Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

    Report Post
    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 103
    1. #1
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 623
      Rep Power : 10637
      Likes Received
      173
      Likes Given
      144

      Post Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Last edited by Ngalikivembu; 24th June 2012 at 16:22. Reason: Adding MP Lameck
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle


    2. #21
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 623
      Rep Power : 10637
      Likes Received
      173
      Likes Given
      144

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      By mtotowamjini kuna wengine hawachangii bungeni lakini wanafanya kazi kwenye majimbo yao mfano lowasa..huyu yeye hapigi porojo bungeni kwa sababu ana ajenda zake zingine lakini ni mchapa kazi kwenye jimbo lake. Hamna haja ya kua unauliza maswali kila kukicha lakini hakuna maendeleo kwenye jimbo lako
      By Ibra Mo

      Inaonekana hujui kazi ya Mbunge ni nini na ndomana Mnahongwa tisheti na chumvi...Wananchi wa Monduli ni masikini wakutupwa huku wakikabiliwa na tatizo kubwa la maji afu hatumsikii mbunge wao akiwasemea matatizo yao Bungeni we unatuambia anafanya kazi jimboni,Wananchi wanalipa kodi serikalini ili hiyo kodi iwahudumie na sio kusubiri fadhila ya ela chafu za mbunge.
      Tumkumbushe ya Rostam Aziz.Hakuwa anauliza swali na pia alikuwa anatamba jimboni kwake hakuna shida ni paradise ndogo.Ukweli ulijidhihirisha alipoachia usukani.Yote yakawa hadharani
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    3. #22
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,986
      Rep Power : 17996
      Likes Received
      1746
      Likes Given
      1768

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Mh mbona wa jimbo langu cijawahi kumuona au kucikia akichangia hata ciku moja..? Anaitwa Zuberi Mtemvu a.k.a Mlopelo wa Temeke.. Niliwahi kumuona 2 wakati wa mgogoro wa magufuli na wakazi wa kigamboni.. Hebu niangalizie na huyo..

    4. #23
      mtotowamjini's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd April 2012
      Location : None of Your Business
      Posts : 4,542
      Rep Power : 1269
      Likes Received
      1109
      Likes Given
      29

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ibra Mo
      Inaonekana hujui kazi ya Mbunge ni nini na ndomana Mnahongwa tisheti na chumvi...Wananchi wa Monduli ni masikini wakutupwa huku wakikabiliwa na tatizo kubwa la maji afu hatumsikii mbunge wao akiwasemea matatizo yao Bungeni we unatuambia anafanya kazi jimboni,Wananchi wanalipa kodi serikalini ili hiyo kodi iwahudumie na sio kusubiri fadhila ya ela chafu za mbunge.
      serikali ya sasa utaongea utalalamika mpaka kesho lakini hawatafanya chochote ndio maana wengine wameona hamna haja ya kulalamika. Hao wanaolalamika kila siku wameshasaidiwa kitu gani? na bajeti ya mwaka ndio kabisa tusahau kuhusu mipango ya maendeleo kwa sababu hakuna hela
      Every saint has a past, every sinner has a future' ...Oscar Wilde

      One man's good fortune is another man's misfortune


    5. #24
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,775
      Rep Power : 19847
      Likes Received
      4407
      Likes Given
      1697

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Shibuda ni ccm bhana

    6. #25
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,547
      Rep Power : 1604
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Hute
      chadema wawili tu kati ya wote hao, nao hao ni mashushushu wa ccm....sitaki kutaja la dini, kwasababu wakristo hapo wamekuwa wanne tu kati ya 19....kichekesho.
      acha udini wewe! Upuuzi huo.


    7. #26
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 623
      Rep Power : 10637
      Likes Received
      173
      Likes Given
      144

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By sosoliso
      Mh mbona wa jimbo langu cijawahi kumuona au kucikia akichangia hata ciku moja..? Anaitwa Zuberi Mtemvu a.k.a Mlopelo wa Temeke.. Niliwahi kumuona 2 wakati wa mgogoro wa magufuli na wakazi wa kigamboni.. Hebu niangalizie na huyo..
      Kajitahidi huyo ana maswali 4,nyongeza 4,michango 6.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    8. #27
      sanjo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th October 2010
      Posts : 861
      Rep Power : 610
      Likes Received
      219
      Likes Given
      33

      Default

      Quote By Ritz
      Mkuu ongeza na hii.

      20 Mwanamrisho Abama

      21 Raya Ibrahim

      22 Naomi Kaihula

      23 Christina Lissu

      24 Leticia Mageni

      25 Conjesta Leos

      26 Rose Kamili

      27 Highness Kiwia

      28 Israel Natse

      29 Mustafa Boay

      30 Prof Kulikoyela
      Hongera kwa kuaminishwa CCM kama dogma (bila kuuliza swali au logic). Kuna wakati unatakiwa kukataa mambo ya CCM hata kama ni mwanzilishi wake. Kwa nini utetea mbunge ambaye hana mchango kwa wapiga kura wake na nchi yake?

    9. #28
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,181
      Rep Power : 667
      Likes Received
      625
      Likes Given
      1607

      Default

      Quote By tara
      Ingepitishwa sheria ,kama huchangii hupati posho.......SHIBUDA angeongoza kwa maswali na uchangiaji.
      Ha ha ha..bingwa wa kutafuta attention bunge zima

    10. #29
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,669
      Rep Power : 3652
      Likes Received
      3204
      Likes Given
      473

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ngalikivembu
      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Tatizo la hii Ripoti yako ni kuwa Umekopi toka kwa takwimu za Serikali ambazo si za Ukweli hata kidogo

      Kuna Wabunge 20 ambao umewakosa hawajachangia hata kidogo

      Nakupa Mfano wa Mmoja na Undelee kuwatafuta waliobaki 19
      Mohamed Dewji CCM Singida Mjini

    11. #30
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,788
      Rep Power : 799
      Likes Received
      442
      Likes Given
      437

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Getrude Lwakatare amewahi kuchangia kitu chochote?
      Ta Muganyizi likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    12. RC.
      #31
      RC.'s Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2012
      Posts : 362
      Rep Power : 428
      Likes Received
      30
      Likes Given
      16

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ngalikivembu
      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 0 0 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 0 0 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1 0
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 0 0 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 0 0 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 0 0 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 0 0 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 0 0 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM 0 0 0
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM 0 0 0
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 0 0 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 0 0 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 0 0 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 0 0 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 0 0 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 0 0 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 0 0 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM 0 0 0
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Mi mbunge wangu ni huyo NO.20,Hapa kazi ipo!

    13. #32
      Songoro's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th May 2009
      Posts : 2,394
      Rep Power : 0
      Likes Received
      541
      Likes Given
      24

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Wengine ni mbunge wa Karatu,ukerewe na Wa Viti maalum Mama Kaihula (mamake Craz Gk) wote kutoka Chadema!

    14. #33
      Godwinnko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2012
      Location : Moshi
      Posts : 510
      Rep Power : 679
      Likes Received
      127
      Likes Given
      64

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      mkuu naomba uanishe thread nyingine inayoonesha wanaongoza kwa mchango/maswali bungeni.
      Ngalikivembu likes this.

    15. #34
      Prisoner 46664's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 1,181
      Rep Power : 667
      Likes Received
      625
      Likes Given
      1607

      Default

      Quote By Hute
      chadema wawili tu kati ya wote hao, nao hao ni mashushushu wa ccm....sitaki kutaja la dini, kwasababu wakristo hapo wamekuwa wanne tu kati ya 19....kichekesho.
      Ninapokuwa kwenye matatizo sana,mambo yanapoenda vibaya,pale ninapokumbuka ku'count my blessings' huwa namshukuru Mungu pia kwa kutonipa akili kama ya kwako...

    16. #35
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,132
      Rep Power : 0
      Likes Received
      539
      Likes Given
      277

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ngalikivembu
      Mimi si muumini sana wa udini wala ukabila.Rafiki yangu anakuwa yeyote yule ninayekubaliana naye kisera.Umeingiza udini ukizani nimewaonea?Sina hilo.
      Huyo jamaa na yeye hana nia mbaya... yaani ni aina nyingine na sahihi ya interpretation ya data ulizopost. Kama watu hata kuelezea matatizo yao wanashindwa, unategemea nani awazungumzie?

    17. #36
      nyandaojiloleli's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Posts : 199
      Rep Power : 429
      Likes Received
      13
      Likes Given
      35

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      hao kazi yao kusema ndiyooooooooooooo!!!!!!!!!!!!! !!!!!!
      Ngalikivembu likes this.

    18. #37
      sosoliso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th May 2009
      Location : Mwembekiuno
      Posts : 2,986
      Rep Power : 17996
      Likes Received
      1746
      Likes Given
      1768

      Default

      Quote By Ngalikivembu
      Kajitahidi huyo ana maswali 4,nyongeza 4,michango 6.
      Duh.. Na kweli kajitahidi.. Maana anavyopenda kulala bungeni..

    19. #38
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,019
      Rep Power : 905
      Likes Received
      81
      Likes Given
      41

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Kimbunga
      Hivi mkuu Narubongo yule mbunge wa Rorya Mh. Ayiro amewahi kunena ama kuandika chochote akiwa ndani ya Bunge lao Tukufu?
      Kimbunga,
      Umeniwahi ndugu yangu. Mimi na watu wengi sana, kwani juzi tu nilikuwa napitia forum moja na nikakuta watu wa Rorya wanasema mbunge wao toka aingie bungeni hajawahi kuongea bali kuna swali 1 tu ambalo liliulizwa kwa niaba yake na mbunge Nyambari wa Tarime kuhusu usalama wa wilaya ya Rorya na mpaka wa Kenya. Sasa cha ajabu namwona Lameck Airo kwamba ameuliza maswali na kuchangia.

    20. #39
      JATELO1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2011
      Posts : 1,019
      Rep Power : 905
      Likes Received
      81
      Likes Given
      41

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By Ngalikivembu
      Wana JF heshima,
      Nimejaribu kupitia wavuti ya bunge letu kutaka kujua mambo kadhaa yanayoendelea bungeni.Lakini nikakutana na profile ya wabunge ambao tangu wachaguliwe bungeni hawajawahi kuuliza swali,wala hata swali la nyongeza na pia hata kutoa michango.Baadhi yao katika hao wameishia kutoa michango kidogo tu.

      Nimeamua kuwaletea wabunge hawa muone wenyewe. Katika orodha hii nimewa exclude mawaziri ambao wengi wao na niseme karibia wote hawajachangia.

      Kama unayemwona kwenye listi ni mbunge wako una maoni gani kwake?

      Wabunge wanaoongoza kukaa kimya bungeni toka 2010 walipochaguliwa
      Na Jina la Mbunge Chama Maswali aliyouliza Nyongeza ya Maswali Michango aliyotoa
      1 ABEID ALI BAHATI CCM 5
      2 ABDALLAH MARGARETH ANNA CCM 8
      3 AYOUB HASHIM JAKU CCM 1 1
      4 CHAMBIRI WEREMA KISYERI CCM 4
      5 HAMAD OTHMAN ASSA CUF 7
      6 HASSAN BUKHELI SHAWANA CCM 3
      7 ISHENGOMA GABRIEL CHRISTINE CCM 8
      8 KAPUYA ATHUMAN JUMA CCM 1
      9 KHAMIS ALI KHERI CCM
      10 KHATIB SEIF MUHAMMAD CCM
      11 KOMU MAULID VALERIANA CHADEMA 1
      12 EDWARD NGOYAI LOWASSA CCM 1
      13 SHIBUDA JOHN MAGALE CHADEMA 8
      14 ZAKIA MEGHJI CCM 5
      15 MUSSA HASSAN MUSSA CCM 4
      16 ABDULLA JUMA ABDULLA CCM 4
      17 SAID SULEMAN SAID CUF 4
      18 SAID KASSIM MWANAKHAMIS CCM
      19
      20
      SEIF IDDI ALI
      LAMECK AYIRO
      CCM
      CCM
      0
      1
      0
      0
      0
      2


      Asanteni wakuu
      Mkuu,
      hapo pekundu (namba 20) utakuwa umekosea kuandika. Kwa kumbukumbu zilizo sahihi kabisa toka Jikoni Rorya, Mbunge wao hajawahi kuongea wala kuchangia isipokuwa mara 1 alimwomba mbunge wa Tarime amuulizie swali kwa niaba yake.

    21. #40
      Ngalikivembu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Location : Geostationary Earth Orbit
      Posts : 623
      Rep Power : 10637
      Likes Received
      173
      Likes Given
      144

      Default Re: Wabunge hawa wanaongoza kukaa kimya bungeni tangu walipochaguliwa 2010,ona listi hii

      Quote By nngu007
      Tatizo la hii Ripoti yako ni kuwa Umekopi toka kwa takwimu za Serikali ambazo si za Ukweli hata kidogo

      Kuna Wabunge 20 ambao umewakosa hawajachangia hata kidogo

      Nakupa Mfano wa Mmoja na Undelee kuwatafuta waliobaki 19
      Mohamed Dewji CCM Singida Mjini
      Mkuu lazima kwanza uamini kile kilichoandikwa kwenye wavuti rasmi ya bunge.Huyo Mo unayemtaja ana haya, maswali 6, nyongeza 1, michango 0. Huwezi kumlinganisha Mohamed Seif Khatibu ambaye hana kitu.
      AN EMPTY STOMACH IS NOT A GOOD ADVISER. Albert Einstein
      POVERTY IS THE PARENT OF REVOLUTION AND CRIME. Aristotle

    Page 2 of 6 FirstFirst 1234 ... LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...