Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 42
    1. #1
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,850
      Rep Power : 5948
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
      1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
      2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
      3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?

      Ni hayo tu

      Nawatakia Bajeti Njema.
      JokaKuu and Kevin.A like this.
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Ngereja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 652
      Rep Power : 759
      Likes Received
      148
      Likes Given
      17

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Mwalimu J.K. Nyerere alipewa PhD za heshima (Honoris Causa) na vyuo vikuu vingi tu kutoka Africa, Marekani na hapa Tanzania. Inawezekana wewe tu ndo huna hizo kumbukumbu. Lakini kwa taarifa yako, Chuo Kikuu cha Dar es salaam, kilimtunuku uprofesa wa historia, kwa hiyo alikuwa ni title ya Professor katika chuo kikuu cha DSM.
      Jasusi likes this.

    4. #3
      CBSai's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st April 2012
      Posts : 21
      Rep Power : 363
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba mpaka anafariki alikuwa na PhD za heshima 14 kutoka katika vyuo mbali mbali barani Afrika, Ulaya na U.S vikiwemo chuo kikuu cha Oxford na Cambridge vya Uingereza, ila yeye kwa kutokujikweza kwake aliamua kuitwa Mwalimu, na hiyo ndo inamtofautisha na hao wengine
      Sn2139 and sweke34 like this.

    5. #4
      Udaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th June 2012
      Posts : 230
      Rep Power : 396
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By CBSai
      Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba mpaka anafariki alikuwa na PhD za heshima 14 kutoka katika vyuo mbali mbali barani Afrika, Ulaya na U.S vikiwemo chuo kikuu cha Oxford na Cambridge vya Uingereza, ila yeye kwa kutokujikweza kwake aliamua kuitwa Mwalimu, na hiyo ndo inamtofautisha na hao wengine
      Inamaana hakupena sifa kama huju JK WA ukware.

    6. #5
      sirghanam's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Posts : 247
      Rep Power : 557
      Likes Received
      64
      Likes Given
      133

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By CBSai
      Kwa kumbukumbu zangu ni kwamba mpaka anafariki alikuwa na PhD za heshima 14 kutoka katika vyuo mbali mbali barani Afrika, Ulaya na U.S vikiwemo chuo kikuu cha Oxford na Cambridge vya Uingereza, ila yeye kwa kutokujikweza kwake aliamua kuitwa Mwalimu, na hiyo ndo inamtofautisha na hao wengine
      ALIKUWA NAZO 26... hakuona sababu ya kujiita Dr. Kwa sababu kama alikuwa na nia ya kuipata kwa kukaa Darasani angeipata. Tatizo linakuja kwa hawa hata first degree aliipata kwa mazabwe. anatamani kuwa Dr ila kwa kukaa darasani haiwezakani. Akipatiwa hiyo ya heshima Lazima anganganie kuitwa Dr
      Sn2139 and saddam like this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      palalisote's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th August 2010
      Location : WA HAPAHAPA
      Posts : 2,054
      Rep Power : 2036
      Likes Received
      925
      Likes Given
      3819

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By Udaa
      Inamaana hakupena sifa kama huju JK WA ukware.
      watu wengi hawajui matumizi ya degree za heshima. huruhusiwi kuandika jina lako likianzia mfano: DR.J.Nyerere, inapaswa itamkwe tu na si vinginevyo.

    9. #7
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,167
      Rep Power : 12558
      Likes Received
      5736
      Likes Given
      748

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      KOMBAJR.

      Inawezekana umri wako mdogo wakati wa Nyerere ulikuwa mdogo, University of Kankan Guinea walipa PhD.

      Tafuta makala ya muandishi wa zamani wa BBC James Robbis, alikuwa akimuandika Dr Julius Nyerere.

    10. #8
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,002
      Rep Power : 2557
      Likes Received
      781
      Likes Given
      28

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By Ritz
      KOMBAJR.

      Inawezekana umri wako mdogo wakati wa Nyerere ulikuwa mdogo, University of Kankan Guinea walipa PhD.

      Tafuta makala ya muandishi wa zamani wa BBC James Robbis, alikuwa akimuandika Dr Julius Nyerere.
      Are you trying to justify calling JK DR or what ?
      Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .
      Nasema : CCM tunadhani adui yetu ni Chadema hapana ni Watendaji wetu katika Serikali ya CCM tukawabane hao - Livingstone Kibajaji Lusinde 2013 25 April at 11:54am.

    11. #9
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,850
      Rep Power : 5948
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By Lunyungu
      Are you trying to justify calling JK DR or what ?
      Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .

      Hapo vipi Rtd Lt. Jakaya M. Kikwete
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    12. #10
      KOMBAJR's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th November 2011
      Posts : 3,850
      Rep Power : 5948
      Likes Received
      798
      Likes Given
      227

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By Ritz
      KOMBAJR.

      Inawezekana umri wako mdogo wakati wa Nyerere ulikuwa mdogo, University of Kankan Guinea walipa PhD.

      Tafuta makala ya muandishi wa zamani wa BBC James Robbis, alikuwa akimuandika Dr Julius Nyerere.
      Zingatia msingi wa Swali Kikongwe!
      Face Reality As it Is, Not As it Was or As You Wish It To Be.

    13. #11
      Bob G's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 5th October 2011
      Location : UK Manyasi
      Posts : 1,650
      Rep Power : 715
      Likes Received
      289
      Likes Given
      36

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Hizi Degree za Heshima hutokana na mchango fulani ukatambuliwa na watu fulani then wakakutunuku hio heshima,

    14. #12
      Rohombaya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2011
      Posts : 346
      Rep Power : 467
      Likes Received
      52
      Likes Given
      40

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Lakum diinukum waliyadiin!!!!

    15. #13
      timbilimu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd September 2010
      Location : DSM
      Posts : 2,662
      Rep Power : 974
      Likes Received
      578
      Likes Given
      10

      Default

      Nimeipenda.
      Quote By Lunyungu
      Are you trying to justify calling JK DR or what ?
      Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .

    16. #14
      Kima Mchanga's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 3rd October 2011
      Location : Dynamic
      Posts : 4,483
      Rep Power : 11221
      Likes Received
      602
      Likes Given
      446

      Default

      Quote By KOMBAJR
      Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
      1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
      2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
      3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?

      Ni hayo tu

      Nawatakia Bajeti Njema.
      Mwalimu Nyerere alikuwa mtu wa kujishusha na alipenda kuitwa mwalimu na si vinginevyo,though alikuwa na Phd za heshima zaidi ya kumi.Hii na iwe fundisho kwa viongozi wetu,ambao wengine wanapewa phd za heshma zenye utata ili wajiite dr fulani.

    17. #15
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,167
      Rep Power : 12558
      Likes Received
      5736
      Likes Given
      748

      Default

      Quote By Lunyungu
      Are you trying to justify calling JK DR or what ?
      Kila mtanzania leo ukisema Dr.Nyerere watadhani ni mtu mpya maana hawakuwahi kuzoea ujinga huu .Yeye ukisema Mwalimu basi hata nani anamjua .
      Wewe wakati wa Nyerere haukuwepo wewe kipindi chako cha siasa ni wakati wa JK, ndio maana wakongwe wamekaa kimya takuwekea makala ambazo Nyerere alikuwa anaitwa Dr wakati wewe bado ujazaliwa.

    18. #16
      norbit's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 30th July 2007
      Posts : 166
      Rep Power : 1016
      Likes Received
      25
      Likes Given
      16

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      yeye si amepewa Dk yaani Dictator

      Quote By KOMBAJR
      Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
      1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
      2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
      3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?

      Ni hayo tu

      Nawatakia Bajeti Njema.

    19. #17
      Nikupateje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd December 2009
      Posts : 846
      Rep Power : 963
      Likes Received
      538
      Likes Given
      592

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By KOMBAJR
      Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
      1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
      2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
      3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?

      Ni hayo tu

      Nawatakia Bajeti Njema.
      Hili ndilo tatizo la kujichanganya na kila aina ya mtu. Unajua mtaani huwa tunajifanya mimi sijichanganyi na kundi fulani la watu kwa sababu tuna sababu za haki kufanya hivyo.

      Ukikuta wanywa kahawa unaweza kusema hilo si genge lako unaenda kwa wanywa wine na whisky na huko mazungumzo yanaendana.

      Hata majumbani tukitembeleana hali ni hivyohivyo. Eti mgeni akija tunafukuza watoto waende kucheza kwa kigezo kwamba mazungumzo hayawafai au hawataelewa au wataharibu mazungumzo.

      Sasa mitandao imetuletea balaa tulilolikwepa kwa miaka mingi. Yule mtoto tunayemfukuza nyumbani kwamba hataelewa au kuvuruga mazungumzo sasa ndiye yuleyule anyekuja kwenye mitandao bila jina halisi.

      Yule mnywa kahawa uliyekwepa genge lake ukakimbilia Yatch Club kwa wenzako sasa mnakutana kwenye mitandao bila yeye kujua na bila wewe kujua.

      Kama ulikuwa unakwepa au unawanyanyapaa wasukuma mikokoteni kwamba huwezi kujadili nao eti si saizi yako, sasa wanajua ku-type keyboard na unakutana nao kwenye mitandao bila kujua unajadili na msukma mikokoteni.

      Angalia nature ya swali hili. Ni wazi aliyeliuliza ingekuwa ni kwenye seating room au Yatch club sidhani kama kuna mtu angemjibu huyu na sanasana wangeishia kumkemea kwa maswali ambayo hayana kichwa wala miguu.

      Mimi ni mzuri sana kukwepa makundi. Lakini kwenye mitandao sina jinsi maana ni ukweli ninayemkwepa mtaani ndiye siajabu ni yuleyule anayekuja kwenye mitandao bila ID.

      Hivyo maswali mengine tunatakiwa tu kuyavumilia japo ukweli ni kwamba ni pumba.
      Last edited by Nikupateje; 22nd June 2012 at 14:43.
      Jasusi likes this.
      .."ni heri Dr. Willibrod Slaa ashinde na aingie Ikulu, kuliko Tundu Lissu kushinda ubunge na kuingia Bungeni"......Jakaya Mrisho Kikwete, Oct. 2010.

    20. #18
      asungwilemwaifunga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 346
      Rep Power : 501
      Likes Received
      119
      Likes Given
      35

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Swali hili sio pumba kama unavyodhani. Ni swali la msingi sana. Linatoa uelewa wa mtu binafsi, hulka yake na jamii imwelewe. Mtu kiongozi wa watu lazima watu wake wamwelewe kwa undani, vitu anavyopenda, anavyochukia na umakini wake ili waweze kuishi naye vizuri. Mfano kwa maelezo ya hapo juu utajua nani kati ya viongozi hawa anapenda vya bure (simple popularity) nani anajikweza na kwa nini anajikweza. Hivyo huwezi kutegemea kupata makuu kwa mtu mvivu. Kwa mchapa kazi kupewa kitu asichokitolea jasho ni aibu kwa mvivu ni neema inayopaswa kukumbatiwa tena pasipo hata shukrani. Utasema ni pumba?

    21. #19
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,153
      Rep Power : 3544
      Likes Received
      3037
      Likes Given
      460

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Quote By KOMBAJR
      Wanabaodi Heshima kwenu, Kuna jambo limekuwa likinitatizo, katika kipindi cha karibuni tumeona tumesikia karibu zaidi ya vyuo vyetu ambapa nchini kutoa Phd za Heshima kwa viongozi ambali mbali ambayo imepeleka mpaka Kiongozi wa Nchi yaani Rahisi kutunukiwa Phd za Heshima zaidi ya Nne kama sikosei mwenye data sahahii atarekebisha! Maswali ambayo nimekuwa nikijiuliza kitu ambacho nahisi kunawengi pia ambao wanamaswali kama yangu ni haya yafuatayo:
      1. Hivi Sifa na Sababu hasa kupewa Phd ni nini au ni zipi?
      2. Hivi Kwa kazi aliyolifanyia Mwl.Nyerere kwa hili Taifa hakustahili Kupewa Phd au alipewa akakaata?
      3. Je Hizo PHD zina tija kwa taifa?

      Ni hayo tu

      Nawatakia Bajeti Njema.

      Fanya Research kabla ya kuweka Hoja Wajameni Dah; Nyerere alipewa Ph.D na alikuwa anaitwa Dr. Mara nyingi tu Most of the time alipokuwa South South Commission

    22. #20
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,627
      Rep Power : 958
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default re: Hivi kwanini Mwl. Nyerere hakupewa PhD?

      Off point note: Nimesikia siku hizi wanatoa "O levels" za heshima, is it?

    23. Study Abroad
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...