Ndo wanaingia ukumbini. Na naibu waziri wa fedha kaanza kuwajibu wabunge maoni yao.
Huyu naibu chizi kweli eti serikali imetekeleza malengo ya milenia kwa kuwaweka wanawake wengi bungeni
Mginwa huu upuuzi iweje skill development rev ipunguzwe na PAYE kwa wafanyakazi NO?????

Reply With Quote


Follow Us Here