Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 39
    1. #1
      Asango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Location : MOSHI-KILIMANJARO
      Posts : 168
      Rep Power : 446
      Likes Received
      13
      Likes Given
      6

      Default Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Habari wanaJF, Kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.Hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.Sababu hii inawafanya kuogopa kugoma kwn ikatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.Ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa Walimu wetu.
      Last edited by Asango; 24th June 2012 at 13:12.
      kikwakwa and OIL CHAFU like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      MotoYaMbongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th January 2008
      Posts : 1,285
      Rep Power : 837
      Likes Received
      145
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Asango
      Habari wanaJF, Kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.Hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.Sababu hii inawafanya kuogepa kugoma kwn itatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.Ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa Walimu wetu.
      hasa wa Shule za Msingi.

    4. #3
      gpluse's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 24
      Rep Power : 363
      Likes Received
      1
      Likes Given
      5

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi tu. Wengi wao waliingia katika kipindi cha UPE2, ni drs7 lakini waligushu vyeti na wanafanya kazi kama walimu wenye kidato cha 4. Mgomo wa walimu hautakuja kufanyika kamwe labda kama wale wa sekondari na vyuo watajitenga na kundi la walimu wa shule za msingi

    5. #4
      marejesho's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Location : MULA
      Posts : 3,364
      Rep Power : 13046
      Likes Received
      1553
      Likes Given
      1137

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Kumbe ni hivyo? Mie huwa nawashangaa pamoja na hicho chama chao!!

    6. #5
      Asango's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th March 2011
      Location : MOSHI-KILIMANJARO
      Posts : 168
      Rep Power : 446
      Likes Received
      13
      Likes Given
      6

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      chama chao kipo kuvuna pesa zao tu,hamna kitu pale kaka

    7. Study Abroad

    8. #6
      mwalimu maskini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 377
      Likes Received
      23
      Likes Given
      3

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Quote By gpluse
      Nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi tu. Wengi wao waliingia katika kipindi cha UPE2, ni drs7 lakini waligushu vyeti na wanafanya kazi kama walimu wenye kidato cha 4. Mgomo wa walimu hautakuja kufanyika kamwe labda kama wale wa sekondari na vyuo watajitenga na kundi la walimu wa shule za msingi
      la kughushi vyeti sina uhakika nalo lakini nikiletewa ushahidi siwezi kuzimia maana kwa nchii hii ya ccm hakuna lisilowezekana kila siku watu wanafoji uraia wa tanzania mchana kweupe sembuse cheti cha elimu? hilo la kujitenga na walimu wa shule za msingi sio suluhu.
      suluhu ya muda mfupi ni kuunda jumuia ya walimu kama ilivyo kwa madaktari.

      suluhisho la muda wa kati ni kuwatoa viongozi wa CWT kwani wengi wao ni walimu wa shule za msingi na hata walio na elimu zaidi ya hapo wengi wameunga unga tu lakini pia wengi ni vibaraka wa ccm kwa kupenda,kutojua au kwa kulazimishwa.

      suluhisho la kiufundi ni kuitoa ccm madarakani ikiwezekana kabla ya 2015.
      suluhisho la kimkakati ni kuunda bodi ya walimu mapema iwezekanavyo( sio zaidi 2015)
      CCM HAIJAWAHI KUSHINDA UCHAGUZI NA WALA HAITASHINDWA KATIKA UCHAGUZI

    9. #7
      mwalimu maskini's Avatar
      Member Array
      Join Date : 21st February 2012
      Posts : 63
      Rep Power : 377
      Likes Received
      23
      Likes Given
      3

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Quote By gpluse
      Nakubaliana na wewe kwa asilimia nyingi tu. Wengi wao waliingia katika kipindi cha UPE2, ni drs7 lakini waligushu vyeti na wanafanya kazi kama walimu wenye kidato cha 4. Mgomo wa walimu hautakuja kufanyika kamwe labda kama wale wa sekondari na vyuo watajitenga na kundi la walimu wa shule za msingi
      la kughushi vyeti sina uhakika nalo lakini nikiletewa ushahidi siwezi kuzimia maana kwa nchii hii ya ccm hakuna lisilowezekana kila siku watu wanafoji urai wa tanzania sembuse cheti cha elimu? hilo la kujitenga na walimu wa shule za msingi sio suluhu.

      suluhu ya muda mfupi ni kuunda jumuia ya walimu kama ilivyo kwa madaktari.

      suluhisho la muda wa kati ni kuwatoa viongozi wa CWT kwani wengi wao ni walimu wa shule za msingi na hata walio na elimu zaidi ya hapo wengi wameunga unga tu lakini pia wengi ni vibaraka wa ccm kwa kupenda,kutojua au kwa kulazimishwa.

      suluhisho la kiufundi ni kuitoa ccm madarakani ikiwezekana kabla ya 2015.
      suluhisho la kimkakati ni kuunda bodi ya walimu mapema iwezekanavyo( sio zaidi 2015)
      CCM HAIJAWAHI KUSHINDA UCHAGUZI NA WALA HAITASHINDWA KATIKA UCHAGUZI

    10. UKI
      #8
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 680
      Rep Power : 485
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Hilo ni kweli kabisa Mjomba wangu anatumia cheti cha dada yake huwezi amini kazini anaitwa jina la kike na mzigo anapiga kama kawa mjomba huyu alisoma form one tu akatimuliwa shule alimbaka mwalimu wake wa kike si unajua zamani wanafunzi walikuwa wanaenda shuleni wakubwa ila dada yake alimaliza shule form four jamaa akakitumia hicho cheti ni mwalimu na anakula hela ya ualimu kiulaini na bado kama miaka 10 tu astaafu apate mafao yake. simsifii ila nasikitika huu udhaifu wa hii serikali hata hilo hawawezi kulitambua? mfano mwalimu wa kiume unasikia anaitwa Ashura serikali inaona poa tu,
      Eberhard likes this.

    11. #9
      dada jane's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th December 2011
      Posts : 503
      Rep Power : 476
      Likes Received
      92
      Likes Given
      0

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Jamani msilete majibu ya utafiti kwa kuhisi au mazoea. Kwa taarifa walimu wengi sasa hivi wa primary na magraduate. Hata wewe unaejidadafua hapa sasa hivi nimekufundisha uongo ukweli?

    12. #10
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,627
      Rep Power : 958
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Quote By UKI
      Hilo ni kweli kabisa Mjomba wangu anatumia cheti cha dada yake huwezi amini kazini anaitwa jina la kike na mzigo anapiga kama kawa mjomba huyu alisoma form one tu akatimuliwa shule alimbaka mwalimu wake wa kike si unajua zamani wanafunzi walikuwa wanaenda shuleni wakubwa ila dada yake alimaliza shule form four jamaa akakitumia hicho cheti ni mwalimu na anakula hela ya ualimu kiulaini na bado kama miaka 10 tu astaafu apate mafao yake. simsifii ila nasikitika huu udhaifu wa hii serikali hata hilo hawawezi kulitambua? mfano mwalimu wa kiume unasikia anaitwa Ashura serikali inaona poa tu,
      Heshima mkuu, you've been brutally honest and I take your classic example as a solid evidence against walimu. Walimu ni kundi kubwa la wautmishi wa serikali lakini pia ndio kundi dhaifu kuliko mengine. Hivyo wataendelea tu kunyonywa na kudhulumiwa mpaka basi.

      CDM ikiingia kunako nguvu, waanze usaili na uhakiki wa ajira zao upya. Ndio maana mara zote hawa walimu wamekuwa wakishirikiana na ccm kuiba kura kwenye chaguzi.

    13. #11
      Chatumkali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2011
      Location : DOM
      Posts : 1,384
      Rep Power : 974
      Likes Received
      184
      Likes Given
      166

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Tatizo la kufoji vyeti ni tatizo la kitaifa,tusiwabebeshe walimu peke yao.Kila kada ina huu uozo.Kumbuka walimu wa UPE wamebaki sehemu ndogo sana ya walimu waliopo sasa.Kama wewe ni bingwa wa utafiti nakupa kazi hii fanya utafiti kwa kada nyingine ambazo watu wanajidai kuwa na vyeti vyenye ufaulu wa juu,then uje na matokeo ya utafiti wako hapo tuone uhalali wa vyeti vyao!Usisahau kuvipitia vyeti vyako pia.

    14. UKI
      #12
      UKI's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th June 2012
      Location : Mali
      Posts : 680
      Rep Power : 485
      Likes Received
      149
      Likes Given
      176

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Quote By Ronal Reagan
      Heshima mkuu, you've been brutally honest and I take your classic example as a solid evidence against walimu. Walimu ni kundi kubwa la wautmishi wa serikali lakini pia ndio kundi dhaifu kuliko mengine. Hivyo wataendelea tu kunyonywa na kudhulumiwa mpaka basi.

      CDM ikiingia kunako nguvu, waanze usaili na uhakiki wa ajira zao upya. Ndio maana mara zote hawa walimu wamekuwa wakishirikiana na ccm kuiba kura kwenye chaguzi.
      hapo kwenye red mkuu usiwakumbushe hao waalimu maana wakijua cdm ikiingia madarakani itafanya hivyo watashinikiza isiingie ili wasihakikiwe so we waache walalamike malalamiko yao mengine ila dawa yao iko karibu na kuambia tukienda kwa haki kabisa watumishi wengi waliopo serikalini majina yao sio na hii ni kwa sababu ya system mbovu iliyopo serikalini cheti kimoja kinatumiwa zaidi ya mmoja. angalau TCU wamejaribu kwenye udahili wa wanafunzi chuoni.

    15. #13
      mansakankanmusa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2012
      Posts : 865
      Rep Power : 528
      Likes Received
      167
      Likes Given
      158

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      hata wakukataa changes itakuja tu, wanakijiji ni wengi..M4D
      I only offer an opinion someone don't f**k with me . It's important to be a good listener, and that means you shut your mouth and let other jf member talk.

    16. #14
      Nzowa Godat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2011
      Posts : 1,379
      Rep Power : 676
      Likes Received
      229
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Asango
      Habari wanaJF, Kwa utafiti niliofanya unaonyesha kuwa walimu wa ngazi tofauti kamwe hawawezi kugoma.Hii ni kutokana na waliowengi wanatumia vyeti visivyo vyao(vyakughushi) hususani wale walimu wa cheti na wengineo.Sababu hii inawafanya kuogepa kugoma kwn itatokea serikali ikawasimamisha walimu na kuamuru usaili ufanyike upya ajira itakuwa imekwisha.Ndio maana siku zote mgomo ukipangwa waliowengi hawashiriki na kutokufanikiwa kwa mgomo.hvy basi msitegemee kuona mgomo kwa Walimu wetu.
      Kwa hiyo hata sirikali inafahamu kwamba walimu wake wanatumia vyeti feki ndio maana haisikilizi madai yao, eti?! Kwa hiyo unataka kuuambia umma kwamba hii siri kali ni DHAIFU, si ndio?!

    17. #15
      kamanda wa anga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 45
      Rep Power : 368
      Likes Received
      53
      Likes Given
      1

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Kimsingi nahisi ni kupoteza mda kulijadili kundi la watu wasiojitambua! hawa watu ni hatari sana maana wengi pamoja na kuitwa walimu bado wamepitwa na wakati. wengi hawajui kwamba kugoma ni haki kikatiba ya mfanyakazi! watazame walimu wanavyovaa, wanavyokula, nyumba wanazoishi, hospitali wanazotibiwa, utawahurumia! ndio maana kwa kuwadharau, mzee wa udhaifu aliwaita mbayuwawayu! ni waoga mno na uwa siwahurumii maana sioni ni kwa nini failures alipwe mshahara mkubwa! let them suffer msiyaonee huruma acha vyalimu viteseke! ni hivyo hivyo vyalimu uwa vinasimamia kura na kuhakikisha ccm inashinda! kimsingi vyalimu sivipendi kwa ujinga wao!

    18. #16
      Lidaku's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Posts : 71
      Rep Power : 364
      Likes Received
      6
      Likes Given
      0

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure

    19. #17
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Quote By lidaku
      sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure
      pumbafu
      Umaskini wa Tanzania ni Matokeo ya Akili ndogo kuongoza Nchi

    20. #18
      Sir R's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2009
      Location : Moshi
      Posts : 1,139
      Rep Power : 714
      Likes Received
      99
      Likes Given
      24

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      Quote By Lidaku
      Sio wa primary tu,hata hao wa secondary hamna kitu wote failure
      Umelaaniwa lidaku.

      Waelimishe kwani wao walikuelimisha
      Umaskini wa Tanzania ni Matokeo ya Akili ndogo kuongoza Nchi

    21. #19
      kinya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th February 2009
      Posts : 315
      Rep Power : 585
      Likes Received
      26
      Likes Given
      9

      Default

      Quote By kamanda wa anga
      Kimsingi nahisi ni kupoteza mda kulijadili kundi la watu wasiojitambua! hawa watu ni hatari sana maana wengi pamoja na kuitwa walimu bado wamepitwa na wakati. wengi hawajui kwamba kugoma ni haki kikatiba ya mfanyakazi! watazame walimu wanavyovaa, wanavyokula, nyumba wanazoishi, hospitali wanazotibiwa, utawahurumia! ndio maana kwa kuwadharau, mzee wa udhaifu aliwaita mbayuwawayu! ni waoga mno na uwa siwahurumii maana sioni ni kwa nini failures alipwe mshahara mkubwa! let them suffer msiyaonee huruma acha vyalimu viteseke! ni hivyo hivyo vyalimu uwa vinasimamia kura na kuhakikisha ccm inashinda! kimsingi vyalimu sivipendi kwa ujinga wao!
      dah mkuuu kama uwezo wako ndo umekufisha hapa yaani umeacha hoja ukachambua watu pole ila hakika si wewe ni mfumo dhaifu uliokujenga kulalamika bila kutoa suluhu

    22. #20
      mkurugenz's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd April 2012
      Posts : 200
      Rep Power : 399
      Likes Received
      15
      Likes Given
      16

      Default Re: Sababu ya Walimu kutokugoma yafahamika!!

      nakubalana na alisema walimu wengi hawajitambui wengi ni vile hizi kazi walipewa kama msaada hakuzisomea,au ndio waliofoji vyeti,walimu wengi tunasubiri kazi kazi za kitumwa kusimamia sensa,mitihani, kwenda kusahisha hapo wanasahau kabisa juu ya haki zao za msing.sijui hasa wale walimu wa uraia wanawafundisha nini wanafunzi wao juu ya kuzijua haki zao na kudai

    23. Miaka 50
    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...