Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 49
    1. #1
      MpiganiaUhuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 26
      Rep Power : 366
      Likes Received
      15
      Likes Given
      7

      Default Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Asalaam Wana-JF,

      Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!

      Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).

      NB:
      Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".

      Thanks!
      Attached Files

    2. Miaka 50

    3. #2
      Goodrich's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2012
      Posts : 610
      Rep Power : 622
      Likes Received
      217
      Likes Given
      29

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Therefore ?
      ... our Conflict has never been about the establishment of a Palestinian state, it's always been about the existence of the Jewish state. - Benjamin Netanyahu.

    4. #3
      Kibanga Ampiga Mkoloni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th August 2007
      Location : Here! here!
      Posts : 4,800
      Rep Power : 1636
      Likes Received
      1195
      Likes Given
      1702

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Tanzania Government Salary Scales for Teachers, Health
      Sector and Other sectors as of 2011/2012

      TGHS B1 - 472,000/=
      TGHS C1 - 682,000/= Health Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGHS D1 - 792,200/=

      TGTS B1 - 244,400/=
      TGTS C1 - 325,700/= Education Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGTS D1 - 469,200/=

      TGS B1 - 221,600/=
      TGS C1 - 309,800/= Other sectors, incl. Agriculture & Livestock
      TGS D1 - 446,100/= (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      msafi and DULLAH B. like this.
      For the Holy Quran says in Sura 42, verse 41: 'All those who fight when oppressed incur no guilt, but Allah shall punish the oppressor, Come the day.

    5. #4
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,259
      Rep Power : 1543
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      what for?

    6. #5
      Mahesabu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2008
      Location : manzese
      Posts : 3,036
      Rep Power : 1319
      Likes Received
      218
      Likes Given
      687

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      elimu na kilimo ndo mishahara midogo zaidi


    7. #6
      Dumelang's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2011
      Location : Dar es salaam
      Posts : 312
      Rep Power : 456
      Likes Received
      179
      Likes Given
      144

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Angalia afya Certificate V/S Elimu Degree
      Never say more than is necessary.

    8. #7
      Teacher1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th January 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 444
      Likes Received
      26
      Likes Given
      11

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Tunashukuru kwa kuleta ukweli huu maana yule aliyeleta zile taarifa za mwanzo alidanganya kupita kiasi

    9. #8
      ofisa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th May 2011
      Posts : 127
      Rep Power : 431
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      sio vizuri kuonyesha mshahara wa baba yangu any way mbona hela zenyewe ndogo kuliko tunavyotumia

    10. #9
      georgeallen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd June 2011
      Location : Seattle, WA, USA
      Posts : 2,056
      Rep Power : 0
      Likes Received
      516
      Likes Given
      260

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Hapa ndio umechefua kabisa mkuu ona: mtu mwenye certificate ya health (ambaye ni Form 4 tu) anapata mshahara mkubwa(i.e 472,000/=) kuliko mtu mwenye degree ya kilimo/livestock au mwalimu, (ambaye anaweza kuwa ni Form six/Diploma holder plus 3 or 4 years of Bsc/BA) anayepata 446,100/ and 469,200/=, respectively. Tatizo langu au letu? ni kwamba kwa nini watu wawili waliograduate mwaka mmoja na Qualifications sawa , say MA Finance, Mmoja akaajiriwa TRA na Mwingine TANESCO wanalipwa mishahara tofauti?
      DULLAH B. likes this.

    11. #10
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 675
      Rep Power : 583
      Likes Received
      245
      Likes Given
      75

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      ukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???

    12. #11
      nkyalomkonza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2012
      Posts : 675
      Rep Power : 583
      Likes Received
      245
      Likes Given
      75

      Default

      Quote By georgeallen
      Hapa ndio umechefua kabisa mkuu ona: mtu mwenye certificate ya health (ambaye ni Form 4 tu) anapata mshahara mkubwa(i.e 472,000/=) kuliko mtu mwenye degree ya kilimo/livestock au mwalimu, (ambaye anaweza kuwa ni Form six/Diploma holder plus 3 or 4 years of Bsc/BA) anayepata 446,100/ and 469,200/=, respectively. Tatizo langu au letu? ni kwamba kwa nini watu wawili waliograduate mwaka mmoja na Qualifications sawa , say MA Finance, Mmoja akaajiriwa TRA na Mwingine TANESCO wanalipwa mishahara tofauti?
      Mkuu hapo umeongea jambo la msingi. Kwa nini mishahara ya serikali hata kwa kada moja haifanani?

    13. #12
      MALUNGU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2011
      Posts : 216
      Rep Power : 447
      Likes Received
      66
      Likes Given
      219

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      tofauti hizi zitapeleka nchi pabaya jamani

    14. #13
      Mshawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th September 2011
      Location : Here
      Posts : 274
      Rep Power : 444
      Likes Received
      39
      Likes Given
      50

      Default

      Quote By Mahesabu
      elimu na kilimo ndo mishahara midogo zaidi
      Sasa linganisha na unyeti wa kazi, nani atakayekua daktari either wa binadamu au mifugo ikiwa hajafunzwa vizuri na mwalimu? wote wanategemeana, serikali inataka kutugawa jambo ambalo litaleta tabu baadae. haki itendeke...

    15. #14
      samilakadunda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 801
      Rep Power : 545
      Likes Received
      102
      Likes Given
      13

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Tumesha choka na maisha haya!

    16. #15
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 429
      Likes Received
      56
      Likes Given
      161

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Vp mishahara ya sector zingine kama engineering and technology, law, humanities e.t.c

    17. #16
      Mutta's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Posts : 103
      Rep Power : 434
      Likes Received
      10
      Likes Given
      2

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Ndio maana WALIMU wanadharauriwa sana kuonekana wao ndo maskini na kazi mbaya/mbovu kwa sababu ya Mshahara mdogo.Inakuwaje wote msome degree ,miaka 3 taaluma tofauti baada ya mwaka wewe MWALIMU ni maskini wenzako wanaendesha magari?MWALIMU anaweza kujenga nyumba miaka 15 ,wakati Mwenye Accounts TRA anajenga nyumba kwa mwaka 1? HUU NI UJINGA WALIMU AMKENI USINGIZINI.
      DULLAH B. likes this.

    18. #17
      dada jane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 507
      Rep Power : 478
      Likes Received
      94
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Kinachonishangaza mimi ni kuwa mwl amemfundisha mpk rais lkn anadharulika. Tanzania bwana yote yanawezekana.

    19. #18
      salosalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2012
      Location : Arusha
      Posts : 528
      Rep Power : 538
      Likes Received
      133
      Likes Given
      36

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By MpiganiaUhuru
      Asalaam Wana-JF,

      Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!

      Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).

      NB:
      Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".

      Thanks!
      Mimi sikubaliani na wewe kabisaa. umesahau kuwa uwe kwenye shirika la umma, taasisi yoyote ya serikali, serikali za mitaa au serikali kuu na kada nyingine yoyote ya serikali, wote mnalipwa kwa kutumia fedha za umma ambazo asilimia kubwa hutokana na kodi za wananchi. TOFAUTI ZA MISHAHARA KWA KAZI ILEILE, KIWANGO KILEKILE CHA ELIMU NA UZOEFU ULEULE NI KIKUBWA MNO HASA UKILINGANISHA NA MISHAHARA YA MASHIRIKA YA UMMA. tofauti zapaswa kuwepo lakini sio kwa kiwango kikubwa namna hiyo tena kuwe na vigezo maalumu vinavyotumika kufikia tofauti hizo. hay sasa mwangalie Dactari wa degree akiajiriwa na TBS uone mshahara atakao anza nao. kweli sungura ni mdogo ila hatugawani sawa
      Last edited by salosalo; 24th June 2012 at 03:36.

    20. #19
      msafi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 141
      Rep Power : 439
      Likes Received
      30
      Likes Given
      15

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By salosalo
      Mimi sikubaliani na wewe kabisaa. umesahau kuwa uwe kwenye shirika la umma, taasisi yoyote ya serikali, serikali za mitaa au serikali kuu na kada nyingine yoyote ya serikali, wote mnalipwa kwa kutumia fedha za umma ambazo asilimia kubwa hutokana na kodi za wananchi. TOFAUTI ZA MISHAHARA KWA KAZI ILEILE, KIWANGO KILEKILE CHA ELIMU NA UZOEFU ULEULE NI KIKUBWA MNO HASA UKILINGANISHA NA MISHAHARA YA MASHIRIKA YA UMMA. tofauti zapaswa kuwepo lakini sio kwa kiwango kikubwa namna hiyo tena kuwe na vigezo maalumu vinavyotumika kufikia tofauti hizo. hay sasa mwangalie Dactari wa degree akiajiriwa na TBS uone mshahara atakao anza nao. kweli sungura ni mdogo ila hatugawani sawa
      Ni kweli kabisa na huo ndio udhaifu wa serikali yetu maana hakuna mantiki kabisa ya mishahara ya watumishi wenye sifa zinazofanana kupata mishahara tofauti ati kwa sababu huyu yupo sekta ya umma na huyu yupo taasisi, lakini wote pesa zinatoka hazina.
      Kama serikali ingekubali kufuta posho zote na kuwekwa kweye mishahara kama baadhi ya mashirika yanavyofanya, uwajibikaji ungeongezeka, tofauti na sasa maana moja ya tatu ya pesa nyingi zinakwenda kwenye posho, wna wanazozipata hizo posho ni wenye madaraka makubwa.

    21. #20
      msafi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 141
      Rep Power : 439
      Likes Received
      30
      Likes Given
      15

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Kwa upande wa sector ya afya, salary scale hizi hasa kwa degree ni kwa nursing, pharmacy, haematology na shahada nyingine za miaka minne. Kwa dakatari anayeanza kazi scale yake ni TGHS E1 ambayo ni laki tisa ushee kama sijakosea, hivyo mtoa mada scale ya daktari hapo haipo,
      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni
      Tanzania Government Salary Scales for Teachers, Health
      Sector and Other sectors as of 2011/2012

      TGHS B1 - 472,000/=
      TGHS C1 - 682,000/= Health Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGHS D1 - 792,200/=

      TGTS B1 - 244,400/=
      TGTS C1 - 325,700/= Education Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGTS D1 - 469,200/=

      TGS B1 - 221,600/=
      TGS C1 - 309,800/= Other sectors, incl. Agriculture & Livestock
      TGS D1 - 446,100/= (Certificate, Diploma & Degree consecutively)

    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...