Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 49
    1. #1
      MpiganiaUhuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 370
      Likes Received
      17
      Likes Given
      7

      Default Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Asalaam Wana-JF,

      Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!

      Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).

      NB:
      Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".

      Thanks!


    2. #21
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,751
      Rep Power : 3269
      Likes Received
      993
      Likes Given
      786

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By nkyalomkonza View Post
      ukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???
      Hili ndilo la kujadaili
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    3. #22
      The Priest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2010
      Location : Kimanzichana
      Posts : 989
      Rep Power : 629
      Likes Received
      187
      Likes Given
      155

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Huu ni upu.mba.vu..

    4. #23
      neyro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2011
      Location : utulivuni
      Posts : 108
      Rep Power : 433
      Likes Received
      18
      Likes Given
      24

      Default

      Quote By Bufa View Post
      Vp mishahara ya sector zingine kama engineering and technology, law, humanities e.t.c
      kuna kazi inaitwa humanities kweli...!?

    5. #24
      King'asti's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th November 2009
      Location : The Jungle
      Posts : 17,850
      Rep Power : 29102
      Likes Received
      12265
      Likes Given
      4931

      Default

      Ujanjaujanja unahusika kwa karibu. Formulae ni simple 'they pretend to pay you, you pretend to work'

      Madaktari oyeeeh!
      Quote By nkyalomkonza View Post
      ukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???

    6. #25
      Mbimbinho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2009
      Posts : 1,850
      Rep Power : 873
      Likes Received
      476
      Likes Given
      213

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni View Post
      Tanzania Government Salary Scales for Teachers, Health
      Sector and Other sectors as of 2011/2012

      TGHS B1 - 472,000/=
      TGHS C1 - 682,000/= Health Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGHS D1 - 792,200/=

      TGTS B1 - 244,400/=
      TGTS C1 - 325,700/= Education Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGTS D1 - 469,200/=

      TGS B1 - 221,600/=
      TGS C1 - 309,800/= Other sectors, incl. Agriculture & Livestock
      TGS D1 - 446,100/= (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      Kila siku hi hawa hawa tuuu, vipi kuhusu sectors nyingine kama Engineering?
      Mbwa ukimjua jina wala hakupi shida....


    7. #26
      watu8's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2010
      Location : Juu ya Tukutuku
      Posts : 16,593
      Rep Power : 31595
      Likes Received
      8394
      Likes Given
      8760

      Default

      Quote By nkyalomkonza View Post
      ukweli ni kwamba mishahara serikalini imepitwa na wakati. Laki tatu unaishije hapa mjini???
      na hiyo ndio sababu itafanya rushwa iendelee...mshahara kiduchu na wakati huo huo gharama za maisha zinapanda

    8. #27
      Sir oby's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th January 2012
      Posts : 134
      Rep Power : 400
      Likes Received
      8
      Likes Given
      5

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      hapa utaona wahasibu, maafisa maendeleo/ustawi, watu wa ardhi, engeners, HRO n.k hawajatajwa cjajua nao hal ikoje.

    9. #28
      Mkirua's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 3,552
      Rep Power : 1065
      Likes Received
      1287
      Likes Given
      619

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By MpiganiaUhuru View Post
      Asalaam Wana-JF,

      Nikiwa kama Mtumishi Serikalini na ambaye ninahusika na masuala ya Mishahara ya Watumishi, nimesikitishwa na namna ambavyo baadhi ya wadau wanavyojaribu kupotosha umma kuhusu mlinganyo wa mishahara ki-sekta!

      Hivyo nachukua fursa hii kuleta ukweli kuhusu tofauti ya viwango hivyo ki-sekta/ki-kada. Angalieni kiambatanisho mtaona summary niliyoiandaa ambayo inatoa picha halisi kuhusu viwango hivyo! Viwango hivi ni kwa watumishi wanaoanza kazi (vyeo vya kuanzia).

      NB:
      Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".

      Thanks!


      Umenifanya nitabasamu....Mhuri ndio confidential au content?? weka doc yote ndio naweza kuiamini then tuingie kwenye mjadala.
      Nyunyu likes this.
      The world suffers a lot. Not because of the violence of bad people, but because of the silence of good people!

    10. #29
      Mtali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2011
      Posts : 446
      Rep Power : 487
      Likes Received
      78
      Likes Given
      74

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Kweli jamaa yangu unanifurahisha sana. Katika awamu hii ya ****** bado kuna confidential? Katika kipindi ambacho siri nyingi zimvuja ni cha ****** sasa una shaka gani? Vasco Da Gama yeye hana siri kabisa. Kama ishu ni mhuri you can hide it and scan the document. Nina mashaka na na huhyu jamaa ni mamluki amekuja kupotosha ukweli. Ili tuamini upload hizo document ukiwa umefuta mihuri. La sivyo huaminiki.
      Nyunyu likes this.

    11. #30
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 432
      Likes Received
      56
      Likes Given
      162

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Kuna kazi inaitwa law? au education? hapa tunaongelea kazi zinazoangukia katika mikondo hiyo mkuu.

    12. #31
      TUMBIRI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2011
      Posts : 1,876
      Rep Power : 3641
      Likes Received
      1150
      Likes Given
      288

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By MpiganiaUhuru View Post
      NB:
      Sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".

      Thanks!
      Mkuu MpiganiaUhuru,
      Hata Documents za EPA na nyaraka alizokuwa anatumia Dk Slaa Bungeni zilikuwa na Mihuri ya Confidential tena ya mihuri ya moto na wino mzito lakini ililetwa hapa JF. Kwa hiyo usiogope kitu. Siku hizi hakuna Confidential Documents!

      MpiganiaUhuru likes this.
      Hadha Min Fadhil Rhabi - Hizi ni Rehema za Mwenyezi Mungu

    13. #32
      jackson kanene's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th January 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 390
      Likes Received
      19
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Mnapo ongea kuhusu hiri kumbukeni kuna kodi hapo hivyo take home itakuwa pungufu' ukitoka kukatwa kodi kwenye mshahara unakuta tena kodi kwenye vifaa vya madukani na vyakula'hapo hujalipia kodi ya pango la kuishi kumbukeni na mfumuko huu wa bei,sisi wafanyakazi hata kumiliki gari ni ndoto labda uwe mwizi' tunatembea na viraka hadi matakoni nani atakaye tusaidia?.
      MpiganiaUhuru likes this.

    14. #33
      mullay's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 80
      Rep Power : 379
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By King'asti View Post
      Ujanjaujanja unahusika kwa karibu. Formulae ni simple 'they pretend to pay you, you pretend to work'

      Madaktari oyeeeh!
      Sawa kabisa, you pretend to work huku unafanya ishu zako nyingine.
      MpiganiaUhuru likes this.

    15. #34
      mtufulani's Avatar
      Member Array
      Join Date : 26th November 2011
      Posts : 42
      Rep Power : 390
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      udogo wa mishahara ya kada nyingine usitumike kupuuza madai ya msingi ya watu wa AFYA.kilio chao sio udogo wa mishahara ya kada nyingine, wameongelea yao. Katika madai yao hawajasema mishahara ya walimu au maafisa ugani ni mikubwa. Wanachodai hela wanayolipwa haiwatoshi/hailingani na kazi pamoja na hatari wanazokutana nazo.hizo taaluma nyingine nao kama wanaona wanalipwa kiduchu watoe madai yao.ila sio sawa kabisa kusema degree ualimu wanalipwa hivi na diploma afya wanalipwa vile, kwa hiyo sio haki kwao kudai nyongeza.kuna ukweli mmoja ambao najua wengi hawatopenda kuubali.WATU WENGI KAMA SIO WOTE WANAOSOMA AU WALIOSOMEA KADA ZA AFYA WALIPENDA/NI NDOTO ZAO KUSOMA TAAALUMA HIZO TANGU WAKIWA WATOTO,SIO LAST OPTION,HAWAENDI HUKO KWA KUKOSA MBADALA,KITU AMBACHO NI TOFAUTI KABISA NA UALIMU NYAKATI HIZI,WATU WANASOMA KWA SABABU HAWANA JINSI,NDIO YENYE QUALIFICATION CRITERIA ZA CHINI,hawana mpango na taalum hiyo,kwa hiyo hata mapambano ya kuboreshewa hali zao wanayafanya kwa usanii,ili madocto wanafanya kweli.

    16. #35
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 3,262
      Rep Power : 1029
      Likes Received
      431
      Likes Given
      180

      Default

      Quote By Teacher1 View Post
      Tunashukuru kwa kuleta ukweli huu maana yule aliyeleta zile taarifa za mwanzo alidanganya kupita kiasi
      Kwakuwa alidanganya alishindwa hata kurejea na kujibu hoja.

    17. #36
      Cynic's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : Around
      Posts : 2,172
      Rep Power : 975
      Likes Received
      318
      Likes Given
      187

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By Kibanga Ampiga MKoloni View Post
      Tanzania Government Salary Scales for Teachers, Health
      Sector and Other sectors as of 2011/2012

      TGHS B1 - 472,000/=
      TGHS C1 - 682,000/= Health Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGHS D1 - 792,200/=

      TGTS B1 - 244,400/=
      TGTS C1 - 325,700/= Education Sector (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      TGTS D1 - 469,200/=

      TGS B1 - 221,600/=
      TGS C1 - 309,800/= Other sectors, incl. Agriculture & Livestock
      TGS D1 - 446,100/= (Certificate, Diploma & Degree consecutively)
      Duh .. sijukua. hawa wa Tshs 221,600 gawa kwa siku 30 gawa kwa dola rate (Tsh 1600) = $ 4.6 per day (just over global poverty line)!

    18. #37
      Kennedy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th December 2011
      Location : Everywhere
      Posts : 3,262
      Rep Power : 1029
      Likes Received
      431
      Likes Given
      180

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Nchi ya ujanjaunja viongozi nao wajanjawajanja,unadhani kuna maendeleo. Ni km wimbo wa DEFAO Birika ya chai ya maziwa ya moto najenga mwili,kikwembe moja kushona kushone nerea......Takula nini.....

    19. #38
      MpiganiaUhuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 370
      Likes Received
      17
      Likes Given
      7

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By msafi View Post
      Kwa upande wa sector ya afya, salary scale hizi hasa kwa degree ni kwa nursing, pharmacy, haematology na shahada nyingine za miaka minne. Kwa dakatari anayeanza kazi scale yake ni TGHS E1 ambayo ni laki tisa ushee kama sijakosea, hivyo mtoa mada scale ya daktari hapo haipo,
      You are right!

    20. #39
      MpiganiaUhuru's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 30
      Rep Power : 370
      Likes Received
      17
      Likes Given
      7

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By Goodrich View Post
      Therefore ?
      Naomba ieleweke kuwa madhumuni yangu kuweka hii taarifa hadharani ni mawili:
      1. Kuondoa upotoshaji juu ya tofauti za mishahara ki-sekta (kwamba Kilimo/Mifugo wanaongoza kwa mishahara mikubwa, wakati ndio wanashika mkia)
      2. Kuonyesha hali halisi ya mishara ya watumishi wa Umma ili mjue ni kwa nini watumishi hao hawana Mori ya kufanya kazi. Muda mwingi wanautumia kutafuta namna ya kuishi! Otherwise, they can't survive! Si mnaona jinsi mishahara ilivyo midogo?

    21. #40
      MAMMAMIA's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 25th February 2008
      Location : Near You
      Posts : 3,794
      Rep Power : 3261
      Likes Received
      1496
      Likes Given
      1206

      Default Re: Ukweli kuhusu Mishahara Serikalini

      Quote By MpiganiaUhuru View Post

      NB:
      Summary hii ni kwa mujibu wa waraka wa mishahara serikalini wa mwaka 2011/2012, sikuweza ku-attach waraka huo kwani una muhuri wa "Confidential".Thanks!
      Mtu safi hafichi wala hajifichi. Watanzania tumechoshwa na Confidentialities. Watumishi wa serikali kuanzia raisi hadi msafishaji choo, wote wanalipwa kwa pesa za walipa kodi na vyanzo vyengine kutoka rasilimali zetu, iweje leo mlipa kodi afichwe kujua/kuona mishahara anayowalipa? Nikiingia kwenye website yoyote ya nchi makini, masuala ya mishahara na marupurupu yamewekwa hadharani kiasi kwamba hata mimi nisiyekuwa raia wa nchi hiyo ninayaona, Tanzania kulikoni na SIRI hizi zisizokwishwa?
      "JF - SAUTI YA WASIO NA SAUTI ............ na wapayukaji"

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...