Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

    Report Post
    Page 1 of 6 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 103
    1. #1
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 531
      Rep Power : 10616
      Likes Received
      155
      Likes Given
      119

      Post Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Last edited by Ngalikivembu; 24th June 2012 at 16:22. Reason: Adding MP Lameck
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    2. Miaka 50

    3. #2
      KASHOROBANA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th July 2011
      Posts : 1,473
      Rep Power : 689
      Likes Received
      234
      Likes Given
      86

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      NIMEIPENDA SANA HII, ILA NAWAPA POLE WADANGANUYIKA WALODANGANYIKA NA KWENDA JUANI WAKAPANGA FOLENI NA KUTUCHAGULIA BALAA LISILOKUWA NA LOLOTE LA MSAADA KWA NCHI HII, MASIKINI POLENI MNAOWAKILISHWA NA HAWA VIBOGOYO WASOKUWA NA UWEZO WA KUCHANGIA LOLOTE, LABDA IQ NDOGO IS ONE OF THEIR PROBLEm
      Ngalikivembu likes this.

    4. #3
      Mngendalyasota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 138
      Rep Power : 450
      Likes Received
      40
      Likes Given
      0

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Umemsahau DEO SANGA (JAH PEOPLE) wa Njombe kaskazni
      Ngalikivembu likes this.

    5. #4
      tara's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 188
      Rep Power : 388
      Likes Received
      61
      Likes Given
      97

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Ingepitishwa sheria ,kama huchangii hupati posho.......SHIBUDA angeongoza kwa maswali na uchangiaji.
      mizambwa, Ngalikivembu and Tuvako like this.

    6. #5
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 485
      Rep Power : 670
      Likes Received
      111
      Likes Given
      64

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      chama cha upuuzi(ccm) 15 kati ya 19
      Ngalikivembu likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,338
      Rep Power : 12592
      Likes Received
      5863
      Likes Given
      775

      Default

      Quote By Ngalikivembu
      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19 SEIF IDDI ALI CCM 0 0 0

      Asanteni wakuu
      Mkuu ongeza na hii.

      20 Mwanamrisho Abama

      21 Raya Ibrahim

      22 Naomi Kaihula

      23 Christina Lissu

      24 Leticia Mageni

      25 Conjesta Leos

      26 Rose Kamili

      27 Highness Kiwia

      28 Israel Natse

      29 Mustafa Boay

      30 Prof Kulikoyela
      Last edited by Ritz; 24th June 2012 at 15:16.
      Sangarara likes this.

    9. #7
      blue arrow's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 407
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Nmeipenda sana hii bro ila umemsahau huyu wa karatu kwani yeye tokea achaguliwe cjawahi mwona akichangia,
      big up sana

    10. #8
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,410
      Rep Power : 713
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      chadema wawili tu kati ya wote hao, nao hao ni mashushushu wa ccm....sitaki kutaja la dini, kwasababu wakristo hapo wamekuwa wanne tu kati ya 19....kichekesho.
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    11. #9
      blue arrow's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 236
      Rep Power : 407
      Likes Received
      10
      Likes Given
      3

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      kama vp tuwaone tena kwenye hoja za wizara

    12. #10
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 531
      Rep Power : 10616
      Likes Received
      155
      Likes Given
      119

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ritz
      Mkuu ongeza na hii.

      20 Mwanamrisho Abama

      21 Raya Ibrahim



      22 Naomi Kaihula

      23 Christina Lissu

      24 Leticia Mageni

      25 Conjesta Leos

      26 Rose Kamili

      27 Highness Kiwia

      28 Israel Natse

      29 Mustafa Boay

      30 Prof Kulikoyela
      Sidhani kama wamefika kiwango nilichoonyesha hapa.Nimepitia wabunge 340 waliopo kwenye orodha ya wavuti hawa ndio wenye michango kiduchu achilia mbali mawaziri.Ningewaleta wale ungemwona Wasira hana swali bali michango michache sana. you are joking.Be serious man/woman
      FREDOMFIGHTER and mwagisa like this.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    13. #11
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 531
      Rep Power : 10616
      Likes Received
      155
      Likes Given
      119

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Hute
      chadema wawili tu kati ya wote hao, nao hao ni mashushushu wa ccm....sitaki kutaja la dini, kwasababu wakristo hapo wamekuwa wanne tu kati ya 19....kichekesho.
      Mimi si muumini sana wa udini wala ukabila.Rafiki yangu anakuwa yeyote yule ninayekubaliana naye kisera.Umeingiza udini ukizani nimewaonea?Sina hilo.
      Magongo likes this.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    14. #12
      Njoka Ereguu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 503
      Rep Power : 460
      Likes Received
      167
      Likes Given
      30

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Hawa ni wale waliopitishwa na ccm kwa ajili ya kupiga kura kupitisha sera za ukandamizaji na bajeti isiyo kidhi mahitaji.

    15. #13
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 531
      Rep Power : 10616
      Likes Received
      155
      Likes Given
      119

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By blue arrow
      Nmeipenda sana hii bro ila umemsahau huyu wa karatu kwani yeye tokea achaguliwe cjawahi mwona akichangia,
      big up sana
      Asante mkuu lakini amini niliowa list hapo ndio wako chini zaidi.Nimepita mwanzo mwisho.Wengi wana michango inayohesabika hasa kuuliza na nyongeza yake.Hawa hawana kitu sana sana michango isiyozidi kumi.
      Mchungaji Natse MP Karatu ameuliza maswali 4, maswali ya nyongeza 5, na michango 15
      Last edited by Ngalikivembu; 24th June 2012 at 15:49. Reason: Adding Mp Natse
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    16. #14
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,661
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Si mumeona niwalewale mabingwa wa kulalamika, wamepewa nafasi hawaitumii ipasavyo sa subiri wanyimwe ubunge utasikia ooooh si wakanda yao, ama oooh situliwaambia hawa ni wadini? oh! wanawaonea 2 coz si wenzao!
      Ngalikivembu likes this.

    17. #15
      msnajo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 665
      Rep Power : 556
      Likes Received
      75
      Likes Given
      92

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      we "ritz" ni dhaifu sana. Hii list haijatungwa, ipo kwenye wavuti ya bunge la JMT. We hiyo ya kwako uliyoongeza umeitoa wapi??? Tatizo la kushabikia CCM ndo hili, unakurupuka tu. Ndo maana mnaita "dhaifu" ni tusi!! Read btw line, upate kuelewa.
      Ngalikivembu likes this.

    18. #16
      mzalendo mtanganyika's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd June 2012
      Posts : 33
      Rep Power : 355
      Likes Received
      11
      Likes Given
      17

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      refer my signature,,ila shibuda anazngua
      reality is always discussed and given priority,,,however analyzing fact is a complicated phenomenon..........own ideas.

    19. #17
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,489
      Rep Power : 6171
      Likes Received
      3059
      Likes Given
      1020

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Hivi mkuu Narubongo yule mbunge wa Rorya Mh. Ayiro amewahi kunena ama kuandika chochote akiwa ndani ya Bunge lao Tukufu?
      TELO likes this.

    20. #18
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,533
      Rep Power : 1263
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      28

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      kuna wengine hawachangii bungeni lakini wanafanya kazi kwenye majimbo yao mfano lowasa..huyu yeye hapigi porojo bungeni kwa sababu ana ajenda zake zingine lakini ni mchapa kazi kwenye jimbo lake. Hamna haja ya kua unauliza maswali kila kukicha lakini hakuna maendeleo kwenye jimbo lako
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    21. #19
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 531
      Rep Power : 10616
      Likes Received
      155
      Likes Given
      119

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Kimbunga
      Hivi mkuu Narubongo yule mbunge wa Rorya Mh. Ayiro amewahi kunena ama kuandika chochote akiwa ndani ya Bunge lao Tukufu?
      Mkuu mchango wa Lameck Ayiro mbunge wa Rorya ni huu,ameuliza swali 1, swali la nyongeza 0, michango 2.
      Namwongeza kwenye listi mkuu umesema kweli.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    22. #20
      Ibra Mo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th October 2010
      Posts : 613
      Rep Power : 561
      Likes Received
      49
      Likes Given
      3

      Default

      Quote By mtotowamjini
      kuna wengine hawachangii bungeni lakini wanafanya kazi kwenye majimbo yao mfano lowasa..huyu yeye hapigi porojo bungeni kwa sababu ana ajenda zake zingine lakini ni mchapa kazi kwenye jimbo lake. Hamna haja ya kua unauliza maswali kila kukicha lakini hakuna maendeleo kwenye jimbo lako
      Inaonekana hujui kazi ya Mbunge ni nini na ndomana Mnahongwa tisheti na chumvi...Wananchi wa Monduli ni masikini wakutupwa huku wakikabiliwa na tatizo kubwa la maji afu hatumsikii mbunge wao akiwasemea matatizo yao Bungeni we unatuambia anafanya kazi jimboni,Wananchi wanalipa kodi serikalini ili hiyo kodi iwahudumie na sio kusubiri fadhila ya ela chafu za mbunge.

    Page 1 of 6 123 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...