Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

    Report Post
    Results 1 to 10 of 10
    1. #1
      Omutwale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2008
      Location : Kanyigo
      Posts : 1,138
      Rep Power : 812
      Likes Received
      579
      Likes Given
      496

      Default M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Leo niko napitapita kwenye vijiwe mbalimbali hapa BK mjini. Nimejulishwa kuwa katika Mkutano wa Mbunge uliofanyika hivi karibuni, wananchi wamempa ishara ya taa nyekundu Kagasheki.

      Simulizi liko hivi:

      Hivi karibuni Lwakatare, Anthony Komu, Mkurugenzi wa Fedha na Utawala-CDM
      na kijana mmoja toka Singida ambaye ni Mjumbe wa Halmashauri Kuu-CDM walikuja Kagera kwa programme ya kichama ya kuwanoa madiwani wa CDM. Baada ya Programme, Chama-Mkoa kikawaandalia mkutano wa hadhara.


      Wakati wa kuhutubia, Kijana toka Singida akamwaga sumu kwa kuwaambia watu waliohudhuria mkutanoni kuwa; msitegemee lolote jipya toka kwa Kagasheki eti kwa kuwa amekuwa Waziri Kamili. Akawaambia labda niwape swali akija mmuulize hivi “Twiga wetu wanarudi lini?” Akashindilia zaidi kwa kuwaambia, ukiwa Waziri wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Usalama wa Taifa, Polisi, na Magereza vyote vinakuwa chini ya Wizara yako. Na hakuna mtu anaweza kuja na ndege akachukua wanyama wakubwa na akaondoka bila kubugudhiwa kama Usalama wa Taifa hawahusiki. Kwa hiyo Kagasheki asiwazuge, akija mmulize Twiga wetu wanarudishwa lini?

      Siku chache Kagasheki akatua BK na akafanya mkutano wa hadhara. Wakati mkutano ukiendelea, Vijana wakaanza kiutani kumnyooshea vidole viwili.


      Taratibu miguno ikaanza kusikika huku ikisindikizwa na maneno “Tunataka Twiga wetu” Ghafla Kagasheki akahamaki na kukosa uvumilivu, akaanza kurusha maneno hovyo. Ikawa ndo kama kawapa watu ruhusa kupiga chorus kwa sauti za “Tunataka Twiga wetu” na “Twiga wetu wanarudi lini” Mzee wa watu akaendelea kurusha meneno hovyo “Najua hao ni CHADEMA” mara “hao CDM watachukua majimbo mengine huko kote lakini nawahakikishia hili hawatalipata” Kutokana na mvulugano huu, kwa wale wanaomfahamu Kagasheki akiisha panic hawezi kulejea haraka katika control. Ikabidi mkutano uishe

      Baada ya kurejea Jijini, haraka sana Kagasheki akatangaza hatua zinazochukuliwa kuwarejesha Wanyama wetu walioibiwa

      Haya ndo nimewakusanyia kwa leo toka vijiwe nilivyotembelea hapa BK Mjini.
      Crashwise likes this.
      Kijana, litumikie Taifa lako kwa moyo wako woote, akili zako zoote na nguvu zako zoote.

    2. Miaka 50

    3. MTK
      #2
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 939
      Rep Power : 4497
      Likes Received
      303
      Likes Given
      333

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Bottom line ni kwamba Hamis Kagasheki anastahili kuwajibishwa kutokana na kashfa ya Twiga wetu kwa sababu wakati wa tukio hilo alikuwa naibu waziri wizara ya mabo ya ndani, Hii wizara ya utalii itamtesa sana kwani tayari faru wa kikwete George ameuawa siku cha che baada ya kagasheki kuingia wizarani pale, majuzi majambazi wamevamia kambi ya watalii na kuua watu wawili akiwemo mtalii mmoja, Kagasheki pull up your socks vinginevyo wizara ya utalii ndio ya mwisho kwako

    4. #3
      amkawewe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 751
      Rep Power : 527
      Likes Received
      121
      Likes Given
      535

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      duh teh teh, Twiga wameshaliwa nyama.

    5. #4
      Ruttashobolwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2012
      Posts : 13,519
      Rep Power : 19792
      Likes Received
      4316
      Likes Given
      1305

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Kagasheki toina kantu.

    6. #5
      genekai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th February 2010
      Location : Loitering!
      Posts : 7,551
      Rep Power : 2090
      Likes Received
      1096
      Likes Given
      1575

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Kama kuna watu wanatulet down basi ni watu wa mkoa wa Kagera ukiondoa kule home Biharamulo tu!!!!!!!
      Omutwale likes this.
      The future of this country is being jeopardized by the intellectual slavery of our top leaders

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Kaitampunu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2011
      Location : Kwenye Corner
      Posts : 668
      Rep Power : 512
      Likes Received
      138
      Likes Given
      198

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Quote By ruttashobolwa
      Kagasheki toina kantu.
      kagasheki taina mugasho gwa kugasha, kityo tabagashe mungasho zomulikwetagwa kugashwa!
      Omutwale likes this.

    9. #7
      RUBERTS's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 597
      Likes Received
      49
      Likes Given
      31

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Hizo picha mbili zimenisikitisha sana. Inaonekana huko kwetu BK bado watu wanaabudu CCM. Ebu chunguza hizo picha uone mkusanyiko mkubwa uko wapi. Wahaya sijui wamekuwaje. Ujasiri wao uliotokana na usomi wao umekwenda wapi? Nani kawaloga? CCM nka yatwita si Mulangira.

    10. #8
      Borat69's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th June 2012
      Location : Global Citizen
      Posts : 707
      Rep Power : 490
      Likes Received
      280
      Likes Given
      77

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      Quote By Kaitampunu
      kagasheki taina mugasho gwa kugasha, kityo tabagashe mungasho zomulikwetagwa kugashwa!
      Aaaah jamaniiiii.....pelekeni haya mambo kwenye jukwaa la lugha. Kha!!!
      "Our Lives begin to End the Day We Become Silent About Things that Matter"-Dr Martin Luther King Jr.

    11. #9
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,661
      Rep Power : 718
      Likes Received
      291
      Likes Given
      36

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      si mshangai Kagasheki viongozi wengi ccm wanafikiria vyeo vyao ni vya kudumu maisha, wana mawazo ya kikamuzu Banda, Niwashauri wakati unawakataa Hamtakiwi tena ccm

    12. #10
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,800
      Rep Power : 2150
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      547

      Default Re: M4C Bukoba Mjini Inaanza Kuleta Matokeo!

      M4C Hoyeeeeeee

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...