Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Naunga mkono mgomo wa walimu

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 37
    1. #1
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Naunga mkono mgomo wa walimu

      Wakati umefika sasa wa serikali kusikia kilio cha walimu cha miaka nenda rudi. Nakubali kwa asilimia zote kwamba walimu nao wagome. Haiwezekani mwalimu wa degree alipwe sana na mwenye certificate katika kada zingine! Hapana enough is enough! Solidality forever.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mirhea's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 26th February 2012
      Posts : 125
      Rep Power : 391
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Hakuna watu waoga kama waalimu. Hawataweza kugoma.

    4. #3
      sarawati's Avatar
      Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 386
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      mm ninavyoamin km walimu kweli wakiwa na nia ya kugoma na kua na mshikamano wa kweli itakua ndo sector itakayoitingisha sana serikali kutokana na wingi waooo nchini..

    5. #4
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      kwa uwezo wa mwenyezi Mungu naamini kwa sasa itawezekana. Hakuna malefu yasiyokuwa na ncha.

    6. #5
      MAMA POROJO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 4,858
      Rep Power : 1844
      Likes Received
      593
      Likes Given
      413

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      siungi mkono mgomo wa waalimu


    7. #6
      msweken's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2011
      Location : Swekeni
      Posts : 96
      Rep Power : 400
      Likes Received
      14
      Likes Given
      3

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Walimu acheni kutuibia mawazo... mnagomaje likizo??

    8. #7
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By MAMA POROJO
      siungi mkono mgomo wa waalimu
      bora uunge mgomo moto kieleweke once and for all kuliko walimu waendelee na mgomo baridi unaoshusha elimu kika kukicha

    9. #8
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By msweken
      Walimu acheni kutuibia mawazo... mnagomaje likizo??
      hii ni mara ya 2

    10. #9
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default

      Quote By MAMA POROJO
      siungi mkono mgomo wa waalimu
      wewe kweli mama porojo! Wakati mwngine porojo hazina maana hata kidogo toa hoja basi kitu gani kinakufanya usiunge mkono. Hivi ni nani asiyetambua kwamba mwalimu wa Tanzania anaonewa?

    11. #10
      Communist's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st June 2012
      Location : Ubungo
      Posts : 2,729
      Rep Power : 2267
      Likes Received
      601
      Likes Given
      783

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Mgomo sasa unatakiwa nchi nzima, kiala mfanyakazi.
      Simple life is healthier than egoism.

    12. #11
      mtamanyali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th December 2011
      Posts : 605
      Rep Power : 498
      Likes Received
      137
      Likes Given
      186

      Default

      Quote By msweken
      Walimu acheni kutuibia mawazo... mnagomaje likizo??
      mwaka huu likizo kubwa ni mwezi wa nane kwa ajili ya sensa ya watu na makazi Hivyo mwezi wa sita hakuna likizo kubwa. Pia ufahamu kwamba kazi ya ualimu haina likizo

    13. #12
      Bebrn's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th March 2008
      Posts : 87
      Rep Power : 588
      Likes Received
      17
      Likes Given
      12

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      naunga kwa 100%

    14. #13
      NG'OMBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th March 2011
      Posts : 291
      Rep Power : 438
      Likes Received
      60
      Likes Given
      125

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Wasigome waendelee na huo utalatibu waliouanza wa kutoa wahitimu wasiojua kusoma na kuandika hadi wazazi waje wajue kumbe anaesababisha hayo yote ni serikali kuwapuuza walimu. Ningefurahi kama siku moja nikaona form four amemaliza hajui kusoma wala kuandika sentensi ya kiswahili.
      mtamanyali likes this.

    15. #14
      Nzenzu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th August 2011
      Posts : 826
      Rep Power : 559
      Likes Received
      155
      Likes Given
      38

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Impossible is Nothing, WALIMU GOMENI.

    16. #15
      Jaji's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 4th September 2011
      Posts : 138
      Rep Power : 417
      Likes Received
      14
      Likes Given
      19

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Walimu wengi wamefoji vyeti hivyo wanaogopa kuchokonoa mambo.

    17. #16
      Ng'wanangwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Posts : 5,992
      Rep Power : 1648
      Likes Received
      1136
      Likes Given
      417

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      hakuna walimu wanafiki kama walimu wa tanzania, na ndo maana watoto wanamaliza la saba na kupelekwa shule za kata wakiwa hawajuwi kusoma wala kuandika.
      CCM HAIKUBALIKI ...TUSHIRIKIANE KUITOKOMEZA...

      REST IN PEACE, DR.D.D. HAULE...Wema hawana Maisha

    18. #17
      Kiumbo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2012
      Posts : 484
      Rep Power : 465
      Likes Received
      77
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      Hata nami nilishaanza mgomo na mtambo wa kufyatua ma o. Na form 2 hajui kusoma wala kuandika kwani huo sio mgomo.

    19. #18
      mjuaji's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 166
      Rep Power : 393
      Likes Received
      22
      Likes Given
      0

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      wagome tu walimu.Dharau imezidi hii serikali kutowajali walimu tu.
      mtamanyali likes this.

    20. #19
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 5,057
      Rep Power : 0
      Likes Received
      228
      Likes Given
      1

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      tafuteni wengine wa kugoma sio walimu

    21. #20
      Welu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2011
      Posts : 262
      Rep Power : 451
      Likes Received
      54
      Likes Given
      1

      Default Re: Naunga mkono mgomo wa walimu

      mwalimu! Amini hawezi. Mwoga kama nini! Ni utoto tu hawawezi kugoma

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...