Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

    Report Post
    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 103
    1. #1
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 511
      Rep Power : 10612
      Likes Received
      152
      Likes Given
      117

      Post Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Last edited by Ngalikivembu; 24th June 2012 at 16:22. Reason: Adding MP Lameck
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    2. Miaka 50

    3. #41
      Marire's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st May 2012
      Posts : 2,236
      Rep Power : 961
      Likes Received
      605
      Likes Given
      0

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Mleta mada hongera sana umefanya utafiti wa maana sana,ila hapa sijamwona mbunge wa ukonga ambapo barabara ni kama mahandaki na raia wake bado wanaipenda ccm.pia wanaofikiri ccm iendelee kuongoza waone hiyo list.

    4. #42
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 511
      Rep Power : 10612
      Likes Received
      152
      Likes Given
      117

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By TELO
      Mkuu,
      hapo pekundu (namba 20) utakuwa umekosea kuandika. Kwa kumbukumbu zilizo sahihi kabisa toka Jikoni Rorya, Mbunge wao hajawahi kuongea wala kuchangia isipokuwa mara 1 alimwomba mbunge wa Tarime amuulizie swali kwa niaba yake.
      Mkuu taarifa kwa mujibu wa wavuti ni sahihi labda technician awe amempendelea tu.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    5. #43
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 511
      Rep Power : 10612
      Likes Received
      152
      Likes Given
      117

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Marire
      Mleta mada hongera sana umefanya utafiti wa maana sana,ila hapa sijamwona mbunge wa ukonga ambapo barabara ni kama mahandaki na raia wake bado wanaipenda ccm.pia wanaofikiri ccm iendelee kuongoza waone hiyo list.
      Mkuu huyo Mwaiposwa amejitahidi ana maswali 5, nyongeza 12, michango 15
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    6. #44
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 662
      Rep Power : 510
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Uswe
      Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
      Huyu badala ya kuchangia aliishambulia jamii forum!

    7. #45
      ITEGAMATWI's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th January 2012
      Posts : 1,672
      Rep Power : 0
      Likes Received
      423
      Likes Given
      828

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Nimeangalia haraka naona wengi ni wazanzibar na viti maalumu!!Jamani wenzenu wazenji wanavuta tu posho lakini Tanganyika yenu hawana mpango nayo.Utawaona wanatawala bunge kwenye siku Bajeti ya wizara ya mambo ya muungano inapozungumzwa.Kuhusu Viti maalumu sitaki hata kuwataja maana mpaka sasa sijui tofauti na kupiga vigeregere bungeni kazi yao nyingine ni ipi!!

    8. FemaTV & Radio

    9. #46
      mamayeyo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 128
      Rep Power : 385
      Likes Received
      21
      Likes Given
      63

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Uswe
      Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
      mbunge wa arumeru magharibi data zake zikoje?

    10. #47
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,871
      Rep Power : 30216
      Likes Received
      4696
      Likes Given
      3477

      Default

      Quote By Ngalikivembu
      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      hivi hakuna data za walioongoza kugonga meza na kuzomea? nadhani ndo hawa

    11. #48
      thereitis's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Location : Arusha
      Posts : 237
      Rep Power : 480
      Likes Received
      24
      Likes Given
      60

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ngalikivembu
      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Hongera kwa kazi nzuri mkuu.

      wengi wa wabunge hao hawana uwezo wa kujenga hoja. wamefika hapo kwa sababu ya fedha zao. Mmoja ya wabunge walishinda kwa sababu ya fedha ni Chambiri Kisyeri werema mbunge wa Babati Vijijini; baada ya kukataliwa Tarime akagombea Babati(V) ambako alikuwa akifanya kazi ya kutengeneza babara za vijijini. Ninawashangaa sana watu wa Babati kumchagua kilaza ambaye si mkaazi wa Babati.
      "Our party CCM, eventually became complacent, bureaucratic and corrupt. We had to change" Nyerere

    12. #49
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 811
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Kimbunga
      Hivi mkuu Narubongo yule mbunge wa Rorya Mh. Ayiro amewahi kunena ama kuandika chochote akiwa ndani ya Bunge lao Tukufu?
      Amekwishafanya makubwa kwa wanarorya na bado anaendelea kufanya miujiza jimboni ndio maana huwa haonekani sana bungeni, michango yake inaonekana kwa vitendo jimboni...Lameck si mtu wa maneno bungeni, yeye ni mtu wa vitendo Rorya. Ni rahisi zaidi kuyatatua matatizo ya Rorya ukiwa mwanza kuliko dodoma, Lameck ameliona hili
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    13. #50
      only83's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Dodoma-Mjengoni
      Posts : 4,157
      Rep Power : 1846
      Likes Received
      1431
      Likes Given
      1539

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Hao wa CHADEMA naomba kamanda Mbowe kama kiongozi wao wakiwa bungeni awasaidie watoke kwenye hili kundi.
      "Problems can not be solved by the same level of thinking that created them"
      "Matatizo hayawezi kutatuliwa na uwezo ule ule mdogo wa watawala wa CCM walioyasababisha"




    14. #51
      Precise pangolin's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 5,687
      Rep Power : 1913
      Likes Received
      1583
      Likes Given
      676

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Kuna mbunge wangu anaitwa Jerome Bwanahausi sijawahi kusikia ata akikohoa

    15. #52
      Ruppy karenston's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 396
      Rep Power : 482
      Likes Received
      69
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By blue arrow
      Nmeipenda sana hii bro ila umemsahau huyu wa karatu kwani yeye tokea achaguliwe cjawahi mwona akichangia,
      big up sana
      amechangia budget anaitwa cecilia, wewe sio mfuatiliaji mzuri wa vipindi vya bunge.

    16. #53
      Ruppy karenston's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2011
      Posts : 396
      Rep Power : 482
      Likes Received
      69
      Likes Given
      26

      Default

      Quote By kanyi
      Kuna mbunge wangu anaitwa Jerome Bwanahausi sijawahi kusikia ata akikohoa
      hahahaha hii kali.

    17. #54
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 511
      Rep Power : 10612
      Likes Received
      152
      Likes Given
      117

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Kwa maoni ya Narubongo ina maana hakuna maana ya kuhudhuria bungeni?Itoshe kusema kila mbunge akae huko huko jimboni kwake na wanachi wake.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    18. #55
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 511
      Rep Power : 10612
      Likes Received
      152
      Likes Given
      117

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By only83
      Hao wa CHADEMA naomba kamanda Mbowe kama kiongozi wao wakiwa bungeni awasaidie watoke kwenye hili kundi.
      Mkuu Zitto yupo hapa atafikisha labda kwa Mbowe.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    19. #56
      Ta Muganyizi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Location : Kashasha
      Posts : 2,758
      Rep Power : 987
      Likes Received
      951
      Likes Given
      1460

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Uswe
      Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
      Alichangia na kapendekeza JF ifungwe!!!
      "Wajumbe kifungu hiki kinaafikiwa........Ndiyooooooo ooooooooooooooooooooo, "Wabunge wa Tanzania!!! !hasa wa CCM

    20. #57
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 511
      Rep Power : 10612
      Likes Received
      152
      Likes Given
      117

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By mamayeyo
      mbunge wa arumeru magharibi data zake zikoje?
      Huyo ni waziri naye nilmwacha lakini kwa faida yako tu, huyo ni maswali 0,nyongeza 0, michango 19
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    21. #58
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      1017

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By RC.
      Mi mbunge wangu ni huyo NO.20,Hapa kazi ipo!
      Mkuu huyo jamaa hajui kuongea. Hata kwenye kampeni alikiwa akiishia kusem CCM oyeee anagawa pesa anasonga mbele.
      CCM na CDM vyote ni vyama vya siasa vinavyoongozwa na wanasiasa; tofauti yao kubwa ni moja kwamba kimoja kina dola kingine kinataka kushika dola.

    22. #59
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 811
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Kimbunga
      Mkuu huyo jamaa hajui kuongea. Hata kwenye kampeni alikiwa akiishia kusem CCM oyeee anagawa pesa anasonga mbele.
      Kimbunga majibu yapo hapo #49
      "Chadema kinatumia alama ya vidole viwili kama manati, manati kamwe haiwezi kuua tembo" Livingstone Lusinde (2012)

    23. #60
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      1017

      Default

      Quote By Narubongo
      Kimbunga majibu yapo hapo #49
      Mkuu Narubongo majibu kwamba aliomba auliziwe swali na jirani yake Nyangwine? Hajawahi kusikika Bungeni akinena neno hata moja mkuu. Huyo ndiye LaKairo. Nikiwa Mwanza huwa napenda kulala pale kwake na kula samaki wakubwa wakiwa kwenye sahani kubwa!

    Page 3 of 6 FirstFirst 12345 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...