Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

    View Poll Results: Unapenda Muundo Gani wa Muungano

    Voters
    207. You may not vote on this poll
    • Serikali Tatu

      74 35.75%
    • Serikali Mbili

      2 0.97%
    • Serikali Moja

      41 19.81%
    • Sitaki Muungano

      93 44.93%
    Multiple Choice Poll.
    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 173
    1. #1
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2594
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Question Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Ndugu waTanganyika wenzangu, tumeshapigwa changa la macho. Hivi mnajua tume ya katiba iliyoundwa imeshaondoa uwezekano wa Serikali ya Tanganyika Kurudi.

      Kwa kuwa hiyo tume ya katiba, haina mamlaka ya kutengeneza rasimu ya katiba ya Tanganyika, na wanafikiri watu wanakubali serikali mbili.

      Kwa sababu hiyo tayari tume hiyo, kwetu sisi watanganyika, imefanya kitu kinaitwa pridjudice (yaani uamuzi kabla ya kupata maoni kuhusu aina ya muungano), na hi si haki, si haki kabisa.

      Je kama ilivyo sasa, katika dodoso zangu, kwamba wananchi wengi wakapenda Mungano wa dola tatu. Nani ataandika rasimu ya katiba ya Dola la Tanganyika?

      Nani atapitia katiba ya Dola la Zanzibar kurekebisha mswala ya muungano. Pamoja na Mhe Jaji Warioba kuruhusu, mjadala kwa uwazi, kuna haja ya kurejea Mswada wa kuunda tume ya katiba na kuweka hatua mbalimbali za utendaji.

      Mapendekezo:

      1. Aina ya muungano

      a. Mjadala
      b. Kura ya maoni
      c. Ma/Bunge la/ya katiba (Subject to discussion)
      2. Rasimu ya katiba

      a. Mjadala
      b. Rasimu ya katiba
      c. Ma/Bunge la/ya katiba
      d. Kura ya/za maoni (katika vipengele mbalimbali)
      e. Uchaguzi
      f. Urekebishaji wa sera kuendana na katiba

      Sasa hakuna haja ya kuelewana vibaya hapa. Suala ni kuwa watu tunaokwenda kitaalam. Hii ni kuchokonoa wa JF na Tume ya katiba kujitathmini.

      Tusije tukatumia fedha na muda mwingi, halafu mwisho tukaambulia patupu. Ikitokea hivyo itakuwa aibu kwa Raisi, Serikali, Bunge hata sisi wananchi hatuta kuwa ubavu wa kuzungumza hata na wakenya tu. Katika hili tuachane na unafiki wa kuunga hoja asilimia mia moja halafu kuikosoa hoja hiyohiyo kama vile mtu ana nafsi mbili.


      Tume inajibatilisha kwa hizi predjudice
      .


      Nawakilisha, mkiniangusha, shauri yenu. Kabla ya kupiga kura hakikisha umelog in.


      Kumbe Zito naye ana mawazo mbadala, soma hapa
      http://www.mwanabidii.com/showthread...oja-Mbili-Zote

      I declare my interest: Napenda serikali tatu ili tuweze kupanua muungano na nchi nyingine.
      Last edited by Fredrick Sanga; 5th July 2012 at 18:44.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.


    2. #2
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Najua kwamba pamoja na kwamba napenda serikali moja, wazenji hawatakubali, basi iwe serikali tatu. Na suala hili lirudishwe bungeni ili hadidu za rejea za tume zirekebishwe. Hii itawezasha upatikanaji wa rasimu ya katiba ya Tanganyika pia.

    3. #3
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Wadanganyika, hawaelewi nini?

    4. #4
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Moderators pigeni kura hapa.

    5. #5
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Pigeni kura nataka nipate kitu cha kumridhisha warioba. na inawezekana nikawa sio sahihi, nitakuwa nimejifunza. Nape piga kura, Myika, Zitto, JK NK. Hii ni kura ya siri.


    6. #6
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2594
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By Communist View Post
      Pigeni kura nataka nipate kitu cha kumridhisha warioba. na inawezekana nikawa sio sahihi, nitakuwa nimejifunza. Nape piga kura, Myika, Zitto, JK NK. Hii ni kura ya siri.

      Naona kuna mdau mmoja tu. Labda hawa jamaa ni waoga sana, au hawaelewi uzi. Ngoja tuone.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    7. #7
      Taso's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th June 2010
      Posts : 1,182
      Rep Power : 800
      Likes Received
      309
      Likes Given
      124

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By Fredrick Sanga View Post
      Mapendekezo:

      1. Aina ya muungano
      Hapana!

      Mapendekezo:

      1. Muungano uwepo au usiwepo?

      Aina ya Muungano maana yake nini, unajuaje tunataka Muungano?

    8. #8
      The Analyst's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Posts : 380
      Rep Power : 505
      Likes Received
      133
      Likes Given
      107

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Ni kweli kwamba "Nyinyiemu" wametumia muda mwingi sana kushughulikia kero ndogo ndogo kiasi cha kuwabore watu lakini bado wanaotaka uvunjike kwa kutoa kauli kali na vitisho ni watu ambao hata Mapinduzi Matukufu ya 1964 ni kero kwao. Ila kama kuna majority nyuma yao kwa nini usivunjwe? It is only fair uvunjike kwa kuwa majority wanataka hata kama ni grave mistake kuuvunja.
      Ushauri wangu ni vema tupige kura ya maoni pande zote za Muungano. Wasioutaka kama Uamsho na Mimi binafsi (japo si mwanauamsho) pamoja na wengineo tufanye kampeni kuwashawishi watu waukatae na wale wanaoupenda sana wapewe nafasi ya kushawishi watu waseme wanautaka kisha tutekeleze matokeo bila kinyongo. Kama Muungano utashinda dhoruba hii ni wazi lazima tuulinde bila kujali chochote na kama kuna mtu atafanya chokochoko dhidi yake lazima tumbane kiasi cha kutosha.
      Nilijaribu kuelezea mawazo yangu katika thread hii: Kikwete: Wape zanzibar wanachokitaka tuishi kwa amani!
      Viongozi Dhaifu na Mafisadi + Wananchi wavivu, walalamishi na wasiojua haki zao + Imani Iliyopotoshwa = Umasikini wetu.

    9. #9
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default

      Quote By The Analyst View Post
      Ni kweli kwamba "Nyinyiemu" wametumia muda mwingi sana kushughulikia kero ndogo ndogo kiasi cha kuwabore watu lakini bado wanaotaka uvunjike kwa kutoa kauli kali na vitisho ni watu ambao hata Mapinduzi Matukufu ya 1964 ni kero kwao. Ila kama kuna majority nyuma yao kwa nini usivunjwe? It is only fair uvunjike kwa kuwa majority wanataka hata kama ni grave mistake kuuvunja.
      Ushauri wangu ni vema tupige kura ya maoni pande zote za Muungano. Wasioutaka kama Uamsho na Mimi binafsi (japo si mwanauamsho) pamoja na wengineo tufanye kampeni kuwashawishi watu waukatae na wale wanaoupenda sana wapewe nafasi ya kushawishi watu waseme wanautaka kisha tutekeleze matokeo bila kinyongo. Kama Muungano utashinda dhoruba hii ni wazi lazima tuulinde bila kujali chochote na kama kuna mtu atafanya chokochoko dhidi yake lazima tumbane kiasi cha kutosha.
      Nilijaribu kuelezea mawazo yangu katika thread hii: Kikwete: Wape zanzibar wanachokitaka tuishi kwa amani!
      Umeshapiga kura. Mpaka sasa wanotaka serikali tatu wanaongoza. Piga kampeni

    10. #10
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2594
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      I do respect your comments and polls.. Tutapata picha ya awali.

    11. #11
      JokaKuu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2006
      Posts : 6,915
      Rep Power : 2990
      Likes Received
      2547
      Likes Given
      3632

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      ..Tanganyika irudi na mchakato ukomee hapo.
      Communist likes this.

    12. #12
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default

      Quote By JokaKuu View Post
      ..Tanganyika irudi na mchakato ukomee hapo.
      Naona hiyo ndio sawasawa

    13. #13
      zumbemkuu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 11th September 2010
      Location : street dweller
      Posts : 5,423
      Rep Power : 2023
      Likes Received
      2163
      Likes Given
      7946

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      mkuu natamani uongeze na poll inayoonyesha watanganyika wanaokataa muungano na wazenji wanaokataa tulinganishe idadi.
      Communist likes this.
      "watakaotubeza na kututukana wasameheni wanahitaji ukombozi wa fikra" Mh.G.Lema

    14. #14
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default

      Quote By zumbemkuu View Post
      mkuu natamani uongeze na poll inayoonyesha watanganyika wanaokataa muungano na wazenji wanaokataa tulinganishe idadi.
      Mod ungeangalia hii coment, halafu ungistik hii threa ili tupate picha humu jf.
      zumbemkuu likes this.

    15. #15
      Communist's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,924
      Rep Power : 0
      Likes Received
      641
      Likes Given
      811

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Kwanini tuntaka kuvunja muungano? Naona tafanye serkali tatu. Tutatatua kero zote na kuvuta nchi nyingi kuingia katika muungano.

    16. #16
      dfreym's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th October 2010
      Posts : 279
      Rep Power : 597
      Likes Received
      49
      Likes Given
      165

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Hawa wazenji wanatuzingua sana. Bora tubaki na tanganyika yetu wao waende. Huenda wakawa bora zaidi, nasi tukajifunza kwao ili tupate maendeleo.
      Fredrick Sanga and Chindi1058 like this.
      If money doesn’t grow on trees then why banks have branches?

    17. #17
      mzaire's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 403
      Likes Received
      40
      Likes Given
      4

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Me naona kwanza tuvunje huu muungano ili kuondosha kero zte, kila nchi ifikirie tena upya jinsi muungano utakiwavo uwe, baadae tukae chini tupange yapi ya muungano na yepi si ya muungano.

    18. #18
      Chilisosi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th October 2008
      Posts : 1,808
      Rep Power : 0
      Likes Received
      386
      Likes Given
      498

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Yaani bado wapo tuu? Aaargh, wataondoka lini hawa wapemba, mie kuna duka nalitamani pale kariakoo

    19. #19
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,553
      Rep Power : 1606
      Likes Received
      816
      Likes Given
      52

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Nimeshindwa ku vote kabisa. Aidha tiss wamechakachua, mods work on it

    20. #20
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,988
      Rep Power : 2594
      Likes Received
      641
      Likes Given
      777

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By Nyakageni View Post
      Nimeshindwa ku vote kabisa. Aidha tiss wamechakachua, mods work on it
      TISS walinzi wangu mimi na wewe, sana usiwe na wasiwasi. Yaani we vote bila wasiwasi. usiwasingizie. Ila Mod angestick hii, naona kama ni suala la maana, ili tuelewe anagalau humu JF watu wanasemaje. Mimi napenda serikali tatu
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...