watapitisha hoja yeyote bila kujali uhalisia wake! Elimu kwa watu wanaotuongoza ni muhimu sana....."The function of education is to teach one to think intensively and to think critically. Intelligence plus character - that is the goal of true education." -Martin Luther kng Jr, Naamini hata sisi hatutakuwa tumewahi sana tukilijumuisha hili katika marekebisho ya katiba yanayoendelea.
      Nawaisilisha.

      Umesahau kitu kimoja... ELIMU Sio NGUZO ya kumfanya Mtu kuelewa Masuala ya Ulimwengu; Kuna watu wenye Elimu

      Hawaongei bila kuweka Matusi; Hawana Mwamko wa Kisiasa au Mweleko
      ; Uongozi au Siasa ni HEKIMA sio DEGREE
      SMU likes this.

    20. #18
      Join Date : 11th August 2010
      Posts : 162
      Rep Power : 478
      Likes Received
      28
      Likes Given
      39

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Quote By nngu007

      Umesahau kitu kimoja... ELIMU Sio NGUZO ya kumfanya Mtu kuelewa Masuala ya Ulimwengu; Kuna watu wenye Elimu

      Hawaongei bila kuweka Matusi; Hawana Mwamko wa Kisiasa au Mweleko
      ; Uongozi au Siasa ni HEKIMA sio DEGREE
      Sio uongozi wa siasa tu..uongozi wowote ule ulio bora msingi wake ni hekima, lakini ili uongozi huo uendelee kusimama na kutetea haki na usawa kwa unaowatawala, pamoja na hekima lazima pia uwe na uwezo wa kupamba na kupambanua mambo, kujenga na kutengua hoja,kuwa na fikra huru na za kina.....ambavyo hivi vyote vinajengwa na elimu! Ifike mahali serikali iogope kupeleka miswaada na budget za kihuni bungeni, kwasababu tu inaelewa aina ya watu ambao wanaenda kuifanyia maamuzi hiyo miswaada!
      Madenge likes this.
      IF U LIVE EACH DAY AS IF IT WAS YOUR LAST, SOMEDAYS U WILL MOST CERTAINLY BE RIGHT-stEvE jObS

    21. #19
      Wingu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2011
      Posts : 3,978
      Rep Power : 1218
      Likes Received
      247
      Likes Given
      41

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Naunga mkono hoja hii kitu degree ni muhimu sana wengi wa wabunge hawajui wanachokifanya mjengoni na hii ndo njia nzuri ya kuwapunguza

    22. #20
      Jamboleo's Avatar
      Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 43
      Rep Power : 359
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Wabunge na Elimu ya shahada (Degree)

      Hongera kwa uchambuzi mzuri!!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...