Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

    Report Post
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast
    Results 21 to 40 of 72
    1. #1
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,153
      Rep Power : 3544
      Likes Received
      3036
      Likes Given
      460

      Default Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni


      LEO NIMECHAGULIWA KUWA MJUMBE WA KUWAKILISHA WAZAZI WA KATA YANGU KIVUKONI, KWENYE MKUTANO MKUU WA MKOA NA PIA KUWA KATIBU WA ELIMU, MAZINGIRA, NA PIA KATIBU MWENEZI WA KATA YA KIVUKONI, AMBAYO INAHUSISHA HATA IKULU NA VIONGOZI WENGI WAKUU WALIOPO MADARAKANI NA WALIOSTAAFU, AMBAO WENGI WAO WALIKUWEPO LEO NA WAKANIPA KURA ZAO; MY CAMPAIGN WAS GREAT NA NAWASHUKURU WOTE HASA FB PEOPLE KWA YOUR PRAYERS; IN TWO WEEKS NITAINGIA ULINGONI TENA KUGOMBEA UPANDE WA CCM PIA: LOVE YAH SANA PEOPLE NA KIDUMU CCM!! - Le Mutuz!!





    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      gfsonwin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 12th April 2012
      Posts : 10,669
      Rep Power : 21308
      Likes Received
      10026
      Likes Given
      13923

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      mkuu willy hongera sana ts a good start ila this time kua kiakili na kifikra pia kimatendo, kuwa na nafasi kama hyo ni kubwa ba yaweza kukupeleka mbali sana endapo utaaamua kujituma kwa hekima na busara. kila la heri

    4. #22
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,663
      Rep Power : 1907
      Likes Received
      1562
      Likes Given
      676

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Quote By Kimbunga
      Mkuu mgeni wenu yamekuwa hayo tena? Najua Le baharia atakujibu tu japo naona kama siku hizi ameisusa JF baad ya kuwa watu hawamtendei haki kwa kumshambulia; personal attack badala ya kushambulia hoja zake.
      William Ana ban kutokana na zile thread zake za Nyerere

    5. #23
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,472
      Rep Power : 6167
      Likes Received
      3036
      Likes Given
      1015

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Quote By kanyi
      William Ana ban kutokana na zile thread zake za Nyerere
      Ahsante mkuu nilikuwa sijui kama katandikwa ban! Inabidi modes watuwekee sticky thread kutuhabarisha nani kapigwa ban na kwa nini ili watu tiwe tunajua wenzetu ambao wana ban; isiwe siri.
      TUMBIRI likes this.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    6. #24
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,524
      Rep Power : 2441
      Likes Received
      277
      Likes Given
      286

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Kwa ababu
      si kweli kwamba wana nafasi na si kweli kwmba wanaweza simama wenyewe katika maisha yao.
      Ukweli ni kwamba
      ni wababaishaji watu waishio kiujanja ujanja na hila nyingi za ubabaishaji wa hapa na pale.
      Ni watu tegemezi na hata pengine ni makupe wakubwa wanyonyao usiku na mchana.

      Msukumo mkubwa katika kutafuta nafasi za kisiasa ni matumbo yao ,Njaa zao na kujikweza


      Quote By Candid Scope
      Swali ambalo huwa najiuliza kwa nini watu ambao wana nafasi ya kusimama wenyewe katika maisha wanahangaika na kutafuta kwa udi na uvumba nafasi za uwakilishi? Kuna nini huko? Ulaji?
      Candid Scope likes this.
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    7. #25
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,050
      Rep Power : 5465
      Likes Received
      3478
      Likes Given
      1898

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Kara uwakilishi lol

    8. Study Abroad

    9. jcb
      #26
      jcb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2010
      Posts : 211
      Rep Power : 496
      Likes Received
      26
      Likes Given
      82

      Default

      Quote By Kimbunga
      Mkuu Ritz unamuongelea Saggaf Diwani wa Mchafukoge (90% ya watu wanaoishi Dar hawajui hii kata iko wapi!) ambaye aligombea Umeya na Dr. Masaburi.
      Mkuu hii ndo mitaa ya mkate wangu wakila siku.

    10. #27
      Ghiti Milimo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th July 2011
      Posts : 228
      Rep Power : 441
      Likes Received
      27
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Bantugbro
      Kwanini asiende jaribu kule kwao kwao Mvumi au Mtera?

      Au Tunduma Mbeya,kwa mama yake mzazi!

    11. #28
      Makirita Amani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th June 2012
      Posts : 109
      Rep Power : 371
      Likes Received
      56
      Likes Given
      23

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      mara kinyerezi mara kivukoni........ Huyu jamaa mbona haeleweki??

    12. #29
      MANGUNGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th August 2011
      Posts : 1,146
      Rep Power : 619
      Likes Received
      251
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By Mzee Mwanakijiji
      Safari ya kisiasa huanza kwa kuaminiwa na kuchaguliwa; ndio mwanzo wa safari hiyo... congrats!!!
      mkuu mbona unamu-joke nyumbanyingi?kuna watu wa kupongeza lakini huyu janga sasa alikuwa segerea mara kigamboni?wanasiasa kama hawa wanaosaka vyeo kwa hali na mali ni hatari sana,huyu na wakumkemea na kumuseta kuzimu kama ibilisi ni disaster kama baba yake.

    13. #30
      Lyimo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2006
      Posts : 1,799
      Rep Power : 1525
      Likes Received
      796
      Likes Given
      450

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Yaweza kuwa ni makazi yake mapya. Katiba/sheria za Tz hazimzuii mtu kuishi popote hapa nchini. Hongera kwanza kupiga hatua.
      "Wisdom is not a product of schooling, but of the lifelong attempt to acquire it"

    14. #31
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,153
      Rep Power : 12555
      Likes Received
      5732
      Likes Given
      742

      Default

      Quote By Kimbunga
      Mkuu Ritz unamuongelea Saggaf Diwani wa Mchafukoge (90% ya watu wanaoishi Dar hawajui hii kata iko wapi!) ambaye aligombea Umeya na Dr. Masaburi.
      Mkuu kweli hiyo kata watu wengi hawaijui.

    15. #32
      Kakulwa P's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th February 2012
      Posts : 201
      Rep Power : 407
      Likes Received
      69
      Likes Given
      10

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Hongera kwa kuchaguliwa.

      Najiuliza naomba jibu lako jana Star Tv na baada ya kipindi cha Tuongee Asubuhi ulimshambulia sana Myika Mbunge wa Ubungo kusema Rais Kikwete ni dhaifu, inaonekana ulivyokerwa sana na kauli hiyo. Hujazungumzia Mwigulu alivyochana Maoni ya bajeti ya upinzani hata chembe hiyo inaonyesha ulivyokuwa kwenye maandalizi ya kutafuta kura za jana.

      Lakini ninapohitaji kujibiwa ni kauli iliyotolewa na Mzee wako John Ara Malecela akiwa Waziri Mkuu (GO TO HELL) unaichukuliaje kauli hiyo kutuambia Watanzania wakati huo, pia kuna kauli nyingine ilitamkwa na Waziri kuwa (MTAKULA NYASI).

      Lakini kuna wakati ulizungumza Mh. MBOWE kutumia gari la kifahari na ukamuona kama anakiuka maadili, ukasahau kuwa Mzee wako tangu astaafu anatumia magari ya kifahari pamoja na walinzi mbona hujafunguka kwa matumizi hayo au kwa kuwa yapo kwenye familia yenu MVUMI? Watz tunajua mengi sana juu ya familia zinazotumbua maisha huku sisi tukiwa hoi, Ndugu yangu wewe endelea kutafuta uongozi lakini jua ukitaka kula na kipofu........ au Ndio kusema NYANI HAONI KUNDULE?

      Msimamo wako wa jana kwa Mbunge wetu haukuwa wa Mantiki maana tulio wengi tulikuwa tunashuhudia bungeni siku hiyo, lakini kwa kuwa katiba inaruhusu ulitoa mawazo yako, funguka kwa kauli ya MZEE WAKO.
      Nyahende Thomas likes this.

    16. #33
      asigwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2011
      Location : TANDHANIYA
      Posts : 4,388
      Rep Power : 1264
      Likes Received
      1207
      Likes Given
      1253

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      angalau na weye upate pa kujishikiza bwana..umesota sana mkuu

    17. #34
      sheiza's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 184
      Rep Power : 474
      Likes Received
      28
      Likes Given
      15

      Default

      Quote By Ukweli mtupu
      Si kunakiupindi niliskia akisema ni mkazi wa segerea, naalijindaa kugombea jimbo iwapo makongoro angeshindwa kesi
      hapo sasa..na alikuwa akimtetea makongoro kwamba ni mbunge wake..leo anasema mkazi wa kivukoni..kesho tutackia kawe mara kibaha..kweli huu ni upu..uzi wa ccm...

    18. #35
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,529
      Rep Power : 1471
      Likes Received
      876
      Likes Given
      520

      Default

      Quote By kanyi
      William Ana ban kutokana na zile thread zake za Nyerere
      Hao jumuia ya wazazi waliomchagua Willy naamini msimamo wao kuhusu Nyerere +ve jee wanafahamu msimamo wake na familia yake juu ya Nyerere?

    19. #36
      Malolella's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2012
      Posts : 309
      Rep Power : 429
      Likes Received
      80
      Likes Given
      7

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Huyu jamaa hanauwezo wa kuwa kiongozi. Tabia zake ni tofauti na nilivotegemea. Hebu pitia post zake kwenye fb ndo utajua huyu jamaa hamnakitu.

    20. #37
      Original's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th March 2012
      Posts : 324
      Rep Power : 425
      Likes Received
      66
      Likes Given
      265

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      William, watu tunapenda kujua ukweli kuhusu wewe. Kwako ni wapi kati ya Segerea na Kivukoni/kigamboni? Inanipa tabu kuwa na imani na wewe zaidi ya kukuona mbabaishaji na mganga njaa. Hutaki unafiki wakati wewe pia ni mnafiki?

      Watu wa Segerea watakuelewa vipi? Umeonesha wazi kwamba unatafuta uongozi kwa hali na mali, je unataka kulifanyia nini taifa ambacho baba yako alishindwa kufanya?

      Je hicho unachotaka kulifanyia taifa ulishawahi kumshauri ama kumwambia baba yako alifanyie taifa?

      Kwa ushauri wangu naona kaombe kazi mission to seaman pale kurasini ama endelea na blog yako ya the udakuz.

    21. #38
      Gang Chomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : hell
      Posts : 5,022
      Rep Power : 1720
      Likes Received
      962
      Likes Given
      0

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha! Ha!

    22. #39
      mooduke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Posts : 354
      Rep Power : 504
      Likes Received
      39
      Likes Given
      737

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      Time will tell labda kaka Willie ameona walipokosea wazee wetu kwa anashauku ya kujarekebisha makosa

    23. #40
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,531
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Pongezi Kwa WILLIAM MALECELA kwa Kuchaguliwa kuwa Mwakilishi wa Wazazi kata ya Kivukoni

      mbona kashukuru FB pekee na sio JF?
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    24. Miaka 50
    Page 2 of 4 FirstFirst 1234 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...