Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 48
    1. #1
      simon james's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 419
      Likes Received
      136
      Likes Given
      8

      Default TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Wakata Taarifa ya Chanel ten leo sa 1 na Ile ya ITV Sa 2 usiku zikiripoti uwepo wa mgomo wa madaktari, katika hospitali ya Mhimbili, Bugando etc. TBC Wametoa pongezi kwa madaktari kuitikia tamko la serikali kuwataka kuachana na mgomo na kutii kwa kuendelea na kazi leo. Hivi kweli upotoshaji huu si kuvicha kidonda kibichi hivi kikioza nani wa kulaumiwa. I hate TBC 1. Taarifa za uhakika ni kuwa mgomo umeanza rasmi leo


    2. #21
      Mboja's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 133
      Rep Power : 469
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Kuna kanchi kamoja maarufu kako ulaya, TBC kwa lugha yao ni kifupi cha ugonjwa wa kifua kikuu. Sasa hiyo TBC1 ni mapafu ya CCM na sirikali yake yataisha tu!

    3. #22
      Lenja's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 66
      Rep Power : 377
      Likes Received
      6
      Likes Given
      54

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Nakubaliana na Mwanzisha mada.
      Sisi wananchi hatupendi hao madaktar wagome.Ila kitendo cha chombo cha habari kutokutoa taarifa za ukweli, NDICHO HASA KINACHOTUCHEFUAAAAAAAAAAAAAA

    4. #23
      MALUNGU's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd June 2011
      Posts : 217
      Rep Power : 450
      Likes Received
      66
      Likes Given
      219

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Mie nafikiri TBC1 wangewasaidia watawala kujua ukweli juu ya mgomo huu.

    5. #24
      Mulisaja's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 21st April 2012
      Posts : 8
      Rep Power : 362
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Alipokuja Tido Muhando kuongoza TBC alikuja na taratibu zake alizozitoa uingereza ndio maana serikali wakaona hawawezi kuendelea naye kwani alikuwa hafichi kitu,kama serikali imefanya madudu alikuwa anawaunbua live.Sasahivi tbc imekosa kiongoza ipo hovyo.

    6. #25
      Bufa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Posts : 342
      Rep Power : 432
      Likes Received
      56
      Likes Given
      162

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      I don't give a shit about tbc1, medical doctors wa bongo wanapenda kunyenyekewa sana wanataka sijui wananchi wawaabudu kabisa.


    7. #26
      jingalao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2011
      Location : kikonga
      Posts : 738
      Rep Power : 536
      Likes Received
      129
      Likes Given
      27

      Default

      Quote By Mulisaja View Post
      Alipokuja Tido Muhando kuongoza TBC alikuja na taratibu zake alizozitoa uingereza ndio maana serikali wakaona hawawezi kuendelea naye kwani alikuwa hafichi kitu,kama serikali imefanya madudu alikuwa anawaunbua live.Sasahivi tbc imekosa kiongoza ipo hovyo.
      kipindi cha tido watu walianza kuiamini tbc.

    8. #27
      Bongo Pix Blog's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th September 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 186
      Rep Power : 430
      Likes Received
      26
      Likes Given
      87

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Weledi kitanzini!

    9. Uda is offline
      Uda
      #28
      Uda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2010
      Posts : 438
      Rep Power : 1822
      Likes Received
      215
      Likes Given
      14

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Quote By Bongo Pix Blog View Post
      Weledi kitanzini!
      penye uzia penyeza rupia!bahasha hizo!
      Bongo Pix Blog likes this.
      ''Behind closed doors in a quiet A-town,life is far from sleepy!

    10. #29
      simon james's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 419
      Likes Received
      136
      Likes Given
      8

      Default

      Isitoshe wananchi wanapo ambiwa hakuna mgomo kesho watapeleka wagonjwa kwa wingi alafu madhara ni vifo kwa kukosa huduma . Nilini TBC1 Itafungwa kwa kutoa habari za uongo
      Quote By Lenja View Post
      Nakubaliana na Mwanzisha mada.
      Sisi wananchi hatupendi hao madaktar wagome.Ila kitendo cha chombo cha habari kutokutoa taarifa za ukweli, NDICHO HASA KINACHOTUCHEFUAAAAAAAAAAAAAA

    11. #30
      simon james's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 419
      Likes Received
      136
      Likes Given
      8

      Default

      Hiyo ni kweli kabisa
      Quote By MALUNGU View Post
      Mie nafikiri TBC1 wangewasaidia watawala kujua ukweli juu ya mgomo huu.

    12. #31
      simon james's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 419
      Likes Received
      136
      Likes Given
      8

      Default

      Ninan mwenye CV ya huyu mkurugenz mpya TBC 1
      Quote By Mulisaja View Post
      Alipokuja Tido Muhando kuongoza TBC alikuja na taratibu zake alizozitoa uingereza ndio maana serikali wakaona hawawezi kuendelea naye kwani alikuwa hafichi kitu,kama serikali imefanya madudu alikuwa anawaunbua live.Sasahivi tbc imekosa kiongoza ipo hovyo.

    13. #32
      Msendekwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2012
      Posts : 401
      Rep Power : 447
      Likes Received
      143
      Likes Given
      4

      Default

      Quote By Bufa View Post
      I don't give a shit about tbc1, medical doctors wa bongo wanapenda kunyenyekewa sana wanataka sijui wananchi wawaabudu kabisa.
      Inferiority complex hiyo mbele ya madaktari.
      Nani kakwambia anataka kuabudiwa wewe?
      Wapewe chao uone km watasumbuana na mtu.
      Kwanza watu wamejikalia zao home, wewe kinakuuma nini?

    14. MTK is online now
      MTK
      #33
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 1,001
      Rep Power : 4513
      Likes Received
      317
      Likes Given
      365

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Quote By simon james View Post
      Wakata Taarifa ya Chanel ten leo sa 1 na Ile ya ITV Sa 2 usiku zikiripoti uwepo wa mgomo wa madaktari, katika hospitali ya Mhimbili, Bugando etc. TBC Wametoa pongezi kwa madaktari kuitikia tamko la serikali kuwataka kuachana na mgomo na kutii kwa kuendelea na kazi leo. Hivi kweli upotoshaji huu si kuvicha kidonda kibichi hivi kikioza nani wa kulaumiwa. I hate TBC 1. Taarifa za uhakika ni kuwa mgomo umeanza rasmi leo
      TBC, daily news na vyombo kama hivyo ni mouth pieces za serikali ambayo inaugua ugonjwa wa usiri kutokana na kuzongwa na kashfa nyingi za kila aina na udhaifu wake wa kushindwa kutoa maamuzi magumu kwa wakati. kwa hiyo kama unatafuta habari za uhakika nakushauri utumie media houses za binafsi, social media na external sources.

      Kama serikali yenyewe haioni aibu kudanganya unategemea nini kutoka TBC!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!! !!!!!

    15. #34
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,798
      Rep Power : 19852
      Likes Received
      4414
      Likes Given
      1744

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Yana pale hakuna habari wala chochote,pale wamebaki zecomedy tu.

    16. #35
      Bujibuji's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 14,415
      Rep Power : 0
      Likes Received
      7413
      Likes Given
      5746

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      TBC NI mali ya M'kwere

    17. #36
      peck's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Location : Singida
      Posts : 189
      Rep Power : 468
      Likes Received
      15
      Likes Given
      45

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      TBC ni shirika la serikali na serikali yenyewe ni dhaifu, kwa hiyo hizo ni jitihada za kuuficha udhaifu wao. NAAMINI WATZ wa leo Tupo mbele zaidi ya wanavyodhani wao.
      (TBC UKWELI NA UHAKIKA) Haiwezekani kuwa hivyo

    18. #37
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 303
      Rep Power : 443
      Likes Received
      63
      Likes Given
      126

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      pole, bado unaangaliaga TBC1 wenzio tulishawachia ccm na wazee wao, mimi huwa na tazama bunge tu. Tangu aondoke tido hapo hakuna kitu, wanaweza sema hakuna mgomo wakati watu wanaendelea kufa, kwa sababu wanaelekezwa cha kutangaza.

    19. #38
      simon james's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 277
      Rep Power : 419
      Likes Received
      136
      Likes Given
      8

      Default

      Asante
      Quote By ng'ombe View Post
      pole, bado unaangaliaga tbc1 wenzio tulishawachia ccm na wazee wao, mimi huwa na tazama bunge tu. Tangu aondoke tido hapo hakuna kitu, wanaweza sema hakuna mgomo wakati watu wanaendelea kufa, kwa sababu wanaelekezwa cha kutangaza.

    20. #39
      ellyjr8's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd June 2012
      Posts : 56
      Rep Power : 433
      Likes Received
      47
      Likes Given
      0

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      sasa hivi waandishi wamezuiwa kuingia MNH, wamekutana Upanga...mgomo ndio kwaaaaaaaaanza unaanza!

    21. #40
      Mohamedi Mtoi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th December 2010
      Location : Lushoto - Kwemakame.
      Posts : 2,237
      Rep Power : 37475
      Likes Received
      3494
      Likes Given
      368

      Default Re: TBC WANAPO POTOSHA UKWELI KUHUSU MGOMO WA MADAKTARI Hivi Huu ni Uhuru wa vyombo vya habari?

      Tb ccm niwa kupuuzwa! Unaweza kusema kuwa niwa puuzi kwa kuwa niwa dhaifu wa kutoa habari za kweli na uhakika.

    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...