Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

    View Poll Results: Unapenda Muundo Gani wa Muungano

    Voters
    207. You may not vote on this poll
    • Serikali Tatu

      74 35.75%
    • Serikali Mbili

      2 0.97%
    • Serikali Moja

      41 19.81%
    • Sitaki Muungano

      93 44.93%
    Multiple Choice Poll.
    Report Post
    Page 5 of 9 FirstFirst ... 34567 ... LastLast
    Results 81 to 100 of 173
    1. #1
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Question Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Ndugu waTanganyika wenzangu, tumeshapigwa changa la macho. Hivi mnajua tume ya katiba iliyoundwa imeshaondoa uwezekano wa Serikali ya Tanganyika Kurudi.

      Kwa kuwa hiyo tume ya katiba, haina mamlaka ya kutengeneza rasimu ya katiba ya Tanganyika, na wanafikiri watu wanakubali serikali mbili.

      Kwa sababu hiyo tayari tume hiyo, kwetu sisi watanganyika, imefanya kitu kinaitwa pridjudice (yaani uamuzi kabla ya kupata maoni kuhusu aina ya muungano), na hi si haki, si haki kabisa.

      Je kama ilivyo sasa, katika dodoso zangu, kwamba wananchi wengi wakapenda Mungano wa dola tatu. Nani ataandika rasimu ya katiba ya Dola la Tanganyika?

      Nani atapitia katiba ya Dola la Zanzibar kurekebisha mswala ya muungano. Pamoja na Mhe Jaji Warioba kuruhusu, mjadala kwa uwazi, kuna haja ya kurejea Mswada wa kuunda tume ya katiba na kuweka hatua mbalimbali za utendaji.

      Mapendekezo:

      1. Aina ya muungano

      a. Mjadala
      b. Kura ya maoni
      c. Ma/Bunge la/ya katiba (Subject to discussion)
      2. Rasimu ya katiba

      a. Mjadala
      b. Rasimu ya katiba
      c. Ma/Bunge la/ya katiba
      d. Kura ya/za maoni (katika vipengele mbalimbali)
      e. Uchaguzi
      f. Urekebishaji wa sera kuendana na katiba

      Sasa hakuna haja ya kuelewana vibaya hapa. Suala ni kuwa watu tunaokwenda kitaalam. Hii ni kuchokonoa wa JF na Tume ya katiba kujitathmini.

      Tusije tukatumia fedha na muda mwingi, halafu mwisho tukaambulia patupu. Ikitokea hivyo itakuwa aibu kwa Raisi, Serikali, Bunge hata sisi wananchi hatuta kuwa ubavu wa kuzungumza hata na wakenya tu. Katika hili tuachane na unafiki wa kuunga hoja asilimia mia moja halafu kuikosoa hoja hiyohiyo kama vile mtu ana nafsi mbili.


      Tume inajibatilisha kwa hizi predjudice
      .


      Nawakilisha, mkiniangusha, shauri yenu. Kabla ya kupiga kura hakikisha umelog in.


      Kumbe Zito naye ana mawazo mbadala, soma hapa
      http://www.mwanabidii.com/showthread...oja-Mbili-Zote

      I declare my interest: Napenda serikali tatu ili tuweze kupanua muungano na nchi nyingine.
      Last edited by Fredrick Sanga; 5th July 2012 at 18:44.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    2. Miaka 50

    3. #81
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Msitukanane, pigeni kura tupate picha.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    4. #82
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Hivi tume inaangalia suala la muundo wa muungano? Hasa kwa wale waliokwisha pitiwa na hiyo tume?
      Simple life is healthier than egoism.

    5. #83
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Bado, mpaka wafi miambili, usifunge kura hizi
      Simple life is healthier than egoism.

    6. #84
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By Communist
      Si maoni tu, huu ni upepo utapita.
      Upepo huu utapita tu. Lazima upite. na ukapita spiidi utaondoka na mtu ati.
      Simple life is healthier than egoism.

    7. #85
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Bado kura hazijatosha, mpaka zifike 200.
      Simple life is healthier than egoism.

    8. RukaaJuu Final

    9. #86
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Jamani tunahaitaji at least kura mia mbili, tupeleka kwa tume. Pigeni kura
      Simple life is healthier than egoism.

    10. #87
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Naona suala la kutaka kuvunja muungano, linaelekea kushindwa. Hebu tungoje kidogo.
      Simple life is healthier than egoism.

    11. #88
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By JokaKuu
      ..Tanganyika irudi na mchakato ukomee hapo.
      Ok put your poll (vote) http://www.jamiiforums.com/jukwaa-la...ba-ifuate.html
      Simple life is healthier than egoism.

    12. #89
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Ha haaaaaa ha: naona serikali tatu inaelekea kushinda kura hizi maana inakuja kwa kasi. Nape rafiki yangu hii serikali mbili unasemaje?
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    13. #90
      Hayajamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd July 2012
      Location : Utopia
      Posts : 606
      Rep Power : 468
      Likes Received
      167
      Likes Given
      387

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Kweli swala la Muungano linachanganya, ni bora likazungumzwa na mambo yakawa bayana.

      Sasa jamani naombeni mnisaidie hivi Tz mbona wimbo wa taifa siuelewi? sababu uliopo hauna asili ya either Tanganyika or Zanzibar! Ni wimbo wa South Africa uliotungwa na Msauzi. Ulitungwa mwaka 1897 na Enoch Sontonga, „Nkosi Sikelel' iAfrika”.

      Jamani mbona Wabunge hawahoji? Hivi sis hatuwezi kuwa na National Anthem ya kikwetu?

    14. #91
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By Hayajamani
      Kweli swala la Muungano linachanganya, ni bora likazungumzwa na mambo yakawa bayana.

      Sasa jamani naombeni mnisaidie hivi Tz mbona wimbo wa taifa siuelewi? sababu uliopo hauna asili ya either Tanganyika or Zanzibar! Ni wimbo wa South Africa uliotungwa na Msauzi. Ulitungwa mwaka 1897 na Enoch Sontonga, „Nkosi Sikelel' iAfrika”.

      Jamani mbona Wabunge hawahoji? Hivi sis hatuwezi kuwa na National Anthem ya kikwetu?
      Kwa sababu sasa hivi tuna Sugu na Komba bungeni tuwaachie hilo. Wanaweza wakatoa mchakachuo wa bongo flavor na modern Taarab.
      Hayajamani likes this.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    15. #92
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      CCM bado mnang'ang'ania serikali mbili, Mliyakataa ya Kolimba sasa mtayaona ya Nyalali.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    16. #93
      JAPHETtumpa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 25th February 2012
      Posts : 64
      Rep Power : 377
      Likes Received
      11
      Likes Given
      6

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      kwa wabara muungano hauna faida bali hasara tupu kila siku madai kutoka upande mmoja yanatekelezwa na wanasiasa wa ccm kwa kasi ya ajabu! kwa sababu ya malengo ya kisiasa ya wanasiasa wa ccm tumechoka.

    17. #94
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Serikali Tatu inakwenda juu kwa kasi, ningewashauri wale wanaotaka kuvunja muungano, wapunguze jazba. Tuwe na Tatu, nanihii.
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    18. #95
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2590
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By JAPHETtumpa
      kwa wabara muungano hauna faida bali hasara tupu kila siku madai kutoka upande mmoja yanatekelezwa na wanasiasa wa ccm kwa kasi ya ajabu! kwa sababu ya malengo ya kisiasa ya wanasiasa wa ccm tumechoka.
      Nakubali. Je hii sio kwa sababu muundo ni mbaya?
      We shall overcome, righteousness shall always prevail.

    19. #96
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Watanganyika, mkizubaa tu kidogo katika huu mchakato mmeliwa.
      Simple life is healthier than egoism.

    20. #97
      BinMgen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2008
      Posts : 1,484
      Rep Power : 854
      Likes Received
      110
      Likes Given
      229

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Tatizo la WaTanganyika wanaongea saaana vitendo hamna kitu.

    21. #98
      STRATON MZEE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th January 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 533
      Likes Received
      8
      Likes Given
      4

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Ndugu wana JF. Naungana na alichokisema Ndugu yangu Fred. Mzee Warioba alitulpiga changa la macho. Kama tutakuwa na kumbukumbu vizuri, Baba Ridhiwan alikataza watu kuujadili muungano. Baada ya kuona watu wamelalamika sana pamoja na kuonesha nia ya kutaka kususia mchakato wa utoaji maoni, Ndipo akaibuka Mzee Warioba na kusema Muungano ujadiliwe, na maoni yatolewe hata kama ni ya kuuvunja. Haya yote ni ili kuwashawishi Watanzania wajitokeze kwenye kutoa maoni yao. Lakini ukweli ni kwamba, maoni yote yanayohusu kuupangua muungano hayatafanyiwa kazi kabisa. Tukumbuke kuwa mzee Warioba ndiye alikuwa anautetea huu Muungano kwa nguvu zote kabla ya kuteuliwa, na baada ya kuteuliwa amejipangia maeneo yale ambayo Wakazi wake hawaupendi muungano huu. Cha muhimu hapa, ilitakiwa tuujadili Muungano kwanza, ili tukishakubaliana kuhusu hatima ya Muungano, tuweze sasa kujadili Katiba. Kwa njia tunayoitumia sasa, ya kutupiga changa la macho watanzania, najua hata katiba tutakayoiunda, tutaifanyia marekebisho baada ya miaka michache ya uhai wake. KAZI KWETU WATANZANIA.

      Natamani kumwona mama yangu TANGANYIKA. Walimpoteza kwa makusudi, na wakajitahidi kufuta kumbukumbu lake, lakini naamini kama siyo leo, ipo siku wanangu au wana wa wana wa wanangu watapigana kufa na kupona kumdai mama yao TANGANYIKA. NAJUA MAMA YANGU TANGANYIKA HAJAFA, ILA AMEFICHWA TUU. Fredrick Sanga
      Communist likes this.

    22. #99
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      Quote By BinMgen
      Tatizo la WaTanganyika wanaongea saaana vitendo hamna kitu.
      Ni kweli, umeona. nafikiri tatizo hatuna mwelekeo, wala hatujui mkakati mzuri wa kupata katiba nzuri. Kukusanya maoni ni kitu kizuri. Likini kuna kitu kinaitwa milestone katika mchakato, hiki kinakosekana. Hii inatokakana na kudhani watanzania wote wameshakubali serikali mbili. Kama itagundulika wanataka serikali tatu 2014, sijui kama hiyo rasimu ya katiba itapatikana. Ni ubishi tu wa wabunge wa CCM.
      Simple life is healthier than egoism.

    23. #100
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,726
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Katiba: Tanganyika Irudi Kwanza Ndipo Rasimu ya Katiba Ifuate

      STRATON MZEE Huyu Sanga ana nia nzuri sana, ila kama watu wanamzarau profesa wa Shivji, wantasikia chochote? Sisi tupige kura kupitia JF ili picha halisi ianze kuonekana. Na liwalo na liwe, kura ya maoni kuhusu muundo wa muungano ni kizingiti kikubwa cha upatikanaji wa rasimu ya katiba. Sio upande wa Tanganyika tu hata Zenji. Maana hii katiba lazima itagusa ile ya Zenji. Hiki ni kihindimkuti.
      Simple life is healthier than egoism.

    Page 5 of 9 FirstFirst ... 34567 ... LastLast

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...