Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
Wana JF heshima,
Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.
Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.
Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?
Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
Na
Jina la Mbunge
Chama
Maswali aliyouliza
Nyongeza ya Maswali
Michango aliyotoa
1
ABEID ALI BAHATI
CCM
0
0
5
2
ABDALLAH MARGARETH ANNA
CCM
0
0
8
3
AYOUB HASHIM JAKU
CCM
1
1
0
4
CHAMBIRI WEREMA KISYERI
CCM
0
0
4
5
HAMAD OTHMAN ASSA
CUF
0
0
7
6
HASSAN BUKHELI SHAWANA
CCM
0
0
3
7
ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE
CCM
0
0
8
8
KAPUYA ATHUMAN JUMA
CCM
0
0
1
9
KHAMIS ALI KHERI
CCM
0
0
0
10
KHATIB SEIF MUHAMMAD
CCM
0
0
0
11
KOMU MAULID VALERIANA
CHADEMA
0
0
1
12
EDWARD NGOYAI LOWASSA
CCM
0
0
1
13
SHIBUDA JOHN MAGALE
CHADEMA
0
0
8
14
ZAKIA MEGHJI
CCM
0
0
5
15
MUSSA HASSAN MUSSA
CCM
0
0
4
16
ABDULLA JUMA ABDULLA
CCM
0
0
4
17
SAID SULEMAN SAID
CUF
0
0
4
18
SAID KASSIM MWANAKHAMIS
CCM
0
0
0
19
20
SEIF IDDI ALI
LAMECK AYIRO
CCM
CCM
0
1
0
0
0
2
Asanteni wakuu
Last edited by Ngalikivembu; 24th June 2012 at 16:22.
Reason: Adding MP Lameck
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
Mleta mada hongera sana umefanya utafiti wa maana sana,ila hapa sijamwona mbunge wa ukonga ambapo barabara ni kama mahandaki na raia wake bado wanaipenda ccm.pia wanaofikiri ccm iendelee kuongoza waone hiyo list.
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
By TELO
Mkuu,
hapo pekundu (namba 20) utakuwa umekosea kuandika. Kwa kumbukumbu zilizo sahihi kabisa toka Jikoni Rorya, Mbunge wao hajawahi kuongea wala kuchangia isipokuwa mara 1 alimwomba mbunge wa Tarime amuulizie swali kwa niaba yake.
Mkuu taarifa kwa mujibu wa wavuti ni sahihi labda technician awe amempendelea tu.
AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
By Marire
Mleta mada hongera sana umefanya utafiti wa maana sana,ila hapa sijamwona mbunge wa ukonga ambapo barabara ni kama mahandaki na raia wake bado wanaipenda ccm.pia wanaofikiri ccm iendelee kuongoza waone hiyo list.
Mkuu huyo Mwaiposwa amejitahidi ana maswali 5, nyongeza 12, michango 15
AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
Nimeangalia haraka naona wengi ni wazanzibar na viti maalumu!!Jamani wenzenu wazenji wanavuta tu posho lakini Tanganyika yenu hawana mpango nayo.Utawaona wanatawala bunge kwenye siku Bajeti ya wizara ya mambo ya muungano inapozungumzwa.Kuhusu Viti maalumu sitaki hata kuwataja maana mpaka sasa sijui tofauti na kupiga vigeregere bungeni kazi yao nyingine ni ipi!!
Wana JF heshima,
Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.
Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.
Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?
Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
Na
Jina la Mbunge
Chama
Maswali aliyouliza
Nyongeza ya Maswali
Michango aliyotoa
1
ABEID ALI BAHATI
CCM
0
0
5
2
ABDALLAH MARGARETH ANNA
CCM
0
0
8
3
AYOUB HASHIM JAKU
CCM
1
1
0
4
CHAMBIRI WEREMA KISYERI
CCM
0
0
4
5
HAMAD OTHMAN ASSA
CUF
0
0
7
6
HASSAN BUKHELI SHAWANA
CCM
0
0
3
7
ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE
CCM
0
0
8
8
KAPUYA ATHUMAN JUMA
CCM
0
0
1
9
KHAMIS ALI KHERI
CCM
0
0
0
10
KHATIB SEIF MUHAMMAD
CCM
0
0
0
11
KOMU MAULID VALERIANA
CHADEMA
0
0
1
12
EDWARD NGOYAI LOWASSA
CCM
0
0
1
13
SHIBUDA JOHN MAGALE
CHADEMA
0
0
8
14
ZAKIA MEGHJI
CCM
0
0
5
15
MUSSA HASSAN MUSSA
CCM
0
0
4
16
ABDULLA JUMA ABDULLA
CCM
0
0
4
17
SAID SULEMAN SAID
CUF
0
0
4
18
SAID KASSIM MWANAKHAMIS
CCM
0
0
0
19
20
SEIF IDDI ALI
LAMECK AYIRO
CCM
CCM
0
1
0
0
0
2
Asanteni wakuu
hivi hakuna data za walioongoza kugonga meza na kuzomea? nadhani ndo hawa
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
By Ngalikivembu
Wana JF heshima,
Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.
Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.
Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?
Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
Na
Jina la Mbunge
Chama
Maswali aliyouliza
Nyongeza ya Maswali
Michango aliyotoa
1
ABEID ALI BAHATI
CCM
0
0
5
2
ABDALLAH MARGARETH ANNA
CCM
0
0
8
3
AYOUB HASHIM JAKU
CCM
1
1
0
4
CHAMBIRI WEREMA KISYERI
CCM
0
0
4
5
HAMAD OTHMAN ASSA
CUF
0
0
7
6
HASSAN BUKHELI SHAWANA
CCM
0
0
3
7
ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE
CCM
0
0
8
8
KAPUYA ATHUMAN JUMA
CCM
0
0
1
9
KHAMIS ALI KHERI
CCM
0
0
0
10
KHATIB SEIF MUHAMMAD
CCM
0
0
0
11
KOMU MAULID VALERIANA
CHADEMA
0
0
1
12
EDWARD NGOYAI LOWASSA
CCM
0
0
1
13
SHIBUDA JOHN MAGALE
CHADEMA
0
0
8
14
ZAKIA MEGHJI
CCM
0
0
5
15
MUSSA HASSAN MUSSA
CCM
0
0
4
16
ABDULLA JUMA ABDULLA
CCM
0
0
4
17
SAID SULEMAN SAID
CUF
0
0
4
18
SAID KASSIM MWANAKHAMIS
CCM
0
0
0
19
20
SEIF IDDI ALI
LAMECK AYIRO
CCM
CCM
0
1
0
0
0
2
Asanteni wakuu
Hongera kwa kazi nzuri mkuu.
wengi wa wabunge hao hawana uwezo wa kujenga hoja. wamefika hapo kwa sababu ya fedha zao. Mmoja ya wabunge walishinda kwa sababu ya fedha ni Chambiri Kisyeri werema mbunge wa Babati Vijijini; baada ya kukataliwa Tarime akagombea Babati(V) ambako alikuwa akifanya kazi ya kutengeneza babara za vijijini. Ninawashangaa sana watu wa Babati kumchagua kilaza ambaye si mkaazi wa Babati.
"Our party CCM, eventually became complacent, bureaucratic and corrupt. We had to change" Nyerere
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
By Kimbunga
Hivi mkuu Narubongo yule mbunge wa Rorya Mh. Ayiro amewahi kunena ama kuandika chochote akiwa ndani ya Bunge lao Tukufu?
Amekwishafanya makubwa kwa wanarorya na bado anaendelea kufanya miujiza jimboni ndio maana huwa haonekani sana bungeni, michango yake inaonekana kwa vitendo jimboni...Lameck si mtu wa maneno bungeni, yeye ni mtu wa vitendo Rorya. Ni rahisi zaidi kuyatatua matatizo ya Rorya ukiwa mwanza kuliko dodoma, Lameck ameliona hili
"Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)
Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii
Hao wa CHADEMA naomba kamanda Mbowe kama kiongozi wao wakiwa bungeni awasaidie watoke kwenye hili kundi.
"Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
"Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"
Mkuu Narubongo majibu kwamba aliomba auliziwe swali na jirani yake Nyangwine? Hajawahi kusikika Bungeni akinena neno hata moja mkuu. Huyo ndiye LaKairo. Nikiwa Mwanza huwa napenda kulala pale kwake na kula samaki wakubwa wakiwa kwenye sahani kubwa!
Follow Us Here